ENG HERSI SAID AWAPA POLE JOB,KIBABAGE,MSHERY KWA KUIFUNGA MTIBWA/WAKATAFUTE ALAMA TATU KWINGINE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ค. 2024
  • Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 107

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 23 วันที่ผ่านมา +4

    Mpenja hongera kwa kuwa na host kama huyu dada anapiga kazi kiukweli 🎉

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 25 วันที่ผ่านมา +26

    Nafurahi sana kuwa yanga mwisho niseme Eng Heris na menejimenti yako mungu awalinde zaidi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 25 วันที่ผ่านมา +19

    MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @PendoMorice
    @PendoMorice 24 วันที่ผ่านมา +4

    Hongereni sana wachezaji wetu hongereni sana benchi la ufundi hongereni sana viongozi wetu pamoja na Gsm Kwa kazi kubwa mliyoifanya mpaka Leo hiii tumechukua ubingwa wa mara 3 mfululizo na ubingwa wa 30 haikuwa kazi rahisi pia Hongera za dhati Kwa mashabiki wote wa yanga Africa, Kwa pamoja tunasema Asante Mungu Kwa kutulinda na kutupa furaha nyingine tena na tena🙏

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk 25 วันที่ผ่านมา +18

    Yanga Bingwa 💚💛💚💛 wananchiiiiiiiiiiii

  • @FloraIkwabe-qy3yb
    @FloraIkwabe-qy3yb 25 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu akisema ndio hakuna wa kusema hapana ,Asante mungu

  • @user-io2rj2yp5d
    @user-io2rj2yp5d 25 วันที่ผ่านมา +7

    Hongereni wachezaji wote kwa moyo wa kujituma,bechi la ufundi na mashabiki wote ambao muda mliisapoti timu Mungu awabariki sana.Yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @elizabethywinnie1090
    @elizabethywinnie1090 25 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu ni mwema kila wakati🙏 I love u Yanga💚💛

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt 25 วันที่ผ่านมา +10

    Mungu awatangulie kwa kila hatua. Rais wa Yanga. Pamoja na wachezaji wako wote bila kuwasahau mashabiki wote wa Yanga

  • @user-xw1rb1vs5x
    @user-xw1rb1vs5x 25 วันที่ผ่านมา +7

    Yanga bingwaaaaaaaa, congratulations wananchii❤❤❤❤❤❤❤

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 25 วันที่ผ่านมา +8

    MUNGU ni mwema hongera Sana Skutu kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 25 วันที่ผ่านมา +4

    Nimependa maojiano kati Jein na Injinia Heris Inshaallah M/Mungu aeazidishie Inshaallah

  • @user-xh8eg4xj7i
    @user-xh8eg4xj7i 24 วันที่ผ่านมา +1

    Alhamdullillah, kiongozi pekee duniani anayekuwa karibu na wachezaji wake, big up Heris

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 25 วันที่ผ่านมา +9

    Let's Go Wananchi Yanga Bingwa Tena💚💛💚💛🏆🏆🏅🥇🥇🥇🔥🔥🔥

  • @denismsanzya7145
    @denismsanzya7145 25 วันที่ผ่านมา +4

    NIMEFURAHI SANA TUMEPITIA MAMBO YAKUTISHA SANA NDANI NA INJE YA UWANJA LAKINI TUMESTAHILI KUPÀTA USINDI WETU MUNGU YU MWEMA❤❤ ASANTE MUNGU

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana viongozi nawachezaji wote na mashabaki wa yanga❤

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 25 วันที่ผ่านมา +8

    Injinia very friendly na wachezaj, najua vilabu vingi vinamiss.... Hivi unapataje jeuri yakumwagia raisi wako shampain?? Very frndl

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 25 วันที่ผ่านมา +3

      Pata picha Chama anamwagia champagne 'try again'

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 23 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga lahaaa sana, yani yanga mnatufanya tubebe mimba kila siku, maana mawazo atuna, tunakula nashiba pesa inaingia, nikilud kwenye timu langu lahaa kama yonte, sasa kwa nini mtoto asipite tumboni ,💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛🏆🏆🏆🇹🇿✔️ nakupenda yanga kama kazi yangu

  • @Safina-qg9gv
    @Safina-qg9gv 25 วันที่ผ่านมา +6

    Alhamdulillah yanga ooeeeeeee❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TatuRashid-zy5nw
    @TatuRashid-zy5nw 25 วันที่ผ่านมา +3

    Hongereni wananchi

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 25 วันที่ผ่านมา +5

    Tunamshukuru saana mungu Asante saana viongozi wetu benchi la ufundi wachezaji madankitari kwa kuipambani nembo yetu mungu awatunze tunategemea kuwa mwendelezohuhu🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani 25 วันที่ผ่านมา +4

    Tumefurahi sanaaaaaa mwenyez mungu katukubali asante mungu

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaallah Alhamndulilah tunamshukuru sn Allah M/Mungu nakuomba tuzidishie zaidi na viongozi wetu na wachezaji wetu Allah tuwekee na tulindie zaid Inshaallah

