technology imekuwa sana sasa ivi, kuanzia kwenye mavazi ya kijeshi mpka siraha. Naamini serikali itakuwaimejipanga kwenye hilo. Mungu awasimamie msije mkatumia siraha zenu vibaya, mkapambana na wananchi kwa faida ya wanasiasa. Asante wanajeshi kwa huduma yenu, Nawapenda sna.
Jwtz nawa kubali ila muishie kupiga hao magaid msituludie raia sasa maana mme pata moto hadi tunaona hi sasa isije kutulud wenyew mungu awabariki muendelee kutulinda
Napongeza kwa juhud za ulinzi zinazofanywa na nchi. Tunajivunia Tanzania na tunaipenda nchi yetu. Lakin hizo movement ambazo tumeonyeshwa hapo ni rahisi kwa adui asiekuwa na siraha na mbinu unless wataisha au wataomba backup ata mala nne ili wafanikiwe. Labda ningepewa nafasi ya kuuliza maswali kadhaa ili nieleweshwe. Pengine ulikua ni uvamiz wa maharamia wa kawaida maana operation hazifanani
Watu wote mnatakiwa kutambua umuhimu wa jeshi letu sidhani kama wewe unaweza kukaa kwa amani na unafanya shughuli zako bila kuwepo kwa ulinzi imara wa jeshi letu lakini kwa ufinyu wa akili ndio maana unashindwa kujua umuhimu nchi hii hata watu walioko nje ya nchi wanaitamani lakini wanajua jeshi lipo makini
NYIE ONENI KAMA BONGO MOVE HAO SIO WATUPOA na hatakama ni maonyesho awawezi kuwaonyesha kiunda ni we siku wakwae ndo utawajua akilizao (JWTZ) mi nawaamini %100 watetezi wa nchi yetu
Baadhi ya vijana wanakoment upuuuzi humu hawajui kuwa imani inayo wafanya wapate nafasi hata hiyo ya kukaa ndani na kichupi na kuanza kukoment ujinga ni kwa sababu ya uwepo wa amani dumishwa na askari wetu hawa.
Hamna jambo mtwara ilekazi siyo ya police kazi ya wanajeshi tangialini police akapambana na wana jeshi lawa asi la nchi ya kigeni tena wapo 300 wana muachia IGP siwa ndomana wana toloka mana wana kuwa wa mezidiwa wange wachukuaa kama fridi kama jkt wanao jenga ikulu na madalaja
@@makasionlinetv2205 ivi unaona walicho kifanya ? Yaani kikos kizima kimeingia pale je ingekua lile jengo ni mtego na kunabomu kubwa inamaaana wangekufa wote huo ni uzembe wa kwanza 2 hawana backup ya sniper kuwalinda wala hawakutawanyika baadhi kwaajili ya kugadi walio pewa nafac yakwenda kule inamaana kama ni makomando wanatakiwa kuingia wa wili au wa tatu pekeenakuokoa
@@emanuelmwanga4 Acha kifanya kazi ili ujikim kimaisha halafu shinda nyumbani tuu halafu mwambie Mungu aje kukulisha chakula usichokihangaikia! Kama vile unajishughulisha na Mungu anavyokunyanyulia watu wakukupatia fedha na ukabarikiwa kwa kazi ya mikono yako lakini ukiwa unamheshimu aliyekifanya mkono uingie kinywani, vivyo hivyo ndivyo Mungu anaweza kuilinda nchi kupitia watu aliowanyanyua kwa ajili yetu wakawa wanajeshi na tukiamini wanatulinda. Muulize Daudi angekaa nyumbani na kuamini tuu Mungu anaweza kumuangusha Goliati bila yeye kuchukua hatua ya kwenda vitani angeweza kuandikwa kwenye biblia? Na umuulize Mungu kwa nini alimtumia Musa kwenda kuwakomboa Wana wa Izrael, na kwa nini alimtumia Daudi kumuangusha Goliati kwa nini asingeshuka yeye mwenyewe?
