SURPRISINGLY, KAPEWA NA KUVISHWA PETE HAPO HAPO. HARUSI TUNAYO !!

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 43

  • @farajangandu9111
    @farajangandu9111 2 หลายเดือนก่อน +2

    Harusi tunayoo hatunaaa?!😅 ❤

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 10 หลายเดือนก่อน +8

    Walipanga wengine ila bi harusi mtarajiwa alikiwa hajui

  • @miry6655
    @miry6655 8 หลายเดือนก่อน +1

    Et we have we have not😂😂❤

  • @marymolel800
    @marymolel800 8 หลายเดือนก่อน +1

    Anadil na mzungu tujuane syo kwa kucheza huko

  • @janethwilliam463
    @janethwilliam463 10 หลายเดือนก่อน

    Woow this is sooo nice❣️❣️ I really love it 😍

  • @Rahmatz8172
    @Rahmatz8172 หลายเดือนก่อน

    Jmniii nani kamuona shemeji mzungu anavyocheza😂😂😂😂😂😂

  • @sumaboy8105
    @sumaboy8105 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wabongo bwana sasa kupiga goti wacheni kuiga jaman culture za wazungu ushamba mtupu

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 9 หลายเดือนก่อน +9

    Dada hizi nguo nazo za kuacha mwanamke mapaja nje😢😢.
    Tujiheshimu Jamani 😮
    Sio lazima mwili wako uchi wako uonwe na watu tunza ni wako na umpendaye Jamani..FUNIKA MWILI Rinda nzuri lapasuliwa mpaka kwa mapaja dah🤭🤫🙄😒

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 9 หลายเดือนก่อน +2

      Unafikili Nini Mimi Naonaga Niushamba Tuna IGA

    • @rerisamba
      @rerisamba 9 หลายเดือนก่อน

      Yani inachukiza sana mwanzo mahali kama hapo kuna wazazi

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 9 หลายเดือนก่อน

      Napia Mwenye kumuogopa MUNGU Awez vaa ivyoo .Napia TUJIFUNZE Watu tunao waalika pia Wenye Akili Timamu na heshima niher muwekumi Lakini Kwa furaha na heshima Ata Malaika Wa MUNGU wamesimama Unakuwa Baraka

    • @rerisamba
      @rerisamba 9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣kule kenya pastor wa SDA aliwafukuza kanisani wote walio kua wamealikwa kwa sababu ya mavazi machafu

    • @jenahando2747
      @jenahando2747 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe tulia

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wanayo kwel kumbe raha sana nimemkumbuka Kuna rafiki yangu alisema kwenye harusi ya pacha yake alimpenda Mc alimuombea na yeye aolewe na kwel siku hile hile ya pacha wake ndo na yeye alimpataga mumewe alipendwa akatumwa shemej yake

  • @ramadhankanoun3007
    @ramadhankanoun3007 10 หลายเดือนก่อน +6

    Ilipagwa hiyo bi harusi kaonekana akimuita bwana Emmanuel

    • @miry6655
      @miry6655 8 หลายเดือนก่อน

      Ndyo ilipangwa iwe suprise kwa bi harus mtarajiwa.

    • @Bravin116
      @Bravin116 8 หลายเดือนก่อน

      Hao wengine walikula njama lakini bi harusi mtarajiwa inaonyesha kabisa hakujua

  • @latifajohn7506
    @latifajohn7506 9 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana harusi anajua kucheza

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kavishwa na Pete hapo hao hatar au walishaandaa

  • @user-oc5fe9vx1p
    @user-oc5fe9vx1p 9 หลายเดือนก่อน

    Usikute apo taarifa zilifika home mtarajiwa alikuwa hajui

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anahost vizuury cjui kwann anapost vipande daah

  • @maggieandrew995
    @maggieandrew995 9 หลายเดือนก่อน +2

    Pete inavishwa siku ya kutoa mahari waoongo Hawa

  • @user-rj8us3cx9k
    @user-rj8us3cx9k 9 หลายเดือนก่อน

    Mnatuona zumbakuku??hao ni wapenzi na washajiandaa kuvalishana Pete CK hyo over

  • @veniciacharles8851
    @veniciacharles8851 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ilipangwa haiko poa

    • @theresiamremi5764
      @theresiamremi5764 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi naon mwanamke hakujua

  • @lucymkongwa4238
    @lucymkongwa4238 10 หลายเดือนก่อน

    ❣️

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana harusi mzungu kanikumbusha mzungu wangu

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣kwani mmeachana??

    • @RosemarryMgaiwa
      @RosemarryMgaiwa 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 make apo kwanza nicheke

    • @kolethafabian2618
      @kolethafabian2618 7 หลายเดือนก่อน

      Hahaaaha Ila bongo Kuna Raha Sana hatunaga stress labda ujitakie mwenyewe

  • @lilianmasoud1444
    @lilianmasoud1444 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hainogi ilipangwa

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio ila mwanamke hakunuwa maana ameshtuka

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ila vijana acheni kupiga magoti Kwa wachumba ama Kwa mabiharusi wenu mnajiaibisha na kuishusha thamni ya mwanaume

    • @innocentcleophace8583
      @innocentcleophace8583 10 หลายเดือนก่อน

      Haifai kabisaaa mwanaume unapigaje magoti Kwa msichana...... sio sawa

    • @dorinally4698
      @dorinally4698 9 หลายเดือนก่อน

      We hujui

    • @EsterVuriva
      @EsterVuriva 9 หลายเดือนก่อน +2

      Ni sawa kabisa mwanaume kupiga magoti kwasababu yye kumbuka ndo anaye toa mahali na ndo anahitaji mke wakutoa mama Bora lazma apigee goti

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@EsterVurivaKwamba Anaomba Kuwa Mkewe

    • @gracesiwa
      @gracesiwa 9 หลายเดือนก่อน

      Its right mkaka kupiga goti cause he is the one proposing he is bringing the offer and a girl is the one to accept or reject it, its like anaomba akubaliwe dada ndo anaweza kukubali au kukataa uwa ndio maana ya kupiga goti mdada awezi kupiga goti maana yeye aombi kuolewa ila mkaka ndio anaomba amuoe msichana. Mkaka ndio anatafuta mke.