MCHUMBA WA ALI KAMWE AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE "NAMPENDA ALI KAMWE MTU MZURI"

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 111

  • @upendokweka8381
    @upendokweka8381 29 วันที่ผ่านมา +5

    Hata hapo bado kamwe haujapata mke, azidi kuomba mungu

  • @elizabethgeorge2197
    @elizabethgeorge2197 29 วันที่ผ่านมา +4

    Ila mmeendana jamani ❤❤❤❤

  • @emmykassim4132
    @emmykassim4132 หลายเดือนก่อน +7

    Mtoto WA kiislam Ally KAMWE una sauti wew mwanamme unaeuhusuje avaae hivyo

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Bi harusi 🎉❤ mashallah hongera Sana dada vizi liko❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 29 วันที่ผ่านมา +3

    So cute❤

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 หลายเดือนก่อน +24

    leo mwanangu aliy kamwe umeniangusha nn hicho ulicho mvalisha huyo sijui ni mchumba kabakisha nn aonekane yuko uchi hakuna ndini inaruhusu mwanamke kuvaa hivyo hivyo km umeona toka utokako ungemubadilisha hiyo nguo kwani uzuri ya kujisitiri bei ngani

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 29 วันที่ผ่านมา +11

    Mnao ongelea Kuvaa kwani nyie hua mnavaaje 😂😂😂

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 28 วันที่ผ่านมา

      Kwani pele aliko pasu paunganishwa asinge pendeza au na ww ndio walewale waenda uchi hata km malaya jistiri mtu akiambiwa yule anajiuza akatae akutete wee unatetea kuvaa vile kipaja chanye km cha ndege kaa

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 28 วันที่ผ่านมา

      Si kwa sababu hawaonekani na hawajulikani 😂😂

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 11 วันที่ผ่านมา

    Waooh Ericka mtoto wa urasa mic u ❤❤

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t 29 วันที่ผ่านมา +5

    Wala hajapendeza ,vazi haliendani na hyo harusi ya kiislamu,katoka mfupa waroho km kaona malakul mawt

  • @kisinzajohn1805
    @kisinzajohn1805 29 วันที่ผ่านมา +7

    Huyo binti ndio wa kuoa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 หลายเดือนก่อน +8

    Zaylisa wa pili tumempata😂😂😂

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c 17 วันที่ผ่านมา

    Mwanangu Ally Kamwe hilo vazi la mwali wetu limetuangusha sisi mama zako siku nyingine rekebisha

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 24 วันที่ผ่านมา

    Hongera mchagga

  • @user-vj8pi2wc3z
    @user-vj8pi2wc3z 28 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa mbona anacheza cheza!!
    Au ndio "shek well before you use"

  • @AdamAdam-xf3gh
    @AdamAdam-xf3gh หลายเดือนก่อน +7

    Hilo paja au mkono tu

  • @ismahafidhi1756
    @ismahafidhi1756 28 วันที่ผ่านมา +3

    twenty four seven au nimesikia vibaya

    • @gloryngunda9664
      @gloryngunda9664 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NajmaMustafa-hq3vm
    @NajmaMustafa-hq3vm หลายเดือนก่อน +4

    Demu mwenyewe mshamba

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z 29 วันที่ผ่านมา +2

    Kusema kweli hiyo nguo aliyovaa haifai kbsa. Haina maadili

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 29 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni Uswahili...kutoelewa mahusiano ndio matokeo ya maswali ya mwandishi😊

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 หลายเดือนก่อน +2

    Umaarufu na pesa kweli mtihani dada umekubali kuvishwa utupu ili kupata maokoto na umaarufu subhana llah

  • @PillyAlly-ku1hj
    @PillyAlly-ku1hj 29 วันที่ผ่านมา +3

    Huyoo mwanamke ni mshezi wa tabia Malaya huyo

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 28 วันที่ผ่านมา

      Wewe umejuaje kama sio huwa mnafanya wote watu wenginr bhanaaa

  • @ericbrunokalonndwa8590
    @ericbrunokalonndwa8590 28 วันที่ผ่านมา +3

    All good. Mavazi inategemea na event sioni issue amependeza mdada lazima watu wajue dresses na events na sherehe haijafanyika msikitini au kanisani

  • @annambele789
    @annambele789 29 วันที่ผ่านมา +2

    Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.

  • @user-so6md6rm2w
    @user-so6md6rm2w 29 วันที่ผ่านมา +3

    🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi

    • @asiarashidi1520
      @asiarashidi1520 28 วันที่ผ่านมา

      So hujaelewa kamaanisha nini au?

