Chris Favor naomba umrudishe Tuerny aje aongelee hiyo elimu ya nyota kiundani anaonekana ana madini mengi alaf yuko very smart afichi anajibu maswali kwa uwazi anajiamini zaidi ya yote nimependa chemistry yenu yaan mume blend kinoma noma una mu hoji had ww una enjoy nice chemistry keep it up Bro
Tuern we Ni Mimi kabisa siku yangu ya bahat ni jumanne, maswala ya nyote Wala so uchaw ni mambo ya kawaida tu ata mi nilijifunza mtandaoni kuhusu maswala hayo na ninaelewa jins yakujitafuta na kutawala ulimwengu wangu wa roho Ni kawaida sana tu ukijua
This lady is fantastic issue, she seems to be genius, resourceful, talented in many ways. But admit this one is unique...I don't know which type of sensitivity she fits, that's either life sensitive, ego sensitive, or cruelly ego sensitive
Mie mwenyewe cpendag mwanaume wangu anizoee naweza kumwambia cpo nyumbani kumbe nipo ilimlad tu asinizoee pia anaweza kuniletea zawad nisijishughurishe nayo yani kama niliweka kwenye kiti akilud kunitembelea week ijayo anaikuta pale pale kama sio chakuharibika na asiponipia cmtafuti wala cjari,,
Huy muongo miaka 27 hld romy utembee nae elf 2013 inamaan umetembea na romy ukiwa na miaka 15 hlf romy kasem ametembea na ww mwak 2000 inamaa romy katembea na ww ukiwa na miaka 12 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 acha uongo we dada
Huyu dada ana madini sana katika elimu ya dunia..SnS mrudisheni tena aelezee kwa undani...mpaka naona Chris amekuwa mpole kwa kumuogopa... lkn nimempenda sana yuko wazi na anajiamini...maana wanawake wengi wanawasingizia sana wanaume hasa mambo yakienda kombo kwenye mapenzi..kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa mgumu kwenye mapenzi...wakati mademu wa mbeya ni maji mara moja..hahahaaaaa
Watanzania someni haya anayoyasema siyo mapya wala siyo magic ni mambo yapo kabisa! As a journalist u also have to be well learned guest asikushangaze... someniiiii
huyu dem kasema ana miaka 23 na 2014. sasa huu mwaka ni 2022 ukitoa 2014 unapata miaka 8 ukichukua miaka 23 ukitoa miaka 8 unapata miaka 15 kwahiyo 2014 alikua anamiaka 15 hii sidhani kama ni ukweli. miaka 23 hapana
nyie wandishi wa Habari amna lolote kazi zenu mkiona mwanamke mwenye mwili mzur mnamsapot lakini mwanaume mwenzenu amsapot mpaka atusue ndo mnanza kumfatilia ila madem mko fasta sasa uyo anaimba nyimbo gani iyo
@@vanessalaizer4363 shangazi yangu hatmii minyuzi kuweka kichwani ama maplastic Sawa shangazi yangu ana natural hair singer za kudondoka mpaka mgongoni sijui nyie mnaoteseka na makumbi hamuachi jinsi mlivyo mpaka mtia miplastic sema lingine nitakujibu naona umekeleka
broh! your chemistry with this girl was amazing, i think this is one that your enjoying Chris's..
My thoughts too
I agree Truen has a dark soul! And that's intriguing
Chris Favor naomba umrudishe Tuerny aje aongelee hiyo elimu ya nyota kiundani anaonekana ana madini mengi alaf yuko very smart afichi anajibu maswali kwa uwazi anajiamini zaidi ya yote nimependa chemistry yenu yaan mume blend kinoma noma una mu hoji had ww una enjoy nice chemistry keep it up Bro
Wangap Wamerudia mara mbil mbil kwny maelekeo y astronomy❤️👌
Im here ... she is smart fr fr
Tuern we Ni Mimi kabisa siku yangu ya bahat ni jumanne, maswala ya nyote Wala so uchaw ni mambo ya kawaida tu ata mi nilijifunza mtandaoni kuhusu maswala hayo na ninaelewa jins yakujitafuta na kutawala ulimwengu wangu wa roho Ni kawaida sana tu ukijua
I swear nimempenda huyu dada❤anafunguka ayumbishi kila anachoulizwa anajibu straight😄
Yani mimi ananikoshaga sana😘nampenda sana ana confidence
She is smart
Very much
It is true what you are saying kuwa huwaamini wanaadamu
Nimekupenda bure dada yangu ♥️🙌
This lady is fantastic issue, she seems to be genius, resourceful, talented in many ways.
