#ZaNdaaani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Richardo Momo shikamoo, una info sio poa
Fabrizio Romano wa Bongoo here we go 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenetu analipwa mshahara mdogo kazi anayoifanya ni kubwa
Maboss wetu wa hizi tim mbili wanaangalia sana raia wakigeni,angalia hata makocha wazawa yaani tabu tupu,halafu uzeeni utasikia alichezea yanga huyo,aibu tupu
Kila la kheri fei toto….. BADO YANGA NI KUBWA WATAKUJA WENGINE
Fei wamuache tu hana lolote atarudi tu atakua amechina! yanga n taasisi brother
Faisal analipwa Milion 6 ungekuwa wwe Ungekubali Wenzio pesa wanachukua CRDB wewe Unaenda Kuchukulia kwa Wakala Muchacho 😂😂😂😂
Round hii watajuta tunamsogeza Chamanzi Mil16 chap🤪🤣🤣
Mshahara wake Yanga ni mil 4 tu...
Mil 4
momo unatisha sana unapochoka kushikilia bomba, have a sit broo🤣🤣🤣🤣
Za NdaaaaaaaaaaaaaN za NdaaaaaaaaaaaaaN za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa
Mzee wa kudele hapo kwenye ulimi laini😳🤣🤣🤣nimecheka Sana kwamba mwamba ukimsikikizatu umekwishaaa🤣🤣🤣
mzee wa kudere taratibu watanza kuelewa kazi yako bro big up sana. unatupa za ndani halaf sasa za ukwel mtupu. wapo watu sasa wanaona ukwel walikua wanakuponda wameutia koko sasa hahahaha. za ndaaaaaaaaaaani kabisa.
Mchezaji analipwa 6M izo ni zalau aende akachukue 16M na majengo wa wazazi kiukweli aende kwenye maslai maana kazi ya mpira ni ya msimu
Kabisaaaa ukishakosa ujana ukubwani huwezi kupata maslahi kwanza
kabisa kaka
Ila wasafi waongo 🤣🤣🤣 eti hapo ndo mnateta
Wasafi waongo sana kweli
Fei sali anaondoka
Fei toto ......mzee wa kudere
Eti magoli yake na Messi semsem.. yan yana fanana
wewe una kili wewe una lipwa beigani
Fei angalia mtonyo bro
Fiesal Toto ndio basi tena.
Kwani unapata wapi hizi 😂😂
Mbona hatari!
Fei toto
Aongezwe mshahara tuuuuu full stop
Easy case mukitaka abakie alipwe mshahara kama azik ki au mayele.... actually wazawa wananyinwa kwenye benefits....so limewaka....bakhera ameamua
😂😂😂
Ana mkataba mrefu saana harafu alisaini mwenyewe alikubali hio hela so amalize mkataba aende
Porojo hizo hapa bongo hakuna timu ya kushindana na Yanga ya sasa kwenye usajili
yanga si kamavi t flani hivi wanaume wamekuja sasa hahahaha
Fei aunzwi wewe acha utahira wako
Clement mzize
Kwenye maongezi ameitaja Zanzibar Clement Mziza sio Mzanzibar mdau FEI Toto
Uyoo Mauyaa
Feisal
Fey akitoka yanga kspoteya
Hili jamaa liongo😂😂😢inawezekana anabwia unga ,mnaajili machizi
Hayo ni ukweli mtupu mimi Yanga Dam ila uongozi wetu unazingua sana wangemuongeza mshahara hata Milioni.15 au 10 sio mbaya lkn juhudi zake zinajionyesha wazi kbs
utamjua saaa chizi ni nani. watu wana kazi zao sio ww umejikalia tu hujui kinachoendelea.
@@hassanrashid9436 unauhakika naunachokiongea (unachocoments)aunimmjawapo wa machizi duniani😴😴
@@yusuphjilala846 kwani kaka pengine kusoma hujui bas harufi pia husikiii???
Muongoooooo
Faisal Hatoki Yanga
Labda sio Mwigulu A ha mi
Mwigulu au tozo?
Jilambeni mkichoka kanyeni mkalale
uyo ni ibra baca
😅😅hyooo fei kak
Baca amefunga lini?Huyu Feisal na ni kutokana na dharau za viongozi.
Hatar
Kudere maviiiiiiiii
Hakuna kitu hicho fei bado yupo saaaaaaaaaaaana yangaaaaaaaaaaaa daima mbele makolo nyuma