Tazama kisanga cha mzee aliyetishia kumletea nyuki Mkuu wa Mkoa Dodoma
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, kama ambavyo mzee huyu anayefahamika kama Shabani Nyambo aliyehamishwa eneo la Mzakwe jijini Dodoma miaka kadhaa iliyopita kupisha eneo la hifadhi ya bonde alvyoeleza namna ambavyo walifanya dua na kuleta nyuki zlizozinga waliotaka kubomoa nyumba yake pamoja na kuzuia miti kuota kwenye eneo hilo wakidai wapewe ardhi ili mambo yawe sawa.
ikumbukwe kuwa eneo hilo aliwahi kupanda miti Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa makamu wa Rais, huku Makamu wa sasa Dk Philip Mpango naye akienda mara kadhaa kufuatilia na kuelekeza ipatikane suluhu ya upandaji wa miti kwenye eneo hilo jambo lililopelekea mkuu wa mkoa wa Dodoma kwenda na wataalamu mbalimbali pamoja na Wadau ili kupata suluhu miti inayopandwa kwenye eneo hilo kukauka
Nafikiri Mzee anachosema ni kwamba unapotenda haki hata Mungu wa mbinguni anafungua baraka zake, ni hesabu rahisi tu
Kweli kabisa
Wazee kama hawa ni hazina kubwa sana. Cha ajabu vijana wanawakimbia huko vijijini kuja mjini badala ya kuomba kupata ujuzi ili kuokoa jamii zao. Safi sana mzee, wanyooshe siku nyingine wakija kuleta fujo wakute kuna bahari.
🤣🤣🤣
Nitapaje namba yake nin shida nae
Safi sana mzee umefanya kitu kizuri wamezidi dhulma viongozi wa kiafrica, asa kwenye upande wa Ardhi
Nataka number ya huyu mzee
Duh! Leo Serikali imepatikana 😁😁😁Toeni tuu huyo Kondoo Miti iote.
Nyie viongozi,jaribuni kutenda haki.
Mzee anaelezea waliyotendewa.
Badala ya kutafuta suluhisho na nani alihewadhulumu mnasema achia.
Tena nami naomba Mungu asimamie hilo,miti isiote mpaka mtoe haki zao.
Mzee hajasoma lakini ana Elimu nyingne na wasomi hawaijui iyo Elimu nyingne
muheshimiwa nakukubali sana mzee unaye busara sana......usiishie kuwa mkuu wa mkoa tu....
Mzee mcheshi sana..Mungu ampe furaha na uzee mwema.
Mzee amewapa live na liwalo liwe. Mzee we ni king 👑
Safi sana mzee, nimekuelewa sana
Safi Sana mzee ulionewa mungu akakutetea
Safi Sana mzee, Nakuomba utuuliwe hawa mafisadi walioleta hizi tozo
kweli mzee ukiomba dua Allah hakawii kuitikia ulichoomba
Kabisa tena ukiwa umedhulimiwa
Nimempenda babu
Leta hizo nyuki hapa Kenya tupatie mtu Fulani mwenye sitataja jina lake
Sio nyuki tu na radi pia inafa kazi aache kudhulumu kenya wanapenda kudharau ila wakitafuta watapata tiba .
Serkal Iache Kudhurum....
Iman OG za Kiafrika/kikush ziko Makin sana...
