BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-10
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761
PPE personal protective equipment
WALIYE VUNJA RECORD BAHARIA #GAMBA VS #KABUNYAU hawa
jamaa daa! Sema uyu baharia nayeye ameuwa kinoma kumbukeni Ameanzia
ubahari kwenye MAJI YA KUNYWA mujue😂
Siyo kitoto ziwan siyo poa
Halafu istoshe uyu baharia
Maisha yake yalikuwa ndan
Ya bahari lakin wale tulio waskiliza walipita baharin
Kisha wakafika nchi kavu
Maisha yao yakaendelea uko
Stori iliyokua juu sana ya 2023 ilikua ya 'Kabinyau' jamaaa wa kokorikoo...mwamba alijua kuhadithia sana story yake,step by step.....kutoka bongo,dizonga hadi mwamtoni ulaya,,,,,lakini hii nimeshindwa kumalizia sielewi
Anzia mwanzo utasau hio ya mzee wa kokoriko
@@shaloboy3861 kuna lipi kaka
Big up stori nzuri
Yeah mbanga kwa hewa 🔥🔥🔥🔥🔥😊
Baada ya dhiki Faraja
Nai subiria
Paka awezi kuwa Panya ✌
Usiombe Kwenye Kazi Ukutane Na Muhindi Utajuta Ndomaana Umangani Mwarabu Anamchukia Muhindi Kama Halijakukuta unaweza Kusema Mwarabu Anamuonea Muhindi
Kabisa mpendwa fitina nyingi
Mchecbemuzi msizifungie wengine tuanatamani kuzitizama wakati wa utulivi so mkizipiga pini tunashangaa y mchehemzi unatunyima uhondo
Sijaelewa?? Mbona haifunguki
Ilikua bado, chini kumeandikwa itakuwa premiered baada ya dk kadhaa