Pt5_Niligundua nimeolewa na jini baada ya miaka mingi na nikashindwa kumuacha|USHUHUDA WA Aps.Zizi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Asante BwanaYesuKristo kutuokoa hayo yote ni kwa wale wasiompenda BwanaYesuKristo
Kweli maisha bila YESU KRISTO hakuna maisha ...ujanja n kuishi ndani ya KRISTO YESU....na kumtumikiaa utakuwa salama kabsaaa...blessed kaka jacktan na Audax na promover tv ❤
Mungu atabaki kuwa Mungu,,ndio msemaji wa Mwisho kwa Kila Mwanadamu mwenye pumzi,,Tunaomba mturushie part zote kwenye group la Mtumishi Amieli nimeiona part 1 tu,tuwatumie na wengine Amina
Mungu azidi kukubariki
Yani shida juu ya shida bila YESU utoboi
Hadi hasira dah! Jamaniii
Huyu mtumishi anazungumza kuhusu maisha yangu hayo ya kiroho na namna naweza kuota ndoto za ukweli na kuona maono na pia niliwah kutaka kaibiwa kichawi vilevile
Blessd
Utuletee testimony yako..sasa na sisi tusikiee❤
@@MaryMichaelMaryMichael-i7o Unajua me sijajaaliwa kuongea/ kujieleza lakni Nachoweza kusema mapepo ni ukweli yapo na YESU yupo kwa asilimia 100 tujitahidi kuishi UTAKATIFU kwa kadri tunavyoweza na ROHO mtakatifu atusaidie
Muendelezo tafadhali. Mbarikiwe
Part 6 wap?
Kama watu wangejuaaaa ujanja ujanja wa shetani....aisee
Embu angalia uzubaifu mwingi na sarakasi namna hiyooo bado tu mtu hastuki tuuuuuuuuu. Jamaniiiiiiiiii
Kazi ya shetani ni kuua na kuharibu na kuiba
😂😂😂 eti tunamsengenya,unamsengenya jini mama
Ukiwa na mdomo zaa nzingine inasaidia
Part 6 please
APOSTLE ZIZI: th-cam.com/play/PLXTmPgeqbJ0mtT0Y1-K7-lt0Jo3lHCotB.html
Mbona wachawi hawaibi ela bank
Azizi umenifanya sijalala jana usiku
Kulikoni mpendwa,,,ulikua unaota au
😂😂😂😂😂😂 polee kimbilia kwa YESU KRISTO sasa uwe salama zaidii