Mungu Nimwema Hamtupi Mjawake Serikal Achen Ubabe Kwa Mali Zawatu Mungu Anawaona
Mzee endelee kuwatimulia nyuki iliwaaingie akili waache dhuruma
Wanyoshe mzee hao wameota vitambi vya dhuluma sana
Vzr sana
Piga kisomo mzee Tozo ziondoke wanatutesa Hawa wanaoupiga mwingi,
mze, umenikumbusha, mbali, hata Mimi nizulumiwa, pampu, yakumwagilia, bustan, na. Mkuu. Wa wilaya. ila najuwa. Alla. Atanilipa. hata. Siku za. Mwisho
Ukisiliza maongezi Mzee shambani anaonekana msomi zaidi ya hao wanao muhoji
Du mzee noma karoga aridh isioteshe miti
Mzee enderea kudumisha mira serikari imezoea kuzurumu mwananchi inatakiwa wakuripe aridhi na wakujengee kwasababu wamekukuta kwenye nyumbe
Wapeni aridhi yao familia ngapi hapana pakuishi wazee msikubali kuchinja mpewe aridhi nakujengewa pamoja miundo mbinu yote km shule zahanati maji barbara
Mzee 💯💯💯💯 tuma makombora eshima idumu wasitumie cheo kuzurumu watu wa chini
Huyu mkuu wa Mkoa alikua mtu mzuri sanaa jamani tenaa alikua na busara mno
😂😂😂Mzee wa wa mjini huyu nimemkubali hataki dhulma mwenyezimungu akujaakie kubri mzee ili wanao kudhulum unawapiga dua tu
hakika mzee dumisha mila. Mungu yupo kwaajili yetu
Haswa wasizoe dhuluma
Haki hudaiwa kwa njia mbalimbali. Hapa ilichelewa na sasa imefika
Tatizo Ukweli Usio Na Shaka Watu Wengi Wanatamani Uyo Babu Awachanje Tambikeni Mizimu Ilisaidia Wakati Wa Ukombozi Wa Taifa Hata Mkombozi Wa Taifa Analijua Ilo
Mzee umesema ukweli ardhi siyo kitu cha kudhulumu mungu ametoa jibu kwa maombi yenu
Watu watakasirika unamtaja Rais wanyoge vibaya ukweli usemwe tuu
Walipeni jamani hao wazee mtapata madhambi dhulma.siyo nzuri
Mzeee kausha adi majani wao wanategemea kusoma kwao
Kwenye nyuki hakuna cha bunduki utaitupa tu nautapita jia ambayo huijui
Milioni kumi yakuanza maisha hapo mungu atabariki hiyo aridhi
Hawa wazee noma jamani kama hamkuwasikiziza wanachosema hamfanikishi
safi sna mzee
Mtaka wetu ! Huku Simiyu tumekumiss !!!
Safi sana mzee wanyoroshe hao
Huyu mzee ana sauti kama ya malehu Magufuli nimempenda saaaaana
Yaani serikali iangalie sana uongozi wa jiji la Dodoma. Waliokuwa CDA Dodoma na viongozi waliopo bado wananyanyasa sana watu. Kweli kama una nyuki unawaachia tuu waumwe
Hayo mambo yapo , yataendelea kuwepo , kila kabila , kila sehemu na ukibisha utangukia pua , mlizeni nyerere anajua vzr babake alikuwa chifu walichofanya mkoloni kachia tz kwa hiari yake
Hata Yesu alitoa sadaka kwa ibilisi ili aondoke kwa yule mtu aliyekuwa na kundi la pepo na kuwapa nguruwe.
Mmmh we jamaa wacha urongooo
Huyu mzee namjua tunakaa nae sehemu Moja ni mEe mwenye busara sana ila mtata
Mpe mzee ardhi.
Mzee kamuwa kuwapa ukweli serikali iwatowe sehem zao za kuishi bila kuwapa aridhi na kuwalipa hii ni dhuluma ni bora alivyo amuwa kuwa shitakia kwa m.Mungu yy ndie atakae waacha washidane nae
U jasir mnatoa wapi kubomoa nyumba za watu mbona roho mbaya haiishi
Natamani kupewa hata namba ya huyu mzee kwakweli nigeweza kuongeya naye maaana kesho tutabaki kizazi hatuna hata ulidhi….wazungu japo kuwa waliyuleteya vitabu milazao hawakutupa kamwe .niulizeni mimi hapa
Hikikizeesiokichawilakini?
😃😀😃😃wazee
Viongozi wa Afrika roho mbaya na tamaa
Kitambi hicho ni cha mshahara tu?
Mie naomba no ya Mzee shambani
Duh!Mie napita kidogo
Mlipeni nyumba yake milioni 60 mzee amekasirika mlipeni amtafanikiwa miti kuota
Kiufupi baadhi ya viongozi wa Serikali wajitahidi kuwa waadilifu,maana kuchukua haki ya mtu ni kitu kibaya sana na ukizingatia kila mtu ktk Dunia hii anatalanta yake ,Sasa yanini kupata hasara kumbe jambo lenyewe ilikuwa ni kuwafidia haki Yao kama walivyofidiwa wananchi wa maeneo mengine wa Tanzania ,na Kuna kitu watu wengi hatujui manabii walitufundisha kuwa tuogope machizi na Dua ya mtu aliyedhulumiwa.
NA NINYI SERIKALI NI WAOGA HIVI KWELI KIBABU ANAWACHANGANYA HADI MNAMLIPA KONDOO NA NG'OMBE? WALIPENI WATU HAKI ZAO! MSIDHUEUMU MTU YEYOTE AWE MCHAWI AU MWEMA WATENDEENI HAKI.
