Alhamdulilah na Saleheclassic ana swawabu zake kwasababu yeye ndie alie kwenda kumuhoji Bi Mwanahawa last week . Allah ashukuriwe zaidi na zaidi. Rais Samia hongera kwako Allah atakulipa In shaa Allah.
Ahsante mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali wananchi wako katika kuwatatulia shida zao. Allah akupe afya njema ili uweze kufanya majukumu yako ipasavyo pia akuzidishie imani na huruma kwa wananchi wako. Mitano tena usiwe na wasi tunakupenda Sana mamayetu kipenzi chetu.❤❤❤❤
UKOLONI WA TANGANYIKA SASA BASI Kilio cha Wazalendo wa kwao Zanzibar, wanataka Mamlaka Kamili. Mauwaji na dhila ya Miaka 60 ya Ukoloni wa Tanganyika sasa basi
Allah skupe hifadhi na sitara Mama,,,mtoto wa mama,, usiache kupandisha shungi lako nadhan ushanielewa,,,upo vizuri sana unsjitahid binti kama wewe Masha Allah
Mheshimiwa Samia Suluhu Hsssan you touched my heart kwa kweli, kweli naamini kila mja huletwa duniani na mwenyezi Mungu kwa makusudi maalum kwa ajili ya kuujenga ufalme wake, roho yako na moyo wako ni vya kipekee Mwanahawa akila, akitibiwa, akipona, akiwa na nguvu akasali ni kuujenga ufalme wa Mungu ila nae aache taarabu sasa aimbe Qasda, umri umeenda amgeukie Mungu sasa kwa toba na kunyenyekea.
mama samia mungu akubaliki wengi tulikua tukierekeza comment nyingi kwako umsaidie huyu mama kama umeguswa kama hivi Asante maisha ya dunia niyakupta2 bora ujitambue kama hivi
Mashallah Allah mama yangu anakupenda sanaaa mbaka Kesho aswaaa Ngoma hiz RABBY NILINDE, UMASIKIN WANGU, ROHO MBAYA HAIJENGI, KINYAGO CHA CHA MPAPURE, MWANAMKE KHULKA, inshallah mwaka wakuldi bongo nakuja mama kukusalimia Inshallah pole snaa Kwa maradhi
Watu wanateseka sana na maisha! Rais Samia nadhani angeweka namna ya kusaidia watu Kwa wingi .....hii mchezo wa kusaidia mtu mmoja mmoja....sio mbaya ila ni wengi sana wanakuhitaji! Wengi Wana shida ni wengi munooooo! Tengeneza namna ya kufikia watu Kwa wingi zaidi tunakupenda sana mama yetu rais Samia Mungu akutunze!
Mashallah Tabaraka Allah mungu azidi kumbariki mama Samia inshallah sis wakenya pia Rais wetu ruto angakua kama hivi tungekua vzuri sana ila tangu apate madaraka ndio amezidi kutudidimiza kwa kila upande hata rate pia ameshikisha yaani mateso juu ya mateso
Hongera sana kwa mama yetu mhe Rais wetu.Samia suluhu Hassan.Kila lililo jema kwako.Kikubwa unachotoa basi kinga kwako napia yaliyo mema yatazidi kuwq neema kwako.Mhe
Masha Allah Mama samia Mungu amueke kwahutu alonao, kenya Raisigani anaweza kufanya jambo kama hili wacha Mwenyezi Mungu awabariki watanzania na Mama yetu Samia Sluh Hassan, japo nimkenya lkn napenda ukarimu waviongozi watanzania na mienendo yao Mungu ibariki tanzania .
Kweli Samia weye si mwanamke ni mama KWELI! Mungu akubariki,endelea na moyo wako wakuwahurumie wanadamu wenye uhitaji. "UKIMSAIDIA MASKINI UMEMKOPESHA MUNGU" Mungu atakulipa
Mwambie mama samia hongera yake sana sio tu kwa kuliongoza Taifa hili, bali pia kwa hii mali safi aliyotuletea, ni mwanamke mrembo sana mwenye stala yake, Mungu awatunze na aimarishe afya zenu inshaallah.
