Shekhe Shafii mimi nakupendea michapio yako. Uko tayari kusema uongo kunusuru dini yako bila kujali adhabu ya Mwenyezi Mungu itakayowakabili waongo wote siku ya amri kiyama.
Wewe njoo tukufundishe hujui lolote,,kama muhamad ndo loho wakwel na ndo alietabilia na yesu kwamba atakuja bas mhamady nimtume wa yesu ko mhamady alikuw anamwabudu yesu,,,katka yohana 16.14,anasema,yeye atanitukuza mimi kwakua atatwa katka yalio yangu na kuwapasha habar.
Mungu hakushindwa kumnusulu Yesu msalabani, Bali ilikuwa lazima ateswe,afe na afufuke soma Marko 14 : 36 Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.
Shekhe Shafii mimi nakupendea michapio yako. Uko tayari kusema uongo kunusuru dini yako bila kujali adhabu ya Mwenyezi Mungu itakayowakabili waongo wote siku ya amri kiyama.
Wallahi huyu shafii ni ahmed dedaat walewo ❤❤❤
🙏🏻🙏🙏🙏🙏🙏❣️
الله اكبر
NDEGE Iko wapi hapo
Mashallah, 😂😂Jazakallahu kher
😢Csnbb.
Ona shehe linavyokufuru kwa kutafta sifa na visa vyake vya uongo uongo anaongea kufru za wazi na waislam mnamsifu
Wewe kwanza ni mjinga wa mwisho
Mjinga mwenyewe kwan kakulazmishA umsikilize kama ujaelewa nyamaza
Sasa hapa huwezi kupata ukweli kuhusu jambo hilo. Kama kweli juu anachozungumzia aposti video ya Mdahalo huo ili aendelee kutuhadithia.
Shafi hivi ndivyo mnavyo hubiri na uwongo wenu😂😂😂😂
Nyie kawchangie mapastor wen magari
Wewe njoo tukufundishe hujui lolote,,kama muhamad ndo loho wakwel na ndo alietabilia na yesu kwamba atakuja bas mhamady nimtume wa yesu ko mhamady alikuw anamwabudu yesu,,,katka yohana 16.14,anasema,yeye atanitukuza mimi kwakua atatwa katka yalio yangu na kuwapasha habar.
😂😂 kwan Muhammad anamkataa yesu
Yesu ni muislam na Muhammad pia wote ni Sawa na Muhammad anasatikisha ya yesu kwa sabb wote wametumwa na mungu
Hawa wapumbavu sana kwhyo nyie kazi yenu nikubishana tu
KILA KITU ULICHONA SHAKANACHO RUDI KWENYE MAANDIKO NA SIYO PROPAGANDA.
Ndio
Ila Naomba nikulize Kama hutojali ' nawe nikatika kondoo waliipotea ?
Ao bado Upo kwenye zizi?
Unatumia majani gani?
Mashudu huli?
ww dogo andiko lako liwapi? usibabaishe watu
We kafiri tu unasema nin na ukifa hali ya kuwa kafiri wewe ni ukuni tu
Mungu hakushindwa kumnusulu Yesu msalabani, Bali ilikuwa lazima ateswe,afe na afufuke soma Marko 14 : 36 Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.