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 หลายเดือนก่อน +6

    Maa shaa llaa biharusi kajua kujisitiri sio aliy kamwe sijui kaalika kitu ngani kile paja lote liko wazi kabakisha sehem dg tuu chupi ionekana wallaah ss wanawake hatuna aibu

    • @BintOmary-gs9hw
      @BintOmary-gs9hw 29 วันที่ผ่านมา

      Han akili anaon kapendez kumbe anajizaraulisha tu

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 27 วันที่ผ่านมา

      sio dem wake

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l 14 วันที่ผ่านมา

    @li dogo mkali broo

  • @user-gk5ms2bk9k
    @user-gk5ms2bk9k 26 วันที่ผ่านมา

    Jamani vaz la uyo mdada wa msemaji wetu kamuaibishaaa

  • @SaidhassanSuleiman
    @SaidhassanSuleiman หลายเดือนก่อน +3

    Twenty four seven duuuu

  • @adammkisema1524
    @adammkisema1524 29 วันที่ผ่านมา +3

    HUYU MWANAMKE KAMDHALILISHA MSEMAJI WETU..........anashindwa kuuliza ama kujua dress code ya harusi ya kiislam....kama amepania kuonesha ....

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 28 วันที่ผ่านมา

      Ye hajaona kama amedharirishwa jamani

  • @MonaMbalike
    @MonaMbalike หลายเดือนก่อน +8

    Kigodolo kimekaa upande au wenzangu hamuon kama mm

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 28 วันที่ผ่านมา

    Mbona hapa umeonekana kama kijana wa hovyo jamani. aaaaa kijana hapo umetuangusha sana

  • @HappyAmani
    @HappyAmani 29 วันที่ผ่านมา +3

    jaman mnaosema ni mchumba wa ali kamwe muwe mnaangalia hata vidio msikie maelezo kabla ya kumjaji kamwe kama mnatak kujaji mjajidini huyu Dada lakn pia me sio cha ajabu kwan mbna watu wanavaa vbya zaid ya huyu Dada acheni roho za kwann mnaboaaaaa

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 29 วันที่ผ่านมา

    Hafai!!!

  • @LilianiMeena
    @LilianiMeena 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahahaaaa eti msomi 😅😅😅wasomi anawajua msomi sio mshamba kiasi hicho

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mbna hers make wake kajsitili IGA kwa wenzio

  • @johnmgalilwa9136
    @johnmgalilwa9136 หลายเดือนก่อน

    👊👊👊👊

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis 29 วันที่ผ่านมา +5

    😂😂😂😂😂 security twenty four seven we huogopiii?😂😂😂

    • @archilleuswilson4359
      @archilleuswilson4359 29 วันที่ผ่านมา +1

      Twenty four seven labda masaa 24 siku saba ambapo ndo ana siku mbili dar 😅

    • @lovenessfracis
      @lovenessfracis 29 วันที่ผ่านมา

      @@archilleuswilson4359 😂😂😂😂😂

    • @MarianaDonarld
      @MarianaDonarld 29 วันที่ผ่านมา +1

      Ulimbukeni TU, security anezungumzia wamwibie nini

    • @sultansaidi4169
      @sultansaidi4169 28 วันที่ผ่านมา +1

      Naogopa 😂😂😂

    • @user-vu4vn7op3w
      @user-vu4vn7op3w 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @user-yn1jb4iu8e
    @user-yn1jb4iu8e 29 วันที่ผ่านมา +1

    Ally kamwe huyo mwanamke amekudhalilisha amevaa hovyo sana. Amekudhalilisha sana.hakufai anajishauwa sana.

    • @PinkyLeonard
      @PinkyLeonard 29 วันที่ผ่านมา

      Unamjua na wewe ovyooo kaa jinga

  • @zanzibartrip5954
    @zanzibartrip5954 29 วันที่ผ่านมา +1

    Napita tu nakuangalia m

  • @user-mt3xf4pc7p
    @user-mt3xf4pc7p 28 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani semaji letu mungu akusaidie upate mchumba mwenye maadili mema ajistili Kama dini unavyokuruhusu

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 28 วันที่ผ่านมา

      Hicho unachokiona sio tabia mbaya na kama angekuwa na tabia mbaya nadhani huyo ally kamwe asingekuwa nae

  • @BenithaSalvatory
    @BenithaSalvatory 29 วันที่ผ่านมา

    Mavaz sio mwanamke unaejielewa uwez vaa Ivo

  • @gaudeciajackson8398
    @gaudeciajackson8398 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna watu wanajisitiri ila wanafanya mambo ya ajabu

  • @despinadamian8693
    @despinadamian8693 28 วันที่ผ่านมา

    Jamani kwani mmejuaje kama mke wake au mpenzi wake ally kamwe au huyo dada kaongea chochote yani watu 😂😂😂

  • @user-we8cl7yt2d
    @user-we8cl7yt2d 29 วันที่ผ่านมา

    Kaka Ali huyu dada mh! mbona paja nje

  • @subiralema
    @subiralema หลายเดือนก่อน +3

    Afai kuwa mke uyo ana aibu anaonyesha kibaka

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 29 วันที่ผ่านมา

      Mmmmmmh angekosa aibu mngemsema

  • @salimaljahwari1
    @salimaljahwari1 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu msichana yuko uchi. Ustarabu ni pamoja na mavazi. Dini zote mwanamke ajistiri.

    • @Shakira-Nb
      @Shakira-Nb 28 วันที่ผ่านมา

      Ally alitoa challenge gani kwani

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 หลายเดือนก่อน

    Ndo nn hicho ?

