Hongera sana Kamanda kupata kazi katika umri mdogo ni neema kubwa sana mshukuru Mungu wako toa sadaka fanya ibada, ili Mungu akupe ulinzi katika kazi yako !! Mara nyingi watu wanaopata kazi katika umri mdogo wanakuwa na maadui wengi wapinga maendeleo !!
Tatizo la tz kazi zote hizo zinapatikana ki familia kama huna ndugu jeshini utaombakazi utachoka na si jeshini tu mahala popote utachaguliwa kutokana na ndugu uliyenaye ndani ya taasisi sio uwezo wako. Sisi wengine tumesomesha tumechoka no job. Baraka ya ma degree ndani na application tumefanya kibao tunarukwa tu. Ndio nchi yetu hiyo
So Proud Sister, Endelea kukaza and be Example kwa madada wote na usiache kuwa na kipindi online kuwaimiza madada Tanzania watumie vichwa vyao vizuri Tuwe na Taifa lenye Wanawake Wengi Wenye Revolution ya Maendeleo katika Taifa kama Ngao Ya Taifa ilivyo na Meaning ya Bibi na Bwana...Karibu Tena Cape Town
Nani ambae alisema eti hakuna wanajeshi wazuri weee wazuri wako jeshini na akazi kama kawaida znaendlea safi sana mungu aendlee kutupa nguvu cku zote za maisha yetu inshallah
Naona wengi mmejawa na wivu kumbe mnaipenda hii kazi mbona hua mnainyanyapaa ,eti Mara bila kua na ndugu hupati ajira wewe ulisikia wapiiiiiii kama ipo ipo tu acheni kukufuru 🤣🙌🙏👏
Hongera ila umefanana na muheshimiwa Rashidi kamwil ka shangaz Devota hadi kuongea .Allah akutangulie akuweken mama enu Amrehem mzee Rashid Ajali akbaru
hongera sana rubani.milard ayo ,afande ruban akbar hajaacha namba maana nahisi tutafaana nahitaji kuish chini ya utawala wa kijeshi wa rubani huyu mrembo.
Nawakumbusha tuu wabongo, ukitaka kufanikiwa jifunze kukikubali anachokifanya mwenzio, hizi roho mbaya za baadhi ya watu wanao comment mtazamo wao hasi juu ya huyu binti, hizo ni roho mbaya za kichawi !! Usiumizwe na hatua anayoipiga mtu, bali hatua yake ukufikirishe na wewe kuondoka hapo ulipo ili na wewe ujipongeze siku moja !!
kwa msiojua hiyo helkopta ni rahisi sana kurusha hata mtu yeyote anaweza kurusha bongo tuko na ushamba mwingi sana norway kuna zile ndege ndogo za taxi wana wanapeana deiwaka kama boda boda wala ganja kibao wanasukuma hizo 👏👏👏
@@gooddeeds162 ndio maana inakuwa kazi sana sisi kuendelea !! Hizi mbegu za chuki ndogo ndogo zipo hata maofisini, huu ndio uthibitisho kwamba watu wanalogana sababu tuu fulani asisonge mbele !! Na uchawi sio lazima uwe ule wa kuloga, hata mtu anayechukizwa na maendeleo ya mwingine na kushindwa kumpongeza huo nao ni uchawi 😁😁😁
The confidence is the only thing which I had notice from a girl But also we should understand that these opportunities are few for those who have in their hands It doesn't matter whom you know but who knows you
Unajua nimecheka mpka basi ifike kuna mda watanzania wenzangu tuache roho z husda wivu n majungu n sikusema kapata connection any time kapata connection ifikie hatua tujitambue tambua ktk hizo connection kuna kazi nyingine kuna sifa watazitaka,kuna interview ili watambue uelewa wako so watakupeleka vip sometime huna hizo sifa kwa sababu hata jeshi wanataka mtu at least uwe umemaliza form four uwe n cheti cha form four n kuna vigezo vya umri or jesh l wasomi uwe n elimu y juu n kun vigezo vy umri but ukute ww huna hizo sifa watakupeleka wapi utsema n connection ok waweza pata connection y kazi n kwenye kazi kuna interview hujafanya vizuri kwenye interview unazani watakupa kzi tusipende kumlaumu tu dogo oooh kapata connection but hata km alipta connection lakin s alikua anasoma n alifanya mitihani n akafuzu vizuri ndo mn wakampa arushe ndege hta km nyie mnasema n ki helikopta siyo