Kweli MAGUFULI smetuelimisha Sana kuto KUKUBALI batili kuwa haki hongera baba MAGUFULI huko uliko kekima yako na uzalendo wako na ujasiri wakutuelimisha kupenda vya kwetu na kuheshimu UZALENDO ASANTE KIONGIZI WA mbio ZAMWENGE HINGERA SANA TENA SANA MASHAALLAH
Ukiwa hujui bora unyamaze tu maana unaweza kumtetea mjinga na ukamkandamiza mwenye haki. Huyo jamaa nimemfatilia katika miradi mingi anayoifungua na kwa kweli anafanya vituko kama sio ujinga. Hana lolote analolijua katika ujenzi na ni aibu kwa kiongozi kama yeye. Mfano kwenye huu mradi mkandarasi anasema kitu fulani hakimo kwenye mkataba yeye anamlazimisha lazima afanye. Sasa mtu huyu anajua ujenzi kweli? Wacha mbali ujenzi, huyu mtu anajua procurement kweli? Anachokifanya huyu jamaa ni ujinga na professionally wrong. Mambo ya kitaalamu waachiwe wataalamu.
Wakandarasi wetu mnatuangusha wakiwe Wachina mnaongea sana lakini kweli hamna kitu taa na feni sehmu 1! Ondoka nae atatupotezea muda tu fundi umechemka.
Ni maneno yake mkandarasi alipoulizwa na kwa ufahamu wangu mdogo kwenye ujenzi,taa angeweka ukutani au kama ataweka celling fan basi haiwezekani vile karibu kama vile alikua aweke angalau mita moja.
Ivi ndivyo mwenge unavyofanya kazi sio kisa miladi mipya ni kuzindua tuu bila ukaguzi sasa wanaofuata ndio wanakazi utakuta wako kubomoa walekebishe #duniasimama nishuke 😀😀😀😆😆
Ogopa sana ukiona askari amevaa kofia kwa style hiyo harafu uingie kwenye target yake mbona utajuta maana wanakuwaga wanaa Sana ni majeshi mengi sana 😃🙆🙌🙌🙌
Hao ni km baba zako au mama zako hata km wanekosea waelekeze kistaarabu sio kuwagombeza km watoto hicho ni cheo Cha muda tu ndugu mkimbiza mwenge. Ni maoni yangu tu staki povu hata mm Nina uchungu na Mali za serekali na Kodi zangu nazokwatwa
Kwanini mkimbiza mwenge achukue hayo majukumu kwsni hakuna waliteuliwa na wengine walichaguliwa na wananchi? Hilo ndio ttzo la cc watanzania tusiojua maana ya kua kiongozi mzalendo unayetakiwa uwajibike.hilo linaturudisha nyuma sana.
Huyu yuko kazini masuala ya kusema awe na heshima kanye ulale. Nahuyu namtabilia baada ya mwenge atakuwa Mkuu wa Wilaya.
Kazi nzuri mkimbiza mwenge mungu akupe ulinzi
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi- ndo nini umesema
Jamaaa yuko smart sana
Huyu jamaa mama Samia atapewa maneno ya kumuharibu hadharani
Hakika wewe siyo mwanasiasa ila ni mchapa kazi (Mtendaji). Mungu akulinde
Huyu jamaa zaidi ya hayati Magufuli wallahi mrithi huzidi japo itachukuwa Miaka Mingi
We kuwa na adabu kwa JPM
Mama Samia huyu dogo kaupiga mwingi Sana angania Hawa nyumbu wa Towm wanakuharibia 💪💪
huyu mkimbiza mwenge wakipindi hii nimemwelewa
Mbona kadogo hivyo jaman 😂😂🤞hafu nimempenda Tena 🤭
Ana mke huyo. Nitext mimi.