Ebwana hapo sijaelewa kabisa hivi mbona Kama hawako serious, ebwana Mimi naona warudie Tena , maana wakienda hivi vitani wataisha haki ya Nani wataisha,
Aisee ndo maana wanakufa Kongo kama kuku hawako makini katka Distance na kusoma mazingira ya kivita na commandment ya captain haiko sawa katika swala la kuwapanga askar katika swala la kuwakabili maadui utapoteza askar wengi kwa uzembe
Kuna baadhi ya comments humu zinasikitisha. Kwasababu mtu analala na kuamka salama, anapata wasaa wa kuchat kwa utulivu na amani basi ni kudharau kila kitu hamjui tu ila ogopa sana ukazisikia BM zinaunguruma hapakaliki. Hao watu unaweza kuona wanafanya kama maigizo ila ndiyo wanasababisha tuwe na uhakika wa kufanya shughuli zetu kila siku.
Kweli Tz Bado sana Yaani unapambna na upepo Alf unajiita Komandoo , Alf unajifariji na Kawimbo kabisa,, Cj na huyu mgeni rasmi Ataende kusimulia heti nimeona makamandi
Acheni kulibeza jeshi letu,kama hauna cha kuongea nyamaza.kama wanapambana na upepo kakae mbele yao basi wapambane na wewe. Duniani kote hakuna jeshi ambalo halifanyi wanachokifanya katika hoyo video.
Wanapokea mshahara wa BURE hawa diffence mbovu mbovu kabisa kama inatokea vita wanakufa wote wanatembea kwa kugusana pili hawana ishara ya kujulishana nenda upande upi awana kiongozi wote wanaenda mbele kama manyumbu
Wacheni ufala nyinyi.Kuna Wavietinamu wanang'oa watu kucha mojamoja kutumia kiiti kilicho chongwa.Halafu unadungwa chuma cha moto kwenye paja 🤣🤣🤣🤣 Na watoto wanatumia mashine kubwa kuliko zenu za kupigia kuku na mabata 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wakati wanaingia kwenye jengo hamna askar aliekuwa akigeuka nyuma kulinda adui atakae tokea kwa nyuma yao pia hamna aliebaki nje ya jengo au mlangon kuchek usalama wa nje
Sio maigizo ni kweli na Tz ni moja ya nchi zenye majeshi bora kabisa duniani. Ndio maana wakufunzi wa jeshi na vikosi vya marekani huja Tz, China huja Tz, Uganda na Rwanda huja Tz, Nchi za SADC ndio usiseme wakufunzi wanatoka Tz kwenda kutoa mafunzo ya kijeshi, Ndio maana wanajeshi wa tz wamepelekwa sehemu mbalimbali kusimamia operation mf. Congo, Sudan, Liberia, Sierra Leone, Lebanon, Seashells. Jivunie JWTZ ni jeshi lenye:- Nidhamu, Vifaa, Weledi Wataalamu wa aina zote Wakiwa vikosi aina zote Maji, Anga, Ardhi. Tumebakiza kwenda anga za mbali kwenye sayari nyingine na mwezi. Iko siku tutaanza kwa kurusha satellite anga za Juu sana.
Udhaifu mkubwa wakat wa kuingia hawajaangalia usalama wao hivyo adui aliejificha kulinda endeo la nyumba aliowekwa mateka angeweza kuwashambulia wote nakuwaua au kuwa mateka pia wanahitaj mafunzo zaid kwa kias flan tunawapongeza
kabla ya shambulizi ni lazima kuwe na recon.. kujua ni adui au mateka wangapi, silaha gani adui anazo, na wamejipangaje. Ndipo namna ya shambulio huamuliwa. na muda wote watakuwa na askari wa msaada mwenye vifaa vya kuona adui hata vile vya kuona picha ya joto la mwili .. anayewangoza wenzake au kutoa msaada au sniper! hawaendagi kimbuzimbuzi..!
@@lwitikokatule7069 sio akili ndogo ni fikra tuu. Jifunze kujibu kwa kuonesha ukomavu. Kuna adui wa aina nyingi.. Kuna adui wengine kujiua na kuangamiza wengine ni rahisi kwao. Hivyo kwakuwa wapo adui wa aina nyingi pia Kuna aina nyingi za mazoezi. Mf. Kuokoa mateka mjini ni tofauti na msituni.
