Njia rahisi ya Kuitambua Siku ya Kubeba mimba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Leo napenda tuwekana sawa kuhusu jinsi ya kuitambua Siku ambayo mwanamke anaweza kubeba mimba. Nimeguswa kuandaa somo hili kutokana na kuwepo kwa maswali mengi sana kuhusu jambo hili. Nategemea mtapata kujielewa vizuri na itawasaidia kupanga Uzazi. Hakikisha unatazama video hii hadi mwisho ili upate kunielewa kwa 100%.
    ..........................................................
    Contact Us : +255676298270
    -------------------------------------------------------------------------------
    E-mail : toptenherbs@gmail.com
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram / toptenherbs
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / toptentanzania
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.topten.co.tz
    -----------------------------------------------------------------------------------

ความคิดเห็น • 2.4K

  • @Toptenherbs
    @Toptenherbs  ปีที่แล้ว +68

    Kama unatamani Kujifunza zaidi kuhusu masuala haya ya Uzazi jipatie kitabu changu cha SULUHISHO LA UGUMBA... Huko ndani utajifunza Hadi Staili 😃 za kupiga show!! Gharama yake ni 10,000/- tu. Wasiliana nasi kwa +255676298270

    • @SporaYosia
      @SporaYosia ปีที่แล้ว +6

      Ukweli mm nikishafikia siku ya kumi nakuwa muoga sanaa mpaka zitimie siku kumi na tano ndo najiachia 🤣🤣 weeee. Sina masihara kabisa kwenye hizo siku ahsante doctor

    • @SimonMuia-xz6ei
      @SimonMuia-xz6ei ปีที่แล้ว +2

      Je na sisi tuli bali

    • @GwaxGwax-rr8ob
      @GwaxGwax-rr8ob ปีที่แล้ว

      @@SporaYosia dasitani kibiki

    • @annemutuku-zc6vm
      @annemutuku-zc6vm ปีที่แล้ว +3

      Naomba unambie dawa ambazo naeza tumia Ili mzunguko wangu utulie

    • @GislaMdimi
      @GislaMdimi ปีที่แล้ว +1

      Mapacha jee?

  • @niyonzimanadegenadege393
    @niyonzimanadegenadege393 4 ปีที่แล้ว +31

    kusema kweli ww ni mwalim mzuri unamalizia vizuri sana UBARIKIWE MPAKA USHANGAEEEEE

  • @wilsonsegesa9594
    @wilsonsegesa9594 2 ปีที่แล้ว +3

    Amina,Bwana azid kukutia nguvu kwa mafundisho mazr juu ya afya zetu kwaajil uzaz na family kwa ujumla kiukwel Mungu tu ajuae sisi wenyew hatuwez, by Renatus chikulugu

  • @dorcusdaudi8810
    @dorcusdaudi8810 2 ปีที่แล้ว +15

    MUNGU akubariki sana doctor unafundisha vitu vya maana na hasa kumtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo MUNGU akuinue 🙏

  • @AnnitaShishi
    @AnnitaShishi 10 วันที่ผ่านมา +1

    Asante saana Kati ya watu nmeona wakielenza wewe ndio umenielekeza vizuri Asante saana balikiwa Saana

  • @shadracknoah1140
    @shadracknoah1140 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana doctor,, MUNGU akutunze kwa huduma

  • @bibasulesh7866
    @bibasulesh7866 3 ปีที่แล้ว +4

    Hakika
    Asante
    Nimekuwa nikijifunza sana hiki kitu mpaka nimezoea nimekuwa mwalimu pia nakielewa sana hichi kitu.

  • @rahabumartin9877
    @rahabumartin9877 2 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana doctor.ubarikiwe.somo zuri umetuelewesha.ubarikiwe na wewe zaidi.

