Nilimpenda saana magufuli na paka Leo hii inanipaugum sana kuelewa ivi ilikuaje afaliki kizembe hivyo ila mugu yupo tunahangaika sana wa Tanzania kutaka kujuwa ilikuaje kututoka huyu mwamba!!!!
Mheshimiwa Rais Samia naomba ukumbuke Stendi Kuu ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara. Serikali imefanya jambo jema kutenga vyumba vya kunyonyesha watoto maana ndugu zetu Wasukuma wanazaliana sana nafikiria ndiyo Kabila kubwa. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
hukumjua vzr ungefatilia gazeti la mwananchi lililotoa matumizi yasiofata taratibu za manunuzi kuusiana kiwanja chandege chato kutoka bei ya kawaida B.17+ hadi B.52+ huo ndio ufisadi ulio pitiliza ungejua vzr usinge sema hivyo
@@gosbertbuberwa6198 sio mabishano na Niko Dar piaa but adi nimesema hivoo Kuna huduma Apoo nyingi zimetajwa Mbezi hazipoo that's y nikasema imezidi but kiuharisia ata muonekano Mbezi iko bomba Hudumaa nasemea
Mtamkumbuka sana JPM alikuwa anafanya kwa vitendo , huyo mwanamke wenu rais hamna chochote cha maana ameanzisha mradi mikubwa anatembelea kwenye kivuli cha JPM . Stendi kama hizo haziwezi kujengwa kwa maono ya Bibi tozo
Singida hatuna watetezi. Stand ya Basi ya Mjini Singida ilianza kujengwa wakati Rais wa awamu ya tano alipoanza uongozi. Hatujui ni kwa nini imejengwa kwa Hali Dini. Hii ni stand ambayo iko katikati ya Inchi na mabasi mengi yanapita pale kuliko stand yoyote. Miundo mbinu yake ni dhaifu Sana.
Kwanza eleweni siyo rais wa nchi anayesanifu ramani ni wataalamu wa Halmashauri husika. Na wanaopendekeza mradi gani ujengwe siyo rais wa nchi ni Baraza la madiwani wa Halmashauri husika. Baadhi ya Halmashauri waliomba fedha za miradi na walipelekewa badala ya kuanzia ujenzi wakaziweka benki wakaanza mabishano mwishowe zikarudishwa hazina.
KAZI ZA JPM HIZO..... JPM OYEEE. BADO TUNASUBIRI DARAJA, SGR, BWAWA LA NYERERE NA MENGINE. SASA MSITUPELEKESHE TUNAJUA HII NI PONGEZI KWA HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI. VIVA JPM
Wale wanaobandika makaratasi ya matangazo kwenye kuta ule ni uchafu na ujinga unakuta jengo zuri lakin mda tu wachafuzi wanachafua na mabango ya makaratasi
Hivi kuna matatizo gani Arusha???? Hamna hata stendi nzuri mkuu wa mkoa na wabunge wenu wana kazi gani , na mbeya stendi ovyo na ya Kilimanjaro iliishia wapi ile stendi iliyojengwa kwenye chemchem???
@@shabanisaleeh4541 huko Lindi ndio wamekusahau sana ila huko ndio sehemu ya kuishi , kiwanja karibia na beach si bei rahisi sana huko Lindi? Na si hamna meli express kutoka dar hadi Lindi ?
Ila Magufuli aliipambania sana Kanda yake Na aliichukia Kanda ya kusini mwa Tanzania Ukiangalia Kanda ya Kusini Kila kitu kipo kama kilivyo kabla ya Kuingia Magufuli madarakani Ila ndio maisha ipo siku tuu Kusini itakaa sawa tu Mungu yupo
Hospital kubwa ya kanda , upanuzi mkubwa wa bandari ya mtwara, unenzi wa barabara za rami na mengine mengi ambayo hatuyafahamu mim naona kafanya kwa kiasi chake maana ujio wa meri kubwa unakwenda kunadiri uchumi wa kanda ya kusini
MAJITU YANAYOOGIZWA FIKIRA ZA CHUKI MIOYONI MWAO. WATU WENU NDO HAO, MAGUFULI ALIWATEUA KWENYE VYEO VIKUBWA KABISA, LEO WANATEMBEA KUHUTUBIA BANDARI ZIGAWIWE KWA WAARABU WA DUBAI. LINDI IMEKUWA DUNI TOKA NCHI HII IMEANZA KUJITAWALA, TABIA ZENU ZA KUTOKUJITUMA, KAZI YENU KUFANYA UZINZI TU NA UCHAWI NDIZO ZINAWARUDISHA NYUMA WALA SIO MAGUFULI.
