Njia (6) za kuondoa AIBU na kuweza kutengeneza kujiamini, network na connection

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 123

  • @GOnlinepositivity
    @GOnlinepositivity  5 ปีที่แล้ว +13

    ⚡SLL⚡Kitendo cha kuwa na aibu ya kuongea na watu kimekuletea athari gani gani /kupoteza nini katika maisha.

    • @Hpclassic
      @Hpclassic 5 ปีที่แล้ว

      G Online nilimpoteza mchumba wangu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  5 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana husiruhusu next time ikutokee tena. Aibu inaharibu mambo mengi. Asante kwa comment yako

    • @Hpclassic
      @Hpclassic 5 ปีที่แล้ว +1

      Na chengine mi Nina wasiwasi na siwezi ku control mawazo yangu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  5 ปีที่แล้ว +1

      Nina video ya hiyo soon. Ila kuwa na wasi wasi na mawazo yako hiyo inamaanisha unadoubt kichounachofikiri train akili kujiamini kwenye kila wazo lako na utaweza fanikisha kila unalowaza. Kila unaloona limefanikiwa lilianza kama wazo au mawazo.Jaribu kutuliza akili yako na jiamini

    • @jemairisparick7541
      @jemairisparick7541 5 ปีที่แล้ว +1

      Being shy it has affected me for more than two years n for sure it has kept me away from even those who could help me alot expecially in my studies bt those who understand me they have been standing with me until I realized that I have lost very important pple bt right know it's like two weeks I can't believe my eyes I can't be stopped 💃💃 I opened up my mouth speak out confidently 👏👏👏 I appreciate your good work brother God bless you 😇

  • @tidythom9930
    @tidythom9930 4 ปีที่แล้ว +7

    am so inspired ...i also escaped to give a morning speech when i was at school .....but thanks to u

  • @silasjoseph9220
    @silasjoseph9220 5 ปีที่แล้ว +6

    Iko vizur sana be blessed keep it up kutuelimsha bro

  • @filvobrowbrown6238
    @filvobrowbrown6238 4 ปีที่แล้ว +5

    masomo yako yanahelemisha na kufudisha watu🙏🙏🙏🙏🤲🙏🙏

  • @jenifamato-uc1jz
    @jenifamato-uc1jz ปีที่แล้ว +1

    Kwanzia sasa nitajifunza kijiamini na kuongea vizur na watu bila aibu nakuangalia watu usoni Amen

  • @malimaabeid7779
    @malimaabeid7779 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana nimeongeza kitu katika maisha yangu

  • @JoanitaFrance
    @JoanitaFrance 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenzako adi mm Nina AI u atasijui nifanyaje

  • @mbelemmunga-ps4df
    @mbelemmunga-ps4df 8 หลายเดือนก่อน

    aibu imenifanya nikose vitu vingi katika maisha yangu shulen nafel nikiwa nawatu najitenga yani imenifanya nisiwe bora kwasababu nilikua na shindwa ata kuuliza kitu nilikua sijuw ruga yaapa nilipo ivo sababu ya aibu imenifanya nichelewe kujua vitu vingi ila kwasa abu ya ushauri wako I hope nita badilika🙏🙏 ahsante

  • @NeemaRange-r6g
    @NeemaRange-r6g 4 หลายเดือนก่อน

    Asante san maana maana aibu ni kitu kinacho notesa san lakin naamini kuanzia leo nitakuwa wa tofaut

  • @mohamedissaak9203
    @mohamedissaak9203 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukran my brother mungu akujazie killa laa kheeri. Maana umetu nnufaisha na elimu ulio nayo thank you very much broooo👌👏

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akutangulie uzid kutuelimisha hakika inapendeza sana.

  • @kingstonendawa8671
    @kingstonendawa8671 4 ปีที่แล้ว +2

    Duh nashukuru sana kwayote umeongea ni sahihi kabsa.Mimi ni mfanyabyashara tatizo la aibu li menitesa kiukweli nimekuwa na tatizo la kushindwa kukutanisha macho nawatu hata wafanyakazi wangu wamekuwa wakiniaribia kuniibia na mengi maovu nimekuwa nikijihami kwa kuwafukuza ila hata nikileta wengine na wao wanakuja na yaleyale.kiukweli aibu yaweza kukupa karaha bada yaraha.Mungu akupe umri murefu afya njema mafundisho yako huwa yanatupa kujuwa muelekeo bola na sahihi

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 4 ปีที่แล้ว

    Ngoja nifanye mazoezi maana naibu sana Ahsante sana

  • @footballskillsunited6250
    @footballskillsunited6250 2 ปีที่แล้ว

    imenikosesha kazi nyingi sana

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 5 ปีที่แล้ว +4

    Shukrani Sana Kaka🙏🏾

  • @ngendakumanasalumdiki4885
    @ngendakumanasalumdiki4885 5 ปีที่แล้ว +5

    Iyo kweli. Songa mbele kijana.

