Sbhuana Allah inaumanga mungu ampe guvu dda wwatu na wanandowa wote liwe funzo shehk wetu shukran kwa ucya wtu Allah akupe mema nduniani na khahery wwe na familia yko na jamii islam amiin
Sheikh mungu akuhifadhi...ukweli umeusema lakini watu hawasikii...katika moja ya definition ya madness ni kufanya the same mistake expecting different result...
Hakuna ushauri bora kuliko huo na akijikaza akaufanyia kazi ataona faida yake mbeleni...hakuna hakuna hakuna njia ya kusuluhisha hapo zaid ya ushauri huo coz vovote itakavo kua wakikutana lazima wataendelea
@@vitadzuya9990 lakini makosa yako na wanawake kuwaleta ndugu zao karibu na mabwana zao ususan ndugu wa kike ndio uwa karbu zaidi na mashemegi zao na sababu kubwa na mke alie olewa
subhanaallah haya yanatokea sana.kuna kisa kimetokea juzi mtu na rafiki yake wakushibana kasafiri kurudi kamkuta na mke wake kawaangalia kisha karudi nyuma baada ya hapo hakufanya chochote akazidisha mapenzi kwa rafiki yake na kwa mke wake.kilichotokea yule mfumaniwa wa kike ndo anahangaika kumuitia watu kila akiulizwa anasema mm sijawafumania mpaka kashita kwa wazazi pia akawakatalia.kaenda mpaka police anasema hana raha kabusa anajiuliza hajui anapanga nini moyoni mwake kuna wanaume wanavifua mashaallah
nilikosea mwanaume mfumaniwa ndo anahangaika hivyo anahadisia siku ya pili yake akawatoa mwaka mpya anasema hata hiyo hamu ya kula sina kapatwa na wasiwasi mkubwa
Asante sheikh izudin .tupe mafunzo .ndoa zina mitihan kwa wanaume na wanawake.mungu atunusuru inshallah .N balaa
Subhanallah!!! Shukran ustadh kwa funzo kama hili,tuacheni uswahili wa kukusanya ndugu wa kike na marafiiki kuwaeka majumbani kwa mashemeji.
dada ata kama hutaleta dada ama rafiki katika nyumba waanaume wengine hua wanabidii ya kuwajua ili anze kuwatongoza.
Hatari
Angemuoa na yule ingekuwaje
@@slowclimbertothetop4572 dini hairuhusu kwa pamoja
@@fadyanassor6934 kuna msemo huuskia kilasiku wanaume Wakisemakua shemegi nimtamu..
Mafunzo mazuri na faida sana haya ...
Allah akujaze kher sheikh izzudin
Amin
ALLAH ampe subra ya hali yajuu,aondoke kwa amani,najua ALLAH amempangia stara bora mahali pengine,mitihani hii yamashemeji, ALLAH atustiri
Sbhuana Allah inaumanga mungu ampe guvu dda wwatu na wanandowa wote liwe funzo shehk wetu shukran kwa ucya wtu Allah akupe mema nduniani na khahery wwe na familia yko na jamii islam amiin
Subhanallah 😢
Subhanallah Mungu ampe subra tatizo sisi hatufat dini inavyoamrisha wallah hawa warabu wana roho mbaya lakin napenda wanavyoishi...amiin kwa dua
Kweli sister ..
Jazakallahu khaira sheikh
Subhanallah,mungu atuepushe na aibu za aina hiyo na mengine pia.
Waaalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazaak Allah kheir Sheikh
JazakaAllahu kheiri sheikhi
Subhannallah malaika wamenisimama ya Allah tunusuru na tamaa za ulimwenguni😪
Subhana allah
Subhanallaa inalillaah wainalillaah rajiun mungu atuepushie duu
Powerful message .. thanks for sharing .
Ahsant kwa ushauri mzuri wa daraja ya juu kabisa.mola akuzidishie elimu ya manufaa .jazaka LLAHU kila kheri
Subhanallah
Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akupe umri mrefu wa afya Amin
Amiina rabbi alamiin
Sheikh mungu akuhifadhi...ukweli umeusema lakini watu hawasikii...katika moja ya definition ya madness ni kufanya the same mistake expecting different result...