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 25 วันที่ผ่านมา +5

    Ni rahaaa sanaaa kombe la 30 jaman duuu nirahaaa tupuuuuu nikiwa arusha stand kubwa terminal

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 25 วันที่ผ่านมา +5

    Rahaaa sanaaaaa asante MUNGU

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 25 วันที่ผ่านมา +4

    Raisi wa ball respect kwako 🎉🎉🎉

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 25 วันที่ผ่านมา +5

    Daaaa nimependaaa utani wenuu baba na wanaeeeee🎉🎉🎉🎉🎉

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 25 วันที่ผ่านมา +10

    Congrats YANGA AFRICANS

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kibabage namkubali
    Hongereni wananchi

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 25 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga bingwa 🎉🎉🎉💚💚💚💛💛💛

  • @tanoiddibakalbakal
    @tanoiddibakalbakal 25 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga bingwa wa muda wote makolo mtafukuza sana

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 24 วันที่ผ่านมา

    Yanga rahaaaaaaaaaa

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 23 วันที่ผ่านมา

    Congratulations wanainchi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KamonaKintu-or2gs
    @KamonaKintu-or2gs 25 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga oyeeeeeeee wachezaji viongozi coach wapenzi pamoja na washabikl wetu yanga oyeeeeee madunduka wamelala yombo

  • @user-it3qb5uj8z
    @user-it3qb5uj8z 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera...kwetu

  • @HabibuKiyondo
    @HabibuKiyondo 25 วันที่ผ่านมา +3

    Nakubal Sana tunaipenda yanga yetu

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 25 วันที่ผ่านมา +5

    Asante. Saasaaana. Wachezaji. Wa. YANGA. Woooote. Viongozi. Woooote. Coaches. Woooote. Mashabiki. Woooote. Wanachama. Woooote. Kama. Mwanachama. Wa. YANGA. Nina. Furaha. Kubwa. Isiyoelezeka. Yaani. Imepitiliza. YANGA. Oyeeeeee. Ubingwa. Mtamu. Jamani. Daima. Mbele. Nyuma. Mwikooooo

  • @irenedaniel8702
    @irenedaniel8702 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mangungu ukimwagia shampen anakukata mshala wa miezi miwili kwa utovu wa nidham 💛🏆🏆

  • @TatuMzuzuli
    @TatuMzuzuli 24 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana my team young African

  • @FaustinaMwita
    @FaustinaMwita 22 วันที่ผ่านมา

    Jamani naipend yang❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 25 วันที่ผ่านมา +1

    Job kafurahi ila inamuuma sana inginer very good leader

  • @rodgersjustin6524
    @rodgersjustin6524 24 วันที่ผ่านมา

    Wao!,wao!,wao!

  • @adelinamushi2892
    @adelinamushi2892 22 วันที่ผ่านมา

    Ukiwa yanga unaongeza Siku za kuishi

  • @IdrissaJuma-sp4rp
    @IdrissaJuma-sp4rp 24 วันที่ผ่านมา

    J naona nuru na tabasam kubwa katika uso wko❤❤❤

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 17 วันที่ผ่านมา

    Ukiwa yanga

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera yanga 😀😁😂

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 24 วันที่ผ่านมา

    💚💛💚💛🔥🔥🔥👍

  • @user-hm5mn9rg4e
    @user-hm5mn9rg4e 24 วันที่ผ่านมา

    🎉 alhamndullah 🤲🤲🤲🎉😂😂😂😂💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛👏👏👏👏👏👏🍾🥂

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f 24 วันที่ผ่านมา

    Tulipata raise Bora jmn yang lah San tunawashukulu San timu yetu hongelen San 😊

  • @SalumKhamis-xb4eh
    @SalumKhamis-xb4eh 24 วันที่ผ่านมา

    Champiooooon Champioooon 💥💥💥💥💥💛💚

  • @MuddyZege
    @MuddyZege 24 วันที่ผ่านมา

    🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 25 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 25 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulillah

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 25 วันที่ผ่านมา +1

    MECHI imechezwa J'TATU....GOLI 3...POINT 3....UBINGWA mfululizo mara 3...na MAKOLO wapo nafasi ya 3...!..🤣🤣🤣

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 17 วันที่ผ่านมา

    Yanga kunaraha yaketuu

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 24 วันที่ผ่านมา

    💚💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 25 วันที่ผ่านมา

    Allaah Akbar

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 24 วันที่ผ่านมา

    Nawatamani sana wale wahuni waliopora ushindi wetu wa CAF Champions League.

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 24 วันที่ผ่านมา

    Mangungu Oyeeeeee.................Simba nguvu moja.