Yaani Samia Mungu akulinde kipenzi chetu,toka zamani tunaokujua una roho nzuri,Mungu akuepushe na kila shari Dada yangu! Mheshimiwa Rais,naona fahari nikikuita kwa jina lako,ukifanya haya unapendezwa ukiitwa kwa jina lako!Hamisi
Mashaa Allah jazakallahu khairà jazza wabarikfiik. Mama tunakupenda na hatuna la kufanya kukonesha upendo wetu zaidi ya kukuombea duaa . Alla akupe kila lenye kheri akufanyie wepesi katika uongozi wako akujaalie mwisho mwema. Lakini mama wanahitaji ni wengi ingependeza kuhamasisha viongozi wengine wanawake kukaanzishwa mfuko maalum ambao utaratibiwa vizuri na miongoni mwa waratibu itapendeza akiwemo dadaetu Wanu ili kuweza kusaidia waliona uhitaji kama huu kwani wako wengi mama lkn kwa vile hawajitangazi inakuwa ngumu kuwafikia. Tunakupenda mamaa.
Awali shkrn kwa kjn wetu Saleh(Zamaradi tv),pia kiongozi wetu Mhs.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tz(Mhs.Samia S.Hassan), kwa moyo wa iman kumkumbuka mkongwe wa fani ya taarab,Rabbi awalipe mema nyote,hakika Tz yetu ni nchi ya UPENDO.
Mama mamaaa natamani niliee kwa furaha yaniii sisi tuliondokea naona kama tumepata mamaaa kiukweli mungu akulinde na shali mama Samia mama samiaaaaaaaa tunakupenda sanaaaaaa
Mama samia raisii s wangu nakupenda sana mwenyezi mungu akupe miaka mingi yakuish nakutuongoza kula yangu naitanguliza belle yako mama nakupenda sanamm
I wish to say Allah akulinde na hasad akudumishe katika uchamungu akusamehe makosayako atuongezee hekima katika urais wanko na nje ya urais pia akujaalishe la laailahaillah Muhammad rasulullah namuomba Allah pamoja nawe atufufue na kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alaih wasalallam
Nimeteseka namaisha sana nimeria sana laisi wangu sina chakukulipa zaidi yakukuambia asante sana umeingia tuu madarakani huo huo mwaka mama akatoa ajira wanangu wawili wote waripata ajila rais wangu nakuombea baraka kwamungu raosi wangu nakupenda sana mmmnatamani hata siku moja tushikane mukono rais wangu nipo geita naitwa betha karolii
Mama Samia Mungu kamuumba na roho yake jamani,tena anaumwa sanaa na shida za wanawake na watoto kiukweli.Allah amzidishie imani na ampe ulinzi na ushindi mkubwa dhidi ya wale wote wanaomshuhudia ubaya na kumtakia shari kwa uwezo wa Mungu hayatomfika na atazidi kung'ara InshaAllah
Mashallah, hongera Mama rais Samia kwa kua iman na hurma kusikiliza mahitaji ya waliomzunguka , nakuomba mama Hawa pia kwa maoni yangu yakikupendeza na afya yako ikiwa inaridhisha ,Allah akupe nguvu na khattua kutekeleza ibada ya hijja inshaallah
Allah amzidishie Rais wetu kuwa na moyo wa Iman kwa kuwaona wenye matatizo. Ameen
Ameen
Alhamdulilah na Saleheclassic ana swawabu zake kwasababu yeye ndie alie kwenda kumuhoji Bi Mwanahawa last week . Allah ashukuriwe zaidi na zaidi. Rais Samia hongera kwako Allah atakulipa In shaa Allah.
