ZA NDAAANI! MWAMBA KALETA 'NOMA' ANATAKA KUONDOKA / UONGOZI WAMJIA JUU WAOGOPA KUMUACHIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Chama
Jaman napenda sana kuwasikiliza wasaf tv wakat wa michecho lakn huwa sijui mnachambua mda gani make zamani tulizoea kuwaona saa nne
Et thank you
DJUMA SHABANI YANICK BANGALA Dah yanga wakifanya haya kuwaacha hawa watu watafanya kosa
Huwezi fanya kazi na watu ambao hawapo tayari kufanya kazi na ww
Hakika faza uwezi kufanya kazi na watu hawana utayari
@@jaffjeff6912 mdau sio kweli tambua Yanga imetoka Fainal Shilikisho tambua hata wachezaji wanapanda dhamani pia kwaiyo unafanyaje ili kuwa nao misimu mwingine ijayo? kuwaboreshea mikataba yao ili wakufanyie kazi nzuri msimu ujao kwenye CAF CHAMPIONS League unaposema siongezi mshahara tambua kuna timu zimewaona hao wachezaji waliocheza Fainal wanaitaji huduma zao kama utashindwa kumuongezea wanahaki kufuata dau nono mpila ndo kazi yao
Ni kweli. Bangala na wenzake walidhani Yanga ni timu ndogo. Hii ndio Yanga, pale kuna Mtine akili mingi. Hatujaribiwi
Hawa jamaa na hata viwango vyao vimeshuka. Bangala alijipeleka Azam. Hata baada ya fainali ya Tanga vs Azam baada ya mechi alijipeleka kwa Poppat
Mkude na Nikson Kibabage wapo yanga😅..Djuma shaban na Bangala walitak kumjaribu Boss G.S.M!!!😅
Hujiskii aibu????
@@chamyluna8030 Aibu itoke wap..na nina mataji matatu ,,medal ya Africa kiatu cha mfungaj bora wa Africa na nyumbn..jmnn..nina Mvp nina kip bora,Aibu ona ww..kolo
@@farlykunga8599 Hicho kiatu cha Mfungaji bora Africa kimetoka wapi tena? Hakunaga hiyo tuzo ndugu 😂😂😂😂
Sasa inawezekanaje et wachezaji wa yanga watake kwenda timu nyingine hapa bongo?? Sio kweli
@@TM.Sullusi sawa kwa ajili ako,,tutoe bac khatu cha mfungaji bora wa Cuf Confederations,,aya nabaki na makombe yangu,,ww una nini umebaki nacho??
Bangala na Djuma Shaban na waliosajiliwa ni Mudathir Yahya na Sureboy
Mudathir na sure boy ni wakigeni kumbe😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👊👍✌️.
😂😂😂😂😂😂 bango la kijaaaaaa
Kod nyepesi bangala na juma shabani
Ndio raha ya kuwa na viongozi vijana...mutaza manhunga anaweza kuwa na akili hii???
Bangala na lomalisa !😄😄😄
Uwe unaelewa amesema namba 2 na 6
Kipre jr na akaminko ao
Uyo bangala😂😂😂alitaka kuyakanyagaa😂😂
Lisa
Mbangala na juma shabani walitaka kulikanyaga
Bangala na Djuma/Lomalisa
Hakuna mchezaj bongo asietaman kucheza Simba bhn😆😆
Sio Simba bhana ni Azam 😂😂😂
Simba mnapesa ya kuwalipa kama mmeshindwa kumlipa Okwa mtaweza hao😂😂😂😂Azam hiyo
Sio Simba azam baba,timu iliyotimiza wachezaji 12 Ni Azam,Simba bado mnasajili au ujamuelewa
Kwani simba nafasi 12 zimejaa?
@@hamisishirikisho2199mpaka sasa ziko wazi
Bangala na Juma shabn
Bango la kijani na njano. Huyo ni yanic na juma. Waende tu vyuma vipya vije
dijuma uyo
Bangala huyo😅
Wamuulize tshishimbi
Litombo 😂😂
Kumbe mumefuatilia sana nimuongo kinoma mimi hata simfuatilii tena
We nenda tu kaka sisi bado tupo.. maana hapa kama daladala unashuka wanapanda wengine..ulikuja mwenyewee😆😆😆
Humfuatilii na ume kuja kumuangalia TH-cam na uka comment 😂😂😂
Kama umfatilii mbona wazidi kukoment...mnafikitu
Ah uyoo onyango uyooo🤣🤣🤣
Bangala
Bangala na Lomalisa
Ishmanula ndo kajivunja
Juma shabani huyo
Bangala nadhani yatawakuta ya tshishimbi
Huo ni uongo. Mbona hujawataja majina yao.
Ni kesi kubwa sana kutaja majina mzee
Bangala alikuwa anaitaka Simba MDA mrefu SN na pia limalisa nae anataka kuondoka
Sio Simba Ni Azam ndugu
Kwa hiyo Hana tiimu sahiz bangala
@@faustinombilinyi9809hiyo n azam
Hapana,bangala bado ana mkataba wa mwaka mmoja na yanga hivyo alitaka kuvunja
@@Erickmjuni-ev6dc aaah mkuu saaaa nimeelewa
Huyu jamaa huwa mwongo Sana... Nimefatilia muda mrefu Sana anachokitabiri au kukisema si cha kweli.. Mnafiki tyuuu na umbea. Halafu watu wazima na akili zenu mmekaa kumsikiliza..
Kaza mwanaume haujalizimishw kuview
Hujalazmishw kumfatilia
Itakuwa ww ndio muongo ila vitu vingi anavovizungumza vinakuwa vinatokea kwel yaan nilikubal hilo kweny issues ya feisal yy ndio chanzo cha kuiyanzisha na kusema imemalizika nilikubal km huwa ukituliz akili yako utamfahm momo na anayoyazungumza ni yakwel
hujalazimishwa wewe tulia kama 1
Unakumbuka sakata la Fei na Yanga?..Basi huyo jamaa ndoalikiwa mtu wa kwanza kuvujisha kwamba kuna timu inamnyemelea fei kama yanga hawatakuwa makini dogo anasepa
Manula aishi
Cham
YANGA N KUBWA KULIKO MCHEZAJI YOYOTE TUNAWAHESHIMU NA KUWAPENDA SANA LKN AKILETA POYOYO TWAWALIPUA MPKA WAO.BEWE MSAMAHAA NA MABALOZI WAO
Bangala
Kod nyepesi bangala na juma shabani