Kazi nzuri ila hapo uongeze watu ,kama mama migomba, pashambe, mbwela, kipara, tanu, Mr.kawaida, mwas, hawa, misigalo, mwanji, butua, Sanura, chibu, mzidole, sengo, matilda, bravo, Mgaya halima. Najua wapo wengi ila kwa hii list niliyo iweka ukichagua baadhi nadhan kitu itakua ya moto sana
Mussa venasi andika story vizuri, Mwakatobe mchezaji mzuri, ukweli kwamba sijaelewa inahusu nini hii DANGER au nitaelewa mwishoni ,wabongo tunajielewa Hatudanganyiki tena
@LettyLussi 😁 niliangalia namba 1 na 2 kwasababu nilikuwa nimemmiss sana BAGA. Kwa sisi wakongwe wa MUVI za CD tumajua BAGA ni nani... nilipomaliza kuangalia vipande 2 vya mwanzo nikapotea.
Dah huyudada aliebakwa anatia huruma Kani kaigiza kama kweli kabisa yani anajua apewe mauwa yake mashallah 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
😢hahaha 😂
Na alie mbaka ni huyohuyo kaka ake
Kama unapenda mungu kuliko danger liké apa
Alafu usitupime imani😂😂😂😂😂
@LilianAchieng-x4f wewe aupende mungu
Daah uy dada aliyebakw anajua kwel apew maua yake ana kipajii namuon mbalii ikiendlea iv iv❤🤝😍👏
Kafanya vizur mno
Sana tena yuko vizur🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna watu wambea jaman yan mama zima limekalia umbea km alitumwa kwenda kusema apigwe hyooo uache umbea😂😂
Leo mimi wakwanza kutoka Moçambique naombeni like 👍🔥🌹💐❤️🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Muvi Kali sana ❤❤❤❤❤
Wakwaza Kutoka Congo drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩
timu mwakatobe naombeni like zangu❤❤❤😂😂😂
Ndo nmefika sai kasongo mwakatobe aka mchawi 😅😅
Noma sana
Duuuuuh msunuu wena😂😂
Pole usiliaa bas mana hata ukilia sana hueZ saidika labda ukimbie
😂😂😂Kazi kuna kazi jamaniii 😂😂😂mtu analia kama kweli 😂😂
Uta jiri uo utajiri gani ubakwe na ndugu yako. Kama wewe vipi utakubali ?
Safi sana from DRC 🇨🇩 congo
Nakubari mwaka tobe
From mozambique nimeipenda sanaa hi movie
Napend cn move zko mwkatobe mungu akupe upeo mpna wakufikil nakutuletea vit vzur
Msitu Sio rahic kutokaa lkn mijengo tunaiyonaaa, Kazi mzuriii ila mujitahid kucheza na uharisiaaa
Good luck to you, I love your videos from Congo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰🎉🎉🎉💯💯💯💯
Kazi nzuri ila hapo uongeze watu ,kama mama migomba, pashambe, mbwela, kipara, tanu, Mr.kawaida, mwas, hawa, misigalo, mwanji, butua, Sanura, chibu, mzidole, sengo, matilda, bravo, Mgaya halima. Najua wapo wengi ila kwa hii list niliyo iweka ukichagua baadhi nadhan kitu itakua ya moto sana
Kwel
Umesahau sibomana
Mwakatobe namkubali sanaa
Noma sana mwakatobe 🎉❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mtanzania halisi mwakatobe hongera kwa dude hili Danger nipo south africa 🇿🇦 big up mwakatobe unaweza kazi nzuri
Daaa! Mdada alobakwa na kakake kajitahidi kuvaa uhalisia wa maumivu kiukweli kaweza maua Yako tafadhali 🎉🎉🎉
Nakubl sana mwakatobe🎉🎉
from mozambique naitwa wanboy naku bari sasa kanzi zenu
Movie nzuri sana
Ngoja nikupe maua yako 🌹
Am ur fan tunkupata vzur hapa kenya
Nomaaa sana mwakatobe🔥🔥🔥
Mimi wakwanza from DRC #Mwakatobe_The_great_films_of_Dangerous☠️☠️☠️☠️👹👹👹
😂Mwakatobe tuko pamoja mpk siku uwe kigagula kweli
Daah hy mdad aliye bakw anajuw jamn apw mauw yak jamn👐👐
Kaká mwakatobe mungu akubariki na kazi yako uzidi kusonga mbele 🙏🙏🙏
Weeee
Wakwanza kutoka Msumbiji pemba 🇲🇿🇲🇿 🇹🇿 sucesso sempre
Montepuez
natag palma apa
Nampula ❤
Mocimboa da praia
Mmmh watu hawachelewi washa luka na bland haya mimi mchelewaji kila siku 😂😂😂😂nawapenda jamani hongeleni kwakazi nzuri TEAM mwakatobe🎉🎉🎉
Huyo dada alie bakwa kafanya vizuri sana🥰🥰 apewe maua yake kabisa.
