Wakuu wabongo tunahitaji push factors za kutufanya tujitume kufanya vtu kwa ubora koo kama wageni hawa wakikaa kwa timu ya Taifa as ni raia wa Tanzania ita impact wachezaji wazawa waone kuna kazi ya kufanya wao binafsi ili wawe bora zaidi
Wapewe uraia acheni kutoa hoja zisizo za msingi maana hao wachezaji pia wataongeza chachu kwenye timu yetu ya taifa ni azina na tunapaswa viongozi kuwa inawafata na kuwashawishi hususa wachezaji wenye umri mdogo itakuwa inatupa nguvu kwenye taifa maana kwanza cyo tegemezi wana kazi zao na maisha yao ndg zangu tuige kupitia nchi za wenzetu hua wanafata vipaji na kuvishawishi kwa faida ya taifa
Mambo ya uraia ni mambo binafsi,acheni ubaguzi wakati watanzania wengi hatuna ubaguzi.kwani mtu akichukua uraia wa tz akaamua kuukana tena ndani ya miezi 3 wewe inakuuma nini? Sisi watanzania hatuko hivyo,ndio maana hata wimbo wetu wa taifa unaanza na baraka za AFRIKA.Kumbuka hata mwalimu aliwasaidia baadhi ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika passport za kusafiria za TZ.Acheni uoga palipo na changamoto ndio penye fursa. Leo ELON MUSK ni mmarekani lakini alikuwa msauzi.Fanyeni kazi acheni uoga,baadhi ya watz ni wazembe na hawajitumi kwenye kazi ndio wanahofia mgeni kupewa uraia.
Wakuu wabongo tunahitaji push factors za kutufanya tujitume kufanya vtu kwa ubora koo kama wageni hawa wakikaa kwa timu ya Taifa as ni raia wa Tanzania ita impact wachezaji wazawa waone kuna kazi ya kufanya wao binafsi ili wawe bora zaidi
Fact broo
Uwo ndo ubaya ubwela wenyewe sasa
Wapewe uraia acheni kutoa hoja zisizo za msingi maana hao wachezaji pia wataongeza chachu kwenye timu yetu ya taifa ni azina na tunapaswa viongozi kuwa inawafata na kuwashawishi hususa wachezaji wenye umri mdogo itakuwa inatupa nguvu kwenye taifa maana kwanza cyo tegemezi wana kazi zao na maisha yao ndg zangu tuige kupitia nchi za wenzetu hua wanafata vipaji na kuvishawishi kwa faida ya taifa
Sio sawa kuwapa urai
@@SaneMwezi kwann sio sawa Toa sababu sio unajibu km upo shule ya msingi
Tanzania tuache ubaguzi Angalieni taifa kubwa Kama France wachezaji wao wengi niweuxi nawengi ni chimbuko la Africa Akili itumike apo
Hamad diallo bado haelewekieleweki yule kwenye masuala ya national timu vipi km na yeye tukimtumia ofa ya maana ili tuinase NIDA yake
Wapewe tu hata kama wakiwa 100 kwani nani anawalisha
😂😂😂et pablo,,upo sawa
Mambo ya uraia ni mambo binafsi,acheni ubaguzi wakati watanzania wengi hatuna ubaguzi.kwani mtu akichukua uraia wa tz akaamua kuukana tena ndani ya miezi 3 wewe inakuuma nini? Sisi watanzania hatuko hivyo,ndio maana hata wimbo wetu wa taifa unaanza na baraka za AFRIKA.Kumbuka hata mwalimu aliwasaidia baadhi ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika passport za kusafiria za TZ.Acheni uoga palipo na changamoto ndio penye fursa. Leo ELON MUSK ni mmarekani lakini alikuwa msauzi.Fanyeni kazi acheni uoga,baadhi ya watz ni wazembe na hawajitumi kwenye kazi ndio wanahofia mgeni kupewa uraia.
Halafu sasa wanaomba uraia sio wanaomba kucheza tim ya taifa