😄😄😄😄mbavu sina
Uyu mshikaji yupo sawa sanaaaaaaa. Mwizi atasema hayupo sawa. Kwanza anajua vitu vingi... Ache ufala piga kazi
Katika wakuu wa mbio zawenge 🇹🇿 huyu kiongozi nimzalendo sana
Du kazi mnayo kijana wapeleke wezi hao
Mkimbiza mwenge wa mwaka huu yuko makini
Dah safi sana pot angekuapo mzee we ilibidi uwe wazili wa fedha
Wasumbuf sweka ndani ili wengine waogope kula hela zaselekali bambana uko vizur sana
Mzalendo, piga kazi ndugu yangu
Young JPM ✊
Kweli MAGUFULI smetuelimisha Sana kuto KUKUBALI batili kuwa haki hongera baba MAGUFULI huko uliko kekima yako na uzalendo wako na ujasiri wakutuelimisha kupenda vya kwetu na kuheshimu UZALENDO ASANTE KIONGIZI WA mbio ZAMWENGE HINGERA SANA TENA SANA MASHAALLAH
Nimekubali boy wangu pambana sana
Jamaa anajua vitu vingi kuhusu ujenzi dah! Mama hajakosea kumpa nafasi ya kuwa mzindua miradi, la mwenge likiisha amfikirie upya nafasi nyingne
Ukiwa hujui bora unyamaze tu maana unaweza kumtetea mjinga na ukamkandamiza mwenye haki. Huyo jamaa nimemfatilia katika miradi mingi anayoifungua na kwa kweli anafanya vituko kama sio ujinga. Hana lolote analolijua katika ujenzi na ni aibu kwa kiongozi kama yeye. Mfano kwenye huu mradi mkandarasi anasema kitu fulani hakimo kwenye mkataba yeye anamlazimisha lazima afanye. Sasa mtu huyu anajua ujenzi kweli? Wacha mbali ujenzi, huyu mtu anajua procurement kweli?
Anachokifanya huyu jamaa ni ujinga na professionally wrong. Mambo ya kitaalamu waachiwe wataalamu.
Mama samia huyu kijana wa mwenge mpandishe cheo ni mzalendo.na anaonekana amesomea hili ni ombi langu ikikupendeza
Tunasubili mwenge uishe tuje tumpe wilaya
Kama umesikia unakula TU gonga like
Wakandarasi wetu mnatuangusha wakiwe Wachina mnaongea sana lakini kweli hamna kitu taa na feni sehmu 1!
Ondoka nae atatupotezea muda tu fundi umechemka.
Iv kweli apo umeona Kuna feni kweli au siasa2 huo waya wa feni inaweza hamishwa kulingana na aina ya feni itakayowekwa
Ni maneno yake mkandarasi alipoulizwa na kwa ufahamu wangu mdogo kwenye ujenzi,taa angeweka ukutani au kama ataweka celling fan basi haiwezekani vile karibu kama vile alikua aweke angalau mita moja.
@@didasseveline9013 garama za kuamisha utaoa wewe tena
Kazi kazi brother wanaleta sana
Hivi sifa za wakimbiza mwenge ni zipi maana nataka NAMI Nije nipige hiyo Kazi waze
Ivi ndivyo mwenge unavyofanya kazi sio kisa miladi mipya ni kuzindua tuu bila ukaguzi sasa wanaofuata ndio wanakazi utakuta wako kubomoa walekebishe #duniasimama nishuke 😀😀😀😆😆
huyu jamaa yuko sahihi kabisa anatekeleza ilani...ya CHAMA cha mapinduzi na akosei wala akurupuki kwa hiyo mnaam beza shauri yenu
wao wamepewa pesa zote kwann wanashindwa kufuatilia au ndo ufisadi tu engineer imemudondokea
We nawe unaleta uchama Tena humu
Ni fact kabisa ukiweka taaa juu pangaboi ikashuka chini obviously utakosa mwanga ang'avu zaidi ya mwanga kama wa disko na hafifu
Kama taa ina joto chumba hutakaa
Watu wetu wengi wanapenda kula pesa za miradi tu bila kufanikisha mradi
Afande siku zote hana longolongo ni amri tu
Kaza mwanaume ivyo ivyo che guevara
Keep it up wataelewa tu
Nipe namba za mkimbiza mwenge nimpe ya maji kwa kazi nzuli anayo fanya
Uko poah
Mtu kazi...wabane hao wamezoea wanasiasa wenzao
Nimempenda jmn huyu kaka
Salute 🤚🤝
Mafisadi wapo mama huyu kk anapiga kazi
Sasa hapo ndo nn kimeendelea ,kamchekea huyo,ilibidi awajibishwe kbs🏋️
Samia ukipumzika kiti mpeni huyu dogo anatufaa kabisa
Bro yuko vizuri....sema mara nyingi watu wazuri wa hiv hawadumu. Binadamu sisi ni viumbe wa ajabu saana.
Legend never Dead
Nakukubali mungu azidi kukulinda wahovu wa sikuone
Safi sana depo
Kichwa cha habari, kusoma kichwa kinaumaa 😂😂
Uko sawa daah
Ogopa sana ukiona askari amevaa kofia kwa style hiyo harafu uingie kwenye target yake mbona utajuta maana wanakuwaga wanaa Sana ni majeshi mengi sana 😃🙆🙌🙌🙌
Huyo ni askri au mgambo??
