#ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #isleblogTV Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi katika muda usiopimika na kufikirika amefanya mengi yaliyoishangaza dunia kwa namna speed ya utendaaji na kuijenga Zanzibar kila kona ya Unguja na Pemba na haya ni baadhi ya mafanikio hayo. Kama bado hujsubscribe chanal yetu fanya hivyo sasa ili uwe wa kwanza kupata habari zetu na kuwajuza wengine. Asante Like|Comment|Share|SUBSCRIBE NOW

ความคิดเห็น • 23

  • @OmarSaidy-i1m
    @OmarSaidy-i1m 12 วันที่ผ่านมา +1

    Watanganyik kwel wamezamuria kutumalizia nchiii yet 😢😢

  • @AlbanSalum
    @AlbanSalum 19 วันที่ผ่านมา +8

    kweli zanzibar ni nchi yakwanza kuwa na njaa na ukali wa maisha nakupokonywa mamlaka yao na kutawaliwa na wageni kwenye sekta muhimu za nchi nauchumi.

    • @AlanWilliam-oq5qz
      @AlanWilliam-oq5qz 19 วันที่ผ่านมา +1

      Acha ubataba wagani Gani wote waswahili ninyi

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 19 วันที่ผ่านมา +1

      Fanya kazi acha kutegemea viongozi uvivu Tu

    • @Ibrahim-st3uo
      @Ibrahim-st3uo 18 วันที่ผ่านมา

      Siku ngapi umelala na njaa hemu mahukuru mola wako wewe hujakumbwa ni njaa uliza waliokumbwa na njaa

    • @Ibrahim-st3uo
      @Ibrahim-st3uo 18 วันที่ผ่านมา

      AlhamduliLLAAHI Raisi anajitahidi sana

    • @AlbanSalum
      @AlbanSalum 18 วันที่ผ่านมา +1

      @@Ibrahim-st3uo wacha kukufuru kunawatu wanahali ngumu sana zakimaisha tena humohumo ndani ya zanzibar tembea kama upo zanzibar kunawagonjwa wanaitaji msaada mkubwa na uwezo familia zao hawana watu wanapewa mapesa kwa jambo la kipuuzi eti kushinda magoli ⚽️

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 19 วันที่ผ่านมา +4

    Siasa hizi zingewasaidia sanna miaka ya 1980 sio sasa.

  • @tariqrajab9459
    @tariqrajab9459 18 วันที่ผ่านมา

    Alaa basi mi nikizani zanzibar ni mkoa voo😊

  • @hafia.056
    @hafia.056 19 วันที่ผ่านมา +1

    Please 🙏 please bring it on always and never ever stop. Building this country until until our money gone. But But after the money will come back yes yes it's Thank you very much all God bless our country Ameeen 🙏

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pumbavu zenu ao watwaa mnao wahoji wafundisheni kiswahili kwanza.

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k 18 วันที่ผ่านมา +1

    Tujengeeni ile bandari ya Wete na uwanja wa ndege wetu Pemba halaf mtatuletea hizo gari za umeme

  • @SiyahiSiyahi-y7v
    @SiyahiSiyahi-y7v 19 วันที่ผ่านมา

    Docter mwinyi unafanya kazi kubwa iliyomzuri

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd3777 18 วันที่ผ่านมา

    Halafu hata aibu hamna kupiga kura munawaleta watu kutoka bara mpaka watu wakuwahoji mnawatowa bara pumbavu nyinyi

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 16 วันที่ผ่านมา

    Mwinyi akimaliza mda wake kashiba pesa za ufisadi za kodi za walalahoi anamiliki tunavyo vijua fumba bweleo kanunua ardh kujenga .mahoteli n vyengine ameficha hawa watawala wanadhima kubwa kwa Allah kw ufisad wao

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd3777 18 วันที่ผ่านมา

    Wewe unataka pemba iwe kuliko dar ushalewa hivi watanganyika wanataka pemba iwe mkowa unazani fikira hizo ni ccm gani watanganyika anayetaka unavotaka,acheni upumbavu nyinyi wapemba wa tanganyika

  • @MshamAli-o4e
    @MshamAli-o4e 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu muandishi anaumwa znz sio nchi africa nisehemu ya Tanzania znz Ina wakaazi Haina uraiya Omo ndo mkombozi wetu

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 18 วันที่ผ่านมา

      Utasubiri Omo akuleteee nchi mpaka utazeeka hutaiona.

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 18 วันที่ผ่านมา

    Zanzibar ni Nchi kivipi? Zanzibar na tanganyika ni States sio Nchi. Nchi ni Tazanzia acheni ushamba.

    • @MohdMkubwa-v8k
      @MohdMkubwa-v8k 9 วันที่ผ่านมา

      sasa tanzania ni nini

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona wote mnao wahoji ni watwana wenyewe wazawa hawapo?

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 19 วันที่ผ่านมา +1

      Wao watwana Wewe bwana mkubwa? Binadamu chuki na kudharau binadamu wenzenu kunawafaa nini labda?

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@FahadAbubakari-y3fSio sawa kabisa nchi moja kutawaliwa na nchi nyengine halafu hao wanaotawala kwa kisingizio cha Muungano ndio watoe maoni juu ya maendeleo au siasa za Zanzibar hilo halikubaliki wacha watu watoe ya mioyoni mwao kwa kutoa hisia zao na ww kama unaweza sema huwez kaa kimya