  • @malikialupyo
    @malikialupyo ปีที่แล้ว +13

    Mwalim mm ninaswali kwann nikikutana na mwanaume kimapenz napata maumivu yamgongo shida nnn nataka kujua

    • @winniepemela-tt4vb
      @winniepemela-tt4vb 3 หลายเดือนก่อน

      Mkimaliza awe ana kumassage dihaa😂

    • @maulidimpili698
      @maulidimpili698 2 หลายเดือนก่อน

      Ni U.T.I hiyo nichek kama upo dar nikuelekeze dawa za miti shamba

    • @Stiven-t1y
      @Stiven-t1y 2 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana ikonayamurefusana inafikakuuzazi

  • @RebecaJosephat
    @RebecaJosephat วันที่ผ่านมา

    Nina Imani na mm nitapokea kwa jina la yesu mungu akubalick kwa somo ulilofundisha dockta

  • @NuratiIsmail
    @NuratiIsmail ปีที่แล้ว +1

    Jamani sawa naamini Mungu ndiye mtoaji IRA nasisi atuone sichoki kufuata ushauri ewe Mungu tubariki amina ,🙏🙏🙏

  • @rosejames7301
    @rosejames7301 4 ปีที่แล้ว +17

    Nimekuubali sana pale uliposema mtoto ni baraka Mungu ndyo anapanga akupe jinsia ipi,Asnate kwa somo Na kumtanguliza Mungu

  • @gracejoseph6381
    @gracejoseph6381 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikiwe doctor nimekuelewa Mungu akubariki

  • @AgnesZakaria-t2d
    @AgnesZakaria-t2d ปีที่แล้ว +12

    Ee mung naomba nibariki na me nipate mtoto maan mmewang kabadilika sana naomba tenda miujiza yako mungu wangu,mlio pata watoto tuombeeni na si ambao tumeolewa nahatujabahatika kupata mtoto tuweze kupata mtoto.

    • @Sharmy_02
      @Sharmy_02 8 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin

    • @ExcitedMoonLanding-ug7on
      @ExcitedMoonLanding-ug7on 6 หลายเดือนก่อน +1

      Upate mtoto kwa jina la yesu

    • @MwamvuaIddy
      @MwamvuaIddy 5 หลายเดือนก่อน

      Ulishawai kutoa mimba?

    • @JaneJohn-l7v
      @JaneJohn-l7v 3 หลายเดือนก่อน

      Ubalikiwe mom upate mtoto

  • @AtfishaMkubwa
    @AtfishaMkubwa 11 หลายเดือนก่อน +1

    Docta asnte Kwa darasa zuri mungu atujaliye kizazi chaheri 🙏🙏

  • @zabibuwazir9078
    @zabibuwazir9078 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana,miongoni wanatuelimisha cc wanawake wasuala ya uzazi wewe namba 1 unaeleweka sawa.naomba

  • @janethgatoni5981
    @janethgatoni5981 4 ปีที่แล้ว +6

    Na mapacha je? Asante kwa funzo hii ubarikiwe sana Mr doctor

  • @emmyallex2149
    @emmyallex2149 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana doctor mungu akubariki

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao ปีที่แล้ว +4

    Hi mi mzunguko wangu hauendi sawa utanisaidiaje na uwaga sina UTE wa uzazi nisaidie tafadhalii...

  • @annathomas784
    @annathomas784 ปีที่แล้ว +1

    Santee San doctor ngoja NIANZE kufuatilia mzunguko wangu Yaàan unaelewesha vizuri sana

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 ปีที่แล้ว +18

    Umefundisha vizurii yaani hata kilaza anaelewa sanaa

  • @achayorosemary8289
    @achayorosemary8289 4 ปีที่แล้ว +12

    It's true, without God yote ni bure.

