KABWE AWAPIGIA SALUTI SIMBA| HAWA NI BABA WA AFRIKA TANZANIA TUWAHESHIMU SIMBA WAMETUHESHIMISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 17 วันที่ผ่านมา +2

    Siku hizi mashabiki wanaongea vizuli kushinda wachambuzi😅😅😅😅😅😅shabiki anaongea vitu madin ukajua kbisa yes jamaa anafuatilia mpira safi Sana♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥😁😁😁😁😁😁😁

  • @nathanaelchezalikatundu8869
    @nathanaelchezalikatundu8869 4 วันที่ผ่านมา

    Yanga huwa wanasubiria scouting ya Simba halafu wanacross line. Aziz ki, Nzengeli, Mdathiri, wote hao walikuwa wanahitajika na Simba.

  • @kennethmwashiuya4258
    @kennethmwashiuya4258 9 วันที่ผ่านมา

    Hii wallet nai hitaji naipataje!?

  • @AllyHussein-qc3vm
    @AllyHussein-qc3vm 15 วันที่ผ่านมา

    Hawana akili nzuri hao washabiki wanga ni wale vichaa walikuaga kirembe wakapona

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 17 วันที่ผ่านมา

    Gsm ameidumaza Yanga mtu mmoja anadhamini team 8 hawapati ushindani kamili

  • @allyckoto6473
    @allyckoto6473 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa kama kacipul

  • @AlexShirima-k4m
    @AlexShirima-k4m 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kibu Ana magoli ma4 caf

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 17 วันที่ผ่านมา

    Wanaikamia SIMBA na kuiacha Yanga USHINDI WAO ishinde kuwa kuzipa hela

  • @mwasunga
    @mwasunga 16 วันที่ผ่านมา

    Waambie mwamba maana walikua wabishi tumesemwa mbaka sivizul

  • @EstaTito-b6h
    @EstaTito-b6h 16 วันที่ผ่านมา

    KIBU...ANA GOLI 4..TRIPOL..KAFUNGA 1..SFXSIEN..KAFUNGA 2...COSTATINE..KAFUNGA 1..JUMLA GOLI..4

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 17 วันที่ผ่านมา

    Ligi kuu ya Tz inaiuwa GSM kusajiri team zaidi ya mbili ili Yanga ilindwe kuchukua ubingwa ikikutana na team hixo wachezaji wa yanga wala hawatowi jasho 😂😂😂

  • @AbdallahJumah-f1e
    @AbdallahJumah-f1e 17 วันที่ผ่านมา

    Yanga udhamini unamuharibia mpira yanga wanataka ubingwa tu

  • @HamisiMtengwa
    @HamisiMtengwa 16 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wa yanga wanape da kucheza na akili za mashabiki wao na mashabiki oyaoya wao hawajui kitu wapowapo tu wangekua na uelewa wasinge yakubali wanayoyasema viongozi wao

  • @official-liam-vocal-tz
    @official-liam-vocal-tz 17 วันที่ผ่านมา

    😂simba

  • @eliudmfumbilwa3675
    @eliudmfumbilwa3675 17 วันที่ผ่านมา +1

    Nanyee waong mbona mliwacf wamefelishwa na nyie