Ukiona una amka asubuhi ujue kuna watu wamekesha kwa ajili yako
Swadakta Mkuu
@@mohamedayoub8576 Ndo wanalipwa wafanye hvyo, sio kwamba wanatoa msaada!
Anakuamasha Mungu pekee.
Peter Mahimbo jilinde na mimi nikulinde
@@jumaabdallahbakari fara wew
technology imekuwa sana sasa ivi, kuanzia kwenye mavazi ya kijeshi mpka siraha. Naamini serikali itakuwaimejipanga kwenye hilo. Mungu awasimamie msije mkatumia siraha zenu vibaya, mkapambana na wananchi kwa faida ya wanasiasa. Asante wanajeshi kwa huduma yenu, Nawapenda sna.
Unaakili kubwa sana wewe mtu, hongera kwa kuwakumbusha wanajeshi hao.
Hivi kwnn isipitishwe kila mtanzania umri Fulani apitie mafunzo jeshini kwaajili emergency ikitokea coz naipenda inchi yangu
Wazo zuri sanabosss
Ila tutakuwa na wize wengi sana haitakiwe kabisa hiyo
Nenda ww
Yaan tunafanana akili...
Nenda ww
Jwtz nawa kubali ila muishie kupiga hao magaid msituludie raia sasa maana mme pata moto hadi tunaona hi sasa isije kutulud wenyew mungu awabariki muendelee kutulinda
Kumbe tupo vizurieeee !
Hongera sana majeshi yetu kwa kuhakikisha nchini yetu inakuja salama.
Vita ya kizamani sana
Jeshi letu bado sana, mnafatana Kama nyuki...Sasa adui akitokea kwa nyuma, si mmeisha wote....!! 😂
Naona movies zimekuhalibu
We kima kweli. Unadhubutu kutukana jeshi tunafuatakama nyuki we unajua nini sasa pimbi tyuu fyuu
Ww ndo umeona hivoo etiii
Awezi kuonesha mbinu zao iyo nimfano
Inafaa unyamaze kama huna unachokijua kwenye jeshi
Kujito sadaka hongereni majeshi wetu Mungu atawalipeni kwawkutupigani
Akuna ata ndege inayowashambulia kwa juu😂😹🤣🤣🤣🤣🤣tuone itakuaje
Ausio
Napongeza kwa juhud za ulinzi zinazofanywa na nchi. Tunajivunia Tanzania na tunaipenda nchi yetu. Lakin hizo movement ambazo tumeonyeshwa hapo ni rahisi kwa adui asiekuwa na siraha na mbinu unless wataisha au wataomba backup ata mala nne ili wafanikiwe.
Labda ningepewa nafasi ya kuuliza maswali kadhaa ili nieleweshwe. Pengine ulikua ni uvamiz wa maharamia wa kawaida maana operation hazifanani
Watu wote mnatakiwa kutambua umuhimu wa jeshi letu sidhani kama wewe unaweza kukaa kwa amani na unafanya shughuli zako bila kuwepo kwa ulinzi imara wa jeshi letu lakini kwa ufinyu wa akili ndio maana unashindwa kujua umuhimu nchi hii hata watu walioko nje ya nchi wanaitamani lakini wanajua jeshi lipo makini
Yaaani ..kuekti haifanani na uhalisiaa😂😂😂 ....😂😂😂....wamewateka wenyewe alafu wanawaokoa wenyewe.....😅😅.....full kamera😅
NYIE ONENI KAMA BONGO MOVE HAO SIO WATUPOA na hatakama ni maonyesho awawezi kuwaonyesha kiunda ni we siku wakwae ndo utawajua akilizao (JWTZ) mi nawaamini %100 watetezi wa nchi yetu
Ngoja Rambo awakute hapo ndio mtalijuwa jiji😁😁
Hahahaha hahahaha
Rambo basha wa au sio?
Hhhhhhhhhhhh
Hahhah😀😃😅🤣ase nimecheka
Safi sana makomandoo wanavyo fanya kazi zao, plole pole,
Tanzania tunalo Jeshi. Mungu kaa upande wetu. Ameni!