  • @fatmaaliy7855
    @fatmaaliy7855 4 ปีที่แล้ว +3

    Thank you so much

  • @judithkidiwa7973
    @judithkidiwa7973 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki . Uzidi kutuelimisha

  • @devotavomela3604
    @devotavomela3604 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice brother god bless u💥

  • @kavamaangandengeaa2376
    @kavamaangandengeaa2376 5 ปีที่แล้ว +2

    Ninzuri sana

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi7671 8 หลายเดือนก่อน

    Thank u.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli kabisaaa
    Shukran

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 5 ปีที่แล้ว +4

    🙈🙈 That was my problem thanks brother l

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  5 ปีที่แล้ว +1

      I appreciate thank you too for being here. God bless you

  • @rickjoseph6274
    @rickjoseph6274 3 ปีที่แล้ว

    Bro nikama ulikuwa unanizungumzia mm et sema maneno haya yame kuwa na impact kwangu nahs nisha pona. Thkxfuly

  • @gabrielmauki1171
    @gabrielmauki1171 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana kaka

  • @stefanojoseph4135
    @stefanojoseph4135 4 ปีที่แล้ว +1

    Good job bro

  • @RashidJuma-e9d
    @RashidJuma-e9d 7 หลายเดือนก่อน

    Aibubimenifanya nifeli Sana katika masomo yangu,maranying ntakua muoga wa kuliza pale sipo elewa na kujipa usahihi wa jambo nililofanya Mimi mwenyewe.

  • @jenniferkanuya2029
    @jenniferkanuya2029 3 ปีที่แล้ว

    Thank you so much brother nimejifunza kitu so i have to change my life style now

  • @ebenezerymetta358
    @ebenezerymetta358 4 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani sana kaka

  • @NancyBernard-h2k
    @NancyBernard-h2k ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @faidaeliza3274
    @faidaeliza3274 3 ปีที่แล้ว +1

    love you video for us 🇺🇸🇺🇸😘

  • @mohammadahmer4818
    @mohammadahmer4818 3 ปีที่แล้ว

    Asante san bro

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante

  • @elikomsuya9667
    @elikomsuya9667 4 ปีที่แล้ว

    Nakubali Kaka nmekuelewa

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 ปีที่แล้ว

    Nimekuwa nikishindwa hata kuuliza maswali ninapokuwa chuo baada ya mwalimu kumaliza kusomesha au pale anapotoa nafasi ya kuchangia kitu pia nimekuwa nikishindwa kumfundisha mwenzangu kile tulichosomeshwa hata kama nimefahamu vizuri sana hasa hasa mwanamke

  • @laralara3660
    @laralara3660 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @yazidulunda4649
    @yazidulunda4649 4 ปีที่แล้ว +1

    Very story

  • @misspinadavid6320
    @misspinadavid6320 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsantee Sana umenipa ujasir mungu hakujlie kwani napenda kuimba kwaya kanisani ila nahofu aibu imenijaa

  • @abdulyrajabu6302
    @abdulyrajabu6302 3 ปีที่แล้ว

    Nimepta somo zuli sana Jins ya kutokuwa na aibu

  • @thaniyanassoro9783
    @thaniyanassoro9783 4 ปีที่แล้ว

    asante sana kwan mm hiyo tabia nilikuwa nay aso now nitajifunza

  • @leonardelias3636
    @leonardelias3636 3 ปีที่แล้ว +2

    Aibu imenifanya niwe mtu mpweke na mtu mwenye uoga wa hali ya juu yaan imefkia sehemu na namuongopa mtu nimpendaye mpaka najihisi labda mimi nikimwongelesha huyu dem nahisi nitatukanwa

