Ndugu kutoa siri ya watu cndiko kuokoka 'we kama umeokoka shukur Mungu 'batrimao alisema yote cjui ninachojua nilikua kipof sasa naona ndo ushuhuda siri hazitoweza kusaidia anajua Mungu
Ulisema utawataja watu waliojiunga na freemason wasanii, wachungaj,wachezaj viongozi wa umma,lakn nimekuckiliza mapaka mwisho hujawataja hata mmoja but thanks for ur advice broo
Shida ni kwamba watu wanapenda Sana kuamini miujiza ndio waamini kitu Fulani,binafsi Mungu wangu wa mbinguni awe anatoa ishara,au miujiza au asitoe ishara au miujiza nitaendelea kumwamini sababu Imani yangu haikujengwa kwenye misingi ya ishara Wala au miujiza,pili watu wengi naamini hawasomi maandiko wao wanapenda maneno ya kuambiwa ambiwa pasipo kusoma ,tatu baadhi ya watu wengi hawamwabudu Mungu wa mbinguni bali huwaabudu watu kwa maana ya baadhi ya wachungaji utasikia MTU anakwambia mi nasali kwa mchungaji fulani............fikiria andiko hili ....watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Mungu awabariki nyote
Daaaaaah uyu nimdanganyifu ametumwa kupoteza watu kabisa watu wa Mungu kuweni makini jamn asee daaah uyu kijan jmn namuurumia jaman niwakala wa ibirisi kabisa yan jmn kuweni makini watu wa Mungu😂😂😂
Acha kutukan nyie muombee tu kam ni huongo Mungu atambadilisha na kutukana sio njia sahih ata Mungu hapendi kuwa makin na muwe na kiasi cha maneno yote mtamkayo msitukane jmn
Omben Mungu awafunulie macho ya rohoni ,msipende kuwa watu wakusikia tu ndomaana Kuna nulu na Giza Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa,ukiwa thabiti katka maombi Mungu lazima akufumulie, je hyo yakwel ama la
Yesu kristo Anakuja kila mtu ajipime mwenyewe kama kateuliwa au kakataliwa , kumuona mwenzio kapotea hiyo sio kweli unatakiwa ujione we we kuwa umekubalika au. Umekataliwa
Kama wajua mafuta ya kawe yanasidia sana kwanin ww usichukue upelekeeee kwa rusifaaa ili akose nguvu ya kuua wanadam. Kwan ww rusifa wamjua na Mungu amekutuma, ww umekimaa au furaha yako ni kuona watu wanateseka na magonjwa au waendeee kawe kila siku. C utusaidiee kuzuia kazi ya rusifaaa
Watumishi tusipende kuhukumu kbla hatujahukumiwa mbn tunatukan ivo jmn tusiruhusu. Vinywa vyetu kutenda zambi zisizo za lazim kumbuk ata Bwana yesu alitukanwa na kupigwa mawe na alipingwa na kukataliwa ko msiwe wepesi kuhukum kuwen na busara watu wa Mungu. Watumishi wa Mungu na manabii walitukanwa sembuse uyu Acha kutukn kbsa na Mung atusaidie
Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana barikiwa
Muim sana naomba moyo wako ushirikiana na sauti ili kinacho toka moyoni Baci kisikike kupitia sauti kwasababu inafasi kubwa sana kwa mwanandam kuzungumza lugha nyingine moyoni ila kwa mdomo awezi . Kwailo ndio ilivyo kwako wewe moyo unazungumza ili lakini mdomo lile kwaiyo tuwe makini sana 🙏
Kunawatu wanaandaliwa ,na viongozi wengine wadini wenye wafuasi wachaache ila kijana aeleze uongo mwingi, in short ipo kibiashara , JAMAN SIMAMENI KWAMIGUUYENU MUMJUE MUNGU ,HAKUNA FREEMASON KAMA HIO ,POOR MIND ,POOR KNOWLEDGE, FANYENI KAZI , UKIMJUA MUNGU NA MGUVUZAKE ,IZI BRABRA NI UCHWARAAAA TU, KNOW GOD AND SEEK HIM ,ACHANA KUCHAFUA WATU, WAPO WALIOPONA KUPITIA HAO,
Before hao watu wawili wa Mungu kuja / kuzaliwa rusifa hakuwepo. Kwann usemi rusifa anapatikana wapi uko ulikoenda ili tuandamane kumfukuza maana dunia tumeumbiwa kutawala wanadamu sasa wajua shetan aliko sema wanadamu wamfukuze ili tuwe uru
Hata biblia huijui,hata kusoma unajua kweli,mwamposa baba songa mbele umeinuliwa na mungu sio wanadamu,na injil hujaianza leo,nakupenda we ni kifaa Cha bwana❤❤❤❤❤
Acha bas maana Ata maandiko tunayajua Ata wewe yawezekana mbigu usipate. Maana kumkana lusifa c kupata mbigu .unajua ukimbia dhambizako kwani ulivo jiunga nani alikutumaaa. Acha kumjalibu mungu..
