Wababa wote hao,kumchinja MTOTO WA miaka 2,tena binti? 😭😭😭, mtoto wangu ASIMWE SIJUI ALIITA BABA,MAANA ALIKUWA ANAMUONA HAPO AKIJUWA YUPO SALAMA,AU ALIITA MAMA?! 😭😭😭😭
Nimejifunza kitu kupitia hili jambo,nitamsujudia Mungu wangu peke yake, sintamwamini mtu yoyote kwenye dunia hii,na nikiwa shida, nitapiga magoti,nitasema na Mungu wangu,binadamu hatujakamilika.
Yaan wengine hapo wazee na mmvi tele M.mungu kawapa uhai mmeishi mpaka sasa leo hii mnaenda kumdhulum Mtoto uhai wake looh jaman hata huruma mkakosa kundi lote nyie mmemungamiza mtoto M.mugu atawapa malipo yenu mashetan wakubwa nyie 😭😭
Wakatwekatwe pia kama walivyomkatakata Asimwe, tena iwe hadharani kila mtu aone, hivi ni maumivu ya kiasi gani alioyapata mtoto wakati wakimuua. Na wewe baba wa mtoto unamuua mtoto wako bila huruma, huku mtoto anakuangalia. yaani ni uchungu sana kwa kweli.
@@user-sv6zy3hc8o yaani mimi machozi yananitoka kwa uchungu nilioupata. Haya huyu mwenye mtoto wake amekuwa na roho gani jamani, ila hawezi anaishi kwa amani hata.
Yani wanapelekwa mahakamani hata miguu hawabururi Yani ulikua wabakishiwe mdomo na masikio tu ya kuongea mahakamani na kusikia watakacho ulizwa viliobakia mgevipunguza kabisa kama wao walivyo mfanyia huyu mtoto kama inawezekana ikitokea hukumu ya kifo wasinyongwe na wao wakatwe viungo kama walivyo mfanyia huyu mtoto waone raha
Me nadhani mnawaombea mabaya lakin amjawa na ushaidi maake kila comment inawatukana unaeza kuwa ujafanya na ukakumbwa humo iogope jela usifurahi mwenzio kwenda kabla haujawa na huakika tuulize sisi ❤
@@user-sv6zy3hc8oanadhani polisi uwa wanakurupuka,mpaka wasome report yao Kwa jamii,ni wamejidhisha,hapo ni UTARATIBU WA kisheria TU inabidi ufuatwe,😢😢huyu hajawahi kufiwa tena pale anapopapenda ndo siku hiyo atajuwa dunia ipoje😢😢😢
@@user-sv6zy3hc8o iwapo akifa mtu katika pitapita zako wakakudaka mtuhumiwa sio mu hukumiwa kuusu kufa woote tutakufa ila me sjasema kwamba waalifu waache naisi amjawa waelewa me namaanisha iwapo wakiwa sio wauwaji mungu awaepushie lakin wanao nielewa ndoo wanajua namaana ipi kama ujawai kupitia kwenda jela kwa kesi isio yako unfetulia2 boss ila yote na yote kama ni wauwaji hau wameshiliki kwa namna yotote basi mungu awape adhabu kali ila iwapo awaja shiliki mungu awaepushie kikombe icho
Kiukwel mapadri mnatukatisha tamaa kabisa mm sitoungama dhambi zangu kwa padri yyt japo n mkatolik mm" mana naona kabisa mioyo yenu mepes n Bora nimuungamie Mungu wangu ndan kwangu" huyo baba kwenye mfuko sijui ndo vizibiti! Kubeba" hongeren Sana maaskar kwa kuwaburuza kama mambwa hao na huko mahabusu wamepata wachumba watakutana na mahabusu waliovurugwa wamekaa miaka na miaka wanaham Sasa hao ndo wake zao
Acheni kutumia mafuta ya Jamuhuri vibaya, yani mbwa kama hawa wanapakizwa kwenye gari, hawa ni wa kufungwa kwenye Piki piki,na kuburuzwa mji mzima mpaka wafe,
Wauwawe nao jaman wametuulia mtot wetu bil hat makos yoyot mtot ambay akuwez hat kujitetea kabis hap nawaz waliaz,kumyong kwanz ndip wakamkat au walimkat akiwa anawaon daah 😢😢😢
Dah wamefanya ukatili mkubwa, wanastihili adhabu kali sana, halafu pia eti padri anahusika, kweli hawa watu wa dini wengine hutumia nafasi hizo kuficha mambo yao maovu.