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
th-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ila wanajeshi kazi yao ni ngumu Mungu awalinde
Baadhi ya vijana wanakoment upuuuzi humu hawajui kuwa imani inayo wafanya wapate nafasi hata hiyo ya kukaa ndani na kichupi na kuanza kukoment ujinga ni kwa sababu ya uwepo wa amani dumishwa na askari wetu hawa.
Mungu ndiy mlinzi wetu hakuna cha jeshi
🤭🤭🤣🤣🤣🤭🤭
Hamna jambo mtwara ilekazi siyo ya police kazi ya wanajeshi tangialini police akapambana na wana jeshi lawa asi la nchi ya kigeni tena wapo 300 wana muachia IGP siwa ndomana wana toloka mana wana kuwa wa mezidiwa wange wachukuaa kama fridi kama jkt wanao jenga ikulu na madalaja
@@makasionlinetv2205 ivi unaona walicho kifanya ? Yaani kikos kizima kimeingia pale je ingekua lile jengo ni mtego na kunabomu kubwa inamaaana wangekufa wote huo ni uzembe wa kwanza
2 hawana backup ya sniper kuwalinda wala hawakutawanyika baadhi kwaajili ya kugadi walio pewa nafac yakwenda kule inamaana kama ni makomando wanatakiwa kuingia wa wili au wa tatu pekeenakuokoa
@@emanuelmwanga4 Acha kifanya kazi ili ujikim kimaisha halafu shinda nyumbani tuu halafu mwambie Mungu aje kukulisha chakula usichokihangaikia! Kama vile unajishughulisha na Mungu anavyokunyanyulia watu wakukupatia fedha na ukabarikiwa kwa kazi ya mikono yako lakini ukiwa unamheshimu aliyekifanya mkono uingie kinywani, vivyo hivyo ndivyo Mungu anaweza kuilinda nchi kupitia watu aliowanyanyua kwa ajili yetu wakawa wanajeshi na tukiamini wanatulinda.
Muulize Daudi angekaa nyumbani na kuamini tuu Mungu anaweza kumuangusha Goliati bila yeye kuchukua hatua ya kwenda vitani angeweza kuandikwa kwenye biblia? Na umuulize Mungu kwa nini alimtumia Musa kwenda kuwakomboa Wana wa Izrael, na kwa nini alimtumia Daudi kumuangusha Goliati kwa nini asingeshuka yeye mwenyewe?
Wanaumahiri gani hawa kazi kuuwa watu na kupoka hakinza Watanzania Mungu anawaona
Mbona risas zinaenda bure tuingieni Somalia kidogo Apo tukatokomezeni waasi .
Poleni sana mishahar.ni halaliyenu
the last hope of innocent people all over the world TPDF
kuna vibongo kazi yao kupinga kila kitu
Noma sanaa
Nawakubali sana hawa wana hawalali kwa ajiri yetu nilitamani niwe mmoja wao ila daah ndoto imepotea😥😥😥
Pole Sana haikuwa ridhiki yako! Lakini usihofu Mungu amekuwekea ridhiki yako ingine
Kweli hi Ni mooveee
Mbona wanakaa pamoja pamoja kama ndege. Wakipigwa bomu hapo sishughuri imeisha.
Apana jamani tanzania amani baba wetu wa tanzania kamalinza na mueshimiwa wetu wa sasa yuko sawa
Ebwana hapo sijaelewa kabisa hivi mbona Kama hawako serious, ebwana Mimi naona warudie Tena , maana wakienda hivi vitani wataisha haki ya Nani wataisha,
😀😀😀hakyamungu
Mnamaliza risasi tuu
Nizababaako hiz lisas
I wish kuja kuwa mke wa mjeda in shaa Allah
0713853004 ntafute
@@nelsonmwakibuti3629 ok hii number IPO WhatsApp
0629807017 nicheki so utani
@@nelsonmwakibuti3629 mbona haisomi
@@samorahezron7808 haipo WhatsApp
Kwn hizooo wanazopig siyoo risas kwn ukipigw risas ya kichw itakuwajee hapo
Aisee ndo maana wanakufa Kongo kama kuku hawako makini katka Distance na kusoma mazingira ya kivita na commandment ya captain haiko sawa katika swala la kuwapanga askar katika swala la kuwakabili maadui utapoteza askar wengi kwa uzembe
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Kuna baadhi ya comments humu zinasikitisha. Kwasababu mtu analala na kuamka salama, anapata wasaa wa kuchat kwa utulivu na amani basi ni kudharau kila kitu hamjui tu ila ogopa sana ukazisikia BM zinaunguruma hapakaliki. Hao watu unaweza kuona wanafanya kama maigizo ila ndiyo wanasababisha tuwe na uhakika wa kufanya shughuli zetu kila siku.