mbaya ndo kafuzu luteni anakula mshahara kuliko wengine mnasubiri kuuza miili yenu mtandaoni kwa mabwana w wenyew acheni wivu tu kwanza bint mdogo akili nyingi anakula mshahara kwa jasho lake la kurusha ki ndege chake bila buguza yyte kila connection yyte lazima upitie usaili ufanye interview vigezo utimize ndo wakupe ajira vigezo huna watakupa nin hata kazi y usafi now uwe umesomea huna sifa interview hujafanya vizur unawekwa wapi tusipende kukariri maisha siyo kila kazi ni connection juhudi zako n jitihada zako ingekua hivyo ni connection bs kila mwenye ndugu mwenye vyeo sekta mbalimbali angejaza ukoo mzima si connection kwanini anakupeleka shule kwanza ukasome hawaweki vilaza mnyonge mnyongeni haki yake mpeni dogo n kichwa coz jeshin yenyew ukitaka cheo chochote lazima upitie kozi n kufanya paper n ukifaulu wanakuongezea cheo ingekua hivyo basi me kaka angu wangempa wangembeba yye ni kuruti kuingia koplo alifeli mitihani akashindwa ingia koplo basi wangempa coz baba ake ana cheo ni meja kwanin walimnyima hakuna kitu cha nmn hyo unawez pata connection kma akili yko kilaza unaishia njiani tumpeni sifa zake dogo kafuzu vizuri kiukweli me nikutakie kheri kwanza congratulations dogo Allah akupe kila hitaji la moyo wako akuepushe n wenye husda za roho
Hizi ni nafasi huwa zinatoka Kwa wanaoenda JKT Kwa mujibu wa Sheria baada ya Kuhitimu kidato Cha sita wanaingizwa katika jeshi kuandaliwa kuwa Maafisa wa jeshi
Tatizo Tanzania nafasi nzuri mfano kazi au scholarship ni kujuana, aidha ni mtoto wa mkubwa au ndugu yako ni mkubwa, au sehemu hiyo kuna watu wa kabila lako , na hiyo ipo pia kwa scholarships za maana wakubwa wanawapa kwanza watoto zao na ndugu zao, ndio maana watoto wengi wa wakubwa wako nje wakila maisha tu
@@bukuruphilibert8658 acha uongo wewe unafikiri sijui mambo ya corruption ya Tanzania sehemu zote ajira Tz ni kuonga, ukabila au mtu awe ndugu yako , nafasi zote wanapeana tu hata huyo female pilot ukiiuliza ni mtoto wa mkubwa
Wakati sisi Tunapambana tupate ata izo post za uprivate tu no shida mpaka uwe na mtu wakupiga tafu Unahaso kumtafuta mtu wakukusaidia unaadhirika Mpaka unasema umemkosea nini mungu hizi ajira wanspeana kwa kujuana
@@kassimrajabu7805hata kama utapata connection ya kwenda huko,inabidi kichwani ziwepo hakuna blah! blah! asilimi kubwa kila kitu ni practical,inahitajika elimu, maarifa vyeti vyako viwe safi!! unakaaa unailslamikia serikal
mashaallah ulipambanaa ndio maana mungu naye akakufanikisha..songa mbele mdogo wangu mungu atakulinda
Hongera sana Kamanda kupata kazi katika umri mdogo ni neema kubwa sana mshukuru Mungu wako toa sadaka fanya ibada, ili Mungu akupe ulinzi katika kazi yako !! Mara nyingi watu wanaopata kazi katika umri mdogo wanakuwa na maadui wengi wapinga maendeleo !!
Fact
@@abdulaabdula2631 Zaid ya fact 💯%🤝
Tatizo la tz kazi zote hizo zinapatikana ki familia kama huna ndugu jeshini utaombakazi utachoka na si jeshini tu mahala popote utachaguliwa kutokana na ndugu uliyenaye ndani ya taasisi sio uwezo wako. Sisi wengine tumesomesha tumechoka no job. Baraka ya ma degree ndani na application tumefanya kibao tunarukwa tu. Ndio nchi yetu hiyo
umesema kwl
@@martinmaryogo3676 ndio ivo ndugu yangu
Nakuombea kwa Mungu upate mdani ya huu mwaka kwa jina la Yesu ... kama unaamini sema amina
@@rithadonatus8110 amina
Umesema ukweli ndani ya ukweli kabisa bado mfumo uleule mtoto wa mjomba na shangazi unaendelea
Nakufahamu vizur Sanaa kipindi tupo South Africa
Hongera Sanaaa umetusua 🙏
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU i9
South ya mtwara?