  • @crisantz2944
    @crisantz2944 2 ปีที่แล้ว

    Asante kaka

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin 7 หลายเดือนก่อน

    naaibu sana nashindwa kuongea na watu najikuta mpweke

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin 7 หลายเดือนก่อน

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @loycerobson8639
    @loycerobson8639 2 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo langu kubwa ni uoga Mimi ni muoga huta kudai Haki yangu naogopa nifanyeje

  • @bakarimwasenga1707
    @bakarimwasenga1707 5 ปีที่แล้ว +3

    #umeeleweka kaka

  • @jassyjesca6543
    @jassyjesca6543 3 ปีที่แล้ว

    Daah kinani Fanya nionekane shaif mbele za watu

  • @emanuelbernard6521
    @emanuelbernard6521 2 ปีที่แล้ว

    Kuchekwa

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 2 ปีที่แล้ว

    kitendo Cha kuona aibu kimenifanya niishie peke peke, bila marafiki hata nakosa mtu wa kushare naye changamoto za maisha

  • @neozoran244
    @neozoran244 8 หลายเดือนก่อน

    👊

  • @peterwafula1522
    @peterwafula1522 ปีที่แล้ว

    Kwanzia Leo niteza kuongea na watu bila uwoga nakuangaliana uso Kwa uso

  • @vicentgeorgekindeketa7168
    @vicentgeorgekindeketa7168 2 ปีที่แล้ว

    Kutokujiami kumenikosesha mambo mengi Sana kielimu na kimaisha ki ujumla ninaomba nikushirikishe jambo langu kama utaweza kunisaidia

  • @ZainabuSeifu-g7q
    @ZainabuSeifu-g7q ปีที่แล้ว

    Kitendo cha kutwakujiamin kimenisababishia bishara yang kufaa

  • @anethMakoe
    @anethMakoe 5 หลายเดือนก่อน

    nimekosa mengi sana kwa kweli aibu ni mbaya imenifanya nimeshindwa kuongea na watu inanifanya nakuwa mpweke sana kweli elimu unayotoa imenifuraisha yani aibu ni kitu kibaya siipendi ata kidogo nilikuwa natafuta mbinu ya kuondokana nayo ivo asante sana kweli imeniasi li pia akili mana nakosa ata kufikilia vitu nashindwa kutoa maoni mbele ya wenzangu aiseee naichukia sana aibu kwenye maisha yangu

  • @HalfaniJuma-tj4jr
    @HalfaniJuma-tj4jr ปีที่แล้ว

    Aibu

  • @annajaydenjayden3517
    @annajaydenjayden3517 3 ปีที่แล้ว +1

    Nna tatizo kubwa Sana kisaikology na inanipelekea kufel katika kufikia malengo yangu tatizo kubwa n aibu nashindwa kumface hata mtu mmoja napochangamana na watu nahisi kuwa uncomfortable na nnashikwa na uoga saana ata nashindwa kutoka kukutana na watu tofaut muda mwingi nakuwa pekeangu ndan nahisi hili tatizo linaendelea kukua na umri wangu unazidi kwenda kabla nitimize ndogo muda mwingne nashinda nikilia nikihisi nmerogwa nahitaji msaada nahitaji mtu wa kunijenga kiakili na kunfunza mbo mengi nisiyoyajua nataman kuishi Kama watu wengne Ila nmeshndwa🙏

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  3 ปีที่แล้ว +1

      Nakuelewa sana, naandaa video kwaajili yako.Pole sana, actually hilo sio tatizo la kisaikology unahitaji counselling tu.

    • @chinatanzaniabusiness1262
      @chinatanzaniabusiness1262 3 ปีที่แล้ว

      Dear,. You're not alone

  • @rahelchaula513
    @rahelchaula513 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @floraemeeelias7840
    @floraemeeelias7840 3 ปีที่แล้ว

    Aibu imeniletea kuto kupiga hatua kwenye maisha kwa mfano napenda kufanya biashara ila naona kuongea watu kabsa

  • @Madam255
    @Madam255 7 หลายเดือนก่อน

    Naanza haya mazoezi sasa

  • @GeorgeDaud-u9v
    @GeorgeDaud-u9v 22 วันที่ผ่านมา

    Mimi na jisikia aibu kila nataka kuongea naomi

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  21 วันที่ผ่านมา

      Pole sana. Unaweza kuishinda hiyo hali. Fuatilia video vizuri

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 ปีที่แล้ว

    Niko na swali naomba nisaidie
    Je kitu gani kinaweza kuondosha kujiamini kwa mtu baada ya kuwa anajiamini mwanzo

