ความคิดเห็น •

  • @mariandamu7379
    @mariandamu7379 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyo wakutengeneza banda bora anapatikanaje.

  • @wariaelipallangyo953
    @wariaelipallangyo953 3 ปีที่แล้ว +2

    Elimu ni nzuri sn,inabidi vijana waache kukaa mtaani,kulaumu hawana ajira hii ni ajira tosha amkeni vijana

  • @jacobndamayape9462
    @jacobndamayape9462 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona,
    1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia
    2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.

  • @ahamadimbendela9520
    @ahamadimbendela9520 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana kwa elimu hii muhimu

  • @geralddamas4099
    @geralddamas4099 2 ปีที่แล้ว

    KAZI nzuri sana

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru sana bro kwa somo zuri

  • @sammusau9206
    @sammusau9206 4 ปีที่แล้ว +5

    what are those plants they are feeding on?

  • @samwelmlyuka2290
    @samwelmlyuka2290 3 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana mkuu

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @ngianazephania6585
    @ngianazephania6585 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni meelimika sana nitaanza kufuga najipanga asanteni

  • @nathanbugusu2817
    @nathanbugusu2817 4 ปีที่แล้ว +5

    Napenda hio design ya banda

  • @nambuyalydia8369
    @nambuyalydia8369 4 ปีที่แล้ว +3

    Please do u have any English translation for this video

  • @yoelicleophace1591
    @yoelicleophace1591 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani

  • @petermushi8266
    @petermushi8266 2 ปีที่แล้ว

    safi sana

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana naipenda

  • @witnessmrema5593
    @witnessmrema5593 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa somo la Banda. Kuku anatakiwa be kula kiasi gani(kg) kwa siku? Hasa wa kienyeji

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 4 ปีที่แล้ว +1

    Banda hili ni zuri.

  • @williamoneya2054
    @williamoneya2054 4 ปีที่แล้ว +3

    Good work and illustrative

  • @frankkatambi8370
    @frankkatambi8370 4 ปีที่แล้ว +4

    Jmani mm naitwa frank,niko Dodoma, nina kuku wangu wa mayai,lkn tatizo wanashida ya kupinda kwa shingo,nimetumia vitamin haijasaidia,chakula nachukuliaga SILVER LAND, naombeni msaada,unamkuta kuku mwingne kapooza miguu,wengine ndo hizo shingo,nitashukuru sana endapo tatizo langu litapatiwa ufumbuzi

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว +2

      Asante kwa swali zuri, nitaandaa video kujibu swali hili

    • @dulaabdallah6127
      @dulaabdallah6127 ปีที่แล้ว +1

      Wapatie DCP. Wana uchache wa Calcium

  • @awalimunishi
    @awalimunishi 3 ปีที่แล้ว

    ongera sana

  • @richardmusyoka8686
    @richardmusyoka8686 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nimefurahia sana.nitafanya mini nanataka kufuka kuku mia moja za kienyeji

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว

      Video hii itakusaidia
      th-cam.com/video/UTImzNqRzb8/w-d-xo.html

  • @bwanashamba7497
    @bwanashamba7497 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana kaka

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว +1

      Tuko pamoja

    • @petrondege8420
      @petrondege8420 4 ปีที่แล้ว

      Ahsante kwa somo zuri la utengenezaji wa banda la kuku; ukubwa kulingana na idadi na aina ya kuku.

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 2 ปีที่แล้ว

    Namba naomba

  • @abduljumanne2731
    @abduljumanne2731 2 ปีที่แล้ว

    Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado

  • @hassankatram5697
    @hassankatram5697 4 ปีที่แล้ว

    Naomba kuwa mfugaji mzuri WA kuku nianze aje nko kenya

  • @margueritnyingani8844
    @margueritnyingani8844 3 ปีที่แล้ว +2

    In a limited space will it be possible to build two storeys for more chicken?

  • @lazarokilamlya3158
    @lazarokilamlya3158 4 ปีที่แล้ว

    Mm nipo njombe hali yahewa nibaridi sana banda liweje

  • @semenimagai1626
    @semenimagai1626 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako nimejifunza mengi sana hongera sana Kaka ila tunaomba namba yako tutakuitaji ili utujengee

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 4 ปีที่แล้ว +1

    nawezaje kupata mtaalam wa kudizain banda nikiwa hapa musoma Mara? maana maelezo mazuri lakini vitendo ni ngumu

  • @agnessjonas3546
    @agnessjonas3546 2 ปีที่แล้ว

    Naomba na yakoo kaka samahani nataka kujenga banda kama lako

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 4 ปีที่แล้ว +1

    Samahani sijaelewa vizuri ulposema tuangalie upande Jua linakotoka na kuelekea na pia upepo. Ni kwanamna gani sasa tujenge. Tuvikwepe au tuelekeze vilipo. Naomba ufafanuzi.