@@hamadimgaza4390 yaan mgambo anaweza kuaminiwa kwenye Kaz pevu kama hiyo wanakuwaga askari kutoka jeshini
Safi sana kamanda
Uyujamaa namkubali sana Kaz nzulisana
Nimefurahi huwa napenda kumfalia
Safi Sana jembe hilo
Sjui n wap, alimchamba baba mmoja hiv n mkuu wa shule ya sec flan hiv🙌 huyu kaka noumaa
😅😅😅mhandisi kofia ilivyo minywa anaonekana check Bob kabisa hata haliogopi jinga kabisa
Kaka hii nchi tunahitaji wa2 kama hawa
😂😂😂 wapatikene 10000 tuna nyoka
Duh hatariii
Mkimbiza mwenge nimempenda
Hawa wanajeshi bhana ongea yao tu utafikiri anakukoromea..kumbe ndo anakuelekeza...
🤣🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣kijana njoo unioe niwe mke wako
Upuuzi tu na ngojela zisizoisha!
Katiba mpya itawabana
Hahahaha!!! Namm nmeona mnakula sana
Kaka kuwa makini mfumo wa umeme utafery
Aliezaliwa na haki moyon huwa haangalii hayo anajua sote tu ugenini
Kweli kabisa maana tunaweza kukutana mzena🤣🤣🤣
Ety mnkula tuu nimeon chakula pale n chaii 🤣🤣🤣🤣
My type intelligent.
scope of work
Kiongozi upo sahihi
Mtoto wamara piga kazi brother
Unafaaa
Tunaomba huyu jamaa aje kuwa mbunge wa jimbo letu arumeru........
Hao ni km baba zako au mama zako hata km wanekosea waelekeze kistaarabu sio kuwagombeza km watoto hicho ni cheo Cha muda tu ndugu mkimbiza mwenge. Ni maoni yangu tu staki povu hata mm Nina uchungu na Mali za serekali na Kodi zangu nazokwatwa
Uyu atapandishwa cheo
Wote tia ndani hao kwani takukuru wapo wapi?????
Mafisadi wanaona unawatibulia, kaa chonjo mdogo wangu.
piga hao ....tozo zetu waseme wanapeleka wapi
Oya wauni tunaenda mbinguni af bangi sio mbaya amini ya kwamba.
Kijana piga kaziiii usiangalie sura
Fanya haraka ukuje Tunduma,
Ntakuonyesha wanapotaka kukwepesha usikague.
😂😂
huyu yupo vizuri, wakimbiza wengine waliopita walikua wanakimbia kimbia tu
Dogo yuko vzr
Uyu alie hoji ni mzalendo sana tunatakiwa tuwe na uchungu kwa wezi wa wazi kwa pesa Za umma
Kwanini mkimbiza mwenge achukue hayo majukumu kwsni hakuna waliteuliwa na wengine walichaguliwa na wananchi? Hilo ndio ttzo la cc watanzania tusiojua maana ya kua kiongozi mzalendo unayetakiwa uwajibike.hilo linaturudisha nyuma sana.
Msukuma uyu sio
Saf hiyo roho ya magufuli
Huyu ni Soldier.
Hela za tozo hizo wafuatilie vizuri yupo vizuri
Mchaga huyo safi sana mwana
Kidgo aseme usiniletee majibu yakisenge kisenge Sema kaheshim kamera 😃
Tena huyo mkimbiza mwenge dogo ana hekima xn kwel kbx angekuwa mwngn cjui
Namuona jpm live
Yani kwa mara ya kwanza mkimbiza mwenge amefanya kazi ianayo kubarika
Du? Huyu atakuja kua Rais
Jamaa anamsimamo atari safisana
Kamanda weka ndani uwezi kula Kodi zetu kirais ivyo
Dogo kuwa Makin watakuua. Tanzania Umekuwa ngumu Saàna.
Mkumbuke yalompata Mzee Wetu Magufuli
Kipaji jamaaaa
Hiyo ndo tz bwana aaahhhhh
th-cam.com/video/6tia-5UH4MI/w-d-xo.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO..*#
th-cam.com/video/6tia-5UH4MI/w-d-xo.html
Wataelewa tu wanyooshe na hiyo kofia imekubali kumwaga maji hatari
Bro tunakuelewa Sana Sana
Huyu Kamanda yupo vizuri sana
Hivi kwa nini viongozi hamfanyi kama maelekezo yanavyotaka? Kuelekezwa kila kitu kwa nini jamani?
Wapeleke mwendo wa bus kamanda