  • @asharwanyangoma3090
    @asharwanyangoma3090 3 ปีที่แล้ว +7

    Ahsante sana
    Dr kama mtu unaingia kwenye siku zake mara mbili kwa mwezi je siku za kubeba mimba ni zipi

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty ปีที่แล้ว

      Mara mbili kwa mwezi duh kunywa chai ya Tangawizi inasadia kulekebisha

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      Tangawiz hakika mno

  • @MarthaShaniz-h4k
    @MarthaShaniz-h4k 3 วันที่ผ่านมา +2

    mbona nnapo kutana na mwanaume ninahaya maumivu ya mgongo na kuwa mvivu

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo 10 หลายเดือนก่อน

    Ww ni doctor mzuri sana unafundisha vizuri sana

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 ปีที่แล้ว +11

    Hii elimu ni nzuri sana hasa unapokuwa na mke.. Inabidi wanaume nao tujue maumbile ya wake zetu

    • @damarisa1399
      @damarisa1399 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa kaka ilo ulilolisema ni kweli

    • @TINNAJOSOPH-df6mk
      @TINNAJOSOPH-df6mk ปีที่แล้ว

      Mimi naitwa Tina docta naomba nikuulize swali Mimi katika mzunguko wangu wa hedhi unaenda hivi tangu nilipo vunja ungo mbaka sasa nimezaa watoto wawili natumika siku Saba tano natoa damu sita name Saba nasafisha sasa naomba unipe siku nzuli yakupata mtoto wakike alafu Sina tare maalumu Mimi naenda kila tare katika mwezi naomba nieleweshe vizuri docta

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@TINNAJOSOPH-df6mk😢😢😢 pole mamy Allah akupe wepes uwe saw love you

  • @mwanahamisimashauri7405
    @mwanahamisimashauri7405 3 ปีที่แล้ว +5

    Thanks doctor for your education

  • @eldamasikamuhangi3344
    @eldamasikamuhangi3344 4 ปีที่แล้ว +6

    Aksante sana kwa somo inanipa mwelekeo muzuri n'a ni kweli kabisa

    • @arafamakota
      @arafamakota 2 ปีที่แล้ว

      Asante sana nimekuelewa

  • @revinajonathani3133
    @revinajonathani3133 ปีที่แล้ว +2

    Doctor Mungu akubariki unafundisha vizuri sana na vitu vya maana ubarikiwe sana 🙏😍

  • @ValeriaBazili
    @ValeriaBazili 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana mwalim kwa somo hili asante sana namuomba sana mungu kwa hilo nimeipenda🎉🎉🎉🎉

  • @Erickbernad
    @Erickbernad ปีที่แล้ว +42

    Namimi pia natamani jaman nipate mtoto naamini mung u atanibariki🙏

  • @nakajaimengoru3826
    @nakajaimengoru3826 3 ปีที่แล้ว +8

    Barikiwa sana docter maneno ya mwisho mazuri

    • @selinakessy9975
      @selinakessy9975 2 ปีที่แล้ว

      aisee nimekuelew san dokta mungu akubarik nasi tunazidi kuomb mm haswaa nahitaji wa kike

  • @lilililian575
    @lilililian575 4 ปีที่แล้ว +4

    Wouh😍 kweli apa nilikuwa class....Shukran sana

  • @peterfanyeni3134
    @peterfanyeni3134 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana. sijawahi kumuelewa hili somo pengine popote zaidi yako. point ya Mwisho umenena vyema. Nashukuru mno

    • @Toptenherbs
      @Toptenherbs  2 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante sana kwa kutumia muda wako wa thamani kutazama video zetu

    • @samsonsimon9131
      @samsonsimon9131 2 ปีที่แล้ว

      Je kama mwanmke kutoka kwenye CK amalize siku ngp ndo ashike miimba

    • @JemsAmosi-x4j
      @JemsAmosi-x4j 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Toptenherbseti naomba kuuliza ivi mfano mtu anaingia talee 13 nitoe izo 14 jibu apo ni 1 sasa nikiongeza siku moja mbele inakua 1 2 asa izo siku mbili nyuma zinakaaje apo tafazal nielekeze apo niweze kuelewa

    • @AnitaApolinary
      @AnitaApolinary หลายเดือนก่อน

      ​@@Toptenherbsnimekuelewa dr,nimeshiriki siku ya 10,11,12 na 14 je naweza kupata ujauzito?