  • @mainessngogo3650
    @mainessngogo3650 2 ปีที่แล้ว

    Nimepanda huo ujnzi wa banda

  • @FLIDIUSFIDELIS
    @FLIDIUSFIDELIS หลายเดือนก่อน

    Je hao kuku wa nyama, mayai kutaga wanapatikanaje je wao hawazaliani au wanazalianaje maan wao tumesema niwamayai na nyama

  • @Lamo254
    @Lamo254 4 ปีที่แล้ว +1

    Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema

  • @amanissahusseinissa7257
    @amanissahusseinissa7257 2 ปีที่แล้ว

    Daah

  • @aliadinafabian4543
    @aliadinafabian4543 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana, naomba namba ya simu yako

  • @davinesfarm2178
    @davinesfarm2178 4 ปีที่แล้ว +3

    Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว

      Asante kwa swali zuri.
      Nitafute what's app 0752209073 tuongee zaidi

    • @saidhamisi2795
      @saidhamisi2795 4 ปีที่แล้ว

      Pole kaka mungu atakujalia utafaulu pia mm nataka nianze kufuga pole Sana usife moyo

    • @imanifungo5939
      @imanifungo5939 4 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa nahitaji kujenga banda bora gharama bei gani?

    • @manzimatewele1876
      @manzimatewele1876 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.

  • @ramadhanramadhan5051
    @ramadhanramadhan5051 4 ปีที่แล้ว +2

    ahsante kwa somo hilo.swali langu ni kwamba. je inawezekana kufuga kuku wa aina zote katika banda moja.?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว +1

      Sio sahihi kwa sababu utopoteza kiza kwa kuchanganya vina Saba vya kuku tofautitofauti

  • @aloycerichard5684
    @aloycerichard5684 11 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Aloyce Richard kutoka iringa naomba kujua tathimin ya gharama ya Banda la kuku 100

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua5241 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana he? Mtaji was kujenga banda ni sh ngapi?kwa kubwa UPI?asante H

  • @abelsimalenga2158
    @abelsimalenga2158 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nimefuraia hiyo video

  • @asukilemwambene2777
    @asukilemwambene2777 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว

      Pamoja sana

    • @imanidaniel3537
      @imanidaniel3537 4 ปีที่แล้ว +1

      Maana ya chotara .ni mchanganyiko wa aina 2 za KUKU...kroila ni chotara Ila jina limetokana na yule aliye gundua hiyo mbegu

    • @stafordchamugeni3788
      @stafordchamugeni3788 4 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467

  • @EdithaPancras
    @EdithaPancras หลายเดือนก่อน

    Habari nahitaji fundi was banda.tafadhari tuwasiliane

  • @allysaimon5596
    @allysaimon5596 3 ปีที่แล้ว +1

    Bro asante kwa elim japo Niko nyuma naomba kuulizia nitampataje Hugo shazi mtaalamu wa mabanda ya kuku Niko mwanza mkuu

  • @gerthalupenza2652
    @gerthalupenza2652 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba mlioneshe banda lote vitu vi n avyokuwepo ktk banda yaan mfumo mzima uliooko bandani

  • @simonbernard2775
    @simonbernard2775 3 ปีที่แล้ว +2

    Masomo mazuri nimeelewa vzur sana ukubwa wa banda na idadi ya kuku

  • @abshamsadick2209
    @abshamsadick2209 3 ปีที่แล้ว +1

    Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 3 ปีที่แล้ว

      Hawawezi kwa sababu unajenga banda halafu ndani ndio unaweka uchanja

  • @cyprianmalius364
    @cyprianmalius364 3 ปีที่แล้ว +1

    Unaweza kuchanganya kuku wa aina tofauti katika banda moja?

