RAIS SAMIA APIGIWA SIMU LIVE KUTOKA KIGOMA, SIKIA ALICHOONGEA NA MZEE HUYU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • RAIS SAMIA APIGIWA SIMU LAIVU KUTOKA KIGOMA, SIKIA ALICHOONGEA NA MZEE HUYU
    RAIS Samia Suluhu amezungumza na balozi wa shina namba moja kata ya komunyika wilaya ya Kasuluhu mkoani Kigoma, Ahmed Rugina na kumpongeza kwa kuongoza shina hilo kwa miaka 20
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 123

  • @mayiahnoah2157
    @mayiahnoah2157 2 ปีที่แล้ว +7

    Nampenda rais wa Tanzania mpka namskia kw damu! Aki anaogea na raiaa wake....HE Samia God bless u all of ur life...

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 ปีที่แล้ว +11

    Mambo ni fire

  • @gastonealinda7494
    @gastonealinda7494 2 ปีที่แล้ว +6

    Nakupenda bure raisi wangu mama Samia! 2025 nakupa kura yangu kwa hiari ambayo sikuwahi kumpa mgombea yeyote wa CCM. Hongera mama!

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 ปีที่แล้ว +9

    Nakupenda raisi wangu samia

  • @ZawadiMgeni-l6r
    @ZawadiMgeni-l6r 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana sana na akuzidishie maisha marefu

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 2 ปีที่แล้ว +6

    Mzee juma ya kweli hayo

  • @geofreyambakisye767
    @geofreyambakisye767 2 ปีที่แล้ว +6

    Mzee unaacha kuomba vitu mhim kwa kijiji chako unaomba kadi za chama tena?

  • @sengengemangae3698
    @sengengemangae3698 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi kabisa mzee baba

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo407 2 ปีที่แล้ว +1

    badala uombee issue za msingi wew unaongelea issue za kadi upuuzi mtu

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 2 ปีที่แล้ว +5

    MAIGIZO MATUPU WAPINZANI NAO WAKIFANYA HAYO MNAYO YAFANYA JESHI LA POLICE HUWAKAMATA ....

  • @ericron6115
    @ericron6115 2 ปีที่แล้ว +14

    Dah mzee ameongea vizuri sana

  • @fatumazangu8727
    @fatumazangu8727 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Samiha Suluhu

  • @user-pk7xj3dr6w
    @user-pk7xj3dr6w 7 หลายเดือนก่อน

    Umetishababa

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 2 ปีที่แล้ว +16

    Jamani tanzania raha yaani unapiga simu unaongea nae moja kwa moja kenya jamani sijuwi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe8280 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @sophiaalexander6025
    @sophiaalexander6025 2 ปีที่แล้ว +3

    Chezea muha wee wangekesha anajuta kumpa maiki😁😁😁

  • @rajabrukonge580
    @rajabrukonge580 2 ปีที่แล้ว +10

    Sisi na mama, mama na sisi Allah amlinde daima Raid wetu mpendwa

  • @Vaileth-sk2wf
    @Vaileth-sk2wf ปีที่แล้ว

    Nakupenda mama

  • @andreasilah5439
    @andreasilah5439 2 ปีที่แล้ว +5

    Hizo ni mbinu za kampeni wanainchi wanatedeka nyinyi mnasifu hewa hapo

  • @mahamoudmakotaperfumes8788
    @mahamoudmakotaperfumes8788 2 ปีที่แล้ว

    Mw. Mungu akubariki mh mama Samia

  • @joycemasinde3936
    @joycemasinde3936 2 ปีที่แล้ว +1

    KICHWA Cha habari hakiendani na tarifa mnayotoa

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +2

    Jifunze quran kusoma na kuanfika gusa picha yang hapo

  • @lenazitabaragula7544
    @lenazitabaragula7544 2 ปีที่แล้ว +1

    Martha baraka

  • @imaninyawenda15
    @imaninyawenda15 2 ปีที่แล้ว

    G00d

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 ปีที่แล้ว +2

    Muezesheti mana anaonekana maisha magum

  • @hajilukwaja1271
    @hajilukwaja1271 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ndio alikuwa rais wengne ovyo tu kama huyu tulienae hakuna kitu kabisa Ila mungu amlaze mahali pema pepon

  • @HusseinKaniki-yh1hv
    @HusseinKaniki-yh1hv 11 หลายเดือนก่อน

    Mm pia naomba namba ya mama Samia suruhu hasani

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 2 ปีที่แล้ว +7

    My Queen, My President, My Country 🙏🏿❤🖤

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbinu naona.