Kweli muwape aki zao
Kimewakuta kitu 😄
Mzee anaongea Sana huyu
Nataka number ya huyu babu mimi
Wanyooshe mzee usiwahurumie
That is a science
Ushirikina uwo
Fateni haki mmalizane na mzee
Wazee Kama Hawa Ndio Tunaotaka
Sasa mwendelezo wake ukoje?mpaka sasa
Saf mzee
Huyu mzee kaniacha hoi
😃😃mkubwa hachutami mpeni haki yake hayatatokea
V
Sasaivi Viongozi Wa Dini Wameganda Kwenye Nyumba2 Za Ibada Kwasababu Binadamu Tumetoka Mbali
Matambiko ni hasara
Magu aliwazulumu hawa wananchi,walitia huruma sana wawape ardhi.
Sio magu, kilikua kipindi cha mwisho cha mkapa, na mwanzoni mwa kikwete
@@mazengolucas5205
Sasa Magu mtetezi wa wanyonge alikuwa hajui udhalimu ulioenea kila idara ya serikali? Huko ardhi na mahakamani kama huna hela za kuwalishia wakubwa unanyang'anywa haki yako kimachomacho.
Huyo ni mzazi wenu jamani.
*Huyu mzee ndugu mtangazaji aishi Dodoma mahala Gani nataka nikamtembelee amjuwe mungu wakweli sio Huyu anayemuamini yeye akazuia maendeleo*
komaaaaa
Msizarau wazee mkiwa kwenyevyeo
Hii Serikali hiko kishenzi Sana,Mnatumia nguvu Sana kuliko Akili na Uzalendo Sijui Shetani gani bado anawakumba Viongozi wa Tanzania,You are educated but you are not helpful,Patriotism is Zero 100 percent. May you please wn you are looking for advantageous Position respect the Residents(Civilians) as well,we are all Tanzanians. Being a Leader does not mean to oppress others,Ukimfuatilia huyu mzee ana hekima Sana but ninyi Kila kitu ubabe tu Upuuzi Upuuzi tu na Marushwa,hacheni mambo ya kishetani😒
3tw
Ddd
hahahhahahaaaa
Mummhh makubwa.
Wapeni watu haki zao msiwafanyie watu hadaa fedha za serekali mnazila watu hamuwapi stahiki zao haifai hatutapata neema
Siungi mkono kamwe kutoa kafara kwa miungu wegine hiyo ni laana .
pili serkali musinyanyase wanachi ni laana kubwa pia.
kwa jumla hayo ndiyo inaleetea Tanzania laana ama taifa lolote laana.saburi 1:1-5.
Suluhisho : serikali msidhulumu wananchi wapeni haki Yao .na nyinyi wazee muache uchawi.
Nyote serikali,wazee tumbunini dhambi zenu na miti itanawiri na Tanzania itabalikiwa na nchi yoyote pia kwa jina la bwana yesu Kristo. amen
Wew hujui hizo nguvu zote siyo za shetani ila kama mambo yakifanywa kwa nia ovu. Watu wasipagawe tu na Yesu bila maarifa hata Yesu alikuwa mganga kuna uganga wa Mungu ( ukuhani) na wa shetani zote ni nguvu moja ya haki na nyingine ya uovu. Nani asiyejua uchawi umezungumzwe kwenye biblia na uganga pia?
upo sahihi ila mi sielewi kitu inasemekana maandiko yanasema watu walikuwa wakikosea wanachinja na kuteketeza wanyama ndan ya moto ili kupata msamaha vip ilikuwa laana naje ibrahim alivyotaka kumchinja isumail kama kafara akaletewa kondoo na akachinja kama badala ya mtoto vip ilikuwa laaana shida ni maalifa ndio maana imeandikwa watu wang wanaangamia kwa kosa maarifa
Kama wanaabudu mwenge wanashindwa vipi
Acheni ubishinserikali wasikilizeni wananchi
😂😂😂😂😂
Mzee anapiga "ramli chonganishi"! Hajui anajishitaki kwa serikali.
mzee hajishtaki ila.ameishitaki serekali kwa.mungu na mungu amemkubalia maombi yake hakuna ramli.chonganishi hapo? tuache imani potofu mungu yupo naanaitikia.maombi ya wanaodhulumiwa wewenukidhulumiwa na hauna.lakufanya utakimbilia wapi zaidi ya.kwa.mungu wako?
Acha uoga
Miungu iko mengi sio Mungu akiyeziumba mbingu na nchi
Dua ya mwenye kudhulumiwa haina pazia,,kwa iman na mafundsho ya kiislam,,, mzee yuko sawa
Watamfanya nini hao serikali
Matambiko ni hasara