Elimu ni nzuri sn,inabidi vijana waache kukaa mtaani,kulaumu hawana ajira hii ni ajira tosha amkeni vijana
Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona,
1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia
2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.
Hongereni sana kwa elimu hii muhimu
KAZI nzuri sana
what are those plants they are feeding on?
Nimekuelewa sana mkuu
Ahsante sana
Ni meelimika sana nitaanza kufuga najipanga asanteni
Napenda hio design ya banda
Please do u have any English translation for this video
Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani
safi sana
Asante kwa somo la Banda. Kuku anatakiwa be kula kiasi gani(kg) kwa siku? Hasa wa kienyeji
Banda hili ni zuri.
Jmani mm naitwa frank,niko Dodoma, nina kuku wangu wa mayai,lkn tatizo wanashida ya kupinda kwa shingo,nimetumia vitamin haijasaidia,chakula nachukuliaga SILVER LAND, naombeni msaada,unamkuta kuku mwingne kapooza miguu,wengine ndo hizo shingo,nitashukuru sana endapo tatizo langu litapatiwa ufumbuzi
ongera sana
Mimi nimefurahia sana.nitafanya mini nanataka kufuka kuku mia moja za kienyeji
Asante Sana kaka
Ahsante kwa somo zuri la utengenezaji wa banda la kuku; ukubwa kulingana na idadi na aina ya kuku.
Namba naomba
Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado
Naomba kuwa mfugaji mzuri WA kuku nianze aje nko kenya
In a limited space will it be possible to build two storeys for more chicken?
Mm nipo njombe hali yahewa nibaridi sana banda liweje
Nimefurahishwa sana na maelezo yako nimejifunza mengi sana hongera sana Kaka ila tunaomba namba yako tutakuitaji ili utujengee
nawezaje kupata mtaalam wa kudizain banda nikiwa hapa musoma Mara? maana maelezo mazuri lakini vitendo ni ngumu
Naomba na yakoo kaka samahani nataka kujenga banda kama lako
Samahani sijaelewa vizuri ulposema tuangalie upande Jua linakotoka na kuelekea na pia upepo. Ni kwanamna gani sasa tujenge. Tuvikwepe au tuelekeze vilipo. Naomba ufafanuzi.
Nimepanda huo ujnzi wa banda
Je hao kuku wa nyama, mayai kutaga wanapatikanaje je wao hawazaliani au wanazalianaje maan wao tumesema niwamayai na nyama
Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema
Daah
Ahsante sana, naomba namba ya simu yako
Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.
Pole kaka mungu atakujalia utafaulu pia mm nataka nianze kufuga pole Sana usife moyo
@@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.
ahsante kwa somo hilo.swali langu ni kwamba. je inawezekana kufuga kuku wa aina zote katika banda moja.?
Sio sahihi kwa sababu utopoteza kiza kwa kuchanganya vina Saba vya kuku tofautitofauti
Naitwa Aloyce Richard kutoka iringa naomba kujua tathimin ya gharama ya Banda la kuku 100
Asante sana he? Mtaji was kujenga banda ni sh ngapi?kwa kubwa UPI?asante H
Asante sana
Maana ya chotara .ni mchanganyiko wa aina 2 za KUKU...kroila ni chotara Ila jina limetokana na yule aliye gundua hiyo mbegu
Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467
Habari nahitaji fundi was banda.tafadhari tuwasiliane
Bro asante kwa elim japo Niko nyuma naomba kuulizia nitampataje Hugo shazi mtaalamu wa mabanda ya kuku Niko mwanza mkuu
Naomba mlioneshe banda lote vitu vi n avyokuwepo ktk banda yaan mfumo mzima uliooko bandani
Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?
Unaweza kuchanganya kuku wa aina tofauti katika banda moja?
samahani mbona hizo wire mesh za chini ukiwawekea luku wanavimba kwenye nyayo tatizo ni nini tafadhali
Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka
Wish it was in english
Nahitaji huduma ya kujengewa banda bora la kuku, tafadhali naomba msaada wako@ changamkia fursa
Mimi Naitwa Paschal kutoka Dodoma Naomba kuuliza je ni mtaji kisasi gani (kwa kiwango cha chini) ninaoweza kuanzia ufugaji???
Habari mnapatikana wapi na mnatengenez mabanda mtu akihitaji mm nipo dar
Nahitaji kuwasiliana na Charles Kwa ajili ya kunijengea Banda plse
Nashukuru kwa elimu je nawezaje kukupata mwalimu?niko Morogoro
Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja
Naitwa shoddy mm ninatoka nianjakujenga Banda la kuku nifanyeje
Tunaomba kuona sehemu ya kutagia kuku kweny banda la aina hyo
Mahitaji msaada wakujenga banda
Pia nitahitaji kujuwa zaidi kutokana na ufugaji kwa ujumla , kama vile uchanganyaji chakula kwa kupunguza gharama na madawa
Gharama za kujenga banda hili ni kiasi gani?
Je naweza kufuga ktk chumba cha binadamu?
Na vipi sehemu ya kulala inakua hapo hapo au sehemu nyingine?
ndaniyabanda chinikunawavu utafagiaje
naomba namba za mtaalamu wa mabanda ya kuku
Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua
Jins ya kutunza vifaranga na sheria za kufwata
Nahitaji kujenga Banda la kuku wa Nyama Chotara 500 wa Nyama na 300 wa mayai. Naomba ushauri wa mahitaji
Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??
Asante njtawalpata wapi
Me niko mwanza nampataje fund wa banda?
Nice video. Nilitaka kufahamu unahitaji kufuga angalau kuku wangapi Ili ufugaji wako uwe na tija.
Bei ya vifaranga vya kuku chotara?
Naitaj nipate elimu ya ufugaji naomba mnipe namba za cm kwa anae jua
Eeeee mm Niko kenya
Je Hali ya great ya Arusha tunaita ni joto au baridi
Kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji, kuku hawafunguliwi kutoka bandani?
Mtampateje hiyo mjenga banda nipo mkowa wa geita masumbwe
Ahsante sana kwa video , Tafadhali naomba namba ya mtu ambae anaweza kunijengea mabanda Zanzibar
Naomba kuhulizia kuhusu ayo majani wanakula kuku ni majani gani?
Hivi humo kuku anaweza kulala mpaka au c ndy utakuta kibaka kafanya yake
Nataka kujenga banda kuku 600 nahitaji kujua mita ngani na nitafugakwa intensive systems niko mbeya
Mnatoa huduma ya ujenz wa mabanda
Niko Arusha je ni mgawanyo kiasi Gani ninaotakiwa kuweka Kwa kuku wa mayai?
Sisi tulio zaziba.tukihitaji fundi wa kujenga banda tutampataje?
Naomba namba zen niwe napat ushaurii
Niko Morogoro nitakupataje uje kunijengea Banda Bora la kuku?
naeza kufuga kuku wa nyama kwenye banda la mabanzi?
Nipo Arusha ninahitaji kupata Fundi wa kijenga Banda la kuku
Ninaishi tegeta naomba unisaidie kumpatafundi wa banda let kuku
Nahitaji kujengewa banda la kuku 200 wa nyama niko Dar naomba contact za fundi
Naomben namba za fund wa banda kama hilo plz
Kuku uwa wana penda mahili pa joto ama pabaridi?
Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100
Kama nahitaji kujewa Banda Niko Moshi itawezekana?
unapatikana wapi
Niko kilombero najiandaa kujenga mabanda ya kufuga kuku wa kienyeji kisasa nahitaji ushauri eneo langu ni kama sqm 15 kwa kumi
Huyo wakutengeneza banda bora anapatikanaje.