WAKRISTO SIYO MAKAFIRI,KAFIRI NI ANAYEKANA YESU KUWA MOLA•|SHEHE OMAR MNYESHANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Amen ubarikiwe
Naomba tuzidishe maombi kwa Omary Mnyeshani. DAMU YA YESU izidi kukufunika Mtumishi wa MUNGU.
Yesu Kristo ni bwana na Mwokozi wa ulimwengu.hamna mwingine❤
Ushuhuda mzuri sana mtumishi Mnyesheni na una siri kubwa ya njia ya kumfikisha mtu mbinguni, na wengi wanaijua lakini sio rahisi kukubali.
Ila hiyo lugha ya pili ni tamu sana kwa kweli, ubarikiwe mtafsiri.
Mtumshi Wa JEHOVAH MUNGU Omary Mnyeshani Umewachapa vizuri waislamu makafiri kwa NENO LA MUNGU ALIE HAI.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimekuelewa sana ila ingekuwa vizuri ungetuambia kwenye quran sura ya ngapi ili tukikutana hao watu tuna udhibitisho