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  10 หลายเดือนก่อน

      Kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuchangia mmomonyoko wa hali ya kujiamini kwa mtu, hata baada ya kujiamini mwanzoni. Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na:
      Maoni Hasi au Ukosoaji: Maoni hasi yasiyobadilika au ukosoaji, iwe kutoka kwa wengine au kutoka kwa kujikosoa, kunaweza kuondoa hali ya kujiamini ya mtu hatua kwa hatua. Hii inaweza kutoka kwa wenzao, watu wenye mamlaka, au hata mazungumzo ya ndani ya mtu mwenyewe.
      Kufeli au Vikwazo: Kukabiliwa na kushindwa au vikwazo kunaweza kuwa pigo kwa kujiamini kwa mtu, hasa ikiwa mtu huyo anachukua vikwazo hivi kama kushindwa binafsi badala ya fursa za kujifunza. Kushindwa mara kwa mara au vikwazo vikubwa vinaweza kusababisha kupoteza kujiamini kwa muda.
      Kujilinganisha na Wengine: Kujilinganisha kila mara na wengine, haswa inapoonekana kuwa wengine wamefanikiwa zaidi au wana talanta, kunaweza kusababisha hisia za kutostahili na kupungua kwa kujiamini.
      Ukosefu wa Usaidizi: Kutokuwa na mazingira ya kuunga mkono au mfumo wa usaidizi kunaweza pia kuchangia kupungua kwa kujiamini. Kuhisi kutengwa au kutoungwa mkono kunaweza kufanya iwe vigumu kwa watu kujiamini na uwezo wao.

  • @faizsalim2002
    @faizsalim2002 3 ปีที่แล้ว

    Siwezi kujitoaa mbele za watu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  3 ปีที่แล้ว

      Inakupasa ufanye hivyo sasa, unless utakosa connections nyingi na watu ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza kukusaidia.

  • @rashidsaid8365
    @rashidsaid8365 4 ปีที่แล้ว +2

    aibu ilinikosesha pisi kali nyingi tu 😑

  • @mhelelaedward9728
    @mhelelaedward9728 4 ปีที่แล้ว +2

    Na kwann mtu anatetemeka akiwa mbele ya watu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  4 ปีที่แล้ว

      Ni kukosa kijiamini mbele za watu.Tips hizo zitasaidia , kama kuna mtu na tatizo hilo share naye hii video.Asante

  • @shazmakhamis4991
    @shazmakhamis4991 2 ปีที่แล้ว

    Kitendo chaaibu kimenipa hasara kubwa kwenye biashara yangu ya netwek kuongea Nawatu naona kama atanikosoa kiufup nakosa komfidens

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  2 ปีที่แล้ว

      Pole jitahidi kutengeneza confidence yako

    • @LadoIdris
      @LadoIdris 7 หลายเดือนก่อน

      Na mm pia ningeomba urafik ili tuwe tunafahamishana mambo

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 3 ปีที่แล้ว

    Alafu sisi wenye atujui kigerenza ndio atari nifanyeje? Brother

  • @vickykurey9268
    @vickykurey9268 3 ปีที่แล้ว

    Imesaidia naqbal

  • @saidimkubwa5158
    @saidimkubwa5158 4 ปีที่แล้ว

    Mm ninahaya kwl na sijajuwa tatzo nini

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  4 ปีที่แล้ว

      Haujiamini ndo maana. Tengeneza KUJIAMINI kwanz then unaweza kumface yoyote bila haya.

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 4 ปีที่แล้ว

    Yaan ni mm kabisa niko na aibu so poa 😆😆😆

  • @daudsilvan5521
    @daudsilvan5521 2 ปีที่แล้ว

    namba zako za Whatsapp naomba

  • @rosemarymussa9453
    @rosemarymussa9453 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante bro...

    • @francisnkina5703
      @francisnkina5703 9 หลายเดือนก่อน

      Ukovizuri bro andika kitabu tununue

  • @husnaiiyas2489
    @husnaiiyas2489 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @mathameshac119
    @mathameshac119 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin 7 หลายเดือนก่อน

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @HildaJuma-c4z
    @HildaJuma-c4z 8 หลายเดือนก่อน

    Asante xn

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin 7 หลายเดือนก่อน

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 3 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @kjhabarimedia6806
    @kjhabarimedia6806 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin 7 หลายเดือนก่อน

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana