NAFSI, MWILI NA ROHO - Mwl. Mgisa Mtebe -
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- BWANA Yesu anakuja kuchukua Kanisa tukufu, Takatifu, lisilo na ila wala makunyanzi, Kanisa bila lawama (Efe 5:25-27, 1Thes 5:23). Yatupasa kujitakasa kabisa, Roho, Nafsi na Mwili. Lakini mchakato huu wa Utakaso, hauwezi kuwa mkamilifu, bila mhusika kujijua namna alivyoumbwa, yaani kuzifahamu vizuri sehemu Kuu za Mwanadamu, zinazohitaji Utakaso Kamili, yaani Mwili, Nafsi na Roho. Katika SOmo hili, tulijifunza kwanza Kujitambua, ndipo tukajifunza Namna ya Kufanya Utakaso Kamili, ili ajapo Mwana wa Adam, Yesu Kristo, atukute tupo tayari na tupo safi. Unaweza kujipatia DVD na CD za somo hili, kwa Mawasiliano haya; +255753497655. Mungu akubariki. Tafadhali washirikishe na wenzako wengine wengi.
Asante mwalimu umenifunza kitu kuhusu roho nafsi na mwili
Amina mtumish wa mungu
Amina
Naomba kuuliza Mwl
Umetufundisha kua mtu niyule yuko ndani nasi mwili kama tudhaniavyo
Je! Nikwanini Yesu alisema mtu hatoishi kwa mkate pekeake bali kwakila neno litokalo kwa Mungu
Umesema ninapokula si mimi bali mwili na ukasema mtu hali ugali bali mwili
Asante Kwa tafsiri hii
nimekuelewa vzr sana mwalimu mgisa
🙌 hallelujah 🙌 Amen asante yesu kwa ajli ya mtumishi wako nakuomba uzidi kumtumia kama chombo
Roho yangu anaye Sema yangu kwenye hii roho yangu nani anasema yangu
Shukran sana
Nabarikiwa sanaa
Mungu akubariki san baba azidi kukupa uzim tuzidi kubarikiw n mafundisho yako
Ameen..
We ni mwalimu mzuri Sana
Hakika Mungu akuinue zaidi ya viwango uvifikiriavyo kwa hali ya kibinadamu
Ubarikiwe sana
Asante kwa masomo mwalimu mgisa tunaomba somo zima la siku
For real Baba umebarkiwa na kupendelewa sanaaa nataman Sana’a kukutana na wew
najifunza neno ndani ya 2021
thanks kwa ilo neno
Asante sana mtumishi!
Tunaomba kupata full package! Kwa uelewa zaidi!
Asante, barikiwa
Ahsante kwa Neno Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe
Genures huyuu pr Mungu akubarik
Mungu akuinue sana, Amen.
This is fantastic. Umebarikiwa mtumishi.
Dady kwanini usiweke mafundisho session nzima in full. So blessing
Bigup xanaaaa nimekuelewa
Mtumishi na uhitaji wa ili neno lote
asante kwa video hii nilimiss masomo yko mwalimu endelea kutuma masomo yko youtube yanatubariki tulio mbali naww kimwili
Yaan wew mtumishi huwa nabarikiwa Sana
Nakpnda sanaaa
Tumekumisi mchungaji, tunaomba semina nyingine Azania Front Cathedral.
Nabarikiwa sana na mafundisho haya,
Please kwa wale mnaohitaji kujitambua wewe ni nani tafadhali usiache kununua CD/DVD hii,maana naamini imebeba majibu ya kila mtu
"Mungu ametenda kwangu ni zamu yako sasa Don't ever miss'' this
Tutazipataje?
marrymarryTV 0753497655
GOD Bless you
Be blessed man of God
Ubarikiwe
Thanx alot
Praise the Lord! we are blessed to have a great preacher like you!😀😁🤗
Hi, mwalimu napenda masomo yako sana ila mafupi mno. Angalau tu dakika 30 ili yanijenge vyema
MTU NI NAFSI, ROHO NI ASILI AU KANI (NGUVU) YA UHAI, BIBLIA IMEELEWEKA VIBAYA
umefundisha vitu vizito sana tumekuelewa