Ndugu Sam we l wewe ni mwongo kweli kweli kabisa tangu sasa ujuwe hakuna wokovu unaopatikana kwa makuta kwa Majid ao vitu vingine vyovyote isipokuwa kufuata taratibu ya matendo 2:37-38 na kuendelea mu Imani mitume walio tuachia sema wewe ni mujumbe WA lusufer na unapenda watu wajiunge achat Yale mambo Yako mitandaoni amini yesu
MUNGU anaishi umilele lakini manabii na mitume wanazaliwa, wanakufa Anachosema huyu ni kweli mtu wa kwanza kutumwa alikuwa kerubi alimjua Muumbaji kuliko wote akafeli, Adam alikuwa mkuu lakini alifeli Huyu mtumishi sio muongo kuna kitu anakieleza jaribuni kusoma kitabu Waliomwangusha Yesu hawkuwa wale akina Herode walikuwa watumishi au mafarisayo Walivamiwa kwa hiyo unaweza ukamuona mtumishi yuko vizuri baada ya muda ameanguka. Tuna maaskofu walisema hawawezi kugombea uongozi wa siasa ndani ya taifa hili leo ni wabunge Tunatakiwa tuwaombee. Yesu alitakiwa msamaha Bure.
Na Kwa sababu umeokoka na kutoka freemanson wacha kuongea mambo ya kule Sana muda mwingi hubiri neno la mungu ili watu wapate kukobolewa,shetani Hana nguvu juu ya yesu
Ikiwa yesu mwenye mamlaka hashuguliki nao nyie visismizi mnawatangaza kwanguvu hongeleni kwakumtumikia huyo frimason, acha wakuingilie maana ndio unao wawaza, badala yakumtanaza Yesu mnawatangaza watuwenu,,, haaya hongeleni
Kama hauwezi kutaja wachungaji wa Tz why umetaja kawe umesemaa unanguvu umekomaaa ukomavu wako uko wap, ww nae ni agent wa uko ukusemakooo, c useme kweli ya Mungu ata wanaoshirki ibada uko wapone. Ww ulipoingia ulitafuta utajili uko ila walikukataa Mungu akusaidie usirudi tena, sasa watu wawili African mashariki ndo sehem sahihi, all East Africa waje kawe how that population, kama uko na uwezi wa kunyonga c umnyonge rusifaaa asisumbue wanadam. Sena watafuta hela , washauri wanadamu wamuamini Mungu wa mbinguni,
Hao watumishi unawatuma kwao mbona ndio wanatumia nguvu za kishetani 'watu wanauza mashamba na mali zao wanawapelekea' andiki lasema tumepewa bure nasi tutoe bure wacha kutuchanganya kijana.
Just because all those people are rich don't mean ni illuminati some people have worked for it and some ilikua bahati ,the end days are day where true prophets will be criticize nd force prophet will be loved ,Ezekiel huchukiwa ju husema ukwl what ppl love ni pastor anawambia u will all be millionaire, blessed ,rich but you don't want to know where the problem is coming from ,
Nioneshe tu mahali popote alihubiria watu kuhusu Mbingu, zake tu ni nyota za ndoa, Mbinguni hatupelekwi juu ya ndoa wake up na utafute Mungu uwache kuambudu nyota na watu, huo ukweli Sijai usikia siku ata moja, the guy anahubiri about Jesus not prophets na Yesu tu ndio njia ata mshidie oh esekieli oh oh😅
Kama uko na muonekano kama wa Yesu, na uko na ujasiri kama wake, vip kuhusu kujigamba, mbona Yesu alifanya zaidi matendo na yakaonekana?? Mmh mmh kuna majina yametajwa hapo
Blother utalaniwa na mwenyez mungu we ichezetu dunia
Mungu azidi kukupa maarifa na kutadharisha watu wengine maana wengi wanaendelea kujiunga.