Ahsante mama Samia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali wananchi wako katika kuwatatulia shida zao. Allah akupe afya njema ili uweze kufanya majukumu yako ipasavyo pia akuzidishie imani na huruma kwa wananchi wako. Mitano tena usiwe na wasi tunakupenda Sana mamayetu kipenzi chetu.❤❤❤❤
UKOLONI WA TANGANYIKA
SASA BASI
Kilio cha Wazalendo wa kwao Zanzibar, wanataka Mamlaka Kamili.
Mauwaji na dhila ya Miaka 60 ya Ukoloni wa Tanganyika sasa basi
Allah skupe hifadhi na sitara Mama,,,mtoto wa mama,, usiache kupandisha shungi lako nadhan ushanielewa,,,upo vizuri sana unsjitahid binti kama wewe Masha Allah
Amin. Hifadhi kwa wote.
Ameeen@@awatifalghanim1106
Kwanz mshukul mungu bi mwanahawa kwa yote alaf rais wa nchi na salehe wa show bizz maan yy ndy alikuhoji had rais akakuona big up kwa salehe
Kila kitu kina sababu yake na imeandikwa na Mungu. Alhamdulilah
Kweli kabisa@@awatifalghanim1106
Inshallah mama kwa wema wako mwenyemzi MUNGU wa mbinguni akutunze pia akupe umri mrefu mama Samia Allah kareem
Allah amhifadhi mama Samia, Ampe nguvu na uwezo wa kuwasaidia wanaohitaji msaada.
Super mama Nampenda tokea zamani.❤
Kwakweli amemuurumia dadaake Allah atamlipa badala allahumma aameen
Wakati wa Mungu ndio Wakati Sahihi🙏🙏
Mheshimiwa Samia Suluhu Hsssan you touched my heart kwa kweli, kweli naamini kila mja huletwa duniani na mwenyezi Mungu kwa makusudi maalum kwa ajili ya kuujenga ufalme wake, roho yako na moyo wako ni vya kipekee Mwanahawa akila, akitibiwa, akipona, akiwa na nguvu akasali ni kuujenga ufalme wa Mungu ila nae aache taarabu sasa aimbe Qasda, umri umeenda amgeukie Mungu sasa kwa toba na kunyenyekea.
Mashaallah mungu awabaliki sana rais wetu mungu ampe afya njema
Mama Mwanahawa achana na taarabu itengeneze akhera yako umri umeenda huo Allah akusamehe yaliyopita InshaAllah
Amiin 😢
Mimi napenda mama samia kwa kujitolea kwake Allah akuhifadhi na maduwi yaraab ❤
Amin
Allah Subhanna amhifadhi Raisi wetu na amlipe Kwa wema wake Maskiin pole Mama Samiya tunakupenda Kwa ajili ya Allah Subhanna wataala
Mashaallah Mashaallah Allah akupe umr mama samia na saleh ww ndio sababu Allah aibariki kazi ya mikono yako😊😊😊
mama samia mungu akubaliki wengi tulikua tukierekeza comment nyingi kwako umsaidie huyu mama kama umeguswa kama hivi Asante maisha ya dunia niyakupta2 bora ujitambue kama hivi
huyu mama samia hata sina cha kusema zaidi kumuombea duwaa
Mashallah Allah mama yangu anakupenda sanaaa mbaka Kesho aswaaa Ngoma hiz RABBY NILINDE, UMASIKIN WANGU, ROHO MBAYA HAIJENGI, KINYAGO CHA CHA MPAPURE, MWANAMKE KHULKA, inshallah mwaka wakuldi bongo nakuja mama kukusalimia Inshallah pole snaa Kwa maradhi
Salehe clasic tunakushkuru ' umefanya kazi sana
Allah akulindena akulipe heri Rais wetu,umeonesha huruma na uungwana Kwa binadamu mwenzio .