  • @DoricaEmanuel-ns7ut
    @DoricaEmanuel-ns7ut 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwalimu hongera kwa semina nzuri🎉

  • @teclabenjamin5322
    @teclabenjamin5322 2 ปีที่แล้ว +5

    Maneno ya mwisho azuri Sana factor ubarikiwe na mungu .

    • @winniewangarinjoki9979
      @winniewangarinjoki9979 ปีที่แล้ว

      mm doctor kwamzunguko cjui kutumia ju hauna mzimamo umesema Kuna dawa ntapataje izo dawa tafathali

    • @AzahBakari-lw2kc
      @AzahBakari-lw2kc ปีที่แล้ว

      mimi natumia dawa za omoni libalasi naweza kupata mimba

  • @irenemauti883
    @irenemauti883 4 ปีที่แล้ว +4

    Mm period yangu aisimami tarehe moja Kila mwezi na date yake so hpo shida inaweza kuwa ni nn ??? Be blessed doctor

    • @nasraseif3649
      @nasraseif3649 3 ปีที่แล้ว

      Mi naomba unipe iyo dawa mzunguuko wangu haupo sawa

    • @arafamussa840
      @arafamussa840 3 ปีที่แล้ว

      Namba sijaiandik

  • @rekxlijahla8324
    @rekxlijahla8324 3 ปีที่แล้ว +8

    Precise advice....I do second that, because it's true....

  • @evalinekimario7883
    @evalinekimario7883 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda Bure kwa maneno Yako ya mwisho kila kitu ni kumtegemea mungu maana mungu ana mipango mingi na maisha yeti.

  • @JohaliAbduli
    @JohaliAbduli 4 หลายเดือนก่อน +2

    Duh kwa hakika napenda sana somo lako asante ubarikiwe

  • @theodosiajohn2424
    @theodosiajohn2424 4 ปีที่แล้ว +12

    Dr Mimi mzunguko wangu wa siku 26 au 27 lakini nilipata mimba siku ya 18 wa kike.Basi Mungu naye ana nafasi yake

  • @queenoxachy
    @queenoxachy 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana kw hili somo,nmesoma mengi!!
    Barikiwa sana

  • @ndigitimercy6263
    @ndigitimercy6263 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen...thanks God is able.

  • @victoriasarwat4736
    @victoriasarwat4736 ปีที่แล้ว

    ahsantee sana dokta somo zuriii

  • @LeeSiria
    @LeeSiria 10 หลายเดือนก่อน

    Asante mwalimu Kwa somo mzuri sana wa kimaisha

  • @zamdahhossen4434
    @zamdahhossen4434 3 ปีที่แล้ว +4

    Thanks for your explanation 💯

  • @danielatakobelanwa5792
    @danielatakobelanwa5792 4 ปีที่แล้ว +6

    Mwalimu m2 naitwa Daniel, ok kwa swala lá somo lako hili nimekupata kabisa, s2 swali langu nikama nailo: ktk siku zote izi ulizozitaja za mwanamke kupata ujauzito inafaa kufanya tendo lá NDOA mara ngapi kwakila siku?

