Ruto niasikize wakena wanataka nini na ajibu majibu yao. Badala aseme hoja zenu nazishuhulikia watu watulie. Yeye na mahasira zake anatishia watu .haya wacha tuone hiyo hasara atakayo ipata hii week. Hao policy wake pia wamemchoka. Huku nyuma ya pazia wanatwambia mengi😢
Anacho takiwa ni kuwaua wote waandaaji maandamano yasiyo ya kidemokrasia yaliyo jaa wizi, uvunjifu wa sheria na kufanya mapambano na vyombo vya dora. lakini pia arudishe nguvu ya polisi mikononi mwao, Wakenya ni LGBT-Promax, hivyo mbele ya polisi wenye meno hawawezi sogea
@@godfreymbevi2879 hujielewi wewe. Hata hujui hata hiyo katiba ya kenya .kadri wanavyo kufa ndio wanapandisha hasira hao police si ni hiyo bunduki tu. Kama hana tuko sawa tu. Na hao vijana hawawezi kosa bunduki. Unahonga police 20k anakupa unaenda kufanyia kazi kisha unarudisha. Usifanye watu hawana akili.....
Mukiona watu wamefanya maadamano wanataka kuzungumza na viongozi wao kwaiyo mukizuiya fujo kwa mabom ndo munazidisha maafa watukufa na majeruh majengo kuchomwa nakupomolewa
@@Esquire266 Mm siungi mkono uharibifu wa mali, lakini aliechangia kufanyika uharibifu ni Ruto na wabunge wake, ni kwa nini wasisikilize matakwa ya wananchi?
@@ameirzapy1318 Ame tuuliya watoto wetu wengi na wengine majiruhu. Amepitisha mswada kimabavu kwakuwahonga wabunge. Kama alivo chukua nchi kimabavu. Lkn. Damu itamsumbuwa . 😭😭😭Asione Ameshinda.! Kipenzi chetu UHURU . Ali twamba nawapatia miezi mitatu TU ! . Mutalia. Nanikweli !,. Walo mpigia Sasa Wana juta !. Mimi sikumpa kura yangu. Lkn ! Awaita watoto Ma CRIMINAL. Wakati yeye ndie CRIMINAL MKUBWA !.. MU'NGU ! ATA MPANISH ! 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 INSHA-ALLAH !🙏🙏🙏
Kweli huyu jamaa wa hovyo aisee 🤔 kesho tu anapeleka mswada wa ndoa ya jinsia moja bungeni.. pole sana kenya kwakupata kiongozi kibaraka dooh masikini weee🤔 Zakayo must goo🤗 wewe ni adui wabara la afrika kwa sasa
Wanasiasa wa Africa wote ni wahuni, yaani wanazurura kwenye mataifa ya magharibi kukopa pesa, kisha wanaziiba halafu mzigo wa madeni hayo wanawatwisha wananchi, wakenya wasikubali hadi kibaraka Ruto aondoke, inakera sana kuongeza kodi hadi kwenye pedi, hiyo inakera
Kosa kubwa analofanya ni kuralibu kuzima moto kwa kutumia moto. Rutto amechelewa badala ya kuzima moto wa Gen-Z wakati ule kabla haujawaka yeye akatoa vitisho na kulazimisha bajeti yake ipite bila hata kuilainisha kidogo japo kwa kuahirisha isijadiliwe akidai serikali inaifanyia revisions ili vijana wajione wanasikilizwa..
😢😢😢 jamani huyu mtu yuko sawa kweli,? Ss badala ya kuzima moto ruto unauchochea kuni ili uzidi kuwaka.😢... tusikilize ss kama wakenya tulio kuajiri wacha kutubeba ufala, wacha ikulu tutafika adi kwako nyumbani😮, GEZ Z viva........tumeamua kufa dereva kufa conder......adi ukubali tunavyo taka.......yani una ata huruma unatoza ushuru adi mtt ambae ajazaliwa😅😅😅😅 Ruto gerareeee
Huenda Ruto akawa ana matatizo kwenye Uongozi wake, kumekuwa na changamoto kubwa kwenye kufanya maamuzi na kuzingatia stahiki za wananchi wake kwa mujibu wa taarifa za waandamanaji wamedai kuwa hajazingatia maamuzi yao na uchungu wa wanachi hivyo alipaswa kuwazingatia maombi yao na kuomba kukutana na watu hao ili kupunguza ghasia iliyopo kwa wananchi.