watu huwa wanachukulia easy tu,kama hawa watu wasingekuwa wa kesha porini hii nchi isingekuwepo
Nice job
Najivunia tz
Millard unazingua...bora ungeweka clip ya call of duty
😂😂😂
Unajifanya shujaa kwa kuwa uko kwa mama, chai unaletewa mezani, unaenda disco na bodaboda
Tz we are winner
Kweli Tz Bado sana Yaani unapambna na upepo Alf unajiita Komandoo , Alf unajifariji na Kawimbo kabisa,, Cj na huyu mgeni rasmi Ataende kusimulia heti nimeona makamandi
Kama ujui chochote kuhusu jeshi ni heri ukatulia
Acheni kulibeza jeshi letu,kama hauna cha kuongea nyamaza.kama wanapambana na upepo kakae mbele yao basi wapambane na wewe.
Duniani kote hakuna jeshi ambalo halifanyi wanachokifanya katika hoyo video.
Hivi Kama nyuma ya hiyo nyuma kuna magaidi na RPG na makomando wakiwa wameingia ndani wote si wanakufa?
Wanapokea mshahara wa BURE hawa diffence mbovu mbovu kabisa kama inatokea vita wanakufa wote wanatembea kwa kugusana pili hawana ishara ya kujulishana nenda upande upi awana kiongozi wote wanaenda mbele kama manyumbu
Naona wanalukaluka tu alafu kwenye vyombo vya habari kujizaririsha tu
Tz tuna pamban na tail za et mazoezi naipenda Tanzania
😂😂😁😁😁🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💝
Hata ujui kinachoendelea hapo ni kheli ukakaa kimya
Mazoezi na vita ni tofauti sana.hawa bado wajui vita ni nini
Jeshi letu imara Sana ...
Mola azidi kutupambania
sikuhiz majeshi yanatumia high tech...adui anapgwa hukohuko aliko bila kelele wala chenga...ifike wakt wabadilike😏
Kuna kenge wengine wana comment upuuzi hum mnazan hapo wanapika ugali mungu ibariki tanzania na jeshi letu
Amen kaka maana kuna majitu yanakomenti utumbo
Mungu awabark❤️❤️
komando wanatumia bunduki kwa nguvu hivyoo siwanasemaga wanatumiaga akiliii acheni bana
Wacheni ufala nyinyi.Kuna Wavietinamu wanang'oa watu kucha mojamoja kutumia kiiti kilicho chongwa.Halafu unadungwa chuma cha moto kwenye paja 🤣🤣🤣🤣 Na watoto wanatumia mashine kubwa kuliko zenu za kupigia kuku na mabata 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siwaende mtwara hao mashuhuli mnatuletea comedy huku nduguzetu mtwara hatujui walipo bongo bwana tuna leta comedy huku tunaumia wakawahokoe ndugu zetu walio tekwa mtwara cyo huo mchezo wa kumbolela wakujifichaficha tulisha cheza utotoni mnazingua
Hahahahha nimefurahi nikikumbuka walio kimbia na kuacha kifaru @mtwara
🤣🤣🤣
Kuna waliokimbia mtwara?
😀😀yale sio maonesho bro
@@abdallahyasin6829 f
acha uwongo ww
Daaah!!!! Karibu🇹🇿🇹🇿🇹🇿,,nchi pekee wananchi wake wanauwawa mipakan but army wanapoteza mda kwenye camera,,,very shameful😥😥
Acha ujuaji
Chadema mna akili ndogo kabisa. Pigeni kura 28 oct, rudini nyumbani.