  • @tozyalex2289
    @tozyalex2289 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiswahili cha Kigoma ssa 😁😁

  • @isamony58
    @isamony58 2 ปีที่แล้ว +2

    miaka mingapi imebaki tupigee kuraaa miata siwaelewi ukorofiiiii🤐🤐🤐🤐

  • @Redgoby
    @Redgoby 2 ปีที่แล้ว +10

    Wananchi pembeni wanasema majiii yeye Anasifia tu na kutaka kuonana na samia huu ni utumwa wa fikra na kutokujielewa 😡😡

    • @modelka222
      @modelka222 2 ปีที่แล้ว +1

      Hajasifia kila kitu, alikua anambeza ili kupata nafasi ya kusikilizwa. anajua kuongea kisiasa, na kila akisifia moja anatoa jingine la kuomba msaada. Kama umeona hapo mwisho kakatishwa kuongea ila alikua anaendelea kutoa maombi. sio kila nafasi unayopata inabidi tu upige kelele. Huyu mzee sio muongeaji mzuri saana ila siasa anaijua

  • @pendoshedlack7437
    @pendoshedlack7437 2 ปีที่แล้ว +1

    Uongo mtupu hapo nakukumbuka R.I.P magufuli

  • @abubakarilugina-zw4gt
    @abubakarilugina-zw4gt 9 หลายเดือนก่อน

    Hatimaye Mzee huyu Mzee juma Ahmad Rugina Amefariki Dunia Leo Tarehe 7 decemba .. Balozi wa nyumba kumi aliyewahi kuongea na Raisi na kumtania

  • @rehemajohn5410
    @rehemajohn5410 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi.

    • @HusseinKaniki-yh1hv
      @HusseinKaniki-yh1hv 11 หลายเดือนก่อน

      Mm naomba namba ya mama wetu wataifa

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 2 ปีที่แล้ว +7

    *Mafua mafua kidogo maana yake anataka apigwe jeki kimpango mpango*

  • @kawuguramadhani2441
    @kawuguramadhani2441 2 ปีที่แล้ว +1

    Masuala ya uhai wa chama na kujua idadi ya wanachama kwani tupo kwenye kampeni

  • @shuweinakhamis9912
    @shuweinakhamis9912 2 ปีที่แล้ว +1

    Yahabibaru

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 2 ปีที่แล้ว +13

    Nimehamia ccm kwa kua nampenda mama etu ana upendo na watu wote pia anaamini binadamu wote ni sawa pia anaheshimu watu wa umri wote .

    • @dazzfex4280
      @dazzfex4280 2 ปีที่แล้ว +1

      Ww unaoneka umeishia fom four akili una unafuraishwa na nn magufuri alisema vilaza awatakiwi

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Uko sahihi mama ni muungwana sana

    • @rahmarajab3688
      @rahmarajab3688 2 ปีที่แล้ว

      MUNGU akulinde na mahasidi,waroho wa madaraka,wanafki na vibaraka wanaotumiwa na mataifa ilibkuliangamiza Taifa letu,
      MUNGU ibariki Tanzania,
      MUNGU wabariki viongozi wetu,
      Kazi iendelee!!!!

  • @tumainikisole4782
    @tumainikisole4782 2 ปีที่แล้ว

    We mzee pigania k2 point ili kijiji kikukumbke acha kupigania kady ban

  • @FrolaNziku-wn9qs
    @FrolaNziku-wn9qs ปีที่แล้ว

    Nimetapeliwa hela na kampunila mkopo dodoma naomba mnisaidie jamani

  • @enockfumbuka107
    @enockfumbuka107 2 ปีที่แล้ว +1

    KAZI ZA JPM H A PA KAZI TU !

