RAIS SAMIA APIGIWA SIMU LIVE KUTOKA KIGOMA, SIKIA ALICHOONGEA NA MZEE HUYU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- RAIS SAMIA APIGIWA SIMU LAIVU KUTOKA KIGOMA, SIKIA ALICHOONGEA NA MZEE HUYU
RAIS Samia Suluhu amezungumza na balozi wa shina namba moja kata ya komunyika wilaya ya Kasuluhu mkoani Kigoma, Ahmed Rugina na kumpongeza kwa kuongoza shina hilo kwa miaka 20
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nampenda rais wa Tanzania mpka namskia kw damu! Aki anaogea na raiaa wake....HE Samia God bless u all of ur life...
Nyie wajinga sana
@@dazzfex4280 ¹¹¹
Mambo ni fire
Nakupenda bure raisi wangu mama Samia! 2025 nakupa kura yangu kwa hiari ambayo sikuwahi kumpa mgombea yeyote wa CCM. Hongera mama!
Nakupenda raisi wangu samia
Mungu akubariki sana sana na akuzidishie maisha marefu
Mzee juma ya kweli hayo
Mzee unaacha kuomba vitu mhim kwa kijiji chako unaomba kadi za chama tena?
Safi kabisa mzee baba
badala uombee issue za msingi wew unaongelea issue za kadi upuuzi mtu
MAIGIZO MATUPU WAPINZANI NAO WAKIFANYA HAYO MNAYO YAFANYA JESHI LA POLICE HUWAKAMATA ....
Dah mzee ameongea vizuri sana
Hongera Samiha Suluhu
Umetishababa
Jamani tanzania raha yaani unapiga simu unaongea nae moja kwa moja kenya jamani sijuwi 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
Hata marekani
Ni kweli ina pendeza sana
Safi sana
Chezea muha wee wangekesha anajuta kumpa maiki😁😁😁
Sisi na mama, mama na sisi Allah amlinde daima Raid wetu mpendwa
Nakupenda mama
Hizo ni mbinu za kampeni wanainchi wanatedeka nyinyi mnasifu hewa hapo
Unateseka we wwmekuambia uwasemee
Mw. Mungu akubariki mh mama Samia
KICHWA Cha habari hakiendani na tarifa mnayotoa
Jifunze quran kusoma na kuanfika gusa picha yang hapo
Martha baraka
G00d
Muezesheti mana anaonekana maisha magum
Huyu ndio alikuwa rais wengne ovyo tu kama huyu tulienae hakuna kitu kabisa Ila mungu amlaze mahali pema pepon
Mm pia naomba namba ya mama Samia suruhu hasani
My Queen, My President, My Country 🙏🏿❤🖤
Mbinu naona.
Kiswahili cha Kigoma ssa 😁😁
miaka mingapi imebaki tupigee kuraaa miata siwaelewi ukorofiiiii🤐🤐🤐🤐
Wananchi pembeni wanasema majiii yeye Anasifia tu na kutaka kuonana na samia huu ni utumwa wa fikra na kutokujielewa 😡😡
Hajasifia kila kitu, alikua anambeza ili kupata nafasi ya kusikilizwa. anajua kuongea kisiasa, na kila akisifia moja anatoa jingine la kuomba msaada. Kama umeona hapo mwisho kakatishwa kuongea ila alikua anaendelea kutoa maombi. sio kila nafasi unayopata inabidi tu upige kelele. Huyu mzee sio muongeaji mzuri saana ila siasa anaijua
Uongo mtupu hapo nakukumbuka R.I.P magufuli
Hatimaye Mzee huyu Mzee juma Ahmad Rugina Amefariki Dunia Leo Tarehe 7 decemba .. Balozi wa nyumba kumi aliyewahi kuongea na Raisi na kumtania
Safi.
Mm naomba namba ya mama wetu wataifa
*Mafua mafua kidogo maana yake anataka apigwe jeki kimpango mpango*
Umeona ehhh!
Na haimanishi mafua ndio watu wachangwe jamani duu
Masuala ya uhai wa chama na kujua idadi ya wanachama kwani tupo kwenye kampeni
Yahabibaru
Nimehamia ccm kwa kua nampenda mama etu ana upendo na watu wote pia anaamini binadamu wote ni sawa pia anaheshimu watu wa umri wote .
Ww unaoneka umeishia fom four akili una unafuraishwa na nn magufuri alisema vilaza awatakiwi
Uko sahihi mama ni muungwana sana
MUNGU akulinde na mahasidi,waroho wa madaraka,wanafki na vibaraka wanaotumiwa na mataifa ilibkuliangamiza Taifa letu,
MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU wabariki viongozi wetu,
Kazi iendelee!!!!