Subhanallah hakika duniani mtihani
Subhanallah Allah akuhifadhi sheikh wetu dah kisa kinamazingatio sana
Allah akibar ya rabi
Subhana
SubhanaAllah. Inasikitisha sana
Shukran ustadh,mawaidha mazito Sana,nakufatilia nkiwa Bungoma,Allah akujaalie uendelee kutuelimisha
Subhana llah 😪
MASHA ALLAH ALEIK
Subhanallah wallah nitihani allah atustiri na ampe subra huyo dada yetu
Kweli kabisa shukran Sheikh .
Shukran Sana kwa mafunzo mazuri
Masha Allah mawaidha mazuri
Mtihan subuhanallah
Masha Allah shukuran sana shekh wetu kisa Chenye mafunzo muimu sana
Sheikh mola akuzidishie miaka mingi inshaallah
ALLAH akuhifadhi
Subhana Allah😲😲😲
subuhanaAllah
amrundishe kwa wazazi wake
na achane na mumewake .
Hata akimuwowa ananyangamya
na medbringe mwanaume
si wakuaminiwa
Shukran shekh izudin
Shukran
SubhanaAllah. Very sad 😭🥺.Mola atusitiri waja wake. Ameen!
Mtihani jaman
ASALAM ALEYKUM WARAHMATULLAH
Ameen
huo ni uvundifu tu na tamaa mungu atatupa subra
mashallah
Amwachie mungu mungu ampe sibra na nguvu
Leo hata hukijipamba hakuna mtu hata kuona kwani sasahivyi kila mtu barakoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mwenyezimungu akuzidishie pia ww
Kama mie shehe walianzana kipind atuko katk ndoa je had sas hiv mie nimeolewa je ndoa yangu atakuwa salama kwel
Sasa hapo waulza nn? Tangu kabla hujaolewa washaaanzana bado ukaingia kwenye ndoa leo tena? Too late
Mimi ni masai ila nimekuelewa shekh kwa mafundisho mazuri
NI sahihi m.mung atuepushe na balaa hilo
Shekh izudin hujawahi kuniangusha kabisa
Naam shekhe
Assalamualaikum sheikh ..nauliza sheikh kisheria huu ushauri jaman waeza msaidia huyu dada .
Sheikh ....waume wengine ni kama wanyama hawaoni aibu yuaeza muoa huyo huyo shemeji yake subhanallah
Hakuna ushauri bora kuliko huo na akijikaza akaufanyia kazi ataona faida yake mbeleni...hakuna hakuna hakuna njia ya kusuluhisha hapo zaid ya ushauri huo coz vovote itakavo kua wakikutana lazima wataendelea
@@vitadzuya9990 lakini makosa yako na wanawake kuwaleta ndugu zao karibu na mabwana zao ususan ndugu wa kike ndio uwa karbu zaidi na mashemegi zao na sababu kubwa na mke alie olewa
Haifai hata kama shemegi haram ajnabi
Wambie hao wasituharibie raha za mawaidha kila mara kutia matangazo ya kibiashara
Kaka Zaydu upo tutafutane waadimika sana
Assalam alaykum shekh naomba unisadie na namba yako niko na swali
Mfuate Instagram
Asijiue ampe twalaka yy atizame mtoto AL atamujalia mke mwingine
🤣🤣🤦♀️
Subhanallah
Shukran
sheikh niko na swali..
subhanaallah haya yanatokea sana.kuna kisa kimetokea juzi mtu na rafiki yake wakushibana kasafiri kurudi kamkuta na mke wake kawaangalia kisha karudi nyuma baada ya hapo hakufanya chochote akazidisha mapenzi kwa rafiki yake na kwa mke wake.kilichotokea yule mfumaniwa wa kike ndo anahangaika kumuitia watu kila akiulizwa anasema mm sijawafumania mpaka kashita kwa wazazi pia akawakatalia.kaenda mpaka police anasema hana raha kabusa anajiuliza hajui anapanga nini moyoni mwake kuna wanaume wanavifua mashaallah
nilikosea mwanaume mfumaniwa ndo anahangaika hivyo anahadisia siku ya pili yake akawatoa mwaka mpya anasema hata hiyo hamu ya kula sina kapatwa na wasiwasi mkubwa
@@fetysukafetysuka8811 subhaana llaah