But admit this one is unique...I don't know which type of sensitivity she fits, that's either life sensitive, ego sensitive, or cruelly ego sensitive
Huyu dada mganga nini😂😂mbn maneno yake mengine siya elewi ila nampenda tuerny❤😍
Hakuna uchawi ata we unaweza kujitafuta mm nimejifunza mtandaoni pia
Ma sha allah yote na yote akili yake imetulia anajuwa anachotaka na anamsimamo nimempenda bure
Mie mwenyewe cpendag mwanaume wangu anizoee naweza kumwambia cpo nyumbani kumbe nipo ilimlad tu asinizoee pia anaweza kuniletea zawad nisijishughurishe nayo yani kama niliweka kwenye kiti akilud kunitembelea week ijayo anaikuta pale pale kama sio chakuharibika na asiponipia cmtafuti wala cjari,,
Nan kamfananisha huyu Dada na Kibibi(Getrude ?
Meee
Huy muongo miaka 27 hld romy utembee nae elf 2013 inamaan umetembea na romy ukiwa na miaka 15 hlf romy kasem ametembea na ww mwak 2000 inamaa romy katembea na ww ukiwa na miaka 12 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 acha uongo we dada
Sasa unabisha wew ndo umemzaa🤣🤣🤣🤣ulitaka aseme miaka 90
Kweli bhana Hana lolote kwahiyo umalaya kaanza mdogo duh
Nimempenda bureeee yaani hivo nilivo haswaaaaaaa yan
sura ya demu na lafudhi yake vitu viwili tofauti..... sura ya kisister du lafudhi ya Zai wa kijiwenongwa.
Duh
😂 😂 😂 Ety zai wa kijiwe nongwa kha!
😂😂😂😂😂😂🤣
Umeniwahi cjapenda....yani zai kijiwe nongwa mtupuuuu
@@marhaally4444 🤣🤣🤣
Nmempenda Sana huyu dada,,naomba namba yake
Just woow😢…nmejkuta imersed sana na this interview😢
Mwanamke ana matako Mazur Huyu alivyo kuja zanzibar nlimtaman sn
nimekupenda bure tuerny
Me nampenda huyu dada
Nimekupenda kweli upo kama mimi bwana siogopi kuwa peke yangu
Hakuna shida I'll be okay
Noted ✅
Yes
Nimependa hapo kuwa napenda kuwa mm hii ndio self love ukiwa na self love hakusumbui mtu au kuumizwa 👊🤝
kiss flavour tumezaliwa siku moja may 12 🔥🔥🔥🔥🔥
Hata rafiki yangu yupo alikuwa hajui kupenda lkn alikutana mwanaume mwingine alimpenda mpaka kuchanganyikiwa
You are really smart like to know you
Mbeya moja love u
Huyu dada ana madini sana katika elimu ya dunia..SnS mrudisheni tena aelezee kwa undani...mpaka naona Chris amekuwa mpole kwa kumuogopa...
lkn nimempenda sana yuko wazi na anajiamini...maana wanawake wengi wanawasingizia sana wanaume hasa mambo yakienda kombo kwenye mapenzi..kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa mgumu kwenye
mapenzi...wakati mademu wa mbeya ni maji mara moja..hahahaaaaa
Ana tabia za kisagaji....nieleweke hapa sijasema ni msagaji ila ANA TABIA ZA KISAGAJI
Mi nlipoelewa ni mnigeria kumlipia kodi Dubai" Af Akula mzigo ni uongo wa kiwango cha Lami wanigeria kwenye suala la ela sio makolo kama sisi wabongo"
Anayedet nahuyu dada namupa pole
I am like her
Wow thats good
Mini Diva yule mjuaji wa wasafi.
Yaani copy ya Diva kabisa hujakosea
Dah
Huyu dem ni mimi tu kwenye mahusiano 😂😂
Same to me yani kama najiona 🤣🤣🤣🤣🤣
Watanzania someni haya anayoyasema siyo mapya wala siyo magic ni mambo yapo kabisa! As a journalist u also have to be well learned guest asikushangaze... someniiiii
CHRIS 🙋♀️ TUERNY INAFAA ARUDI ATUPE IYO HELIMU YA MWAKA MARA 2
Huyu nae atashindia kitu moja kila interview ni RJ move on Ex ni Ex nkt sio lazima uende ukitangaza relationships
Turney@💕💞💞💞
Kwanini mnaficha sura zenu kwa kuvaa hizo miwani?