  • @alphonsinesingirankabo6274
    @alphonsinesingirankabo6274 3 ปีที่แล้ว +13

    God-bless you doctor I love this

    • @martharhobi4563
      @martharhobi4563 ปีที่แล้ว

      mm mzunguko wangu ni talehe 20 na ninatamani nibate mtoto imeshandikana

    • @ViceMusuha
      @ViceMusuha ปีที่แล้ว

      Asante. Doctor nakuerewasana

  • @elizabethjonas2906
    @elizabethjonas2906 2 ปีที่แล้ว +2

    We noma sana, mungu akupe maisha marefu, hatimae nimefanikiwa now ni mjamzito

  • @ConfusedDesk-ne2wy
    @ConfusedDesk-ne2wy 3 หลายเดือนก่อน

    13:03 Na mm nilijaribu kueka shindano ya miezi mitatu lkn kutoka iishe sjaifanikiwa kupata mtoto

  • @ishuretv7393
    @ishuretv7393 2 ปีที่แล้ว +22

    Mwalimu asante kwa somo zuri ila nina swali la mda mrefu: Nashindwa kutofautisha ni mda gani mwanamke ananasa ujauzito maana kuna period mbili za muhimu, period ya kuona damu na period ya ovulation,umetufundisha kuwa hizi siku za ovulation ndo siku za kubeba ujauzito. Je unaweza kufanya tendo la ndoa siku ya kuona damu au siku moja kabla au baada ya damu na mwanamke akawa salama asishike ujauzito? Naomba unisaidie kwa ufafanuzi zaidi.

    • @Eliwaza-fh2ze
      @Eliwaza-fh2ze ปีที่แล้ว

      Ndy

    • @PROTUSNICOLAUS-pw8cf
      @PROTUSNICOLAUS-pw8cf ปีที่แล้ว

      Je, anaingia tarh1

    • @BitiaMwalongo
      @BitiaMwalongo ปีที่แล้ว

      Hili swali jibu lake lipo ukurasa wa ngap😂😂😂😂

    • @GoldenMxang-je4rn
      @GoldenMxang-je4rn ปีที่แล้ว +1

      Mwalimu naomba niielekeze nijue mzunguko wangu ni siku ngapi

    • @GetrudaSamwel-u4h
      @GetrudaSamwel-u4h ปีที่แล้ว +1

      Samahani Mim ningependa kujuautamsaidiaje mwanamke anayesex uke wake ukiwa mkavu hata akiandaliwa vipi, maana inasemekana inasababishwa na uzallishwaji mwwingi wa estrogen hormone inayoacti kama acidic in nature sasa utamsaidiaje kupunguza uzallishwaji WA huyo hormone

  • @danielbato1895
    @danielbato1895 4 ปีที่แล้ว +4

    Much thanks must go to you Dr. As u have taught us

  • @kavataf7408
    @kavataf7408 4 ปีที่แล้ว +6

    Superb!!!!

  • @AlphonceLupia
    @AlphonceLupia 28 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa somo nimekuelew vizuri

  • @NeemaNkwale
    @NeemaNkwale 22 วันที่ผ่านมา

    Kwer mungu akubariki nimeelewa docta

  • @badlandz6673
    @badlandz6673 4 ปีที่แล้ว +12

    I have learned a lot thank you !!

  • @mishiomaromarabdhallah7580
    @mishiomaromarabdhallah7580 4 ปีที่แล้ว +10

    Sasa doctor mm sina tarehe moja nabadilisha terehe kila mwezi sasa nafanyaje hapo mm mana sielewi hapo

    • @Africancommunit-y1
      @Africancommunit-y1 4 ปีที่แล้ว

      Mishiomar Omarabdhallah ndio atu saudie dawa💚💚 🙏🙏

    • @mdaberash266
      @mdaberash266 4 ปีที่แล้ว

      @@Africancommunit-y1 ,hakunaga dawa ya mzunguko maana hata mimi niko hivo niliamuwa kuacha km ilivyo tu

