HISTORIA YA LAUREANO RUGAMBWA/KARDINALI WA KWANZA MWEUSI BARANI AFRIKA.NA KIZITO MPANGALA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Mnamo tarehe 14 Julai 1912 familia ya Mzee Rushubirwa huko Kagera ilijawa na furaha isiyo kifani kwa kupata mtoto wa kiume kutoka kwa mama Mukaboshezi. Mam Mukaboshezi alivumilia taabu na shida zote zimpatazo mwanamke wakati wa uja uzito. Naye Mzee Rushubirwa hakuwa mbali na mkewe mpaka pale mtoto wa kiume alipozaliwa.
Kardinali Laureano Rugambwa apumzike kwa amani.
Kizito Mpangala, 2020
Dar es Salaam
Pumzika kwa Baba Cardinal Rugambwa Mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi.....Amina
Asante kwa kutupa historia hii nzuri. Keep it up Erick endelee kutupa historia mbali mbali hasa za kanisa tuweze kujifunza mengi na kukuza imani yetu. Amina
Amina sana. Nashukuru kwa historia hiyo
Amina 🙏 na tumshukuru Mwenyezi Mungu pamoja nawe wajina langu kwa Kazi kubwa iliyotukuka hatimaye sasa uliyempa jina siku ya unafika Tanzania ukitoka kusimikwa kuwa Kardinali nae kwa sasa (Protase Rugambwa) amefuata nyayo zako ni kardinali
Ahimidiwe Mungu 🙏
Asante sana kwa historia hii nzuri, Mungu awabariki Radio Maria Tanzania. Kwaresma njema.
Hakika mungu ampe neema tele na uzima wa milele Amina🙏🙏
Hakika uwa sichoki kusoma historia ya Mwadhama Cardinal Rugambwa. Ni historia nzuri na yenye kueleza mengi hasa kiimani.
Katika udogo wangu sikufanikiwa kumuona Lkn Kwa kusoma nimejifunza kuwa Alikumwa mnyenyekevu na alimpenda sana Mama Bikira Maria na alikufa siku ya Bikira Maria.
Natamani sana kupata japo video moja yenye sauti yake akiongea mwenyewe. Hii itatimiza faraja ya moyo wangu.
Apumzike Kwa Amani Baba yetu wa Imani Lauriano Cardinal Rugambwa.
Naomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata video yoyote.. Hasa ile documentary ya Baba Mt. Yohane Paul ll alipokuja Tz... Kwa gharama yoyote tafadhari..
0757593232
Amen
Mbarikiwe sanaaa
Huu ni ukurasa mzuri wa kupata mambo mazuri ya Kikanisa. Usikubali kuwa mgeni kwa mambo ya Kanisa linalokuhusu
Amina
Really Life Story
Good work
Hallelujah
RIP MUAGAMA KARIDINARI LUGAMBWA
Pumzika kwa amani Kardinali Rugambwa.
4:10 pongez kwako popote ulip
Wahaya mko wap amkeni tena jamani
Naomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata video yoyote.. Hasa ile documentary ya Baba Mt. Yohane Paul ll alipokuja Tz... Kwa gharama yoyote tafadhari..
0757593232
Amen