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 16 วันที่ผ่านมา

    samahani mbona hizo wire mesh za chini ukiwawekea luku wanavimba kwenye nyayo tatizo ni nini tafadhali

  • @irenemachongo676
    @irenemachongo676 3 ปีที่แล้ว

    Asante kaka mm nashida na shazi Fundi mabanda nitampataje nipo mwanza

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 ปีที่แล้ว

    Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka

  • @oasiskharim2420
    @oasiskharim2420 3 ปีที่แล้ว

    Wish it was in english

  • @justinemweupe6653
    @justinemweupe6653 3 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji huduma ya kujengewa banda bora la kuku, tafadhali naomba msaada wako@ changamkia fursa

  • @PaschalAchoko-ox5hj
    @PaschalAchoko-ox5hj 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi Naitwa Paschal kutoka Dodoma Naomba kuuliza je ni mtaji kisasi gani (kwa kiwango cha chini) ninaoweza kuanzia ufugaji???

  • @ramzanshamsu2948
    @ramzanshamsu2948 3 ปีที่แล้ว

    Habari mnapatikana wapi na mnatengenez mabanda mtu akihitaji mm nipo dar

  • @vmokullo9435
    @vmokullo9435 4 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kuwasiliana na Charles Kwa ajili ya kunijengea Banda plse

  • @hellenelifasi8786
    @hellenelifasi8786 3 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwa elimu je nawezaje kukupata mwalimu?niko Morogoro

  • @deborahbikengera4061
    @deborahbikengera4061 ปีที่แล้ว

    Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja

  • @alfridahmatole1426
    @alfridahmatole1426 3 ปีที่แล้ว

    Naitwa shoddy mm ninatoka nianjakujenga Banda la kuku nifanyeje

  • @hyasintaolomi7957
    @hyasintaolomi7957 ปีที่แล้ว

    Tunaomba kuona sehemu ya kutagia kuku kweny banda la aina hyo

  • @godsonsamwel1431
    @godsonsamwel1431 4 หลายเดือนก่อน

    Mahitaji msaada wakujenga banda

  • @abelsimalenga2158
    @abelsimalenga2158 4 ปีที่แล้ว +1

    Pia nitahitaji kujuwa zaidi kutokana na ufugaji kwa ujumla , kama vile uchanganyaji chakula kwa kupunguza gharama na madawa

  • @miriamdilli6456
    @miriamdilli6456 2 ปีที่แล้ว

    Gharama za kujenga banda hili ni kiasi gani?

  • @sajdashariff
    @sajdashariff 8 หลายเดือนก่อน

    Je naweza kufuga ktk chumba cha binadamu?

  • @JacksonFabiano-cs5km
    @JacksonFabiano-cs5km 3 หลายเดือนก่อน

    Na vipi sehemu ya kulala inakua hapo hapo au sehemu nyingine?

  • @abdallahjongotayari8049
    @abdallahjongotayari8049 ปีที่แล้ว

    ndaniyabanda chinikunawavu utafagiaje

  • @daatinzugika4897
    @daatinzugika4897 2 ปีที่แล้ว

    naomba namba za mtaalamu wa mabanda ya kuku

  • @gracemjungu9244
    @gracemjungu9244 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว +1

      Unaweza ila zingatia ukubwa wa chumba na idadi ya kuku

    • @gracemjungu9244
      @gracemjungu9244 4 ปีที่แล้ว +1

      @@changamkiafursa Asante ndugu yangu

  • @WORLDWIDEVIBES
    @WORLDWIDEVIBES 2 ปีที่แล้ว

    Jins ya kutunza vifaranga na sheria za kufwata

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 3 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji kujenga Banda la kuku wa Nyama Chotara 500 wa Nyama na 300 wa mayai. Naomba ushauri wa mahitaji

  • @enocksaruni9723
    @enocksaruni9723 ปีที่แล้ว

    Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??

  • @happylubamba
    @happylubamba ปีที่แล้ว

    Asante njtawalpata wapi

  • @user-dm9mt5kj5c
    @user-dm9mt5kj5c 9 หลายเดือนก่อน

    Me niko mwanza nampataje fund wa banda?

  • @henrynjovu9147
    @henrynjovu9147 3 ปีที่แล้ว

    Nice video. Nilitaka kufahamu unahitaji kufuga angalau kuku wangapi Ili ufugaji wako uwe na tija.

  • @SeverineLyassi
    @SeverineLyassi 7 หลายเดือนก่อน

    Bei ya vifaranga vya kuku chotara?