Aisee JPM alikuwa na uelekeo mzuri na hii nchi, R.i.p my hero
Nmefurahi sn jmn kwa kukamilika kwa stend yetu, Mungu ampumzishe kwa amani mwanzilishi JPM tulikupenda lkn Mungu alikupenda zaid.
Mungu ambarik saana MAMA SSH, Kwa kuendeleza na kuongeza miradi yote aliyoikuta, kwahika anaweza, ameweza na ikimpendeza Mungu mitano tena
He was too serious to fail,,Rip John P.Magufuli the African hero
Great man....
😢😢😢daah
Magu kweli alikua kiongozi, Mungu amlaze mahala pema peponi
Hawaoni jamani, yaan yaan yule baba
JPM ,ALIKUWA KIONGOZI MZURI SANA BASI TU , WENYE ROHO MBAYA HAWAKOSEKANI NA WASIO NA SHUKRAN NI WENGI PIA
R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli. Uongozi ni matendo sio mipasho.
Hongereni wana Mwanza,RIP baba yetu Magufuli
Jpm uliipenda Tanzania tutàkukumbuka daima
JPM was the best president ever
Mdumishe usafi, na Kulinda miundombinu, Siyo serikali ijenge Mshindwe kuitunza, Nasisitiza Tena Usafi 🙏.
Only Tanzania has the beautifully bus's stand/terminal in East Africa
I agree with you
REST IN PEACE MAGUFULI DU! UNGEKUWEPO TUNGEONA MENGI
Masha Allah hakika M.H.E Magufuli alikua na mwenye hekima .
Viva Rock City…. Home sweet home.
Hongera Millard Ayo kwa habari za uhakika! Napenda sana
RIP MAGUFULI
R. I. P jpm kwa maono ya inchi yake
R.I.P JPM
Magufuli was too serious about it!!!!
fungulieni na wimbo wa nyegezi sasa mbona stend mmefungua
😂😂
Magufuli angebaki hii inchi ingekuwa zaidi ya South Africa
Thubutuuu...unaijua South Africa wewe kweli..
Nakubali
Kabisa
Asante magu pumzika kwa amani..hongera samia kwa kufuata nyanyo za mpendwa wetuu
Umeanza vzuri, kumalizia ndo ukafeli
Stendi ni nzuri sana hongera kwa serikali, ila warekebishe hizo changamoto zilizobaki, Dust bin za uchafu ziwepo na sehemu za kujikinga na mvua pia.
Hongera kwa serikali yetu!
Binafsi mimi ninachokisubiri. Ni kufunguliwa kwa bwawa la umeme hivyo tu
Asanteeee JPM
Arusha viongozi mnakwama wapi
Saluti kwa anko magu Mungu ampunzishe
Hakika JPM alikuwa Mchapakazi mwenye matendo!RIP JPM!
R.I.P Magufuli
Nilimpenda saana magufuli na paka Leo hii inanipaugum sana kuelewa ivi ilikuaje afaliki kizembe hivyo ila mugu yupo tunahangaika sana wa Tanzania kutaka kujuwa ilikuaje kututoka huyu mwamba!!!!
Mambo ni Fireeeeeeeeeeeeeee,Hongereni sana viongozi wetu hususani serikali ya awamu ya 5 na 6.