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r 25 วันที่ผ่านมา

    Thanks God

  • @user-ew7yq4il1i
    @user-ew7yq4il1i 24 วันที่ผ่านมา

    Allah is great

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 25 วันที่ผ่านมา

    Shalom shalom
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa chanel hii

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 25 วันที่ผ่านมา +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bingwaaaaaaaaaaaa mala 30 na tunachukua adi 230 yanga bingwaaaaaaaaaa😂😂😂

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 25 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 25 วันที่ผ่านมา

    Parade ya msim huu itaanzia nyumbani kwa Ahmed Ally

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 24 วันที่ผ่านมา

    Hv simba wanao muda wa kucheza na boss wao kma hv?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 24 วันที่ผ่านมา

    Huyo jamaa ananunua sana Mechi anaharibu soka letu sana

  • @Shadia544
    @Shadia544 25 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂Hongera sana wananchiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂yanga bingwaa 😂😂😂😂

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 25 วันที่ผ่านมา

    Wachezaj hawatulii kujojiwa 😅😅

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 25 วันที่ผ่านมา +1

    RAISI ANAFURAHI ANATANIANA NA WACHEZAJI WAKE HAYA NI MAFANIKIO MAKUBWA YANGA KIONGOZI UNATAKIWA KUWA KARIBU NA UNAOWAONGOZA ILI MUFANYE KAZI YENYE TIJA NA UFANISI

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 25 วันที่ผ่านมา

    Hii title mbona haifahamik

  • @user-pk8jd8ob4m
    @user-pk8jd8ob4m 25 วันที่ผ่านมา

    Hadi Raha jamani yanga

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 24 วันที่ผ่านมา

    unawahoji wachezaji wa Mbao ndefu wote hao

  • @edwardmwakajinga816
    @edwardmwakajinga816 25 วันที่ผ่านมา

    Yanga

  • @AshaHamadi-bh6ge
    @AshaHamadi-bh6ge 24 วันที่ผ่านมา

    Raisi wetu watu wamemlaki vizuri sana hongereni mashabiki wa simba vipi mletewe mangungu ila tunaogopa mtamuua😂😂

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 25 วันที่ผ่านมา

    💛💚💛💚💛💚💚💚💛💚💚💚💚🙏

  • @getruda
    @getruda 25 วันที่ผ่านมา

    Injinia ni mtu wa watu ndio maana wachezaji wako huru

  • @tossynia
    @tossynia 24 วันที่ผ่านมา

    Job unaionea huruma timu yako😂

  • @FaustineJonasi
    @FaustineJonasi 25 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 24 วันที่ผ่านมา

    Nyumbani sinyumbani tumewapiga tibwaa

  • @user-bd1jv7oi3j
    @user-bd1jv7oi3j 25 วันที่ผ่านมา +1

    Oyeeeeeeee

  • @IsaMohamedy
    @IsaMohamedy 24 วันที่ผ่านมา

    rais kijana na mamb yanaenda kwa ujan ujan msimtafsir mtu kwa mavaz fyoooooo

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 25 วันที่ผ่านมา

    Tutarogwa!!!!!

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 25 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kmmyangaaa

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 24 วันที่ผ่านมา

    Sikudu sijui kalogwa nanani ?

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tunawasubi kuwapokea

  • @tungoyahya6044
    @tungoyahya6044 24 วันที่ผ่านมา

    Astaghafiru Allah kwel mpira haramu waislam wanakumbatia mapombe kwl kwawenzetu Iman nindogo japokuwa muislam

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 24 วันที่ผ่านมา

      Mmhhhh nawewe ni haramu umekuja kutafuta nini humu?

  • @TamimuHassan
    @TamimuHassan 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huna baya kaka

    • @NadyaMfaume
      @NadyaMfaume 25 วันที่ผ่านมา

      🥰🥰🥰

  • @jacklinemushy6870
    @jacklinemushy6870 25 วันที่ผ่านมา

    Usikute gamond ndo anatuaga 😮 the way anavyupunga mkono kama nabi mwaka jana

    • @beatusmtui507
      @beatusmtui507 25 วันที่ผ่านมา

      Usiseme hivyoooo aiseeeee

    • @IzackMakole-ul5tt
      @IzackMakole-ul5tt 25 วันที่ผ่านมา

      Hahahaa we have wewe

    • @IzackMakole-ul5tt
      @IzackMakole-ul5tt 25 วันที่ผ่านมา

      We Jack unatabia mbaya usiseme mala aondoke kweliii😢

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 25 วันที่ผ่านมา

      Gamondi bado yupo ...yeye Ana tabia ya waargentina they always communicate and integrate with fans ....so that is the main reason

  • @KadasoMadaha
    @KadasoMadaha 24 วันที่ผ่านมา

    Yanga bingwa

  • @dicksonmakunenge4614
    @dicksonmakunenge4614 20 วันที่ผ่านมา

    Kibabage bana

  • @TatuRashid-zy5nw
    @TatuRashid-zy5nw 25 วันที่ผ่านมา

    Hongereni wananchi

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 24 วันที่ผ่านมา

    💚💛💛💛💚💚💚💛💛💚💚💛💛💚💚

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 25 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 25 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