We mzee pigania k2 point ili kijiji kikukumbke acha kupigania kady ban
Nimetapeliwa hela na kampunila mkopo dodoma naomba mnisaidie jamani
KAZI ZA JPM H A PA KAZI TU !
Move
Pongezi nyingi kwako Rais wangu. Wewe pia ni rais wa wanyonge nimefarijika sana..umeonesha upendo wa hali ya juu
Very nice
Naomba namba ya raisi samia
Mzee Juma Hajitambui Anamsifiaje Samia Kwenye Miradi Ya Jpm?!!!
Acha rohombaya we sio lazima tushabikoe lichama lako LA chadema
Miradi ya Makufuli ni ile ya Chato , hii anayo fanya Samia ni ya kitaifa.
Mazl
Hana maajabu
watanzania mapoyoyo hao
Rahaa gani hapo watz wanazid kuumia nyie mnafurahia nin zindukani nyie msiwe wapumbav wa fikla
Mpumbavu ww ustukazmishe tufuate chama chako cha wavuta bangi
Malikia Samia Rais wetu oeeee
Katiba mpya tunaihitaji kwa ustawi wa taifa na demokrasia yenye tija, nisafari ndefu,swali ni kwamba nileo ndiyo imeonekana umuhim?maana ingekua muhim tangu mwanzo huko wasingeshiriki tokea mwanzo mpaka tuipate katiba, Jipambanue kwa uchapakazi mwisho wa siku wakose lakusema hata hao mlio waamini wakageuka nakufanya kampeni za kukuhujum waziwazi kabla ya muda wa kampeni,Waaibike,Japo tunafaham sababu ikiwemo kuziba mirija yeo,.
Hambari
Oyoooo
Ndoman zegeri kaiga kwako hongera baba
Namuyakumbuke munayo yapitia heeee haya bhana
Yake yske ya mwenda zake ziara za kazi kama kampeni
Nyie hamjui vile mnapokeza kitu ambayo hakuna
Njema sana
Hongera kufufua chama mashinani.
Wapambe wanamziwia asiongeeee
Mjumbe ameongea piint
Hamuna lolote nchi imekushindeni hatuwataki
2025 watanzania tuhakikishe tunafanya mageuzi, hatutaki kubuluzwa tumechoka.
Mageuzi yapi ccm daima
Mnadanganywa na chadema kuwa kuna maisha mazuri bila kufanya kazi hakuna iyo mtadanganywa sana wajinga
D
Hanma chamaana hapo
Mimi nazisoma comment zenu tuuuu
Stendyamagufuli
Wabongo sisi ni Mabogaz san apo watu tayar wanamuona Mama anafaa Sijui Kakufanyia nini Kikubwa Mwananchi
Sifa za kijinga
Mchango walisubungeni
Hii ni nzur endelea na Hilo kuskiliza maon ya wananchi r.i. peace my presedant
Nothing. hovyoooooooooooooooooooo
Kayumba chunga
9
Mchango was list Bingen
Mama wawapumbavu wasojielewa
Mpumbavu we sisi tunaona mbali hamm uspofanya kaz utalaumu tu
@@charlesngwembele4541 we mbwa acha kujipendekeza. Maisha yamepanda sana, au hunui huku ges, mafuta yakupikia, unga, Mchele vyote vimepanda kwakas, au we nikula kulala bure? Mamayo usishabikie akat machinga wanakimbia nahakuna wakuwatetea. Nyambafu
Stephano munish
Saf
Huuuuu
TUMAINI MAYENGA
Mkude simb
CT
Comedy
buhigwe
Mafua mafua
Siandiki kitu.
Mama sio mtu wa wanyonge hakuna hata kusema chochote kusema juu ya Mzee hamna kitu huyo
Kafi... kwani huyo katibu anafanya kazi ya nani
Acha ubwa ubwa weee unapenda kuitwa mnyonge
Angekuwa magufuli angempa hata hela
Sawa
Heri wewe Juma. Nawapata nikiwa Nairobi nami nashukuru kumsikiliza Mheshimiwa Rais was Jamuhuri ya Tanzania
Tunawapenda. Nimekula chakula kizuri kutoka kasulu.
Tanzania 😂😂😂🙌🙌🙌
Hatuchinjwi hatuchanjwi 🇹🇿🤣
th-cam.com/video/-iHnihcaB2w/w-d-xo.html
Utam video
Amna serikali apo,utopolo mtupu
pumbavu wakubwa
G00d
KAZI ZA JPM H A PA KAZI TU !