GB 64 KWA HASIRA ASHANGAZWA MIQUISSON KUONDOKA JOBE KUBAKI | MANGUNGU ANAIVURUGA SIMBA | SIO SAWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 มิ.ย. 2024
  • #luismiquissone #simbasc #simbalive #simbaleo #simbausajili2024na2025
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 32

  • @evaristusmakota8308
    @evaristusmakota8308 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa aeleweki, ukimsikiliza hadi mwisho hujui alikuwa anazungumzia nin .....THEME; anaongea akiwa na machungu moyon lakin anataka afikishe ujumbe ila hataki kuwagusa wahusika anaogopa yaliyomkuta kwakifupi MNAFIKI

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 6 วันที่ผ่านมา +1

    Miqsone mtu ila viongozi wanamihemko,ingependeza Miqsone kama mshahara mkubwa wamuombe upungue kama atagoma ndio wampige chini

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wa Simba mnamtoa Micksoni mnamwacha Jobe mtoeni Jobe

  • @danielmwalufingo971
    @danielmwalufingo971 7 วันที่ผ่านมา

    Thank you ya jobe itakuwa suprees ya mwixho

  • @wileboe3164
    @wileboe3164 6 วันที่ผ่านมา

    Jaamaa anaongea vizuri sana naukweli mtupu kama kunamtu anampinga atakua kichwani zimeoza😂

  • @michaelmagige6087
    @michaelmagige6087 3 วันที่ผ่านมา

    Acha kudanganya wana simba.mnayo matambo lkn mkirudi uwanjani mnaonda mapema

  • @abuu-hx3ru
    @abuu-hx3ru 6 วันที่ผ่านมา

    Kuma madunduka alafu Kuna lidunduka ndo huyo mzee ivi mnamuelewa kweli anacho kiongea😂😂😂😂😂

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 6 วันที่ผ่านมา

    Leo ndio nmekuona mwehu😂😂Ngoja tusubiri mudau utasema

  • @user-lw6on7dd7h
    @user-lw6on7dd7h 7 วันที่ผ่านมา

    Jobe hataondoka pia

  • @user-md3jl1gx9f
    @user-md3jl1gx9f 6 วันที่ผ่านมา

    Mikson ame kuja tumeshushwa no 3 mwache huenda akapata Dili kwingine maisha n popote

  • @KijanaMollel-zj2cs
    @KijanaMollel-zj2cs 7 วันที่ผ่านมา

    Luis asinge enda banh ila bas kuna wengine atuja ona thanks you yao kama wakina kibu na paa Omar

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 7 วันที่ผ่านมา

    Hovyo

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 7 วันที่ผ่านมา

    Mshahara wa miquisone ni mkubwa sana wacha aende

  • @rehemasureyman
    @rehemasureyman 6 วันที่ผ่านมา

    Hili jamaa linafki kweli wametoka kuliweka ndani juzi juz tu leo linalotoka limepewa pesa nn

  • @user-wm4nq2vk2e
    @user-wm4nq2vk2e 6 วันที่ผ่านมา

    Nyie nae mna mamb dah kwani miqison akiachwa ndo jobe nae aache2 wewe nae chawa sana unazidi nyie mnaaribu mpira wewe mnateswa na mzimu wa chama sasa chama ni mchezaji wa ndoto za simba kweli kwa sasa iv chama yule.

  • @agnesmbogo3753
    @agnesmbogo3753 6 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni kichaa jifaliji

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v 6 วันที่ผ่านมา

    Ukipelekwa ndani hatukutoi tena nyau wee

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa chama umeongopa

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 6 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 hizo ndio zako kuropoka ulishawahi kusema Yanga akienda makundi unahamia Yanga,tatizo mnapangia majukumu hela ya tajiri.unajidanganya sana kama mnazo pesa viingilio vya nini?

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 วันที่ผ่านมา

    Jamaa mgonjwa waakili sana huyu ngoja tuone Ngoma inakoelekea

  • @FakiHamadi-um4pp
    @FakiHamadi-um4pp 5 วันที่ผ่านมา

    Viongoz wanazinguwa xana

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 6 วันที่ผ่านมา

    Ww mgonjwa kweli unapigia hesabu yanga kuondoka sahau tunasubiri wakwenu tunaowataka tuengeze zaidi😅

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 6 วันที่ผ่านมา

    Hifazi maongezi yako usije kuyakana eti Azizi k hayupo unaotaa ww

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 6 วันที่ผ่านมา

    Kaka tulia watu wajenge timu

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 6 วันที่ผ่านมา

    Kramo yupo na anawauwa

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 7 วันที่ผ่านมา

    Unafilwa nilikuwa naona unaongea vitu kumbe mavitu hakuna ubingwa tena

  • @michaelmagige6087
    @michaelmagige6087 3 วันที่ผ่านมา

    Acha mboyoyo wewe.we ndo unapproachable wanasimba

  • @HusseinObama-lz8eg
    @HusseinObama-lz8eg 6 วันที่ผ่านมา

    Duuh et gharib at namb kumi Tanzania hayupo,, uyu

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 6 วันที่ผ่านมา

    Kweli mickison kuondoka ata mimi sijapenda.

  • @user-md3jl1gx9f
    @user-md3jl1gx9f 6 วันที่ผ่านมา

    Hivi huyu ndugu mbona anajichosha anaomgea weee sijui anapata faida gan SI atulie tujenge tim yetu

    • @wileboe3164
      @wileboe3164 6 วันที่ผ่านมา

      Unataka akae kimya ili babu yako mangungu aendelee kupiga ela

    • @wileboe3164
      @wileboe3164 6 วันที่ผ่านมา

      Kwani akiongea wewe unapungukiwa nini au kunakitu kibaya amezungumza si Anazungumza ukweli