Maproducer bongo wananyonywa sana..ukitaka kugundua ni hii ngoma ya tetema,jamaa anajisifia kuwa kalipwa pesa nyingi sana nazo ni mil4..kimahesabu na km ingekua kabisa haki za hawa jamaa kwa mgoma ya tetema tu angekua anasumbua mtaani cz kila ngoma inavyoingiza ndivyo na yeye kipato kinatakiwa kuongezeka...
switch generation mwanzo ckujua kwamba switch record ni sehemu ya kutengeneza producers wenye high level big up #switcherbaba✊ co lazima uimbe rasta #makedow umetengeneza kitu kikubwa xana
S2kizzy napenda kazi za kwako ....ivi karibuni nakutafuta mtaa wa kwako mimi kama dogo nutty msanii kutoka kenya ....kuna mengi ningependa ukaweze kunishauri
saa hii ndio nimeamini ma producer wanapata tabuu,,yani 2000usd tu! kwa bonge la ngomaa kama hii? na ndio yuko proud mpaka anaisema hadharani!! ila a nsawa tu pambana na hali yako bro..
Kelvin Karari Kibongobongo kalipwa pesa nyiiingi hiyo kaka......Hits kibaaao tu bongo zimetengenezwa buure buure kabisa. Producer ananunuliwa Kiepe Nundu na Kilimanjaro tatu then anamtengenezea Hits tatu hata nne
babu kizazissaana kamavip naezhakupata number yako aje ninamaongezi naee naitwa Dallas A.k.A tiger niko South africa cap town pls number yangu ni +27658288747 tuongee pls
Furaha yangu ni kuona vijana wengi hapa Afrika Mashariki wakifanya makubwa kutokana na vipaji alivyowajaalia Muumbaji.
Maproducer bongo wananyonywa sana..ukitaka kugundua ni hii ngoma ya tetema,jamaa anajisifia kuwa kalipwa pesa nyingi sana nazo ni mil4..kimahesabu na km ingekua kabisa haki za hawa jamaa kwa mgoma ya tetema tu angekua anasumbua mtaani cz kila ngoma inavyoingiza ndivyo na yeye kipato kinatakiwa kuongezeka...
aliyegundua kuwa ule wimbo wa rayvany na vanessa mdee ambayo bado hujatoka umetengenezewa hapa baada ya kuona masofa agonge like
switch generation mwanzo ckujua kwamba switch record ni sehemu ya kutengeneza producers wenye high level big up #switcherbaba✊ co lazima uimbe rasta #makedow umetengeneza kitu kikubwa xana
Kumbe ni wewe uliipika, congrats S2kz
Nakubali s2kizy uko vzuri man
Hii kazi ngumu watu wengine wanaona kawaida unatumia akili nyingi sana
Very true
Bro thanks nakubali sana kaz yako
Tetema inasumbua club mingi sana hapa Finland 👊💪
finaland? hahahahaha
Chidiomari. Bro naomba email yako
aliyesikia collaboration ya mtangazaji kwenye dk ya 12. agonge like hapa
Huyu jamaa yuko open sanaaaaaaa
Nimekuelewa sana kaka upo vizur
Naomba namba
S2kizzy napenda kazi za kwako ....ivi karibuni nakutafuta mtaa wa kwako mimi kama dogo nutty msanii kutoka kenya ....kuna mengi ningependa ukaweze kunishauri
Nakukubali sana budah
napenda sana jinsi unavyouliza maswali, S2kizzy
Yuko good sana salut
Ufanye ufanyavyo lazima WCB uwatangaze hata Kama hutaki kila uendapo kila umhojie lazima WCB ipaishwe
Kaka una mambo wewe noma sana
safi
Huyo msanii ulokwepa kumtaja atakuwa Baraka Da Prince tu😂😂
S2kizzy ni sehem ya maisha yangu
Ritchie Xanti niaje
Namkubali sana broo s2kizzy
Tetema sample ya they don't care about us by Michael jackson
Mi naona uwezo wako + wa Lizer ingekua bora zaidi mukikua pamoja
Ushahur wako ni hatali sema bado awajaufikilia
FL Gang
Wewe jama
Unapiga
Kaz
Sana
napenda sanaa kufanya kazi naee
Imekamilika iyo
Producer mzuri sana ila tatizo kuna baadhi ya midundo zako hazina punch ya kutosha ..🔥🔥🇰🇪
kwani ni lazima kila mdundo uwe na PUNCH?? hahaha
Toa yako bac tuone
safiiiiiiiiiiiii braaaazaààaaa"
100%betise swahili
Noma
Ulaya party ya kiafrika bila tetema ni sawa na mboga bila chumvi. Big up bro.