  • @elizabethkilendi9996
    @elizabethkilendi9996 2 ปีที่แล้ว

    Move

  • @rukialutenga6189
    @rukialutenga6189 2 ปีที่แล้ว

    Pongezi nyingi kwako Rais wangu. Wewe pia ni rais wa wanyonge nimefarijika sana..umeonesha upendo wa hali ya juu

  • @bensonmbise8515
    @bensonmbise8515 2 ปีที่แล้ว +1

    Very nice

  • @FrolaNziku-wn9qs
    @FrolaNziku-wn9qs ปีที่แล้ว +1

    Naomba namba ya raisi samia

  • @dotoelia3744
    @dotoelia3744 2 ปีที่แล้ว +4

    Mzee Juma Hajitambui Anamsifiaje Samia Kwenye Miradi Ya Jpm?!!!

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Acha rohombaya we sio lazima tushabikoe lichama lako LA chadema

    • @sadih5333
      @sadih5333 2 ปีที่แล้ว +1

      Miradi ya Makufuli ni ile ya Chato , hii anayo fanya Samia ni ya kitaifa.

  • @swedhussein4725
    @swedhussein4725 2 ปีที่แล้ว

    Mazl

  • @johnmhoja3193
    @johnmhoja3193 2 ปีที่แล้ว +3

    Hana maajabu

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 ปีที่แล้ว +1

    watanzania mapoyoyo hao

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 2 ปีที่แล้ว +8

    Rahaa gani hapo watz wanazid kuumia nyie mnafurahia nin zindukani nyie msiwe wapumbav wa fikla

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Mpumbavu ww ustukazmishe tufuate chama chako cha wavuta bangi

  • @esterandson7367
    @esterandson7367 2 ปีที่แล้ว +1

    Malikia Samia Rais wetu oeeee

  • @swaleheissazaidi4915
    @swaleheissazaidi4915 2 ปีที่แล้ว +4

    Katiba mpya tunaihitaji kwa ustawi wa taifa na demokrasia yenye tija, nisafari ndefu,swali ni kwamba nileo ndiyo imeonekana umuhim?maana ingekua muhim tangu mwanzo huko wasingeshiriki tokea mwanzo mpaka tuipate katiba, Jipambanue kwa uchapakazi mwisho wa siku wakose lakusema hata hao mlio waamini wakageuka nakufanya kampeni za kukuhujum waziwazi kabla ya muda wa kampeni,Waaibike,Japo tunafaham sababu ikiwemo kuziba mirija yeo,.

  • @user-kb6qz9cz4e
    @user-kb6qz9cz4e ปีที่แล้ว

    Hambari

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 2 ปีที่แล้ว +2

    Oyoooo

  • @anastazianobert2345
    @anastazianobert2345 2 ปีที่แล้ว

    Ndoman zegeri kaiga kwako hongera baba

  • @deussjohn3991
    @deussjohn3991 2 ปีที่แล้ว

    Namuyakumbuke munayo yapitia heeee haya bhana

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 2 ปีที่แล้ว

    Yake yske ya mwenda zake ziara za kazi kama kampeni

    • @loatamollel7551
      @loatamollel7551 2 ปีที่แล้ว

      Nyie hamjui vile mnapokeza kitu ambayo hakuna

  • @sangwatv1496
    @sangwatv1496 2 ปีที่แล้ว +1

    Njema sana

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kufufua chama mashinani.

  • @albertsayari7239
    @albertsayari7239 2 ปีที่แล้ว +1

    Wapambe wanamziwia asiongeeee

  • @shamimtawakal8892
    @shamimtawakal8892 2 ปีที่แล้ว +2

    Mjumbe ameongea piint

  • @saeedally268
    @saeedally268 2 ปีที่แล้ว +5

    Hamuna lolote nchi imekushindeni hatuwataki

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 2 ปีที่แล้ว +1

      2025 watanzania tuhakikishe tunafanya mageuzi, hatutaki kubuluzwa tumechoka.

