GB 64 AWAKA KWA HASIRA CHAMA AKIONDOKA SIMBA NAACHA KUSHABIKIA SIMBA, MIQUISSONE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024
  • Mashabiki wa simba
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 32

  • @SarafinaNaheka-cs6ws
    @SarafinaNaheka-cs6ws หลายเดือนก่อน

    Uko sawa brother chama sio sahihi kumuacha

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x หลายเดือนก่อน +2

    Chamaaaaa oyeeeeee GB64 upo sawa sana

  • @christopherlugalala9828
    @christopherlugalala9828 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli mwamba huyo chama baba lao

  • @user-vm8pg4yj6u
    @user-vm8pg4yj6u หลายเดือนก่อน +1

    Chamaamaa azeeke simba

  • @GodfreyLupinda
    @GodfreyLupinda หลายเดือนก่อน

    Huyu anakoelekea abaki yeye na chama

  • @mamu-ji4wl
    @mamu-ji4wl หลายเดือนก่อน

    Ila father huu kichwaa namkubali san

  • @stellamboya8673
    @stellamboya8673 หลายเดือนก่อน

    Acha ujinga Leo ndio umeongea pumba aswaa chama muache aende

  • @KaizerEdwin
    @KaizerEdwin 5 วันที่ผ่านมา

    Kwahy una taka chama afie simba we mshambaa nn

  • @vicentstephenjr4766
    @vicentstephenjr4766 หลายเดือนก่อน

    Wew GB tulikupenda ila unasema upuuzi, Chama, Saido, Jobe, Luise, Onana na Ayub wote waomdoke, tunataka mabadiliko

  • @GaspaMwamlima
    @GaspaMwamlima หลายเดือนก่อน

    Kweliiiii kabisaaaaaa

  • @user-pr6ng3zu9c
    @user-pr6ng3zu9c 8 วันที่ผ่านมา

    Kaka auna akili kwani chama ni mungu was simb

  • @user-rg4vd9fu8s
    @user-rg4vd9fu8s 28 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂👏👏👏

  • @vicentstephenjr4766
    @vicentstephenjr4766 หลายเดือนก่อน

    Acha kushabikia, kwani wew nani

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 หลายเดือนก่อน

    Huyu GB nashindwa kumuelewa kama ingekuwa hivyo,Yanga asinge waacha Yaniki bangala,Shabani juma Kisinda walikuwa na mchango mkubwa pale yanga,wasingeachwa,lakini Yanga waliwaacha.Sasa hiki ndiyo kumjengea kiburi yanga.

  • @jescaisack8676
    @jescaisack8676 หลายเดือนก่อน

    Wewe uko simba kwa ajili ya chama acha ujinga mwache aende

  • @user-pr6ng3zu9c
    @user-pr6ng3zu9c 8 วันที่ผ่านมา

    Kaka acha ujinga

  • @ishe_ngo8926
    @ishe_ngo8926 หลายเดือนก่อน

    Wewe kama unataka kwenda Yanga na Chama wako nenda tu husituzingue

  • @nellykira7812
    @nellykira7812 หลายเดือนก่อน

    Acha tu

  • @jescaisack8676
    @jescaisack8676 หลายเดือนก่อน

    Kwani ukiacha kushabikia wewe aitaitwa simba acha aondoke chama kazeeka uyo anabahatisha mda mwingine mbona tumetolewa na mashujaa na chama alikuwepo

  • @maguosenior7809
    @maguosenior7809 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mwanachama wa wachezaji ondoka na mchezaji wako.wameppita wachezaji wazuri kuliko chama.

  • @dstaroficial
    @dstaroficial หลายเดือนก่อน +1

    Acha ushamba ww mpira wakisasa hauend kwa mchzaj kama chama

    • @user-vw2ux5sh4x
      @user-vw2ux5sh4x หลายเดือนก่อน

      Mshamba wewe ila chama baba lao chama oyeeeeee

    • @safiliMuhammad
      @safiliMuhammad หลายเดือนก่อน

      Kuna. Mambo nakukubali kwa manufaa ya Simba kwa hili hapana na ndio maana avimba kichwa anajiona mkubwa kuliko simba

    • @user-vw2ux5sh4x
      @user-vw2ux5sh4x หลายเดือนก่อน

      @@safiliMuhammad kuna watu wanapewa majina hayaendani mbona husemi wakina Fredy fungafunga anakufhnga kitu kwa chama apewe mxua yake atavyojiona simba na ajione ila sifayake ampe hata mm nakuamini chama

  • @fadhilishomari133
    @fadhilishomari133 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa sas hivi anaropoka haongei facts, yani yeye anashangilia simba kwa ajili ya Chama

    • @rabinmarco3782
      @rabinmarco3782 หลายเดือนก่อน

      Anasema ukwel ndo inavyo takiwa watu waamke huko walpo lala viongoz wa Simba

    • @fadhilishomari133
      @fadhilishomari133 หลายเดือนก่อน

      @@rabinmarco3782 Yani kwamba shabiki anayesema mchezaji fulani ambaye unaona kabisa kila msimu ukikaribia kuisha anafanya visa kisa kajua anapendwa sana na amefanya mengi basi na wew ndio unahama? HUYO HAWEZI KUWA SHABIKI WA KWELI

  • @safiliMuhammad
    @safiliMuhammad หลายเดือนก่อน

    Acha. Ujinga Simba ipo. Kabla wewe na chama hamjazaliwa

  • @madenge731
    @madenge731 หลายเดือนก่อน

    ....eti mchambuzi ana miaka 24 halafu anachambua mpira, je huo mpira kaucheza ana miaka mingapi??? 🤣🤣🤣🤣