Mama samia ni Rais wa ajabu mola amzidishie yani anafatilia sana wananchi wake na kuwaenua❤❤
Mshallah mama Samia rais wa wanyonge
Watu wanateseka sana na maisha! Rais Samia nadhani angeweka namna ya kusaidia watu Kwa wingi .....hii mchezo wa kusaidia mtu mmoja mmoja....sio mbaya ila ni wengi sana wanakuhitaji! Wengi Wana shida ni wengi munooooo! Tengeneza namna ya kufikia watu Kwa wingi zaidi tunakupenda sana mama yetu rais Samia Mungu akutunze!
Kweli kabisa yeye anadili na watu maharufu tu mbona atuoni kama alivyokuwa anafanya magufuri
Swaleh wa Show biz ndio chanzo.... Mashallah.
Uyu ndo samia mwenyewe au mashaallah
Mashallah Tabaraka Allah mungu azidi kumbariki mama Samia inshallah sis wakenya pia Rais wetu ruto angakua kama hivi tungekua vzuri sana ila tangu apate madaraka ndio amezidi kutudidimiza kwa kila upande hata rate pia ameshikisha yaani mateso juu ya mateso
Allah Kareem wakenya tuombeni MUNGU allah yupamoja nasi na halitufiki jambo illa alilo tuandikia Allah wabillahi taufiiq.
Hongera sana Mhe Rais Kwa Iman yako.
Kuna watu wamejaaliwa duniani na kesho Akhera. Subhana Allah
Allah atakulipa kwa wema wako, Rais wetu Dr. Samia.
Maashallah ❤❤❤❤❤
Mashaallah mama Samia mungu akupe kila laheri Kwa kunikumbuka huyu bimwanahawa❤❤❤ anasauti nzuri bimwana hawa🎉🎉
Allah ape umri na afya njema mama Samiya
Mama samia hongera sana kwa moyo wako wa upendo .Allah akubariki ishaallah.
MASHA ALLAH Masha Allah rais wetu ALLAH Akuweke inshallah maana sio jambo dg kumkumbuka mama kama huyu❤❤❤❤
Ukipata malezi mazuri, ukafundishwa Imani na ukarimu mwisho wake huwa hivyo kwa binaadam wenzako.
Hongera sana kwa mama yetu mhe Rais wetu.Samia suluhu Hassan.Kila lililo jema kwako.Kikubwa unachotoa basi kinga kwako napia yaliyo mema yatazidi kuwq neema kwako.Mhe
Asante sana mh samia suluhu Hasan Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa msaada wako, Tunashukulu
Masha Allah Mama samia Mungu amueke kwahutu alonao, kenya Raisigani anaweza kufanya jambo kama hili wacha Mwenyezi Mungu awabariki watanzania na Mama yetu Samia Sluh Hassan, japo nimkenya lkn napenda ukarimu waviongozi watanzania na mienendo yao Mungu ibariki tanzania .
Kweli Samia weye si mwanamke ni mama KWELI!
Mungu akubariki,endelea na moyo wako wakuwahurumie wanadamu wenye uhitaji.
"UKIMSAIDIA MASKINI UMEMKOPESHA MUNGU" Mungu atakulipa
Allhamdulillah..Allah amjaalie Afya Raisiwetu. ...Allah ampe.moyowaupendo kwakilamja pia ampe subra kwakilaatua atuongozetena. Amyn
Mashallah Allah Mwenyezi Mungu akuzidishie mama Samia. Mfungulieni biashara endelevu.
Mwambie mama samia hongera yake sana sio tu kwa kuliongoza Taifa hili, bali pia kwa hii mali safi aliyotuletea, ni mwanamke mrembo sana mwenye stala yake, Mungu awatunze na aimarishe afya zenu inshaallah.