Muungu kila siku yupo kw wnaodhulumiwa,,muungu yupo karibu sna wanyonge,,Ruto ata bdo hujakiona utaona mengi kuliko hayo kwza laana ya kuingilia mambo yasio khs itakuandama kw kufanya mambo kw amri ya amerika na kuilaumu urusi wezako walistaaf ww utastafishwa
Kibaraka ..calling people criminal wakati wanadai haki ...msitishike wakenya ...mwendo huo huo .....badala ya kuongea national language anaonge kizungu ...huyu ruto na Kagame ni vibaraka .wapi acha uongo wandamanaji hawaja kwenda kwenye shelter za watu
Ruto pambana na waujumu uchumi hawa wanainchi wanatumika tu vibaya usiuwe wanyonge hawa kamata viongozi walio usika kulinda bunge siku hiyo hawa wote wasaliti walio kuwa kwenye lindo siku hii
Hapa naona Kdf watapiga watu marungu mwisho wachoke wachukue Government . Juu president anajipiga kifua wanainchi wanajipiga kifua. 😂😂😂😂hapa nani atawin? Am just asking? Sawa mko kwa mizani mjipime
He will regret his actions. But by then, it will be too late for him to fix things. Pride and arrogance has blinded both his eyes and mind of reasoning. Ruto is a disgrace to Africa not only Kenya
Mkimbizeni marekani au Ukraine uko akotolee hutuba yke huko hatutaki vibaraka wamashoga na utawala wa shetani unaokandamiza watu katika umasikini hapa africa
You will go at any cost...!!
It is very painful for Kenya to have you has the president.period
Acha kuua wananchi wao ndio wenye nchi kumbuka wakat unaomba kula uliwaambia nini
Ruto niasikize wakena wanataka nini na ajibu majibu yao. Badala aseme hoja zenu nazishuhulikia watu watulie. Yeye na mahasira zake anatishia watu .haya wacha tuone hiyo hasara atakayo ipata hii week. Hao policy wake pia wamemchoka. Huku nyuma ya pazia wanatwambia mengi😢
WANAWAMBIA KAA GANII?
Anacho takiwa ni kuwaua wote waandaaji maandamano yasiyo ya kidemokrasia yaliyo jaa wizi, uvunjifu wa sheria na kufanya mapambano na vyombo vya dora. lakini pia arudishe nguvu ya polisi mikononi mwao, Wakenya ni LGBT-Promax, hivyo mbele ya polisi wenye meno hawawezi sogea
@@godfreymbevi2879mashoga sio Kenya tu peke ake marekani Israel ufaransa uingereza Ukraine Italia ujeruman wote mashoga
@@godfreymbevi2879 hujielewi wewe. Hata hujui hata hiyo katiba ya kenya .kadri wanavyo kufa ndio wanapandisha hasira hao police si ni hiyo bunduki tu. Kama hana tuko sawa tu. Na hao vijana hawawezi kosa bunduki. Unahonga police 20k anakupa unaenda kufanyia kazi kisha unarudisha. Usifanye watu hawana akili.....
Hakuja ukatae naweni mmoja
Napeda kusikiliza habari zahapa na huyu mtangazaji nikimsikiliza namuelewa anaeleza vizuri ❤
Kibaraka wa Mashoga wa Ulaya🎉🎉🎉🎉 Waandamanaji wataingia Mpaka Ikulu🎉🎉🎉Utawafunga wangapi na kuuwa Wangapi!!! Sikiliza kero zao!!!!
Emotional mind can never used to provide solution. Poor Mr small Biden
Ikulu tafadhali😅😅😅
Marekani wanaongea nini wakati hata huko walikuwa wakiwakamata watu wanaopinga vita ya gaza
Mashoga hao marekani
Hio kiburi tutamaliza tu.
Wakenya mmeamua 🙌
Viva kenya
Tunawaunga mkono Vijana WA Kenya mmeamka
Ruto must go
Next time tunakuja statehouse kula lunch
Mukiona watu wamefanya maadamano wanataka kuzungumza na viongozi wao kwaiyo mukizuiya fujo kwa mabom ndo munazidisha maafa watukufa na majeruh majengo kuchomwa nakupomolewa
Huyo Rais kibaraka WA Wazungu
😂😂😂@@abdullahmanalex2306
Aende zake huko huna lolote umepata aibu mpka kwenu wamekupinga😏💪
Very soon we'll occupy the state house,watch and see
hatuogopi
hatuogopi
Anasema Nini yeye aelewe wananchi wanataka Nini maisha ni magumu jmn
Uharibifu wa Mali unahusiana nini na ugumu wa Maisha?