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Mageuzi yapi ccm daima

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Mnadanganywa na chadema kuwa kuna maisha mazuri bila kufanya kazi hakuna iyo mtadanganywa sana wajinga

  • @jamesmatani3875
    @jamesmatani3875 2 ปีที่แล้ว

    D

  • @justinecharles6016
    @justinecharles6016 2 ปีที่แล้ว +1

    Hanma chamaana hapo

  • @kassebo
    @kassebo 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nazisoma comment zenu tuuuu

  • @vicentimngujini934
    @vicentimngujini934 2 ปีที่แล้ว

    Stendyamagufuli

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 2 ปีที่แล้ว +1

    Wabongo sisi ni Mabogaz san apo watu tayar wanamuona Mama anafaa Sijui Kakufanyia nini Kikubwa Mwananchi

  • @saidkibira7648
    @saidkibira7648 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchango walisubungeni

  • @georgemasesa7000
    @georgemasesa7000 2 ปีที่แล้ว

    Hii ni nzur endelea na Hilo kuskiliza maon ya wananchi r.i. peace my presedant

  • @patricialpatrick9927
    @patricialpatrick9927 2 ปีที่แล้ว +3

    Nothing. hovyoooooooooooooooooooo

  • @astediusrudovick3861
    @astediusrudovick3861 2 ปีที่แล้ว

    Kayumba chunga

  • @stephenarato7840
    @stephenarato7840 2 ปีที่แล้ว

    9

  • @saidkibira7648
    @saidkibira7648 2 ปีที่แล้ว

    Mchango was list Bingen

  • @modekessy1790
    @modekessy1790 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama wawapumbavu wasojielewa

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Mpumbavu we sisi tunaona mbali hamm uspofanya kaz utalaumu tu

    • @modekessy1790
      @modekessy1790 2 ปีที่แล้ว

      @@charlesngwembele4541 we mbwa acha kujipendekeza. Maisha yamepanda sana, au hunui huku ges, mafuta yakupikia, unga, Mchele vyote vimepanda kwakas, au we nikula kulala bure? Mamayo usishabikie akat machinga wanakimbia nahakuna wakuwatetea. Nyambafu

  • @stephanomunish6675
    @stephanomunish6675 2 ปีที่แล้ว

    Stephano munish

  • @simonstanely7186
    @simonstanely7186 2 ปีที่แล้ว

    Saf

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 ปีที่แล้ว +1

    Huuuuu

  • @wittinesskiwero8884
    @wittinesskiwero8884 2 ปีที่แล้ว

    TUMAINI MAYENGA

  • @respikikiliani6851
    @respikikiliani6851 2 ปีที่แล้ว +1

    Mkude simb

  • @mathewenea8659
    @mathewenea8659 2 ปีที่แล้ว

    CT

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 2 ปีที่แล้ว +4

    Comedy

  • @paroscovianycuroneriy4750
    @paroscovianycuroneriy4750 2 ปีที่แล้ว

    buhigwe

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence9983 2 ปีที่แล้ว +3

    Mafua mafua

  • @linussaid9612
    @linussaid9612 2 ปีที่แล้ว

    Siandiki kitu.

  • @lucasmwendo1664
    @lucasmwendo1664 2 ปีที่แล้ว +4

    Mama sio mtu wa wanyonge hakuna hata kusema chochote kusema juu ya Mzee hamna kitu huyo

  • @simonntahobali7462
    @simonntahobali7462 2 ปีที่แล้ว

    Heri wewe Juma. Nawapata nikiwa Nairobi nami nashukuru kumsikiliza Mheshimiwa Rais was Jamuhuri ya Tanzania
    Tunawapenda. Nimekula chakula kizuri kutoka kasulu.

  • @davidjoseph9776
    @davidjoseph9776 2 ปีที่แล้ว

    Tanzania 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 2 ปีที่แล้ว

    Hatuchinjwi hatuchanjwi 🇹🇿🤣

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv5201 2 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/-iHnihcaB2w/w-d-xo.html
    Utam video

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 2 ปีที่แล้ว

    Amna serikali apo,utopolo mtupu

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 ปีที่แล้ว

    pumbavu wakubwa

  • @imaninyawenda15
    @imaninyawenda15 2 ปีที่แล้ว

    G00d

  • @enockfumbuka107
    @enockfumbuka107 2 ปีที่แล้ว +1

    KAZI ZA JPM H A PA KAZI TU !