Shetani sana huyu dada ata ndoa haijali mtihani watu kama hawa wakufa tu mapema tu
Hatujaja kuota mizizi wote tutakufa
Kweli wee roboti ujali wala nn ila ni mrembo hufananii uswahili 😂😂😂
Warembo wengi sie waswahili ila mpaka tutibuliwe 🤣🤣🤣
Diamond n daraja la kwenda mjn
I like her
Anajyamn Sana uyu dada
Sasa ume keketwa isia utapata wapi Wanawake walio keketwa Awana isia acha kutu danganya kuwa auna isia sema ume keketwa
2days mbona kajitahidi yaani kukikucha nishamaliza haja zangu bhana kaka nenda
Ila hata mi kipindi sijaolewa nlikuwa silali na mwanaume kwangu na nkienda kwa mwanaume sikai zaidi zaidi ya sku 2 😂
Dada unajiamini nakpenda bure
Dada ungekua mke wa sheikh Yahya unegetisha zaidi
Munajuaga kutafuta cha kuingilia mjini
Weee uyu mdada yupo mjini kitambo sana labda ww tu ndo ulikua humjui sema tu sio mtu wa media ila ni famous
Woman of principe
huyu dada ana akili sana nimemkubali namuona kama binadamu anayeishi sayari tofauti na tunayoishi
Yaani Lisa yupo kama Mimi tu
Mnyakyusa nijae jiamini sisi hatunaga mbambamba
❤️❤️
Kwa nini hamui necha?
Kweli uko nasheriya watu wameba dilika sana 🤣🤣😃😃😃
Huyo dada anajiamin sana
Sauti vip asikiki?
Kumb 18:10-12 Guys go and read ur Bible
Lisa 🥰❤️
mnipitie na mimi wadau
Ina maana RJ alianza kupiga ukiwa na miaka18 tu. Alikua anakula embe kwa chumvi
Kuna wakati wa majuto uyo umri Bado wakati wa kuitwa Nunga embe Bado
Utafikiri anaakali nyingi kumbe hamna kitu
😂😂😂jamani!
Haki napenda anavyoongea
Napenda sannaaa
Uyu dada mbona kama najiona aki kwani wa mwezi gani
Acha kujidhalilisha wewe mwanamke kwa zinaa
Yani tanzania zina inatangazwa kama pipi
Ok
Tulane nyama tuu hakuna namna!!
Introvert...
huyu dem kasema ana miaka 23 na 2014. sasa huu mwaka ni 2022 ukitoa 2014 unapata miaka 8 ukichukua miaka 23 ukitoa miaka 8 unapata miaka 15 kwahiyo 2014 alikua anamiaka 15 hii sidhani kama ni ukweli. miaka 23 hapana
27 kasema
inawezekana sana....maana mtu wa miaka 15 anakuwa from au three so anaweza akawa na mahusiano vzr tu
Kasema miaka 27
Nahawa waandishi wanalana kila wakiuliza lazima waulize mambo yazinaa
nyie wandishi wa Habari amna lolote kazi zenu mkiona mwanamke mwenye mwili mzur mnamsapot lakini mwanaume mwenzenu amsapot mpaka atusue ndo mnanza kumfatilia ila madem mko fasta sasa uyo anaimba nyimbo gani iyo
Tukuyu masoko ndi kwetu..wamasoko tujuane
Ni mbinafsi ....😂😂😂
element za kiganga
🤣🤣🤣
Mh
Acha uhuni wewe dada
Umenifuza kifu
Kwani lazima. Muimbe
👍👍👍👍👍
Kila na kuongea jaman
Kumbee ww wakukaja eee
😂😂😂😂😂
Ni uuuuongo mtupu
Extrovert.
Anaongea kama mkinga
Hee mbona wakinga tena tumenyaje🙄😂
Mbona wigi kama mopu la chooni
Wivu
Come on don't be jealous
La shangazi yako umeliona? Ka nyumba ya makuti
@@vanessalaizer4363 shangazi yangu hatmii minyuzi kuweka kichwani ama maplastic Sawa shangazi yangu ana natural hair singer za kudondoka mpaka mgongoni sijui nyie mnaoteseka na makumbi hamuachi jinsi mlivyo mpaka mtia miplastic sema lingine nitakujibu naona umekeleka
@@caashamacalini3887 umejibu vzr jamani hadi nimependa.