Jitahidi uwe unafupisha hbr, lkn ueleweke, mb huku n changamoto sana
Anasema ukweli uyukijana nimekanae namfaham
Ndug yang wewe umli huo unajiunga na mali za kichawi bora umemludia mungu wako ubarikiwe pia utafte maisha kwanguvu zako god bless u
Ndugu kutoa siri ya watu cndiko kuokoka 'we kama umeokoka shukur Mungu 'batrimao alisema yote cjui ninachojua nilikua kipof sasa naona ndo ushuhuda siri hazitoweza kusaidia anajua Mungu
Ulisema utawataja watu waliojiunga na freemason wasanii, wachungaj,wachezaj viongozi wa umma,lakn nimekuckiliza mapaka mwisho hujawataja hata mmoja but thanks for ur advice broo
Sio kwamba ulitii amri zao acha kuwapigia debe mungu ataongoza watu wake
Fatilia kosa cha tajiri na lazaro wenye hekima ndio hutambua yasemwayo
Ww acha hzo ww
Brother Mungu akupe nguvu endelea. usiache kuwaaibisha hao watu imenifunza kwa kiasi fulani
Yes
Samwel mungu anakuona
Mungu akupe nguvu zaidi na zaidi amen
😂😂😂😂😂
kwa upumbavu wake
Kuna ushuhuda mwingine nmesikilza imefafanua zaidi mwamposa me cna Imani nae Wala mahybiri yake cyahitaji Tena,
nakuunga mkono
We ongea habari za Yesu achana na watu Mungu Mungu anawajua mwenyewe
Shida ni kwamba watu wanapenda Sana kuamini miujiza ndio waamini kitu Fulani,binafsi Mungu wangu wa mbinguni awe anatoa ishara,au miujiza au asitoe ishara au miujiza nitaendelea kumwamini sababu Imani yangu haikujengwa kwenye misingi ya ishara Wala au miujiza,pili watu wengi naamini hawasomi maandiko wao wanapenda maneno ya kuambiwa ambiwa pasipo kusoma ,tatu baadhi ya watu wengi hawamwabudu Mungu wa mbinguni bali huwaabudu watu kwa maana ya baadhi ya wachungaji utasikia MTU anakwambia mi nasali kwa mchungaji fulani............fikiria andiko hili ....watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Mungu awabariki nyote
mpumbavu mmoja anasimama kupotosha na watanzania mnavyopenda kupotoshwa mnaingia kichwa kichwa
ubarikiwe kaka mungu yupo pamoja nawewe
The way the son of God came world, the is people who loved him and others no, live that man Alo be looking at fmy . from ug❤❤❤❤
Daaaaaah uyu nimdanganyifu ametumwa kupoteza watu kabisa watu wa Mungu kuweni makini jamn asee daaah uyu kijan jmn namuurumia jaman niwakala wa ibirisi kabisa yan jmn kuweni makini watu wa Mungu😂😂😂
Unajua aje anadanganya mungu aliwapa macho lakini hamwoni😭😭ambia mungu akupe macho ya kiroho
Mmmmh yote ni mauongo tupu kwenda huko hunalolote
Acha kutukan nyie muombee tu kam ni huongo Mungu atambadilisha na kutukana sio njia sahih ata Mungu hapendi kuwa makin na muwe na kiasi cha maneno yote mtamkayo msitukane jmn
Naona kama naibiwa Mb vile:
Huyu kijna anatafuta kiki tuu
Mungu akubark lakn kama umetumwa kuokoa watu wa Mungu kua sirious acha mzaha, cku ya mwisho utaulizwa weka u sirious kwenye testimony
Tuombee Mchungaji,twaumia na jamii yangu
Dg anatunga, mambo yke
Mtumishi Samwel asante sana umenifungua asante Mimi na watoto wangu tumepigwa nakitu kizito asante mtumishi
mjinga huyo
Ongea point
Mungu akubariki,usjali maagent wanaotumika kukuvunja moyo,piga kazi dogo
Yes
Umelipwa shingapi na mwaposa😅😅
ambariki kwa upuinbavu wake
Hongera Kaka mungu akupe uelewa zaidi na nguvu
Omben
Mungu awafunulie macho ya rohoni ,msipende kuwa watu wakusikia tu ndomaana Kuna nulu na Giza Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa,ukiwa thabiti katka maombi Mungu lazima akufumulie, je hyo yakwel ama la
Mungu azidi kukutianguvu yupo pamoja nawe