@@Esquire266ujui kitu
@@Esquire266 Mm siungi mkono uharibifu wa mali, lakini aliechangia kufanyika uharibifu ni Ruto na wabunge wake, ni kwa nini wasisikilize matakwa ya wananchi?
Nothing he can do infact on Thursday we will occupie State House
Hongeren sn
Nooma.sana@@mohdchuma78
Work up 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪.........from south Africa 🇿🇦 but I'm a 🇨🇩
Utakufa vibaya my friend
Uharibifu wa mali na roho za watu ipi ni muhimu ?..GOD IS WOCHING YOU.😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Anaetolewa roho kaenda kwenye ugomvi,, maandamano gani ya Kihalifu?
@@ameirzapy1318 Ame tuuliya watoto wetu wengi na wengine majiruhu. Amepitisha mswada kimabavu kwakuwahonga wabunge. Kama alivo chukua nchi kimabavu. Lkn. Damu itamsumbuwa . 😭😭😭Asione Ameshinda.! Kipenzi chetu UHURU . Ali twamba nawapatia miezi mitatu TU ! . Mutalia. Nanikweli !,. Walo mpigia Sasa Wana juta !. Mimi sikumpa kura yangu. Lkn ! Awaita watoto Ma CRIMINAL. Wakati yeye ndie CRIMINAL MKUBWA !.. MU'NGU ! ATA MPANISH ! 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 INSHA-ALLAH !🙏🙏🙏
@@ameirzapy1318sio uongo. Kuna tofauti ya maandamano na uporaji
Apinduliwe huyu mbwa
Mm ni mkenya nakuunga mkono maoni yako
@@abuuaisha6110 poleni san
Kaka fredrick bundala tuletee kauli ya uhuru kenyatta na Raila Odinga kuhusu maandamano
Ruto must gooo..no dialogue..corruptions everywhere
Nilikua namuamini sana Ruto kuwa angewavusha Wakenya na kuwafikisha Nchi ya Ahadi ila naona amefeli
Me too! He failed us big time!!
Tena mapema
Mtazamo wako huo... Kenya tuna uhuru wa kujieleza,,, sio kama nchi zingine
Thanks!❤❤❤❤
Ndio nini?
@@Gody360 nimejichanganya nimelipa pesa google bila hata kuelewa
Towen kbsa huyo madarakani hafai kwanza kigeugeu anatumika vibaya na wazungu
Ruto must go, we don't need him 🇰🇪
Tuna mis aur beloved president UHURU MWIGAI KENYATTA . KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 TUMEKUA MAYATIMA😭😭😭😭
😢😢😢😢😢😢 subhanallah subhanallah which president of this he don't care about poor people of Kenya, stupid ruto,
@@aminakasim1198 Ana kiburi sana !.Jeuri ! Roho mbayaa ! . Lakini....... WACHATU !. You keep and woching !
@@sultanaswaleh7813 my God protect our sister and brother Kenya people, because is not good President to talk like that ya Allah ya Allah ya Allah,
@@sultanaswaleh7813 ya Allah ya Allah protect Kenya
@@aminakasim1198 AMEEEN ! 🙏🙏🙏MY LOVELY SIZ .EVEN IF I DON'T NO YOU. BUT . I LOVE YOU 🫶
Ruto kauza nchi Kwa mashoga ndio maana wanamsapporti
Kweli huyu jamaa wa hovyo aisee 🤔 kesho tu anapeleka mswada wa ndoa ya jinsia moja bungeni.. pole sana kenya kwakupata kiongozi kibaraka dooh masikini weee🤔 Zakayo must goo🤗 wewe ni adui wabara la afrika kwa sasa
Thanks
Ruto nakupenda Sana 💋💋💋💋💋
In Tanzania people are protesting na hakuna mtu kafa hakuna biashara imevunjwa wala majengo kuchomwa. PEACEFUL PROTEST IS THE BEST WAY TO GO.