  • @rosestephano326
    @rosestephano326 2 ปีที่แล้ว +15

    Eee Mungu Ni bariki na Mimi Amen🙏🙏

    • @JabiryKigoda
      @JabiryKigoda 11 หลายเดือนก่อน

      Allah atakufanyia wepesi

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      Ishaallah udugu wangu

    • @JobDaniel-db3jp
      @JobDaniel-db3jp 9 หลายเดือนก่อน

      Kwani na wew haujapata mtto na jinsi ulivyo et

    • @Sharmy_02
      @Sharmy_02 8 หลายเดือนก่อน

      Amiin

    • @SynaidàSànde
      @SynaidàSànde 2 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa sana mwalimu

  • @Julianawillson-s9w
    @Julianawillson-s9w ปีที่แล้ว

    Asante San doctar somo lako zuri mungu awe nawe sikuzote

  • @lilianamos7328
    @lilianamos7328 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante cn mwalim nimekuelewa vzr

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 ปีที่แล้ว +8

    Amen asante umeongea jambo zuri la Mungu ameen baba

  • @nyangeawari8335
    @nyangeawari8335 4 ปีที่แล้ว +30

    Nimpenda doctor alivyo malizia na neema ya mungu.

    • @yoladabaga5993
      @yoladabaga5993 4 ปีที่แล้ว +2

      Nakama Siku zangu zimekoma nafanyaje dk?

    • @rachelelia914
      @rachelelia914 4 ปีที่แล้ว +1

      Ilipata dawa zakuona siku zako

    • @ashurasudi5724
      @ashurasudi5724 ปีที่แล้ว

      Habari kwajina naitwa ashura Mimi napata siku 10 11 jesikuyangu yakubeba mimba hipi naomba kujuwa

    • @ashurasudi5724
      @ashurasudi5724 ปีที่แล้ว

      Natamani sana mtoto

    • @ashurasudi5724
      @ashurasudi5724 ปีที่แล้ว

      Naomba msada waok

  • @vivianmbiro6866
    @vivianmbiro6866 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimekupata Sana chief

  • @FurahaMayinda
    @FurahaMayinda ปีที่แล้ว

    Thank you doctor nimekuelewa sana doctor wangu mi mwenyw nataman NAMI nipata ujauzt

  • @NeemaEzikia
    @NeemaEzikia 8 วันที่ผ่านมา

    Asante sana dockta mungu akubarik

  • @lindahmrema9281
    @lindahmrema9281 4 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa somo👌🏿

  • @Mike_Sonferix
    @Mike_Sonferix 4 ปีที่แล้ว +5

    Thanks alot. God bless you.

  • @josephinewanjiku9434
    @josephinewanjiku9434 4 ปีที่แล้ว +4

    Be blessed Mtoto Ni baraka.Mungu kwanza

  • @MwanaishaMatezo
    @MwanaishaMatezo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nauliza mwalimu umzunguko ulienda siku 35 nivipi?

  • @ZanuraMaulidi-ug9bo
    @ZanuraMaulidi-ug9bo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mzungo utaujuaje

  • @mwajumajumamwajumajuma593
    @mwajumajumamwajumajuma593 4 ปีที่แล้ว +4

    Na wanaobrid tarh 21 siku za hatar ni zipo?

  • @mimanassor7078
    @mimanassor7078 4 ปีที่แล้ว +4

    Je maziwa kuvimba cyo dalili ya kubeba mimba ? Au ni period?

    • @bintiiddy7043
      @bintiiddy7043 4 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe tunavimba matiti wengi nlijuwa me mwenyewe nikikarbia siku zangu navimba matiti kama wiki hivi Ndio dam inakja

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      Mimi nanawiri kupita maelezo ndo nabrid adi watu wananishangaa mbona unabadilikabadilika shida nn😂

  • @MatildaFrank-bp5oq
    @MatildaFrank-bp5oq ปีที่แล้ว +3

    Wewe ni mwalimu mzuri saana,unatufundisha vzuri saana,wengne hawawezi kufundisha kama wewe.

