In shaa Allah,, Ya Raab atunusuru na nakila mabaya,,,dini siku hizi imegeuzwa,,,mashekhe wanapinduwa mafunzo ya mwenyezi mungu,,,Mola akuzidishie umri ili uzidi kutupa ilmu,,,,nakuombea xana ufike Kisumu,,,
Alhamdulillah alhabib, leo niko off kazini basi tokea saanane mchana niko kwenye you tubes zako nakusikiza wallahi nawala sijachoka nahivi sasa ni saamoja usiku...mashaAllah mola akuzidishie ilmu yako akubarikie yotte...waisambaza dini waifanyakazi ya Allah, mola azidi kutunufaisha...Allah twawil umraak yahabib.
Shukran wajazakallahu Kheri swali umesema mwanamke Hana lazima ya kuangalia wtt je mwanamke awe Na Mali akifa je mume aweza kurithi Na ile Mali iwe ya mwanamke kila kitu
My Favorite Sheikh Kila Nikikuskia Nafaidika sana👍
Allah(s.w)akujalie pepo na mwisho mwema shekh
Mashaallah mawaidha mazuri inshaAllah Tuwe wenye Kuyafuata
Sheykh izzuddin, Allah Azidi kuikuza ilmu yako tuzidi kupata Athari ya ilmu yako,Ameen.
Hakika fani imepata mwenyewe
Sheikh wangu kwa kipindi hiki sijaona kama wew. Upo vizuri masha Allah kheir
Allah akupe umri wenye kheri na baraka ISHALLAH
Jazzakum lawgheiry
Mashalla mungu awaongoze watto wetu amin
from Zanzibar island nakupata vizuri sheikh wangu
Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu
Mashallah ustadh mchu ni kwao naona umekhatimisha ramadhan kwenu mungu akuhifadhi
Mashallah Allah akupe kila la kheri
Sheikh nakupenda saaana kwa ajili ya Allah s.w.t.
Maashallah
Jazzakamullah kheir sheikh....Allah Akupe mwisho mwema....Aaamiiin
Sheikh lzudin Mashaallah Allah akuongoze vyema na akujaalie uhai mrefu uzidi kutufundisha Amin
Mashallah mashallah mawaidha helwa maraa
In shaa Allah,, Ya Raab atunusuru na nakila mabaya,,,dini siku hizi imegeuzwa,,,mashekhe wanapinduwa mafunzo ya mwenyezi mungu,,,Mola akuzidishie umri ili uzidi kutupa ilmu,,,,nakuombea xana ufike Kisumu,,,
Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa amin
as salam alykum mm ndug yako katika iman abdullah basalama allah akupe umri twawil tuzidi kufaidika na kufata ambayo kidog yalituponyoka katika iman
MashaAllah.
Alhamdulillah alhabib, leo niko off kazini basi tokea saanane mchana niko kwenye you tubes zako nakusikiza wallahi nawala sijachoka nahivi sasa ni saamoja usiku...mashaAllah mola akuzidishie ilmu yako akubarikie yotte...waisambaza dini waifanyakazi ya Allah, mola azidi kutunufaisha...Allah twawil umraak yahabib.
Abdul Babalao mola akubarikie na atutakabalie kwatuyafanyao
Izudin Alwy Din salaam Aleikum mm nahitaji kuuliza Ile sikupati katika What's App na swali linanikera moyoni tafadhali naomba
Abdul Babalao wallah vipindi vyake vinafundisha sana
@@najma3268 naam
Wasema kweli ustadh
Asalam aleykum mashekhe tunawaomba uwe unawatembelea waumini wezenu hali ya dini inapolomoka haswa wilayani na vijijini karibuni nyamtumbo luvuma
Mashallah sheikh letu, mungu akulipe
Allah akulipe kila la kheri Amen
Shaban Kajara Aamin
mashaAllah Allah akuzidishie kheri inshaallah
Masha Allah
Ninakuwelewa sana sheikh wangu,mungu akuzidishei ahayai,amem
Salallahu alaihi wasalam 💘
Mashaallah Jazakallahu kheri
Hapana shekh vitimbi vya wanawake nivikubwa sikubaliani nawe kwa hilo . Ila samahan
Hujamuelewa vizuri
Nafurahia sana mawaza yako alla akupe afya karibu tanzania tabora
Maashallah sheikh Allah akuongezee
Mashaallah
Allah akulipe pepo
Mashaa allah shekhe uko vzuri Allah akulinde nakila shari
Kutoyuwa au kutojua shekhe kiswahili siunajua tunajifunza
Allah akubaariik shekhe letu......alhamdillah nafaidika kwa hizi durus zako
MASHALLAH ALEIK
Amiiin yaa Rabb
Shukrani jazakallahu Khair
maashaaAllah sheikhna Allah akubarik akuzidishie ilm naafia
tunafaidika sana jazakallahu aljannah
mashaallahl
maashaaAllah
Mashallah jazaakallahu lkhairi
Mashallah
Masha allah
Shuk-ran sana sheikh tunaendelea kufaidiaka
Amin inshallah
Shukran wajazakallahu Kheri swali umesema mwanamke Hana lazima ya kuangalia wtt je mwanamke awe Na Mali akifa je mume aweza kurithi Na ile Mali iwe ya mwanamke kila kitu
Fatima Said ndiyo mume anamridhi mke wala hakuna kizuwizi
Mashaallah alhamdulilah
sheikh Allah anijaalie niwe kama wew *amini*
Amin
Dr. Abdi Nassir mola akujalie unishinde mm uwe bora na bora zaidi yangubmm in shaa allah
ameen inshaallah uwe zaidi ya shekhe huyu
Inshallah,allahuma amin
Mashallah Jazakallahulkheir
Masha Allah
Shukran shekhe allah akujalie kheri na barka nying allahuma amiin
Aslmk.ni.kuwanabwana.hakanikatabilasababu.nasaihameowa.kaziyakenikutumapichakwasimuyangu..
Salama Alsumri salmk.mimi.bwana.uyohanashangazamimihamenihachabilasambu..basi.utumapichakatika.icmuyangu.jebifayeje
MashaALLH
Salama Alsumri
Asante sana
Allah akulipe kwa kila jambo jema.
Amin
Habshuu A
Shk Allah akulipe
Swali mm mumewagu. Toka stoke juu mwezi wa 8 hajalejea nyumbani he? Bado Mimi mkewe ?
Sheikh madamu darsa waziweke mtandaoni ukitumia kiswahili cha ki lamu sema na kiswahili cha ki Mombasa ndio tuelewe (zembe) (
kuzanya)
Basi aseme na Cha Tanzania 🙋
Mimi wa Tz nimemuelewa kabisa
Kweli wanaume vitimbi vimezidi va wanawake esp karne hizi
JAZAKALLAH KHEYR
Nashukurusana shekhe kwakutufayidisha
Je mtoto kumtolea fitri nikuanzia miaka mingapi mpaka mingapi
Hata akizaliwa b4 salah ya Eid yakulazimu utowe zakatul fitr.
Masha Allah basi hicho kilamu...napenda kukiskia sheikh wanichekesha
Allah akulipe kila la kheri Aamiin
Mashaallah
Mashallah
Mash'Allah
Mashaallah
Masha Allah
Masha Allah