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 27 วันที่ผ่านมา

    sio mdem wa alli huyo maezo tu yanajieza

  • @user-nb6nn6sv7u
    @user-nb6nn6sv7u 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hajui kujieleza uyu katutia aibi siswatu wamoshi

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 29 วันที่ผ่านมา

    Duniya imeisha wa muanika mke hivo

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 27 วันที่ผ่านมา

    Mchumba mwenyewe anajionea aibu na gauni lake la uchi

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 29 วันที่ผ่านมา +2

    uyo mwanamke atakua malaya tu

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 9 วันที่ผ่านมา

    Msomi

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 29 วันที่ผ่านมา

    Mbona wengi mnasema kavaa vibaya 😂 😆 ?

  • @EmmanuelAllan-kz7rm
    @EmmanuelAllan-kz7rm 20 วันที่ผ่านมา

    Hahahhhah hizi comment zinachekesha

  • @raishahatibu7095
    @raishahatibu7095 29 วันที่ผ่านมา

    Atakua sio mchumba kamukota tu barabarani ajenae harusini si kwa nguo hiyo kujicholesha

  • @KhadijaKiwambu-qx8qh
    @KhadijaKiwambu-qx8qh 29 วันที่ผ่านมา

    Uyu atakuwa Ana wazazi Mana mama ake asinge kubari anvae iri nvazi nando Mana hii dunia tunashushiwa miteani kibao wanawake tumezidi jamani kutembea wazi sijuwi mavazi Aya yataisha rini hee mungu nijarie katika maisha yangu nisije ata siku moja nikanvaa ivi wara watoto wangu nitakao wazaa wasije wakaiga huu ujinga wa Hawa mashetani ivi kweri sijuwi wanadamu tunaerekea wapi Hee mungu tupe mwisho mwema Mana mtiani kwa kweri

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 26 วันที่ผ่านมา

    Hamna demu hapo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 29 วันที่ผ่านมา

    uyo sheji kweli au umemkodi ??mbona ally kamwe upo namwamke mke ambae ajajistiri?😂😂😂,kweli hii nihatari

  • @ZeynabAdam-mq5eg
    @ZeynabAdam-mq5eg 29 วันที่ผ่านมา

    Kwan niffa yuko wapi jaman mbon simuoni😅😅

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 28 วันที่ผ่านมา

    Yuko uchi sjui anajiuza

  • @DenisMarahu-hc9uh
    @DenisMarahu-hc9uh หลายเดือนก่อน +2

    Ali kamwe. Kuwa makini huyo mchumba kama kweli ñi mchumba sijakwelewa nini hicho paja nje? Kweny umati wa watu namna hii

  • @MmingeMminge-kr8nj
    @MmingeMminge-kr8nj 29 วันที่ผ่านมา

    Semaji apo umeboa Sana. Ndiyo Nini icho alicho vaa uyo dem, ndiyo mchumba uyo?

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 29 วันที่ผ่านมา

    She is not comfortable😂

  • @user-uq3dq7sr3l
    @user-uq3dq7sr3l 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwanamke sio wakuoa ni wakutomba na kuacha

  • @EricEmmanuel-oy5lt
    @EricEmmanuel-oy5lt หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣 bongo nyoso sana

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 29 วันที่ผ่านมา +1

    24 seven ndio nini???

  • @Heniryahaz
    @Heniryahaz 28 วันที่ผ่านมา

    Ali unatuaibisha huku tunakuheshimu

  • @PinkyLeonard
    @PinkyLeonard 29 วันที่ผ่านมา

    Mna wivu sana wajinga nyie ovyooo dada wa watu kapendeza ❤

  • @ommyjuniorjumbe3328
    @ommyjuniorjumbe3328 29 วันที่ผ่านมา

    Ally kamwe umeudhalilisha uislam kwa mavazi ya huyo mwanamke..yupo uchi kabisaaaa..shame on u Ally..watch out

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 29 วันที่ผ่านมา

      Ivi ni ally kawa wa kwanza kufatana na wavaa uchi au ni wengi,,,,,alafu ni islamic wangap wanavaa uchi zaid ya huyu dada?

  • @anoldjefsta177
    @anoldjefsta177 26 วันที่ผ่านมา

    Kila mtu anaongelea nguo
    Na akat demu pia ni mbovu

  • @user-so6md6rm2w
    @user-so6md6rm2w 29 วันที่ผ่านมา +3

    🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 29 วันที่ผ่านมา

      Mbona kaongea vzr kua masaa 24 na 7 yaan yote analindwa

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 5 วันที่ผ่านมา

      Sasa kakosea nn we mbwa😂😂😂wew ndo ukasome

  • @annambele789
    @annambele789 29 วันที่ผ่านมา

    Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.

  • @latifauzia6424
    @latifauzia6424 29 วันที่ผ่านมา

    Manangu ally kamwe umeniangusha kwa vazi hilo mmmmm

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n 29 วันที่ผ่านมา

    Ali kamwe apo umefeli dogo iyo nguo aliyovaa na wewe amuendani kabisa