Yesu kristo Anakuja kila mtu ajipime mwenyewe kama kateuliwa au kakataliwa , kumuona mwenzio kapotea hiyo sio kweli unatakiwa ujione we we kuwa umekubalika au. Umekataliwa
Amina, Mungu azidi kukulinda na kukuinua
Mimi Niko kongo 🇨🇩 Kaka mungu akubari kweli njia mbaya ya freemason 😭😭
Mwenyez mung akuongezee na akutie nguvu cads@
barikiwa kijana ayo major nikweli Walton amacho yakiroho waelewa na wanna usiongope matisho yao ata Bambang yao akuwezi maana yesu wake alimshida
Mungu akuinuwe sana
Watu wa Mungu kuweni makini si mtumishi wa Mungu huyu ni mtumishi wa ibirisi
Mungu akutie Mungu daima na akupe rafaeli malaika wa vita apigane na hayo mapepo
Kama wajua mafuta ya kawe yanasidia sana kwanin ww usichukue upelekeeee kwa rusifaaa ili akose nguvu ya kuua wanadam. Kwan ww rusifa wamjua na Mungu amekutuma, ww umekimaa au furaha yako ni kuona watu wanateseka na magonjwa au waendeee kawe kila siku. C utusaidiee kuzuia kazi ya rusifaaa
Watumishi tusipende kuhukumu kbla hatujahukumiwa mbn tunatukan ivo jmn tusiruhusu. Vinywa vyetu kutenda zambi zisizo za lazim kumbuk ata Bwana yesu alitukanwa na kupigwa mawe na alipingwa na kukataliwa ko msiwe wepesi kuhukum kuwen na busara watu wa Mungu. Watumishi wa Mungu na manabii walitukanwa sembuse uyu Acha kutukn kbsa na Mung atusaidie
Mungu yu mwema❤❤
Imani ni matishio au nikumjua mungu?mungu hachunguzwi.wachunguzi wa kwanza walimchunguza yesu wakasema ana pepo la bezibebuli. ndugu simama
Tumia mamlaka na damu ya YESU,uondoe huo mlango wao YESU atawale mwenyew,wameshashindwa mwache MUNGU aitwe MUNGU.
Eeeee. Hiyo ni kaz, ya mungu kununuwa mtumishi was kwel na wa kweli , yy atabaguwa kondoo, na mbuzi, Asante.
An afadhali hata umelitambua hlo muomb sana mungu usiweze kuyarudia hayo 🙂🙂
Mungu akupe nguvu zaidi n'a uendeleee kuwaaibisha wasikutishe
😭E MUNGU naomba utuzidshie macho ya rohon kwan ktk wewe tunayaweza mambo yote 🙏 GOD
Acha stori naenda kwenye pont
Saaaaana kaka ata bibilia inasema tusiione haya injili kwakua ni uweza uletao wokovu sema kaka uokoe wengi na roho wa mungu akutumie
Right
Ila Kuna watu hawalisikii neno wabishi sanaa
Ndugu yangu samweli sasa unawambiaje waende sehemu pabaya wakati unajua kabisa sio wachungaji sahibi,ebu naomba tunyoshee maelezo
Brothey uxichok kwa ukubwa na uzito unao pitia kunasehem ume tutoa nakutuweka tunashukuru sana mungu akuongozesa kwakirahatua unayotu weka tunapata kuelewa atatusiyo yajuwa
Huna nguvu za mungu usiwadanganye watu wa mungu,hakuna jina liwezalo kutuokoa Kwa loho Bali jina la YESU mafuta yanini maji yanini
Fupisha bro tukuelewe ucwe na maneno mengi
😂😂😂😂😂
Acha ufala bro,tafuta pesa kwa njia nyingine
True
Don't be quick to judge one day guys you will know the truth
Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana barikiwa
Unajua walimuita yesu mkuu wa mapepo,kwahivyo mwenye hekima adanganyiki...ndungu zangu watu wa Mungu,chagueni ukweli wacheni kupotezwa.
Mh !!! Nimeishia apa kukusikiliza maana shetan tayar kashakutawanyisha ata hujui nn unaongea
Muim sana naomba moyo wako ushirikiana na sauti ili kinacho toka moyoni Baci kisikike kupitia sauti kwasababu inafasi kubwa sana kwa mwanandam kuzungumza lugha nyingine moyoni ila kwa mdomo awezi . Kwailo ndio ilivyo kwako wewe moyo unazungumza ili lakini mdomo lile kwaiyo tuwe makini sana 🙏
Aisee jamaa eleweka na useme ukweli usikute unawatetea hao watumishi watu wa Mungu wazidi kupotea hakika utaulizwa na MUNGU MWENYE ENZI YOTE we haya
Sema kweli nayo ikuweke huru! Mbona roho ya uoga hakumiliki kaka? Taja wachunguji, wanamziki walioko freemson kwa majina yayo!!