Awamu ya 6 hamna kitu ni kazi za JPM
Yasita kam hataki si anafelisha mipango yote ya awamu ya tano,hongera kwa wote 5&6
@@kabwelasutiviraka4765kabs ni john alifanya kazi kweli.
MAGUFULI…MAGUFULI…MAGUFULI. HIZI Sio fikira na uthubutu wa wauza bandari
@@nassirpemba9763 p
Gud Sana imetsha kweli ikopw
Sio watanzania wote wanajua Nyegezi iko wapi Mzee ! Sema ni Mji au Mkoa gani ! Iko wapi hiyo Bukoba au Mpanda ?
#REST IN PEACE MAGUFULI. DAIMA TULIKUELEWA TUTAKUIMBA KILA IITWAYO LEO.
Mheshimiwa Rais Samia naomba ukumbuke Stendi Kuu ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara. Serikali imefanya jambo jema kutenga vyumba vya kunyonyesha watoto maana ndugu zetu Wasukuma wanazaliana sana nafikiria ndiyo Kabila kubwa. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
🤣🤣🤣🤣
Wasukuma taifa Teule 😀😀😁😁
Wasukuma Taifa kubwa
MAGUFULI…MAGUFULI…MAGUFULI. HIZI Sio fikira na uthubutu wa wauza bandari
big up kwa wasimamizi wa mradi
Jamani Magufuli anhekuweo nchi ingekuwa mbali sana
Sio inch sema Mwanza ingekuwa mbali😂
Sana shemeji yangu Yohana lameck nyembe nimekuona shemeji yangu
Arusha hatusikii aibu mpaka Leo hakuna kitu
Braza k in the building😂😂😂😂
Tunakushukuru mama kwa kusimamia serikali yako na kufanikisha dhamila ya nchi yako kwa kuikata kiu ya wananchi kwa maendeleo
I love mwanza kwa upande wa kandaa ya ziwa
Huyu jamaa anafanana na brother k. Hongera mwanza
M nkajua n yy
Safi sana mmejiraidi sana mwanza
Mashaallah
MAGUFULI…MAGUFULI…MAGUFULI. HIZI Sio fikira na uthubutu wa wauza bandari
Saf sana ❤🇹🇿
Safi sana
Hongera sana r.i.p magufuri
RIP JPM forever
hukumjua vzr ungefatilia gazeti la mwananchi lililotoa matumizi yasiofata taratibu za manunuzi kuusiana kiwanja chandege chato kutoka bei ya kawaida B.17+ hadi B.52+ huo ndio ufisadi ulio pitiliza ungejua vzr usinge sema hivyo
@@kudrawanguvu5923 Hivi we huoni kila mtu anamsifia Magufuli,
We ndo unapinga tuu
@@justinmbangukira7034achana nalo nilichadema.
Mmeisahau Sana mbeya
Yule wa Bungeni toka Mbeya….Anabariki madudu aliyokataa Ndugai….ENDELEENI na Umbeya wenu
Home sweet home
Serikar ya mama samia.....au nimesikia vibaya
Kali kuliko Mbezi
Unaumwa Wewe!
@@gosbertbuberwa6198 wewe itakuwa zaidi
@@vicentmlumba591 Kama Hujawahi Fika Magufuli Terminal Useme Uchangiwe!
@@gosbertbuberwa6198 sio mabishano na Niko Dar piaa but adi nimesema hivoo Kuna huduma Apoo nyingi zimetajwa Mbezi hazipoo that's y nikasema imezidi but kiuharisia ata muonekano Mbezi iko bomba Hudumaa nasemea
@@vicentmlumba591 Anhaaaa! Hapo Nimekupata Mkuu!
Hongera bibi tozo. Lkn hii kazi ni ya JPM. Bibi tozo we kapumzike tu. Unauza bandari yetu ahhhh sijui hata tunakoelekea. Ni ujinga tu.