HATUOGOPI....WE FEAR NONE💯💪WE KENYANS WE GEN Z💪
Wanasiasa wa Africa wote ni wahuni, yaani wanazurura kwenye mataifa ya magharibi kukopa pesa, kisha wanaziiba halafu mzigo wa madeni hayo wanawatwisha wananchi, wakenya wasikubali hadi kibaraka Ruto aondoke, inakera sana kuongeza kodi hadi kwenye pedi, hiyo inakera
Magufuri alionesha mfano wa marais wa kiafrika kwamba nchi zetu ni tajiri lkn wapi viongozi
Ruto must go
Utatuua sote uongoze wanyama sjui huo mswada utatekelezwa na nani
umelaaniwa hdi kizazi chako cha mwisho na ulaaniwe
Yuafikiria kenya n yake Ama babake😅😅😅 sis tuko tayr ruto unajifnya kiburi sio
Asante sns❤❤❤
Noma sana
Kosa kubwa analofanya ni kuralibu kuzima moto kwa kutumia moto. Rutto amechelewa badala ya kuzima moto wa Gen-Z wakati ule kabla haujawaka yeye akatoa vitisho na kulazimisha bajeti yake ipite bila hata kuilainisha kidogo japo kwa kuahirisha isijadiliwe akidai serikali inaifanyia revisions ili vijana wajione wanasikilizwa..
Hustler anafeli wp na ma hustlers wenzakeee....
Kazi ipo
Hustler hana neno wezake ndio hawataki bottom up,,🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Ruto una adress nchi gani?kama ni hii yenye tumekataa bill usitulazimishe.
Ruto achia nchi wananchi wachague kiongozi wanaomtaka wewe muda wako umesha kwisha hata ukiwatisha haisaidi
😢😢😢 jamani huyu mtu yuko sawa kweli,? Ss badala ya kuzima moto ruto unauchochea kuni ili uzidi kuwaka.😢... tusikilize ss kama wakenya tulio kuajiri wacha kutubeba ufala, wacha ikulu tutafika adi kwako nyumbani😮, GEZ Z viva........tumeamua kufa dereva kufa conder......adi ukubali tunavyo taka.......yani una ata huruma unatoza ushuru adi mtt ambae ajazaliwa😅😅😅😅 Ruto gerareeee
Inchi jirani na Kenya amkeni,,
Hii ROHO inaambukiza taratibu,,
Viongozi tawaleni kwa matakwa ya wanainchi
Yeye mwenyewe lijimwizi likubwa.
Ajishughulikie mwenyewe yeye pia ni muuwaji muandaaji wa maandamano akwende hukoo!!
Uki isolate crime Anza na ufisadi ndani ya serikali umevunja record
hivi wale snipe wa kufyatuwa risasi waliishia wapi ?
😂😂😂Hela Yako Tu ..Watu Wanasign Contract 😂😂😂
😂😂
@@NgaizaKimbeNgaizakimbe 😄😄
Uyu Ruto kiburi imemjaa maana naona kama ndyo anatia petrol
I think someone is shaking the jar from outside
Ruto is out of his mind, he can’t even prepare a meaningful speech. He is just reading trash prepared for him.
Ruto must go ww ni zakayo
Wameiba nn wewe ndio umetuma kufanyike hivo so lipa hao😢😢😢
Hizi ni vitisho baridi bwana. Hutakujiwa hadi state house hiyo milango inajifungua itabomolewa mjinga hii.
UDA leadership should be accountable for the chaos.If they could have listened to the protesters before this mess could have happened.
Huyu ruto ni nyoka ... Africa haito kuwa na amani Tena mmesha iba sana hawa wezi wote watolewe .
Hyo nchi ni ya wananchi na sio ya kwako
Huenda Ruto akawa ana matatizo kwenye Uongozi wake, kumekuwa na changamoto kubwa kwenye kufanya maamuzi na kuzingatia stahiki za wananchi wake kwa mujibu wa taarifa za waandamanaji wamedai kuwa hajazingatia maamuzi yao na uchungu wa wanachi hivyo alipaswa kuwazingatia maombi yao na kuomba kukutana na watu hao ili kupunguza ghasia iliyopo kwa wananchi.
