#WITOWANGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Pastor myamba is anointed pastor wee maombi yake ya anza siku na Bwana ni 🔥 ubarikiwe sana Dady 🙏
Great Pastor Myamba wewe tumesoma wote shule huko moshi Kilimanjaro.
Haleluya My spiritual Dad, Mungu azidi kumimina mafuta juu Yako ili watoto wako tuzidi kuzifahamu Siri za Ufalme
Sijeona Gods kingdom ni lasima nione hii, juu huyu mtumishi alinifanya nimepende Mungu sana kwa hiyo movie ya devil kingdom, ata nilikuja kushangaa akiubiri injili nikamshukuru Mungu kweli, sai mimi nimekuwa mtumishi wa Mungu tangu 2011 nikakombolewa 2015 nilipokea Roho mtakatifu na sasa ninaamini Yesu atanikumbuka katika ufalme wake
Mungu akubari pasita muyamb
Nilipenda kuanzia kwenye filamu nabado nakupenda sana katika utumishi wako
Asanteni sana watumishi. God's Kingdom tutaipata wapi?
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
....
Mimi nilidhani wakati huo kuwa ulikuwa mchungaji hakika,,,nlipenda vile ulifanya ile kazi kwenye movie.God bless you
Ni kweli kwenye movie zake ni kama alikuwa anafanya kweli kama ni maombi anaomba,Hadi mtu unaetazama unahis hayo maombi yamekugusa,Mungu ambariki pastor Myamba
Nimevutiwa sana na shuhuda hizi❤
Amen
Amena
Ila Mungu anatisha huyu mtumishi alikuwa anaigiza tu kumbe ndo Mungu anapanda mbegu
Huyu tokea akiwa mdogo alikua na chembe chembe hai za yesu
Sijaona God's kingdom movie. Tafadhali mnipe link nikaitazame Iyo movie
ile movie yake ya Jennifer ilinifanya mimi niogope kutumia dawa za kienyeji kabisa wakati nikiwa na ujauzito
Sasa Huyo PK naye jamani ni Mchungaji??Jamani please Mkato huo wa Nywele Nafikiri inahitaji Marekebisho Kidogo
Mbona move zako azipo youtube pastor tuzipataje?
Mimi nakukubalisana hata movie zako zilionyesha tu wewe.ninani.
Pk unameangusha Mungu
Unatuangusha wafuasi wa promover
unaiangusha na promover
Mnyoo gn huo kakaangu km kweli umeokoka?
Acha plz
Sisi ni barua
Lakini namuogopa hadi leo kwa Vile Ameigiza na Mtu aliyeenda saana Kwenye mambo ya giza
Tunaishi na watu wabaya maisha mwetu, majumbani, makanisani, kazini, marafiki zetu, kila mtu anajijua amekaa vipi na Mungu wake. Wote hatujakamilika lakini tukimuhitaji Mungu anatusikia na kutubadilisha
kuigiza na mtu liyepotea njia siyo wote walikua na njia hiyo kila mtu alikua na hitaji lake usiogope
Umefungwa hapo na adui, pole mwaya.