Ili Uwe Star Chadema Lazima Upite Kwenye Tanuri La Moto | Nilichaguliwa Makamu Nipo Kitandani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 13

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Mbowe ana hekima sana atamwachia huyu mwenyekiti tumemfahamu sasa ni mtu wa siasa na anauchungu na nchi yake mwenyekiti achana na wapambe mwachie Lisu na mfanye pamoja mtaona kitakachotokea ktk hii nchi

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    we want lisu.

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 33 นาทีที่ผ่านมา

    Lisu alindwe

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa kitu nampendeya hana uongo uongo kama baadhi ya wanasiyasa

  • @TabitaChawe
    @TabitaChawe 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kila jambo na wakati wake, umefika muda wa Tundu Lisu kushika hatamu ya chadema na taifa, Huyo ni Mungu kabisa kwa asilimia 100

  • @KongoNgurwa
    @KongoNgurwa 22 นาทีที่ผ่านมา

    Hamna anachokiongea huyu kazi take uchochez TU bomu likilipuku huyoooo ughaibuni

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbowe tuachie Lissu. Heshima yako ni kubwa sana na itaishi milele.

  • @titongassa1620
    @titongassa1620 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tunamtaka Lissu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wezi ndio wanataka wizi wao usijulikane

  • @LevinaAloyce-g7h
    @LevinaAloyce-g7h 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwan lisu mwananch kikombe chake Cha yangs

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watanzania tujifunze kwa waliowahi kufanya haya yanayoendelea ktk vyama vyao na walishia kutokuteuliwa ktk vyama vyao na wakahama na vyama vikaendelea na taratibu zao. Utulivu ktk vyama muhimu.

  • @mohamedyally6156
    @mohamedyally6156 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbowe mpishe mzee

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu LISU ana HOJA!!Mbowe ni dicteta wa chama!! hawezi ukadai tume huru wakati kwenye chama tu hakuna uhuru!!wachukue form then wanachama wachague wanaemuona anafaa