Hata kama Mungu hatoleta gharika ya moto wala maji,....tutauwawa wenyewe kwa wenyewe,.....NA WEWE PAROKO MSAIDIZI UNAUWAA.....!!!KUMBUKA UMETUFUNDISHA AMRI ZA MUNGU TUSIUWE.EE MUKAMA WANGE....😭😭😭
Tena padri ndiye kinara,ndiye aliyepanga mpango mzima wa KUMUUWA MTOTO wetu ASIMWE😢, IMAGINE ndiye aliyetoa gharama zote za Kulipia kila kilichohitajika ili kukamilisha mauwaji ya ASIMWE,MIMI NIKIUMIA BASI TU,Kanisani nilishaacha,nasali ndani kwangu ,sadaka yangu napeleka Kwa wahitaji,siitaji kusikia wala kujuwa habari ya uromani cathoric tena.😢😢
@@user-gu3px5me6u ulisikiliza report ya polisi ya mwanzo? HAPO ni taratibu za kisheria TU zinakakilishwa,ili ionekane taratibu zilifuatwa,hao ndiyo wahusika wakubwa,HASA HUYO PADRI.
Yaani mibaba yote hiyo inashambulia katoto kadogo vile yakaua katoto kasioweza hata kujitetea bali kulia tuu na kusikilizia maumivu makali mashetani hawa. Hawana aibu wala utu. Wakatwe nao kiungo kimojakimoja pambaff kabisa
Hawa.wapigwe risas adharan watu washuhudie ndo tutalizika
Una wazi kama langu
Ikiwezekana na wao wakatwe katwe viungo Kama walihomfanyia huyo mtoto
Dogo alipitia maumivu Makali sana 😢
😢😢😢😢😢
Wababa wote hao,kumchinja MTOTO WA miaka 2,tena binti? 😭😭😭, mtoto wangu ASIMWE SIJUI ALIITA BABA,MAANA ALIKUWA ANAMUONA HAPO AKIJUWA YUPO SALAMA,AU ALIITA MAMA?! 😭😭😭😭
DogoAlinilizasaanaNipoOman
@@israelkisaila8401weAchaTuNililiaNabadoNaliaNikikumbukaAliliaMtoto
ii@@SalmanMughal-lq5lt
Wanamaliza mafuta ya gari bure wanyongwe haraka
😂
Halafu Mimi sioni umuhimu WA kesi,HAPO wawakabidhi wananchi Wa kagera wamalizane nao,kutuulia MTOTO wetu mzuri 😭😭😭😭
Kwel
kesi ya nn hapo sasa...dah au mpk waue mwngne!!!! Tuachien raia sie tumalize shoo
@@salamasaidi6620 yani,Mimi inaniuma yule MTOTO SIJUI aliliaje,huku ANAMUONA baba yake😭😭😭
Kweli kabisaaaaa mahakani kufanya nini na ushaidi upo dawa na wao wangenyongwa
Mhh we una ushaidi vp yakikuta wew na ukawa ujafanya
𝐌𝐚𝐬𝐡𝐞𝐭𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐦𝐧𝐚𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐮𝐭𝐚 𝐡𝐞𝐥𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐥𝐢𝐢 𝐦𝐧𝐚𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐌𝐔𝐍𝐆𝐔 𝐚𝐰𝐚𝐥𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐦𝐡𝐮𝐮
Watu wazm ovyo watu 9 wanamkatili Maisha mtoto mmoja jaman mxiuuu,na huyo padri wa mchongo 😏😏😏
Nimejifunza kitu kupitia hili jambo,nitamsujudia Mungu wangu peke yake, sintamwamini mtu yoyote kwenye dunia hii,na nikiwa shida, nitapiga magoti,nitasema na Mungu wangu,binadamu hatujakamilika.
Je Mungu naye unamwambia je ???? Katuumba ki makosa?