Yaani Samia Mungu akulinde kipenzi chetu,toka zamani tunaokujua una roho nzuri,Mungu akuepushe na kila shari Dada yangu! Mheshimiwa Rais,naona fahari nikikuita kwa jina lako,ukifanya haya unapendezwa ukiitwa kwa jina lako!Hamisi
Mama samia,❤❤❤❤
Asalam Hongera Rais wetu mama yetu mlezi Allwaa akuzidishie kila ulipopunguza kwa kujali wananchi wako . C.C.M
HOYEEEEEEÈ😊😊
Hakika nimefurahi sana kwa kumsaidia huyu mama Allah awabariki❤❤❤
Aallah akuifathi mama samia azid kukupa rizki yak ya halali
Mashaa Allah jazakallahu khairà jazza wabarikfiik. Mama tunakupenda na hatuna la kufanya kukonesha upendo wetu zaidi ya kukuombea duaa . Alla akupe kila lenye kheri akufanyie wepesi katika uongozi wako akujaalie mwisho mwema. Lakini mama wanahitaji ni wengi ingependeza kuhamasisha viongozi wengine wanawake kukaanzishwa mfuko maalum ambao utaratibiwa vizuri na miongoni mwa waratibu itapendeza akiwemo dadaetu Wanu ili kuweza kusaidia waliona uhitaji kama huu kwani wako wengi mama lkn kwa vile hawajitangazi inakuwa ngumu kuwafikia. Tunakupenda mamaa.
Mama Samia nakupenda sana mama yangu Mungu akuzidishie baraka napenda unavyowajali watu Allah akujaze kheri .
Safi Raisi wetu Mama Samia,ila sasa nawewe achana na mambo ya music ,pamabana na sehemu itwayo Msikitini, kwama maana mara 5 kwa siku
RSISI MWENYE IMANI WOW MASHAALLAH TABARAKALLAH
Allah akuzidishie mama yetu kipenzi Cha waTanzania mama mitano tena
MashaAllah ❤
Ma shaa Allah
Hongera mama samiha kwa kumsaidia bi mwanahawa mungu akulinde kama ulivyomsaidia mashallah
Mwenyezi mungu akuzidishie pale ulipotoa mama yetu
Bi mwanahawa usijali twakuombea kila la khery❤
Mtoto wa mama mashallah ..
Awali shkrn kwa kjn wetu Saleh(Zamaradi tv),pia kiongozi wetu Mhs.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tz(Mhs.Samia S.Hassan), kwa moyo wa iman kumkumbuka mkongwe wa fani ya taarab,Rabbi awalipe mema nyote,hakika Tz yetu ni nchi ya UPENDO.
hongera mama na mie nisadie sitaki pesa nikuone tu nipige picha na weye weye ni mtu muhimu mwenye imani utu hikima na ubinaadamu❤
Mashallah mtoto wa mama samia umejua kupendeza nimekupenda kwajiri ya allah ww na mama ako muishi miaka tele Kwa tele
Maashaallah wallah nilimuonea huruma san wamefanya vizuri wallah
Mashallah mama Samia mungu akubariki akupe ziada kila la khery mashallah tabaraka llah.
Honger mama samia kwakuskia kilio chama yetu
Mungu akulinde mama Samia mungu atakulipa pepo akusameh makosa yako yote akupe pepo zadunia na akhera pia akulinde mamamola wetu
Yaani nimefurahi sana huyu mama aliimba nyimbo nzuri sana.Sikutegemea kama Bi Mwanahawa Ally angekuwa na maisha haya...