Usitishie watu hatuachi kufanya maandamano mpaka uache kupandisha maisha
Naona urusi wanacheka tyuh
Hawa watu wanachaguliwaga na nani ndio hawa wezi wa kura
Uyu sio binafamu jamani aki hana hata hofu
UDA leadership should be accountable for the chaos.
How dare he call us criminals and call those rogues in parliament innocent Kenyans.
Kibaraka wa USA
Sns is the best of the bestest
Alitoa onyo Ambalo halinamaana, mwishowe wandamanaji wameshinda.
You spoke rubish zakayo sarrender the office to GEN Z
Kibaraka wa mashoga
Kiburi itakuua ww ruto😢😢😢
Anamkemea nani huyu zakayo
This is not Gud speach why ruto people imeingia hadi bungeni zen unasema they are climinal?
Ruto must goooooo
Wakwanz ku comment from Burundi
Paka atoke ndio kenya ituliyr
Sikiliza wananchi wanataka nini vitisho havito saidia. Ndo fujo zitazidi kwa hayo mavitisho
Hivi raisi kwanini asionge na wananchi wake kwasababu hata afanyeje wananchi ndo wenye nchi
😮ruto mwana wa shakahola
Ruto kaingia mkenge wa marekan, umesain mkataba wa ulinzi kumbe ni mkataba wa NATO kukalia inchi Yako.
Raisi mbaya kuwahi kutokea kenya
You out of your mind. Leave the office, no longer president of Kenya
Bora waendeleee mpaka wananchi watapo jirizisha madamano yaoo
So sad to have you has our president
Kwa hiyo tumekua criminal sisi sindio haya wacha tukuonyeshe 😢😢😢
Siku zote ane Anza haonekani . Ila anae maliza NDI ana bandikiwa malawaa
Kabla ya kupeleka polisi wa kuleta Amani Haiti angeanza Amani nyumban
Ruto wewe huna busara tatizo lako na wezako wote hasira haizuii kitu kaka
Wakwanza leo 😂
Ok
5:43 uyu jamaa anaweza kugeuza kenya ikawa kama sudan soon
Muungu kila siku yupo kw wnaodhulumiwa,,muungu yupo karibu sna wanyonge,,Ruto ata bdo hujakiona utaona mengi kuliko hayo kwza laana ya kuingilia mambo yasio khs itakuandama kw kufanya mambo kw amri ya amerika na kuilaumu urusi wezako walistaaf ww utastafishwa
Ruto. Must go
Kam hajali kuhusu wnanchi alitaka wafanye nin wamepitisha mswada wenye kuwaumiza wnanchi wa chini wakat wao wanaishi maisha mazur hawajal chochote
Please snS better muweke cartoon thn this speech
Mr president listen to people these criminals put you into power
Kibaraka ..calling people criminal wakati wanadai haki ...msitishike wakenya ...mwendo huo huo .....badala ya kuongea national language anaonge kizungu ...huyu ruto na Kagame ni vibaraka .wapi acha uongo wandamanaji hawaja kwenda kwenye shelter za watu
We don't want to listen to nonsense . Innocent Kenyans fighting for their rights you can afford to call them criminals.Kenyans are not criminals.
Ruto pambana na waujumu uchumi hawa wanainchi wanatumika tu vibaya usiuwe wanyonge hawa kamata viongozi walio usika kulinda bunge siku hiyo hawa wote wasaliti walio kuwa kwenye lindo siku hii
Hapa naona Kdf watapiga watu marungu mwisho wachoke wachukue Government . Juu president anajipiga kifua wanainchi wanajipiga kifua. 😂😂😂😂hapa nani atawin? Am just asking? Sawa mko kwa mizani mjipime
Hata heri mlevi wetu mara mia,huyu n mwizi kabisa,
He will regret his actions. But by then, it will be too late for him to fix things.
Pride and arrogance has blinded both his eyes and mind of reasoning. Ruto is a disgrace to Africa not only Kenya
Huo ni ujinga huweziacha mashetani waingie bungeni
Hakuna uhalifu tumechoka na wewe,utupeleki vizuri teachie nchi yetu mbona uwe kinganizi Dunia nzima inaona😊
Kumbe diyo maana alikubaliza ushoga kenye yy ni Moja wa mashoga
Mkimbizeni marekani au Ukraine uko akotolee hutuba yke huko hatutaki vibaraka wamashoga na utawala wa shetani unaokandamiza watu katika umasikini hapa africa