So Proud Sister, Endelea kukaza and be Example kwa madada wote na usiache kuwa na kipindi online kuwaimiza madada Tanzania watumie vichwa vyao vizuri Tuwe na Taifa lenye Wanawake Wengi Wenye Revolution ya Maendeleo katika Taifa kama Ngao Ya Taifa ilivyo na Meaning ya Bibi na Bwana...Karibu Tena Cape Town
All jet fighters must have these ages.
Hakuna kuwaza mtoto nyumban
Masha'Allah, mabrouq ukhty HR Akbar.
Mrembooo Mno MUNGU Azidi Kumuongoza Kwa kila Hatua 😍😘
Well done my dear sister Allah azid kukuongoza katk maisha yko
Wacha mi niendelee kichoma chipsi mana kwa sasaiv maisha connection mtuwang
Hongera sanaaaaaaa mrembo wetu Mungu akupandishe viwango vya juuu zaidi wanawake tunaweza
Nani ambae alisema eti hakuna wanajeshi wazuri weee wazuri wako jeshini na akazi kama kawaida znaendlea safi sana mungu aendlee kutupa nguvu cku zote za maisha yetu inshallah
Dah hongera zake nyingi nyingi sasa yaani maneno yameniishia
hongeraaa sana dada Mungu akutie nguvu na akuzidishie baraka
Ni neema luteni mtoto mdogo hivyo hongeraaa sana
Sio Luten ni Luten Usu
Well done your confidence make you unique. You are not just a pilot but a combat pilot.👌
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html ty
Exactly dr
Mashallah mdogo wangu, hongera sana kwako ❤️😘
Hellow
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html tuu 9
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html tuu 9
Mrembo sana Mungu azidii kuku pandisha viwango vya juu
Hongela sana mungu awe na ww
Hongera mtoto mzuri you're strong lady!
Keep up girl....am so happy for you dear
Hongera usna mungu akuongoze
Honger dear,Mungu akubariki,akuzidishe kwenye kazi yako
n trauma yako,,,,,
Naona wengi mmejawa na wivu kumbe mnaipenda hii kazi mbona hua mnainyanyapaa ,eti Mara bila kua na ndugu hupati ajira wewe ulisikia wapiiiiiii kama ipo ipo tu acheni kukufuru 🤣🙌🙏👏
Hongera sana mama mungu akupe nguvu binti mzuri
Mungu aebdelee kukutunza mwanangu utimize ndiyo yako
Wow! Hata uongeaji wake anaonekana yupo makini sana Masha Allah
Hongera ila umefanana na muheshimiwa Rashidi kamwil ka shangaz Devota hadi kuongea .Allah akutangulie akuweken mama enu Amrehem mzee Rashid Ajali akbaru
MashaAllah MashaAllah vita ni vita😇😇😇😙
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU 8
Ngoja nikusaidie kumalzia MURA
@@eunicejohn5520 . h
L
Hongera asnat
Akitoka hapo anaenda kuendesha mandege makubwa kwenye makampuni makubwa ya commercial airline duniani. The future is very bright for you girl.
Nice too good work 🥰 mungu akuzidishie cute girl be strong ever dear
Hongera mdogo wetu
Mungu akujalie afya nguvu furaha aman na upendo wake katika maisha yako
Hongera sana yuko na confidence yake nimeipenda.
hongera sana rubani.milard ayo ,afande ruban akbar hajaacha namba maana nahisi tutafaana nahitaji kuish chini ya utawala wa kijeshi wa rubani huyu mrembo.
Nawakumbusha tuu wabongo, ukitaka kufanikiwa jifunze kukikubali anachokifanya mwenzio, hizi roho mbaya za baadhi ya watu wanao comment mtazamo wao hasi juu ya huyu binti, hizo ni roho mbaya za kichawi !! Usiumizwe na hatua anayoipiga mtu, bali hatua yake ukufikirishe na wewe kuondoka hapo ulipo ili na wewe ujipongeze siku moja !!
Contributions gal...👏👏👏👏 what an inspiration to the upcoming ones.
Contribution tena??? Mchango wa nini?