Kunawatu wanaandaliwa ,na viongozi wengine wadini wenye wafuasi wachaache ila kijana aeleze uongo mwingi, in short ipo kibiashara ,
JAMAN SIMAMENI KWAMIGUUYENU MUMJUE MUNGU ,HAKUNA FREEMASON KAMA HIO ,POOR MIND ,POOR KNOWLEDGE, FANYENI KAZI ,
UKIMJUA MUNGU NA MGUVUZAKE ,IZI BRABRA NI UCHWARAAAA TU, KNOW GOD AND SEEK HIM ,ACHANA KUCHAFUA WATU, WAPO WALIOPONA KUPITIA HAO,
Asante kuttia moyo Mungu akubariki
Kama hujatumwa Na lusifa Basi wewee Kwa Nini usiamini Kia Mungu ndiye king wa makingi Muamini bwana Mungu wako tuu
Barikiwa kaka na Mungu azidi kukulinda
Mbona husemi ww umeombewa wapi tukaona uponyaj wako ulikuaje buanaa😊😊😊
Asante kwakuni nipa fuzo na ufaham zaaidi
Before hao watu wawili wa Mungu kuja / kuzaliwa rusifa hakuwepo. Kwann usemi rusifa anapatikana wapi uko ulikoenda ili tuandamane kumfukuza maana dunia tumeumbiwa kutawala wanadamu sasa wajua shetan aliko sema wanadamu wamfukuze ili tuwe uru
Mungu atusaidie wapemdwa tuwe tunsoma neno la mungu ili tusidanganyike
Hata biblia huijui,hata kusoma unajua kweli,mwamposa baba songa mbele umeinuliwa na mungu sio wanadamu,na injil hujaianza leo,nakupenda we ni kifaa Cha bwana❤❤❤❤❤
Mungu akuongoze
Acha bas maana Ata maandiko tunayajua Ata wewe yawezekana mbigu usipate. Maana kumkana lusifa c kupata mbigu .unajua ukimbia dhambizako kwani ulivo jiunga nani alikutumaaa. Acha kumjalibu mungu..
Kweli Sheitani mudaganyivu, Mungu akutie nguvu bro uzidi kutoboa siri
Honger kak mungu akupe nguvu na uelew
Huyu mbona hajielew 😂😂anaongea nn Yaan Ebu Njoo kwny ibada jpil
Wapi uko?
God bless you
Kazi uliyo ipewa na mungu ifanye bila wasi maana mtetezi yupo
Mungu akupe nguvu
Ndugu Sam we l wewe ni mwongo kweli kweli kabisa tangu sasa ujuwe hakuna wokovu unaopatikana kwa makuta kwa Majid ao vitu vingine vyovyote isipokuwa kufuata taratibu ya matendo 2:37-38 na kuendelea mu Imani mitume walio tuachia sema wewe ni mujumbe WA lusufer na unapenda watu wajiunge achat Yale mambo Yako mitandaoni amini yesu
Ongea point acha kuzunguka zunguka neno moja unaludia mala 2x2 unaboa
Mungu akubariki
MUNGU anaishi umilele lakini manabii na mitume wanazaliwa, wanakufa
Anachosema huyu ni kweli mtu wa kwanza kutumwa alikuwa kerubi alimjua Muumbaji kuliko wote akafeli, Adam alikuwa mkuu lakini alifeli
Huyu mtumishi sio muongo kuna kitu anakieleza jaribuni kusoma kitabu
Waliomwangusha Yesu hawkuwa wale akina Herode walikuwa watumishi au mafarisayo
Walivamiwa kwa hiyo unaweza ukamuona mtumishi yuko vizuri baada ya muda ameanguka.
Tuna maaskofu walisema hawawezi kugombea uongozi wa siasa ndani ya taifa hili leo ni wabunge
Tunatakiwa tuwaombee.
Yesu alitakiwa msamaha Bure.
Umetumwa na national toka hapa mungo walioitwa wanahekima
Mungu akuinie zaidi maana unayo sema nanimazito
mungu azid kukulindaa kwakweli
Mbona hao watu anao sema ndo sina imani nao kabisa jamn
Hahaha nimemuelewa sana , kaongea kinyume kawataja wachunguji kinyume
Safi ujasiri
Mbona uelezi Bwana alivyokuokoa,unatupa wasiwasi kama ushuhuda huu si wakubumba!!