Kawaida sana
Sijaona bado
Wanajeshi wetu imara sana hajafa hata mmoja😎
waende kitaya huko wakaokoe ndugu zetu
Jameni Sasa wanapigana na upepo Nini kwanini hatuoni hao maadui TZ😂😂😂
Haaaah we kichwa maji kweli
Ivi ilikuwaje walivyoenda kule kipindi kile walilud kofia tu na buti tu au mafunzo yalikua ayajakolea
Ila hongereni sana kwakugomboa mateka
Safi Sana najisikia was naamani
Iyo ndio kazi sio kazi kuiba kura za watu
Raha sana jamani kazi naitamani Sana hii 😭😭😭😭😭😭😭
wakati wanaingia kwenye jengo hamna askar aliekuwa akigeuka nyuma kulinda adui atakae tokea kwa nyuma yao pia hamna aliebaki nje ya jengo au mlangon kuchek usalama wa nje
internship open in Mtwara
Vitisho vya kuwatisha wazanzibar kwa ajili ya zanzibar yao ila kufa ni kawaida to kwa sisi waislam hatuogopi kufa jambo muhimu kwetu .
Haya maigizo haya fanyeni kweli kama amjachakazwa tz jeshi hakuna zaid police ccm
Haujuw chochote ndugu bara ukae kimya
Kwa nn usifanye utafiti? Bando lako litumie kuuliza mambo ya maana, uliza Tz ya ngapi kwa Afrika kuwa na jeshi bora sio kuropoka
Wewe utakuwa mkimbizi nina mashaka na wewe
Sio maigizo ni kweli na Tz ni moja ya nchi zenye majeshi bora kabisa duniani. Ndio maana wakufunzi wa jeshi na vikosi vya marekani huja Tz, China huja Tz, Uganda na Rwanda huja Tz, Nchi za SADC ndio usiseme wakufunzi wanatoka Tz kwenda kutoa mafunzo ya kijeshi, Ndio maana wanajeshi wa tz wamepelekwa sehemu mbalimbali kusimamia operation mf. Congo, Sudan, Liberia, Sierra Leone, Lebanon, Seashells.
Jivunie JWTZ ni jeshi lenye:-
Nidhamu,
Vifaa,
Weledi
Wataalamu wa aina zote
Wakiwa vikosi aina zote Maji, Anga, Ardhi.
Tumebakiza kwenda anga za mbali kwenye sayari nyingine na mwezi. Iko siku tutaanza kwa kurusha satellite anga za Juu sana.
@@rewaatesh4877 hhhhhhhhhh mbn waoga sasa kwanza mafunzo mbona Congo walichakazwa wale 14 amna kitu labda kupigana na chadema
ongera jeshi letu kwa mazoezi mazuri
Miladi Ayo unatuzingua sasa mazoezi unatuletea ya nn nenda kalete habari za mtwara
Kwakweli akatuletee Jabari za mtwala kwakweli
Mtwara Kijiji cha kitaya mpakani na mozambek wamewateka wanakijiji nendeni mkawakombowe Kama kweli mpo vizur
Mjinga kweli wewe
Ulitaka wakutaarif kila wanachofanya, au ww unajua sana utendaji kazi wa vikosi vya kiusalama??
Your very right, drills alone without testcases are plays. Wale waliojaa znz ndio wangesongeshwa mtwara mapema asubuhi
Kwa sisi wapenzi wa kuangaria movie za kivita apa amna kitu kwanza nimeona mashambulizi ya upande mmoja maadui zao wapo wapi?au upepo.