MAGUFULI…MAGUFULI…MAGUFULI. HIZI Sio fikira na uthubutu wa wauza bandari
Mtamkumbuka sana JPM alikuwa anafanya kwa vitendo , huyo mwanamke wenu rais hamna chochote cha maana ameanzisha mradi mikubwa anatembelea kwenye kivuli cha JPM . Stendi kama hizo haziwezi kujengwa kwa maono ya Bibi tozo
Ata MAMAKO Hawez kujenga
Kweli anatembelea reli ya JPM. Na kiuhalisia KAZI hizi ni za JPM wala sio mwingine, sifa zimuendee JPM popote alipo
@@rajabukipara3008 hata wewe huwezi ila magu anaweza... Kubali hilo🤣🤣wivu wa nini? JPM ouee
@@rajabukipara3008 MRADI WAKE KUGAWA BANDARI, NA KUHUDHURIA SIMBA DAY, MAZOWZI YA YANGA. HOVYO KABISA
MRADI WAKE KUGAWA BANDARI, NA KUHUDHURIA SIMBA DAY, MAZOWZI YA YANGA. HOVYO KABISA
Magufuli alikuwa mwanaume zaidi ya mwanaume
Sasa tukitunze ili kidumu. Matumizi ya vyoo na ustaarabu uwepo. Pia watu wasitupe taka hovyo.
RIP JPM
Ni Vizuri Sana lakini Mambo ya Ukanda bado ni Changamoto
Brother k
Kali kulikooooooo
mimi ndomana sikati tiketi kwa agent wa stendi naenda ofisi za basi husika unaweza tapeliwa uka panda basi bovu lina vuja
Hiyo si stand ya sh b 15 acheni upuuzi weenu huko ninyi mnaijua b 15
Singida hatuna watetezi.
Stand ya Basi ya Mjini Singida ilianza kujengwa wakati Rais wa awamu ya tano alipoanza uongozi.
Hatujui ni kwa nini imejengwa kwa Hali Dini.
Hii ni stand ambayo iko katikati ya Inchi na mabasi mengi yanapita pale kuliko stand yoyote.
Miundo mbinu yake ni dhaifu Sana.
Stendi ya Mwigulu nchemba ,, mufanga!!
Kwanza eleweni siyo rais wa nchi anayesanifu ramani ni wataalamu wa Halmashauri husika. Na wanaopendekeza mradi gani ujengwe siyo rais wa nchi ni Baraza la madiwani wa Halmashauri husika. Baadhi ya Halmashauri waliomba fedha za miradi na walipelekewa badala ya kuanzia ujenzi wakaziweka benki wakaanza mabishano mwishowe zikarudishwa hazina.
SASA NYINYI MNAOBEZA nazunguka kudanganya KUANZIA NAKANAZI HADI KIGOMA LAMI LEO MNASEMA KIGOMA HAMNA KITU PIGENI SIASA ZA KUSEMA UKWELI
Magu oyee
Oyeeeeeeeeeeeeee atabaki kuwa wa mfano BADO hayupo! Hasa serikali hii
JPM...the best president in Africa
Tutakukumbuka baba yetu siku zote JPM
KAZI ZA JPM HIZO..... JPM OYEEE. BADO TUNASUBIRI DARAJA, SGR, BWAWA LA NYERERE NA MENGINE. SASA MSITUPELEKESHE TUNAJUA HII NI PONGEZI KWA HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI. VIVA JPM
Nyamongoro sitand
Wale wanaobandika makaratasi ya matangazo kwenye kuta ule ni uchafu na ujinga unakuta jengo zuri lakin mda tu wachafuzi wanachafua na mabango ya makaratasi
Leo ndo nimelifaham jina halisi la Brother k 😂😂😂
Kumbe sio muha. Ni Ngonyani
@@anthonygikuri ngonyani SI ni songea au
Magu oye
Sawa tunapambana lakini kasi imepungua
R.I.P Magufuli. Hakuna mwingine.
Rip magu
Alitamani Tz iwe km ulaya...R.I.P
Mungu ndiyo anajua RIP JPM 🙏 😢 💔
Wapiga debe vurugu walinizozania kidogo nichane shati, hilo liangaliwe nyegez
Hivi kuna matatizo gani Arusha???? Hamna hata stendi nzuri mkuu wa mkoa na wabunge wenu wana kazi gani , na mbeya stendi ovyo na ya Kilimanjaro iliishia wapi ile stendi iliyojengwa kwenye chemchem???