  • @josephmadusi5425
    @josephmadusi5425 3 ปีที่แล้ว

    Naitaj nipate elimu ya ufugaji naomba mnipe namba za cm kwa anae jua

  • @janewambokamau5660
    @janewambokamau5660 ปีที่แล้ว

    Eeeee mm Niko kenya

  • @Mswanotv
    @Mswanotv 3 ปีที่แล้ว

    Je Hali ya great ya Arusha tunaita ni joto au baridi

  • @deniskimario9288
    @deniskimario9288 ปีที่แล้ว

    Kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji, kuku hawafunguliwi kutoka bandani?

  • @rebekaricherd1919
    @rebekaricherd1919 2 ปีที่แล้ว

    Mtampateje hiyo mjenga banda nipo mkowa wa geita masumbwe

  • @umiy1971
    @umiy1971 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kwa video , Tafadhali naomba namba ya mtu ambae anaweza kunijengea mabanda Zanzibar

    • @annakaleshu5393
      @annakaleshu5393 ปีที่แล้ว

      Kuku wangu wanahara nyeupe je niwape dawa gani Niko Arusha ,naitwa Anna

    • @annakaleshu5393
      @annakaleshu5393 ปีที่แล้ว

      Kuku wangu ni wa chotara wako 80

  • @errickerrick8547
    @errickerrick8547 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuhulizia kuhusu ayo majani wanakula kuku ni majani gani?

  • @marydaniel9145
    @marydaniel9145 4 ปีที่แล้ว +1

    Hivi humo kuku anaweza kulala mpaka au c ndy utakuta kibaka kafanya yake

  • @MatlidaMushi-yy8gk
    @MatlidaMushi-yy8gk ปีที่แล้ว

    Nataka kujenga banda kuku 600 nahitaji kujua mita ngani na nitafugakwa intensive systems niko mbeya

  • @sabinamaheke2095
    @sabinamaheke2095 ปีที่แล้ว

    Mnatoa huduma ya ujenz wa mabanda

  • @yakobokakuni-jm2un
    @yakobokakuni-jm2un ปีที่แล้ว

    Niko Arusha je ni mgawanyo kiasi Gani ninaotakiwa kuweka Kwa kuku wa mayai?

  • @asiaissamtanzania8700
    @asiaissamtanzania8700 4 ปีที่แล้ว +2

    Sisi tulio zaziba.tukihitaji fundi wa kujenga banda tutampataje?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa 4 ปีที่แล้ว

      Wasiliana Naye, anakuja mpaka Zanzibar
      0768347759

  • @edwinmkesa1334
    @edwinmkesa1334 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba zen niwe napat ushaurii

  • @mbutolwemwakambonja9132
    @mbutolwemwakambonja9132 ปีที่แล้ว

    Niko Morogoro nitakupataje uje kunijengea Banda Bora la kuku?

  • @neemadaniel9710
    @neemadaniel9710 ปีที่แล้ว

    naeza kufuga kuku wa nyama kwenye banda la mabanzi?

  • @lucyjilanga4436
    @lucyjilanga4436 2 ปีที่แล้ว

    Nipo Arusha ninahitaji kupata Fundi wa kijenga Banda la kuku

  • @dlumala
    @dlumala ปีที่แล้ว

    Ninaishi tegeta naomba unisaidie kumpatafundi wa banda let kuku

  • @rayakhatib7165
    @rayakhatib7165 3 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kujengewa banda la kuku 200 wa nyama niko Dar naomba contact za fundi

  • @simonvicent6153
    @simonvicent6153 3 ปีที่แล้ว

    Naomben namba za fund wa banda kama hilo plz

  • @savege-zh8yk
    @savege-zh8yk 4 ปีที่แล้ว

    Kuku uwa wana penda mahili pa joto ama pabaridi?

  • @mrsamweldaudi445
    @mrsamweldaudi445 2 ปีที่แล้ว

    Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100

  • @jacksonmoye4849
    @jacksonmoye4849 4 ปีที่แล้ว

    Kama nahitaji kujewa Banda Niko Moshi itawezekana?

  • @mnembachambuya4956
    @mnembachambuya4956 3 ปีที่แล้ว

    habari

  • @michaelkisanjo6553
    @michaelkisanjo6553 ปีที่แล้ว

    unapatikana wapi

  • @evelynurari9163
    @evelynurari9163 4 ปีที่แล้ว

    Niko kilombero najiandaa kujenga mabanda ya kufuga kuku wa kienyeji kisasa nahitaji ushauri eneo langu ni kama sqm 15 kwa kumi