Mama mamaaa natamani niliee kwa furaha yaniii sisi tuliondokea naona kama tumepata mamaaa kiukweli mungu akulinde na shali mama Samia mama samiaaaaaaaa tunakupenda sanaaaaaa
Mashalah mungu akuongezee ulipo toa mama Samia tunakupenda sana rais wetu
Mama rudi kwa mwenyezi mungu imba kaswida muda mdogo kwako
Amina ni kweli kabisa
Mashaallah watu wazuri huonekana mapema. ❤❤❤
Asante sana Rais Mama Samia kwa kuwakumbuka wenye mahitaji.👏🏽👏🏽
Rais wetu Allah akulinde
Msanii wa siku nyingi lkn maisha anayoishi mtihani
Napenda wamama wa kizanzibari wanabusara sana mashaallah
Mashaallah
Dua zuri mwenyezimungu ampe na yy apate mashaallah
Mama samia raisii s wangu nakupenda sana mwenyezi mungu akupe miaka mingi yakuish nakutuongoza kula yangu naitanguliza belle yako mama nakupenda sanamm
hongera mama Samia Kwa kuwakumbuka! wakongwe mungu akusaidie
ALLAH amjaalie huyu bibi siha njema inshaallah hajaulizwa kama atapunguza kuimba...kwa sasa.
Mungu ambariki sana rais wetu mama Samia
mwenyezimungu akulipe raisi wetu, mitano tena
Mama samia hongera sana kwa wema wako,lkn pia bi mwanahawa mungu kupe afya inshallah😂😂
Mtihani kwakweli mungu akusaidinye kwakweli amen
❤ mwenyezi mungu amtupi mja wake.
Mama Samia mama Samia asante ❤❤❤❤we loves you forever
I wish to say Allah akulinde na hasad akudumishe katika uchamungu akusamehe makosayako atuongezee hekima katika urais wanko na nje ya urais pia akujaalishe la laailahaillah Muhammad rasulullah namuomba Allah pamoja nawe atufufue na kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alaih wasalallam
Wow. Our president is very humoral ,may our lord bless you more❤
Kazi mzuri
Natamani Rais wa Kenya angefanya kama hivi MashaAllah
Wema wana.maisha, wenye nafasi wawasaidie wasionacho,amen,mama mungu akutunze sana.
Nimeipenda hii,,Hivi ndo inavyotakiwa kumjali mwenzio hasa wakati Wa Shida
Asante mama yetu kwamisada Yako tunakuombaya kwa mungu
Amin Amin Amin
Nimeteseka namaisha sana nimeria sana laisi wangu sina chakukulipa zaidi yakukuambia asante sana umeingia tuu madarakani huo huo mwaka mama akatoa ajira wanangu wawili wote waripata ajila rais wangu nakuombea baraka kwamungu raosi wangu nakupenda sana mmmnatamani hata siku moja tushikane mukono rais wangu nipo geita naitwa betha karolii
Allah akulipe kheri Mama Samia ❤
Mashallah allah amzidishie
Mama Samia Mungu kamuumba na roho yake jamani,tena anaumwa sanaa na shida za wanawake na watoto kiukweli.Allah amzidishie imani na ampe ulinzi na ushindi mkubwa dhidi ya wale wote wanaomshuhudia ubaya na kumtakia shari kwa uwezo wa Mungu hayatomfika na atazidi kung'ara InshaAllah
😢😢😢nalia kwa furah
Huyu si ndiye Mama aliyesema wema hauozi na wema ni hazina kwa mungu.
Alisomesha sana mule kama ndiye yeye❤
Nunuwa nyumɓa ikodishe itakusaidia kila mwezi pesa itakusaidia mamaangu ❤❤
Ni ushauri mzuri umeonyeshwa njia fata. Alichopewa ni kafunguliwa njia.
God blessed you mum.
nampenda sn mama Samia from Burundi bibi yangu mwana hawa achakuimba ss mche mola wako ulisema ukipata pesa utacha nyimbo nakutakia mwisho mwema
Aamin aamiyn aaaaamiyn yarab aamiyn
Mashallah, hongera Mama rais Samia kwa kua iman na hurma kusikiliza mahitaji ya waliomzunguka ,
nakuomba mama Hawa pia kwa maoni yangu yakikupendeza na
afya yako ikiwa inaridhisha ,Allah akupe nguvu na khattua kutekeleza ibada ya hijja inshaallah