Dhuu mungu liponye taifa lako
Yaan wengine hapo wazee na mmvi tele M.mungu kawapa uhai mmeishi mpaka sasa leo hii mnaenda kumdhulum Mtoto uhai wake looh jaman hata huruma mkakosa kundi lote nyie mmemungamiza mtoto M.mugu atawapa malipo yenu mashetan wakubwa nyie 😭😭
Hakimu ni Mungu unakuta si wote wanausika ndo maana wamepelekwa mahakamani
Yaaan hao jamaaa wana bahat sana wamshukuru Mungu sijaletwa hapo kituon kama asikar haki ya Mungu ningewachoma moto make mtoto Asimwe aliumia sana
Kwel kabisaa hawa wakatwe kiongo kimoja kimoja mpaka wafeee
Mhhh msimamia sheria ndo una akili izi dahh
𝒎𝒖𝒏 𝒖𝒉𝒂𝒌𝒊𝒌𝒂 𝒌𝒎 𝒏𝒊𝒘𝒂𝒐 𝒂𝒖 𝒌𝒎 𝒌𝒂𝒘𝒂𝒊𝒅 𝒚𝒆𝒏 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒇𝒂𝒏𝒚 𝒎𝒂𝒎𝒍𝒂𝒌 𝒎𝒖𝒏𝒂𝒔𝒂𝒉𝒂𝒖 𝒌𝒎 𝒌𝒖𝒏 𝒌𝒖𝒇𝒂😂😂
Hawa wsuliwe hadharan jaman watu 9 mtoto wa miaka miwili ya Allah 😢😢😢
Nao wanyongwe kama walivyo muua mtot😢😢
Mungu unajua asee ndio maana sikupata mamlaka,Yan Hawa wangeshanyongwa muda sanaaaaa
Hizo Shetani ziUWENI mahakamani ya nin tena jamani😭
Mahakama yann jaman jaman nyongeni iyo mbwa 😢
Mm nashangaa mbona wengi hvyo' jmn" mkamuue mtt mdg jmn 😭😭 kwakwel malipo dunian acha mpelekwe sehem husika na Cha moto mtakiona
Uwiii Asante mungu kwa ili🙏🙏🙏
Pumbavu sana mlio mshika mtoto na kumuua
Mungu awahukumu
Yan mungu awafichue wote
Wanyongetu
Wachunguze kikamilifu muwahoji vixuuri atakae bainika kweri kashiliki bilaya zurmayaainayoyote nae auwawe. Maana.nasemahivyo linapotokea tukiokubwakamahili wanawezabebwa na wasiousika. ... Allah.awatangulie.katika kuhukumu haki. Inshaallah
Mungu irehemu Tz
NababaMzazi.kiongoz.wao.SubhanaAllah.yeyeNdyeAliyeTakiwaKumlindaMtoto.yeye.ndyo.chambo
Mungu awalaani, Mnaiabisha Tanzania na jamii ya waafrika
Ni kweli Tanzania inao goza sana kuwaua ma Albinos
Wakatwekatwe pia kama walivyomkatakata Asimwe, tena iwe hadharani kila mtu aone, hivi ni maumivu ya kiasi gani alioyapata mtoto wakati wakimuua. Na wewe baba wa mtoto unamuua mtoto wako bila huruma, huku mtoto anakuangalia. yaani ni uchungu sana kwa kweli.
Ndugu yangu açha kabisa kwer mtot wako mpka anakata roho na wew unamuona daaa yani ni msiba mzito kwa kwer
@@user-sv6zy3hc8o yaani mimi machozi yananitoka kwa uchungu nilioupata. Haya huyu mwenye mtoto wake amekuwa na roho gani jamani, ila hawezi anaishi kwa amani hata.
Serikali yetu hongereni sana kwa jitihada zenu,inauma sanaa jamani uwiiiiiiii kiumbe hakina kosa lolote
Wauawe mara moja
Mtoto kabla ya kifo albumin sana na wao wanyongwe mpaka kufa
Wangenyongwa Hazarani hao
Hii kesi itafwatilia sanaa mpaka ionekane hatima yake na ikitokeaa moja kaacha huru labda ahame nchi wananchi watachukua sheria mkononi
Duuh.. lord have mercy on us 😢
Kazi wanayo awo Wameyakanyaga
Shuti shuti risasi haraka waharifu hao padre hovyooo!!
Daaah
Wana washikaga hivo na baadae uwaachia 😢😢 watu kama hao ni wakuwachoma moto tu wasiendelehe kuonekana kwenye jamii tena
Watuhumiwa wenyewe wamejichokea balaa hakuna hata anaefaa kwa kitoweo mamae zao ningepita nae
Alhamdullha 😢
Wanasumbua mahakama tia kamba hao
Aibu kwa kweli,padre!!!!