Hongera sana sana ubarikiwe wote
She is so cute 🥰
Na anashep
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU 9
Hongereni sana na mungu awe nanyi kila hatua
MashaAllah
Hongereni sana.
kwa msiojua hiyo helkopta ni rahisi sana kurusha hata mtu yeyote anaweza kurusha bongo tuko na ushamba mwingi sana norway kuna zile ndege ndogo za taxi wana wanapeana deiwaka kama boda boda wala ganja kibao wanasukuma hizo 👏👏👏
Dah !! Wabongo 😂😂 kubali hata kidogo alichonacho mwenzako !! Ni mwanzo mzuri kwake
😆😆😆😆
@@gooddeeds162 ndio maana inakuwa kazi sana sisi kuendelea !! Hizi mbegu za chuki ndogo ndogo zipo hata maofisini, huu ndio uthibitisho kwamba watu wanalogana sababu tuu fulani asisonge mbele !! Na uchawi sio lazima uwe ule wa kuloga, hata mtu anayechukizwa na maendeleo ya mwingine na kushindwa kumpongeza huo nao ni uchawi 😁😁😁
😂😂😂we sema ukwel!?
Daaah!nimecheeka
I'm proud of you my friend ❤️❤️
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU
Weee
Hongera sana Allah akutangulie mdada
The confidence is the only thing which I had notice from a girl
But also we should understand that these opportunities are few for those who have in their hands
It doesn't matter whom you know but who knows you
Iam so proud of you girl
Gingers mwanangu mungu aebdelee kukutunza ifikie ndiyo zako
Duh na me naweza taka kupaa na uyo wa blue na uyu jmn 😍😍
Keep going gal,,,I love it
Big up sana kamanda
Congratulations 👏
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU 7
Congratulations classmate😍
Hongera sana
Namm ngoja nikaze kuosha vya warabu niwasomeshe wanangu wakike wasonge mbere👩🦯👩🦯ndio maana tunaambiwa tusidharau wtt...mtt ni mtt tu🙌🙌au wakike au wakiume
Hongera mwaya
Mashaaaallah😍
hongera Mungu akutangurie
Hongera msichana wangu
Waooo Kaza Buti Ndugu
Hongera sana mama!; MUNGU akutangulie;'
To more many titles Hasnat #RESPECT
Mungu akubari na uendelee na huo moyo bila kukata tamaa
Congratulations❤❤❤
From USA hapa nakusaluti dadangu mdogo
Hongela sana mtoto mzuri
Nakujjua vizuri well done sir
Kasoma wapi seco huyu au ni yule amesoma Feza?
Hongera sana dear
Bravo salute
Big up! My sister
Congrats 👏
Mashalah kbs pongezi
Mnaoeana tu kindugu ndugu izo nafas
What an inspiration to the
Hongra comrade
Maashaallah maashaalaa
💪💪proud of u
Unaonekana mtu mzuri unae penda maendeleo ya wengine nimependa hiyo sio wengine wivu tu
Ana mzigo huyo nimempenda ila kazi za mchongo izo
Mashaallah
Hapo kuna ujomba na u baba mdogo ndo unafanya kazi kama hauna ndugu mwenye cheo sehem yyte mbona utachoka😃😃
Safi sana super woman
Wala hana mbwembwe nyingi binti wa IFM mwaka wa kwanza u know zingeshafika 600
Unajua nimecheka mpka basi ifike kuna mda watanzania wenzangu tuache roho z husda wivu n majungu n sikusema kapata connection any time kapata connection ifikie hatua tujitambue tambua ktk hizo connection kuna kazi nyingine kuna sifa watazitaka,kuna interview ili watambue uelewa wako so watakupeleka vip sometime huna hizo sifa kwa sababu hata jeshi wanataka mtu at least uwe umemaliza form four uwe n cheti cha form four n kuna vigezo vya umri or jesh l wasomi uwe n elimu y juu n kun vigezo vy umri but ukute ww huna hizo sifa watakupeleka wapi utsema n connection ok waweza pata connection y kazi n kwenye kazi kuna interview hujafanya vizuri kwenye interview unazani watakupa kzi tusipende kumlaumu tu dogo oooh kapata connection but hata km alipta connection lakin s alikua anasoma n alifanya mitihani n akafuzu vizuri ndo mn wakampa arushe ndege hta km nyie mnasema n ki helikopta siyo mbaya ndo kafuzu luteni anakula mshahara kuliko wengine mnasubiri kuuza miili yenu mtandaoni kwa mabwana w wenyew acheni wivu tu kwanza bint mdogo akili nyingi anakula mshahara kwa jasho lake la kurusha ki ndege chake bila buguza yyte kila connection yyte lazima upitie usaili ufanye interview vigezo utimize ndo wakupe ajira vigezo huna watakupa nin hata kazi y usafi now uwe umesomea huna sifa interview hujafanya vizur unawekwa wapi tusipende kukariri maisha siyo kila kazi ni connection juhudi zako n jitihada zako ingekua hivyo ni connection bs kila mwenye ndugu mwenye vyeo sekta mbalimbali angejaza ukoo mzima si connection kwanini anakupeleka shule kwanza ukasome hawaweki vilaza mnyonge mnyongeni haki yake mpeni dogo n kichwa coz jeshin yenyew ukitaka cheo chochote lazima upitie kozi n kufanya paper n ukifaulu wanakuongezea cheo ingekua hivyo basi me kaka angu wangempa wangembeba yye ni kuruti kuingia koplo alifeli mitihani akashindwa ingia koplo basi wangempa coz baba ake ana cheo ni meja kwanin walimnyima hakuna kitu cha nmn hyo unawez pata connection kma akili yko kilaza unaishia njiani tumpeni sifa zake dogo kafuzu vizuri kiukweli me nikutakie kheri kwanza congratulations dogo Allah akupe kila hitaji la moyo wako akuepushe n wenye husda za roho
Getrudi sana waambie hao mabinti kusoma ndiyo mpango mzima
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html EU i9
Hizi ni nafasi huwa zinatoka Kwa wanaoenda JKT Kwa mujibu wa Sheria baada ya Kuhitimu kidato Cha sita wanaingizwa katika jeshi kuandaliwa kuwa Maafisa wa jeshi
@@dr.mgungo1429 teenaa ingezea wenye ufauru mzur maana mdogoangu yuko palee TMS
@@ramsikhamis7083 yah iko hivyo
Tatizo Tanzania nafasi nzuri mfano kazi au scholarship ni kujuana, aidha ni mtoto wa mkubwa au ndugu yako ni mkubwa, au sehemu hiyo kuna watu wa kabila lako , na hiyo ipo pia kwa scholarships za maana wakubwa wanawapa kwanza watoto zao na ndugu zao, ndio maana watoto wengi wa wakubwa wako nje wakila maisha tu
Jeshin hawafanyi hvyo kama una sifa uanenda popote Sasa wew una d mbili zero brain unategemea ukarushe ndege
@@bukuruphilibert8658 acha uongo wewe unafikiri sijui mambo ya corruption ya Tanzania sehemu zote ajira Tz ni kuonga, ukabila au mtu awe ndugu yako , nafasi zote wanapeana tu hata huyo female pilot ukiiuliza ni mtoto wa mkubwa
Hongera bibie
Good job
Hongeraaa luten
Wakati sisi Tunapambana tupate ata izo post za uprivate tu no shida mpaka uwe na mtu wakupiga tafu Unahaso kumtafuta mtu wakukusaidia unaadhirika Mpaka unasema umemkosea nini mungu hizi ajira wanspeana kwa kujuana
👏👏👏
Okey good
Eka akili kwa kazi mtoto mzuri
Nikajua mafunzo ni hapa hapa kumbe nje eeehhh kazi kweli kweli
Safiii🥂
Air force soldier unaitaji kuzoea chakula kweli 😂C'mon
Good
Umenitia nguvu mdogo wangu..nimepata nafasi naomba kuitumia..
achana na kurusha ndege ila ni pc kal na ana wow kabisa😂😂😂
Na Anakamwanyaaaa
@@gloryidelya9899 uhakika yaaan ukimkuta ndan ya skin ndo utaelewa 😂😂😂
Mpelekeni Ukraina jamani
Ila kaz za serikal ni za kujuana mwanzo mwisho huyu lazma mtoto wa mkubwa
ujinga umekujaa,kaka mi nipilot jeshin,na sio mtt wa mkubwa
@@hatbtalveson6581 sio ujinga embu mshukuru mungu kwanza
@@hatbtalveson6581 🤣🤣
@@hatbtalveson6581 ww ni Pilot wa mchongo.
@@kassimrajabu7805hata kama utapata connection ya kwenda huko,inabidi kichwani ziwepo hakuna blah! blah! asilimi kubwa kila kitu ni practical,inahitajika elimu, maarifa vyeti vyako viwe safi!! unakaaa unailslamikia serikal
Congrats to her👏👏👏
Safiiiii Afande
Maa shaa Allah
hii sasa haileweki nihabari ya vita ya huko au ni kutujulisha watu walio vudhu elimu zao miladi ayo mnakwama wap