  • @ummyremmy-pc9cy
    @ummyremmy-pc9cy ปีที่แล้ว

    Umefundisha vzr mashaAllah ila nnaswali mie mzunguko wangu sijawai kuruka tangu na balekh ila mwezi huu nimepata hedhi mara mbili baada ya siku tano tu kumaliza hedhi ikarudi tena huenda ikawa ni sababu gani labda ama nini tatizo haijawai kutokea kabsaa katika maisha yangu

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      Sorry dear cheki mwezi ujao mahi ikijiludia tatizo pia tumia tangawizi ukiingia itakusaidia mno

  • @habibaomary7866
    @habibaomary7866 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sna docta nimejifunza vitu

  • @zipporahogechi2836
    @zipporahogechi2836 4 ปีที่แล้ว +15

    may the Lord bless you

  • @hudaaahmed657
    @hudaaahmed657 4 ปีที่แล้ว +17

    Hi mambo naulizaje mtu akimaliza damu kama tuseme ameanza tarehe moja akamaliza siku yatano akiwa namume siku yasita kuendelea anaweza kushika mimba kweli

  • @lydiasikuku3023
    @lydiasikuku3023 4 ปีที่แล้ว +5

    Thankx teacher God bless u

  • @AumaOchieng-k3u
    @AumaOchieng-k3u ปีที่แล้ว

    Thanks for your teaching God bless you

  • @devotawillibadi4603
    @devotawillibadi4603 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa somo lako zuri

  • @sallys3229
    @sallys3229 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana Kwa mafunzo

  • @graceagape2807
    @graceagape2807 4 ปีที่แล้ว +13

    Wow everything ni mungu

  • @mohamedpembe5887
    @mohamedpembe5887 4 ปีที่แล้ว +4

    Samahani daktar kwanini siku yahatari umeongeza siku moja wakati yai lamwanamke linauwezo wa kusurvive siku mbili kwenye oviduct?

    • @Toptenherbs
      @Toptenherbs  4 ปีที่แล้ว +1

      Kwa uhakika mkubwa yai huishi masaa 24 tu mara baada ya Ovulation ndio maana tunaweka siku moja mbele. Nenda kafanyie utafiti tena utaelewa hilo

    • @hassanzuberi9019
      @hassanzuberi9019 4 ปีที่แล้ว

      Yai huishi siku mbili bro c moja

  • @HappySteven-f4f
    @HappySteven-f4f ปีที่แล้ว

    Asante nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki saaana

  • @mc-stephenmasome6553
    @mc-stephenmasome6553 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr. Mungu atukuzwe kwaajili yako. Nimepata matokeo chanya, ntakupigia simu

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Mimi sijaelewa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Hizo siku za kupata mimba zinakuwa ndani ya siku za mzunguko?. Maana siku ya mzunguko si anakuwa anatokwa na damu ya hedhi!?. Kama anayoka damu ya hedhi unamuingiliaje!?.

  • @veronicalyakurwa350
    @veronicalyakurwa350 4 ปีที่แล้ว +4

    jaman mm mwenzenu kuhesabu mzunguko wangu bado ni changamoto sijuagi kuhesabu

    • @hildahlawison7444
      @hildahlawison7444 4 ปีที่แล้ว +1

      Uko sawa na mm cielewag yaan

    • @damah8431
      @damah8431 4 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe tuko wengi🤣🤣

    • @terryjost2320
      @terryjost2320 4 ปีที่แล้ว

      yaan mwez uliopita umeanza kuziona siku zako tarehe ngap ile tarehe ya mwez uliopita unaanza kuhesabu mpka huu mwezi ukianza tena kuona siku zako ndio jibu kuwa mzunguko wako ni wasiku 28 au 30
      Alafu kujua siku ya mimba, wachukuwa 28 toa 14(28-14=14) au 30 toa 14(30-14=16)