Hao wakusanyiwe mafuta meengi kama walivo wengi kisha wawashiwe moto ndio machungu yetu yatsisha
Dah dogo alisikia maumivu makal sana aliita majina yote anayoyajua kwa maumivu aliyo yasikia Mungu amlaze mahara pema pepon dah
Sidhan kama walistahili kupoteza Mafta na asikali kuwalinda wangewaachia2 wananchi wawachome moto polis mngesema. Wametukimbia
Yani wanapelekwa mahakamani hata miguu hawabururi Yani ulikua wabakishiwe mdomo na masikio tu ya kuongea mahakamani na kusikia watakacho ulizwa viliobakia mgevipunguza kabisa kama wao walivyo mfanyia huyu mtoto kama inawezekana ikitokea hukumu ya kifo wasinyongwe na wao wakatwe viungo kama walivyo mfanyia huyu mtoto waone raha
Wewe askari uliyeshika bunduki wafyatulie tumalize kesi
Wanyongwe kabisa mbele za Raia ili iyo tabia icjirudie
Me nadhani mnawaombea mabaya lakin amjawa na ushaidi maake kila comment inawatukana unaeza kuwa ujafanya na ukakumbwa humo iogope jela usifurahi mwenzio kwenda kabla haujawa na huakika tuulize sisi ❤
kwel kabisa
We mpuuzinin kwa kesi ya mauaji au kwakua hujui uchungu wa mtoto
Kama hujawahi kufiwa😢😢,huwezi kujuwa,bora unyamaze tu😢😢😢
@@user-sv6zy3hc8oanadhani polisi uwa wanakurupuka,mpaka wasome report yao Kwa jamii,ni wamejidhisha,hapo ni UTARATIBU WA kisheria TU inabidi ufuatwe,😢😢huyu hajawahi kufiwa tena pale anapopapenda ndo siku hiyo atajuwa dunia ipoje😢😢😢
@@user-sv6zy3hc8o iwapo akifa mtu katika pitapita zako wakakudaka mtuhumiwa sio mu hukumiwa kuusu kufa woote tutakufa ila me sjasema kwamba waalifu waache naisi amjawa waelewa me namaanisha iwapo wakiwa sio wauwaji mungu awaepushie lakin wanao nielewa ndoo wanajua namaana ipi kama ujawai kupitia kwenda jela kwa kesi isio yako unfetulia2 boss ila yote na yote kama ni wauwaji hau wameshiliki kwa namna yotote basi mungu awape adhabu kali ila iwapo awaja shiliki mungu awaepushie kikombe icho
Serikari tunashukuru Sana kwajuhudi zeni hawa mbwa waueni kabisa
Yaani baba nae
Wanyongwe hap
O
Sheria ya kunyongwa ingewafaa hawa mbwa 😢
Wauwawe nawao
Washinzi wakubwa hao wasitoke maisha
Na wao wangekatwa viungi vyao kimoja kimoja mpaka wafe
😭😭Mim nauliza huo mfuko ndio wamebeba viungo vya mtt 😭😭😭
Wanyongwe
Kiukwel mapadri mnatukatisha tamaa kabisa mm sitoungama dhambi zangu kwa padri yyt japo n mkatolik mm" mana naona kabisa mioyo yenu mepes n Bora nimuungamie Mungu wangu ndan kwangu" huyo baba kwenye mfuko sijui ndo vizibiti! Kubeba" hongeren Sana maaskar kwa kuwaburuza kama mambwa hao na huko mahabusu wamepata wachumba watakutana na mahabusu waliovurugwa wamekaa miaka na miaka wanaham Sasa hao ndo wake zao
Hapo umemuona padri ? au hujafwatilia kilichotokea?🤔🤔🤔🤔
Yaan saiv ata sadaka yangu bora nimpee ata mtu barabarani kulikooo watumishiii uchuroooo
Umefika mbali,usifanye hivyo,mwachie mizigo yake mwenyewe.
Ukweli usemwe
Wana upwilu 😂😂😂😂
Wanyongwe tu
Mnawapeleka mahakamani kufanya nini hukumu ya kifo ni kifo wapanda gari wanasikia raha mnawalea bora hata sikusoma ningesoma mimi watu hao
Wawauwe
Ongeleni polisi tanzania usalama upo tujiepushe na maovu unaweza sema rast kumbe afande
Asa ww padri unahubiria wt waache dhambi kumbe ww n Kinrara wa mauaji yn dam y yul mtt haitakuach Salama.aisee
Padri tena😢
Ndo maana yake,PADRI NDUGU YANGU,POLE MROMANI Mwenzangu 😢😢
Kwani hao wanafaida gan tena huku,, si wanyongwe tu,, achaneni na habar za kifungo cha maisha
Wawekeeni na picha ya Mtoto hapo mbele Ili waone ujinga wao.
