RAIS MAGUFULI Ampongeza MAALIM SEIF Kwa JAMBO HILI - "WANGEFURAHI Kuona TUNAGOMBANA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- RAIS MAGUFULI Ampongeza MAALIM SEIF Kwa JAMBO HILI - "WANGEFURAHI Kuona TUNAGOMBANA"
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Mwinyi, pamoja na makamu wake, Mhe. Maalim Seif, wamefika Chato mkoani Geita kwa ajili ya ziara ya kikazi na kuzungumza juu ya mipango ya maendeleo ya nchi.
Baada ya mazungumzo ya faragha, Viongozi hao wamewapa wananchi muhtasari wa waliyoyajadili ambapo Rais Magufuli ametumia nafasi hiyo pia kumpongeza Makamu wa Rais Zanzibar, Mhe. Maalim Seif kwa kukubali kuwa miongoni mwa serikali huku pia akimpongeza Rias Mwinyi kwa kasi ya utendaji aliyoanza nayo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Magufuri maashallah huyu Rais WETU hanampinzani duniani Tz. Waniinchi inabidi tu shukuru Sana ongeleni Sana laisi WA nzanzibar na mwalim Sef maashallah mpenda e saana kwaajili Ya Mungu
Rais wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar.... Nimependa Sana Utulivu mzuri huu....wa namna hii....
Magufuli tunakupenda naomba mtuachie pesa wananchi tupo choka mbaya hongera kwa mshikamano Tanzania daima niwajibu wetu kuulinda muungano wetu
Point hyo
Magufuli mara zote huongea vitu vya msingi sasa kwanin asipendwe!
Genius, 10 tena.
Mh: Raisi WETU mungu akutienguvu na Afyanjema, Umekuwa mwenyemuonekano wakipekee, unajenga TAIFA kwakujituma nakwaubunifu wakipekee, Unajitahidi kupatanisha nakujenga ushilikianomzuri, Hasakwapigania uchumi Nakuwa Tanzania yaleo, Hongerasana#
Magufuri ni rais wa ukweli
Siasa Shikamoo Nikikumbuka Kipindi Cha Kampeni Nakiangalia Hapa Natamani Kupiga Chafyaaaaa..
uMiOnGeA.viZuLi.mShiMiwA.wETu.oNgELa.viOnGoZi.wEtU.hApO.siSi.wAnaiChi.tiNatAkA.tUpAtE.mAeNdELeo.
Wee unaandikaje ivi jaman