Unatisha kaka yani wew nimkaliiiiiiiiiiii😊
yah
Safari iyo. Amenitia moyo mimi kama msani
Yeah
*s2killz zombie*
Hiyo Tetema ukicheza Kenya utalala jela
Kama na wew uju producer anakutisha kiganga ganga
Swari bro
Salumini kwa mama chamali pale.
Good
Nakukubali sana mkali
Congratulations my brother #Pluto hood
Bro naku respect@softy jay
thumbs up...
Makn sana Nakubl salute kwako
Anajiskia sana...
Watangazaji mnanongona
nkubalii
Nakubal baba
Kwenye mashine
Nauliza location ilipo studio
kama u amkubali jama gonga like chin hapo
Hao Clouds manina sana, mnasema mnasikia ngoma kitaani na hampigi io ngoma shenzi
home boy mbeya juu
Acha ubaguzi kichwa duara wewe
Anae edit afanye bust saut ndogo mno
Niaje bro unapatikana wapi
Huyu jama anapatikana wapi
Nice nimisimamo tu
kwenye issue ya pesa tu unajua kujiongeza s2kizzy
😅😀
blaza nitumie na ya whats app
blood upo juu
Aliye na namba ya s2kizy anisaidie plz
NAItaji namba yako
S2KIZZY
1000$
Hii studio iko wap
nlichojifunza ukiamua kufocus chcht kinawezekana
Watu tuna Toka mbali
Hatar
Zombieeee..
w4k1- 70wn
Iko wapi Niko kenya ...
Am.a musicians
Uko wapi
#GOOD_
ONE_DAY_NITAKUJA_KUFANYA_NGOMA_
nayaka nifanyenae kazi nampataje?
Kasema mfate instagram kwenye bio yake kuna taarifa zote
Jambo Kaka wapi nompey yako
Usjali fanya kila unacho kiona sahihi kwenye moyo wako usisikilize watu ni maneno tu sawa
Sio poa kk
pluto republic
🤔
colobalesheni
11:55 😂😂😂
saa hii ndio nimeamini ma producer wanapata tabuu,,yani 2000usd tu! kwa bonge la ngomaa kama hii? na ndio yuko proud mpaka anaisema hadharani!! ila a nsawa tu pambana na hali yako bro..
Bana. Ma producer wanafaa kulipwa zaida ya hiyo.
Ni ndogo kwako mkuu... Tunajua kwengine wanalipwa zaidi ila kwa soko letu la ndani it's okay kwa kukuza connection
Pia sidhani km ni kwel amelipwa Hela hyo!
De Brand basi wana nyanyaswa
Kelvin Karari
Kibongobongo kalipwa pesa nyiiingi hiyo kaka......Hits kibaaao tu bongo zimetengenezwa buure buure kabisa.
Producer ananunuliwa Kiepe Nundu na Kilimanjaro tatu then anamtengenezea Hits tatu hata nne
Yaaaaaani jamaaa anatumia C1 ama kweli...jina lote hilo!? 😂😂😂😂
Goland Studios kikubwa sikio tu mkuuu
@@peterbanzi6868 dah!
Matajiri hawanaga show off kam sisi maskin unaweza kuta wanatumia vtu bei chee sana sabab pesa mingi wana invest kwenye kaz zao
Vp kaka
Saf
Ana jipyaa mwizi uyoooo TOA wimbo wa Jamaa wa Kenya kwanza usijione umeisha kuwa maarufu walikuwepo kama wewe na leo wako wapi
sijackia hapo 11:55!!
Nambr ya smu
nakukubal dogo maana huna chembe ya unafik ndan yako ni muwazi
Mgunya Junior
Na mbona umekonda saana bro
Nimwiliwake uowakazi
KUTAKA KUJUA NYOTA YAKO KILA SIKU TEMBELEA UKURASA WETU
th-cam.com/channels/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.htmlvideos?view_as=subscriber
zombi
KIJANA ABWEKA KAMA MMBWA BAADA YA KUNG"ANTWA NA MBWA MWEYE KICHAA
Zombie
Naona Ayo amekufa ruge now uedit jina la diamond akitajwa
Haaaahaaaaaa
mh
S2chizy
Pluto republiq
babu kizazissaana kamavip naezhakupata number yako aje ninamaongezi naee naitwa Dallas A.k.A tiger niko South africa cap town pls number yangu ni +27658288747 tuongee pls
Midundo yake znafanana tatizo
TETEMA Hujatengeneza wewe acha kujisifu Sana. wewe chako hapo ni beat tu. lizer ndo katengeneza nyimbo
We fala Kweli mbn hujaskia saut ya laiza
Wew kasema yeye katengeneza beat sio nyimbo
ulitengeneza ww
aliekuambia katengeneza nyimbo nan......we boyaa
amesema alituma beat lizer akarecod vocal akatumiwa af akaimix yeye na final kafanya S2KIZZY