Umeona usagaji tu mashoga nao ataww muongo mungu akuoteshe kwautakatifu gani achabifu
Mungu akuebushe kabisa na freemason
Mimi napenda kipande iki kya Freeman, mimi n'a taka niwe pamoja n'a jama cha Freemanson
😢wee hata haujielewi wala haujitambui toka hapo nenda zako
Mungu akulinde❤
🎉❤ nimekukubali sana nisingeyajia haya 20:04
Na Kwa sababu umeokoka na kutoka freemanson wacha kuongea mambo ya kule Sana muda mwingi hubiri neno la mungu ili watu wapate kukobolewa,shetani Hana nguvu juu ya yesu
Preach the gospel hiyo muda mwingine umebakisha
😂😂hii nchi uhuru umezid mtu analala akiamka anaamua kuongea lake sas huyu kijana anaongea ujinga gani apo😅
Unakera sana kwenye maelezo yako huna utulivu wa kuelelezea kile kilichokuleta mtandaoni broo bora uondoe hii
Ikiwa yesu mwenye mamlaka hashuguliki nao nyie visismizi mnawatangaza kwanguvu hongeleni kwakumtumikia huyo frimason, acha wakuingilie maana ndio unao wawaza, badala yakumtanaza Yesu mnawatangaza watuwenu,,, haaya hongeleni
Baba soma bibilia thambi abayo aitawai samehewa kuongea vibaya kuhusu roho mtakatifu
Huyu ndg NIMEMFWATILIA SANA ila bado cmuelewagi japo natamani sana ILI nimuekewe nimeshindwa KABISA kama ni masomo bas Mimi yamenipita mbali
Zungumzia manabii wengine lakini usimzungumzie mwamposa
Kkkk mwamposa nn nani?? Hawezi yeye kwenda huko au umebeba loho yake semea yako usiamini mwezio jiamini mwenyewe
Kama hauwezi kutaja wachungaji wa Tz why umetaja kawe umesemaa unanguvu umekomaaa ukomavu wako uko wap, ww nae ni agent wa uko ukusemakooo, c useme kweli ya Mungu ata wanaoshirki ibada uko wapone. Ww ulipoingia ulitafuta utajili uko ila walikukataa Mungu akusaidie usirudi tena, sasa watu wawili African mashariki ndo sehem sahihi, all East Africa waje kawe how that population, kama uko na uwezi wa kunyonga c umnyonge rusifaaa asisumbue wanadam. Sena watafuta hela , washauri wanadamu wamuamini Mungu wa mbinguni,
Hao watumishi unawatuma kwao mbona ndio wanatumia nguvu za kishetani 'watu wanauza mashamba na mali zao wanawapelekea' andiki lasema tumepewa bure nasi tutoe bure wacha kutuchanganya kijana.
Just because all those people are rich don't mean ni illuminati some people have worked for it and some ilikua bahati ,the end days are day where true prophets will be criticize nd force prophet will be loved ,Ezekiel huchukiwa ju husema ukwl what ppl love ni pastor anawambia u will all be millionaire, blessed ,rich but you don't want to know where the problem is coming from ,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🚮🚮🚮🚮
Nioneshe tu mahali popote alihubiria watu kuhusu Mbingu, zake tu ni nyota za ndoa, Mbinguni hatupelekwi juu ya ndoa wake up na utafute Mungu uwache kuambudu nyota na watu, huo ukweli Sijai usikia siku ata moja, the guy anahubiri about Jesus not prophets na Yesu tu ndio njia ata mshidie oh esekieli oh oh😅
Jaman muwen makini huyu anampigia debe mhusika, mafuta n maji hayasaidii kitu, nakushauri tumia damu ya Yesu n jina la Yesu.
Mimi sijui alijiungaje na alitokaje? Hivyo saivi kila muujiza feemansono tuliangalieni hili
Kama uko na muonekano kama wa Yesu, na uko na ujasiri kama wake, vip kuhusu kujigamba, mbona Yesu alifanya zaidi matendo na yakaonekana?? Mmh mmh kuna majina yametajwa hapo
😮Amin's mtumixhi xamwer🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
We sio brother tuwe nimutumishi ulio letwa namungu Mungu atusamhe sana kwawatu ambao turiwafikiria vibaya Susan watumishi wamungu
Wewe umepew sh ngap mpaka unamsaliti mungu?? Ole wako kijana ole wako wewe. Na utubu mbele za mungu . N