    • @monicastivin6062
      @monicastivin6062 4 ปีที่แล้ว +1

      @@terryjost2320 asante wewe nimekuelewa 👏

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 biology mliikimbia

  • @catherineguga9873
    @catherineguga9873 2 ปีที่แล้ว +15

    Hivi ukitoka period mfno leo alfu kesh ukafany hivi unawez pAta mimba

    • @JackEzekia
      @JackEzekia 4 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤

    • @Shasweat
      @Shasweat 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hpn

    • @BrugolynNdunguru
      @BrugolynNdunguru 3 วันที่ผ่านมา

      Noop

  • @magdalenandele1183
    @magdalenandele1183 4 ปีที่แล้ว +11

    Mwanamke anapo umwa tumbo la chini kwanzia siku ya 13 hadi 16 baada ya hedhi hizi ni dalili za mini?

    • @aye5863
      @aye5863 ปีที่แล้ว

      Ovulation

    • @phellyachieng9895
      @phellyachieng9895 ปีที่แล้ว

      What is ovulation

    • @tumainexper7325
      @tumainexper7325 ปีที่แล้ว

      Na asipoona siku zake alafu akaja akaona jee itakuwa mimb imetoka

  • @MAGRETHMKUMBO
    @MAGRETHMKUMBO 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe nimwalimu mzuri kuliko wote ambao nimewasikia, mwenyezi MUNGU akubariki sana

  • @maryannmihadi7849
    @maryannmihadi7849 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante Doctor

    • @DairusKagoma-j5e
      @DairusKagoma-j5e 9 หลายเดือนก่อน

      Kwamfano mm siku ya 30 siku gan nibebe

  • @congratulationmayunga414
    @congratulationmayunga414 4 ปีที่แล้ว +12

    Doct. Kama mzunguko wa mwanamke haueleweke anatakiwa afanyeje ili apate ujauzitoo:??

  • @NaomiBenard-wt5wr
    @NaomiBenard-wt5wr 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana docta namungu akubariki

  • @MajuvaMajuva
    @MajuvaMajuva 7 หลายเดือนก่อน

    Asant sana nimefurahi sana nimejifunza mengi mungu akulipe mema

  • @agripamwakapesa386
    @agripamwakapesa386 4 ปีที่แล้ว +4

    Doctor me nimeumwa tumbo la bleed siku mbili ila me bleed aziatoka bado

  • @kanisiamkoko7051
    @kanisiamkoko7051 4 ปีที่แล้ว +4

    Siku gani ya kupata mtoto wa kiume?

  • @rosetedomir8760
    @rosetedomir8760 4 ปีที่แล้ว +17

    Be blessed Doctor

    • @gloriarenatusi7791
      @gloriarenatusi7791 4 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @nahumukimweri424
      @nahumukimweri424 4 ปีที่แล้ว +3

      Doctor me nmefanya Mapnzi na mke wngu ila cioni dalili za mimba

    • @mutigafyee6720
      @mutigafyee6720 4 ปีที่แล้ว +1

      Thank you very much doctor.

    • @sadasada6679
      @sadasada6679 3 ปีที่แล้ว

      asante kaka yangu nimeelewa

    • @michaelrobert3309
      @michaelrobert3309 3 ปีที่แล้ว +1

      Mimi ninaswal je kama mzunguko wangu hauweleweki naweza kushik mimba

  • @LilianChiduo-cf8do
    @LilianChiduo-cf8do ปีที่แล้ว +1

    Ongera sawa tchr wangu daaaah nimeerewa somo mungu hakutakie maisha marefu napy uwe na usiku mwemaaaaa

  • @DBrownstain
    @DBrownstain 2 ปีที่แล้ว

    Sikuwaza wala sikupanga kucomment. Lakini maneno ya mwisho kwakweli yamenibariki na kunitia sana moyo. Barikiwa pia kaka.

  • @neemanavaranaa4672
    @neemanavaranaa4672 4 ปีที่แล้ว +4

    Yaani unajua sana

  • @irine8353
    @irine8353 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiswahili ni kigumu asante mwalimu