Acheni kutumia mafuta ya Jamuhuri vibaya, yani mbwa kama hawa wanapakizwa kwenye gari, hawa ni wa kufungwa kwenye Piki piki,na kuburuzwa mji mzima mpaka wafe,
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂nakubali hoja@@salamasaidi6620
Wanyongwe hadi kufa kabla ya hukumu mahabusu wapewe ugali robo mboga chunvi na kukaa selo yamaji paspot saizi kwawiki mala 5
Wangelimwa risasi tu hao wauaji wakubwa hao
Mimi ningekuwa polis ningewakata mapumbu yao alafu ningewalazimisha wayatafune mbwa hao
Yani daaah! inaum san walichokifany nizaid ya unyam wakatwe kiungo nawao kimoj kimoj mpak wafe
Yani hao kama mm ningekua serekali ningepiga lisasi chapu kwa haraka
Mibaba minzima aina ata uruma baada yakufanya kanzi wananzuruma lhoo nzawatu
Jamnan naumia mim
Hao ni mafisi kabisaa wawekeni katikati ya wananchi wauwawe kwa mikuki na mapanga na sime.ndio dawa yao.
Wauwawe nao jaman wametuulia mtot wetu bil hat makos yoyot mtot ambay akuwez hat kujitetea kabis hap nawaz waliaz,kumyong kwanz ndip wakamkat au walimkat akiwa anawaon daah 😢😢😢
Wanyonge haraka mnatuliza tena😭😭😭😭😭
Mashetaniiii😢
Funga korodani zao juu ya mti chini unawasha moto wakuni waive wakijiangalia
Mbwa hawa walivyo wanaonekana hawana katia kenge kwel😢
Wauliwe tu na wao Hawana Faida kabisa Hao😔😔😔😔😔😔
Na wao wawapitishe walikompitisha huyo mtoto katika maumivu hayo
Hawa jmn naomba mkawafire tu adi mikundu iwe ngemwa
Malipo ni hapa hapa Dunia
Dah wamefanya ukatili mkubwa, wanastihili adhabu kali sana, halafu pia eti padri anahusika, kweli hawa watu wa dini wengine hutumia nafasi hizo kuficha mambo yao maovu.
Baba 👀yake mtoto ten👀makubwa wanaume mwanalana
hyo imeniuma sana nikajua nimeskiq mwenyewe
Game 🎮
Hauwawe kabisa hawa mashwetwani
Sasa mahakamani yanini wanyongwetu😮
Yani hao wasirud uraian na wauwawe kabisa mtoto alipitia mateso Sana jmn inaumiza!
Dunian hii Bora ukutane na simba kuliko mwanadamu,
Kesheni kwaya moraviani yeriko
Wangenyongwa anzarani tu
Hata kama Mungu hatoleta gharika ya moto wala maji,....tutauwawa wenyewe kwa wenyewe,.....NA WEWE PAROKO MSAIDIZI UNAUWAA.....!!!KUMBUKA UMETUFUNDISHA AMRI ZA MUNGU TUSIUWE.EE MUKAMA WANGE....😭😭😭
Poleni san ila mungu anawaona ten san na mzindi kuombe san mtasamehewa
Na waliomuuwa atarudi?
Yan mm kinacho niumiza nikwamba padri ameingiaje hapo kwenye huo mfumo jamn, mungu tusaidie.
Sasibora kaingia kafiri mfanya biashara ya kanisa kuliko angeingia shekhe mindoningeumwa kasa uchixi
Tena padri ndiye kinara,ndiye aliyepanga mpango mzima wa KUMUUWA MTOTO wetu ASIMWE😢, IMAGINE ndiye aliyetoa gharama zote za Kulipia kila kilichohitajika ili kukamilisha mauwaji ya ASIMWE,MIMI NIKIUMIA BASI TU,Kanisani nilishaacha,nasali ndani kwangu ,sadaka yangu napeleka Kwa wahitaji,siitaji kusikia wala kujuwa habari ya uromani cathoric tena.😢😢
Tusubiri huwezi Jua kwa Sasa ni tuhuma wahusika watapatikana tu
@@user-gu3px5me6u ulisikiliza report ya polisi ya mwanzo? HAPO ni taratibu za kisheria TU zinakakilishwa,ili ionekane taratibu zilifuatwa,hao ndiyo wahusika wakubwa,HASA HUYO PADRI.
Mbona kamera ikofikanlwa Paroko inarusha haonekani
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hakilazima kamawaliuwa basi nawao wanyogwe mpaka kufa
Sina huruma hata chembe na hawa watu kwa ukatili waliomfanyia kiumbe asiye na hatia wala dhambi yeyote
Anaeuwa na ye ye auliwe na embu wauweni ao ao ndo wanaoitia rahana nchi yetu
Yaani mibaba yote hiyo inashambulia katoto kadogo vile yakaua katoto kasioweza hata kujitetea bali kulia tuu na kusikilizia maumivu makali mashetani hawa. Hawana aibu wala utu. Wakatwe nao kiungo kimojakimoja pambaff kabisa