ASKOFU MWANAMAPINDUZI AWAANIKA HADHARANI VIONGOZI WANAFIKI NA WAONGO WAONGO, CHANZO CHA MIGOMO TZ
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
- #TANZANIA: Askofu Mwanamapinduzi balaa, amvaa Rais Samia bila woga, migomo ya Wafanyabiashara, "ni siasa?, amezungukwa na watu waongo waongo"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Mwanamapinduzi Mungu akubariki sana umesema ukweli kabisa, wanamdanganya mama anashindwa kutoa maamuzi ya kusaidia wananchi wake anaamua kwa kusikiliza hao wanaomdanganya alafu wananchi wanakosa imani na mama wanaona kama anawapuuza, kumbe hao wanamdaganya wanasubiri hali iwe mbaya wamtupie lawama.
Kugoma wilaya ya uvinza ni sh 22500
Umeme umekuwa tishio. Hayo Mankato hatuyaelewi.
Viongozi wa ccm ni zaidi ya majambazi maana wanatunyonya ,kwenye umeme do balaa
Siyo kugoma ni kigoma
Carword into Tanzania national will drive as lnto more trable but is ok let it be ndio tutapa akili zaidi ujinga wetu ndani ya utumwa bado tunasubiri nvua ingine ili tuone Pana vuja