Iindi jee
Mjenzi si mlimuondoa ngoja muisome namba 😢😢
@@shabanisaleeh4541 huko Lindi ndio wamekusahau sana ila huko ndio sehemu ya kuishi , kiwanja karibia na beach si bei rahisi sana huko Lindi? Na si hamna meli express kutoka dar hadi Lindi ?
@@barakamarando-fd4qp huko arusha na kilimanjaro kila mtu mjuaji basi mwisho wa siku hakifanyiki kitu
Siku moja tuu utajuaje changamoto zote
Heko
JPM alifanya makubwa
Maguuu oyeee
Sikieni ndugu zangu mnaokomenti mm niko mwanza ni kwamba hii stendi imeanza kujengwa magu akiwa amefariki kwahiyo hata samia mpeni pongezi zake.
Muongo mkubwa ww ongea ukwl Kwan sisi tuko wap
MAGUFULI…MAGUFULI…MAGUFULI. HIZI Sio fikira na uthubutu wa wauza bandari
Yeye miradi yake ni Royal kuhamisha wamasai Loriondo na kuuza Bandari zetu, hovyo kabisa
Mshamba tu wewe
My Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nzur Rais wetu mama samia unaupiga mwingi
MRADI WAKE KUGAWA BANDARI, NA KUHUDHURIA SIMBA DAY, MAZOWZI YA YANGA. HOVYO KABISA
Hongera madam President
MRADI WAKE KUGAWA BANDARI, NA KUHUDHURIA SIMBA DAY, MAZOWZI YA YANGA.
Br K
Huyu jeshi kumbe ngonyani
😂😂 brother k
Sasa moshi na arusha vp hamuoni
Ila Magufuli aliipambania sana Kanda yake
Na aliichukia Kanda ya kusini mwa Tanzania Ukiangalia Kanda ya Kusini Kila kitu kipo kama kilivyo kabla ya Kuingia Magufuli madarakani
Ila ndio maisha ipo siku tuu Kusini itakaa sawa tu Mungu yupo
Lipeni kodi
Bandari mtwara, hospital kawajengea kafanya mazuri mengi acha kauli za hovyo wewe mjaa lawama
Hospital kubwa ya kanda , upanuzi mkubwa wa bandari ya mtwara, unenzi wa barabara za rami na mengine mengi ambayo hatuyafahamu mim naona kafanya kwa kiasi chake maana ujio wa meri kubwa unakwenda kunadiri uchumi wa kanda ya kusini
MAJITU YANAYOOGIZWA FIKIRA ZA CHUKI MIOYONI MWAO. WATU WENU NDO HAO, MAGUFULI ALIWATEUA KWENYE VYEO VIKUBWA KABISA, LEO WANATEMBEA KUHUTUBIA BANDARI ZIGAWIWE KWA WAARABU WA DUBAI. LINDI IMEKUWA DUNI TOKA NCHI HII IMEANZA KUJITAWALA, TABIA ZENU ZA KUTOKUJITUMA, KAZI YENU KUFANYA UZINZI TU NA UCHAWI NDIZO ZINAWARUDISHA NYUMA WALA SIO MAGUFULI.
BWEGE WEWE. MAGUFULI ALIMTEUA WAZIRI MKUU TOKA MIKOA YA KUSINI. HIVYO NDO UNAMAANISHA ALIICHUKIA KANDA YA KUSINI?? Mpuuzi mkubwa wewe
Tuoneeni huruma mbeya. Kila kitu tuko nyuma
Bungeni huko mnauza bandari enyi wa Mbeya, ENDELEENI na umbeya wenu
@@mimiraia2531 🤣🤣🤣
Eeehh Nyege... nyegezi.... standi mpya Nyegezi...
Brother k
Bado solo kuu la mwanza mjini kati aliendelei kabisa