Nenda we ukawe adui
tuwapeleke congo tukawajaribu ushujaa
Yallabi wabaliki wanajeshi wetu
Wana pigana na nani😁😁😁😁💝💝🇹🇿
Udhaifu mkubwa wakat wa kuingia hawajaangalia usalama wao hivyo adui aliejificha kulinda endeo la nyumba aliowekwa mateka angeweza kuwashambulia wote nakuwaua au kuwa mateka pia wanahitaj mafunzo zaid kwa kias flan tunawapongeza
kabla ya shambulizi ni lazima kuwe na recon.. kujua ni adui au mateka wangapi, silaha gani adui anazo, na wamejipangaje. Ndipo namna ya shambulio huamuliwa. na muda wote watakuwa na askari wa msaada mwenye vifaa vya kuona adui hata vile vya kuona picha ya joto la mwili .. anayewangoza wenzake au kutoa msaada au sniper! hawaendagi kimbuzimbuzi..!
Hongera kwa kujichora
mpo wap kushoot movie ya kivita tupige pesa 🤔
Kama vip tuombe mechi ya kirafiki na majirani zetu was somalia
Bado sana 😂😂😂.....njooni Kenya tueafunze
Chokozeni muone. Kama Uganda tulivyo wafanyia
Wabongo Wana maneno kwani wameambiwa wameshindwa kwenda kuokoa mateka wakat mwingine tuwe tunajaribu kunyamanza
Mbona wanakwenda kama nyumbu
Ilo hema kama kama lime tegwa mabomu c wanaisha wote make wame zama kwa pamoja.
Si ndo hp ht mm nashangaa
Akili ndogo inavyofikiria
@@lwitikokatule7069 sio akili ndogo ni fikra tuu. Jifunze kujibu kwa kuonesha ukomavu. Kuna adui wa aina nyingi.. Kuna adui wengine kujiua na kuangamiza wengine ni rahisi kwao. Hivyo kwakuwa wapo adui wa aina nyingi pia Kuna aina nyingi za mazoezi. Mf. Kuokoa mateka mjini ni tofauti na msituni.
Hata hiyo move ya Pamoja kama Adui kawaona kabla RPG si inawahusu kiulain.
Jinsi alivyoingis kwenye hema🤣🤣,pia wanafatana bila kuachiana nafasi
Mbona kama wapo kwenye zowez
ilo ni zoezi
Ndo naona et
Very, Kalunde Tc
Mazowezi hayo yakuwauwa wazanzibar
Alee wi..... Yanyukwe........
👏👏👏👏👏
Bas nikiskia hii vitu napataga mzuka fulan hivi
risasi kama njugu mnapigana na matairi
Hapo msumbiji mmechemka subilieni suprise
Hamna kitu hapo,Mazoezi yakikuku kabisa. Jeshi linafundishwa na hafle polepole litakua jeshilakivita?😄😄😃😃😃😃😃😆🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂
huko congo unapigana wewe?
Uo umahiri waupeleke mtwara😅
Unadhan hawajafika au
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huku wapo mkuu ndo mana mpaka sasa tunashuhudia wanavyokamatwa kama kuku wa kisasa yan Jeshi letu lipo makini sana
😂😹😂😂😂😂🤣🤣
Kipekee nalikubali sana jeshi la nchi yetu M/Mungu azidi kuwapa nguvu
NILIVYO WAONA WATALEBAN CNA HAKIKA KAMA GAME LITAPGWA HVI.
Kumbee mazoez niljuaa kimenukaaa muwee mnatueleweshaa mapema
Mana nilklkuaa najiulza mbonaa maadui awarudshii mashambulizii
🙄🤣🤣🤣🤣
ssa likipigwa bomu 1 kwa jinsi wanavyo move a kwa kikundi
😂😂😂😂
sisi ndio sisia hkuna kama sisi
Jeshi kama jeshi 💪
Ni kumaliza risasi tu ndomaana Kodi zinapanda Kila kukicha
Daa nalipenda sana jeshi jamani
Mtwala hawaend hawa
Kumbe ni drill
mstutishe na kutumalizia MB kwenye vita mukae ivooo alaaaa vita vinashangiriwa
Mbwa ww
Jeshi feki Hilo
Ndo ushapata dhambi
Wanaskia raha kushoot tu wanapenda izo sauti hya malizeni risasi mukipiga hewa na nyasi😂😂
😂😂😂😂😂😂
Good work 👍
Sasa hizo risasi zote wanampiga Nani?
Sijaelewa kitu apo