dada kacheza sana vizuli 🎉🎉
Siwez kosa hii mzee wa kasongo 😅😅 like kwa wingi 🇹🇿 tanzania moja to ❤❤
Good job mwakatobe 🎉🎉🎉
Moto sana Kaka 🫶🫶🫶🫶🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🎉🎉🎉 jamn kazi nzuri
Mwakatobe umetisha sana, nafwatilia kazi zako kutoka Kenya. Kipaji unacho
Kabisa
KUTOKA KWENYE MSITU NI NGUM SANA
harafu nyumba na makazi mengi tuu yanaonekana nyuma apo😂
Ndio maigizo😂😂😂
❤❤❤❤😂😂😂😂😂kaz nzuri mwakatobe
Kwani unabaka dadako ndiyo uende South Africa😂😂😂😂😂 . Mwakatobe komaaaaa😂😂😂😂😂
Mwakatobe sio poa unajua kaz enderea usiwaze kazaaa🎉
Mussa venasi andika story vizuri, Mwakatobe mchezaji mzuri, ukweli kwamba sijaelewa inahusu nini hii DANGER au nitaelewa mwishoni ,wabongo tunajielewa Hatudanganyiki tena
Kazi iendelee
hii ni kali kuliko my daughter ya clam vevo. mwakatobe una tisha sana. Smakk samy zarois
Mwamba anayaweza
Mwakatob eti Kasongo yeeyeeeee😂😂. Jaman mambo gani haya
Kofi la mwana ukome😂😂😂😂😂😂😂🇨🇩
Jamani hii movie nzuri sana mwakatobe🎉🎉🎉❤❤❤
congo rdc mwakatobe una andaa ma maiti siku una fariki dunia mimi njo nita kuja kuku andaa naku kafini vuzuri. smakk samy murhula
Wakwanza kutoka kenyaaa nipeni maua yangu
♥️🥰💘❣️💓💞💕💌💟💖💝💔💛💚💙💜🤎🖤🤍🧡
🎉🎉
From somalia 🎉❤
Kali mwaka mwakatobe #kenyafollowing
Huyu dada amebakwa nayule kijana msituni wanajua sana mno❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Msitu gan ambao nyumba za watu zinaonekana 😂😂😂,mwaka-tobe we Bado sana
Mganga anachamba uyo😂😂 eti Akili ninywele zako umenyongolota na Akili zimenyongoloteka😂😂😂
😂😂😂mwakatobeee unaeza sana kwa kweli ipo vzur
Wa2 amlali nimekuwa wa 241 aya furaieni xx
Nzur sana hii kaz
Nimekuwa wa kwanza
@@AdimuDeda basi mpo wengi wa kwanza leo
@@AdimuDeda umechelewa
Dah huyo dada na kakaake wametisha sana asee 🎉🎉 maua yao❤❤ nawapenda sana mmetisha sana🎉🎉
Unawashwa eeeeh unaamu ya kupigwa 😅mwakatobe jaman nakubinya mpak unatoa mnyaaaa😂😂😂😂
Ivi wew muone kwanz🎉
Wa Kwanza leo Ku toka Congo like zangu❤️
Huyo dada aliyebakwa na kaka yake hamkumuandaa vizuri kucheza hio sehemu!
Samahani, sio kwa ubaya, napenda kazi zenu.
Umeonaee😂
Toa sababu ulizoona
@@Fm-MornStar2014 😂labda nmeona vibaya mimi
Ku act movie ni jambo la kuanza kulizoea so kwa upande wangu dada kacheza vizuri maana ata kuendesha gari mtu huanza taratibu
Mbona kacheza vizuri tu labda kama Kuna sababu nyingine
Lete utosii😂😂😂 nimecheka mnoooo 🙌
Kazi nzul sana mwakatobe kwenye ubola wako 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉😂😂😂😂
Mwenyau na kukubali 👊😂😂
Shabiki yenu kutoka moro🎉 good job
Bila ya shaka kaka kambaka kwel dada yake maana sio kwa kilio hich😅😅😅
😂😂😂 ila mwakatobeee
Oyaah Mwakatobe Fundi nyinyi miaka 1000 kwake namuelewa ile mbaya
Tamthiliya nzuri sana aisee
Uko chief baba
Kumekucha kinywele ndani😂😂😂😂
😂😂😂Ret utosi jmn mwakatob
TEAM MWAKATOBE weka bando ata like ata moj jameni🎉🎉🎉🎉 conglomérats ❤❤❤ nawa pend sn GN❤❤❤😅😅😅🎉😢😊 9:41 9:45
Unawez kbx ✌️🥰🥰
Jmn mwakatobe mungu akulinde
Nimewahi na mimi
Mtu anaweza toka Tanzania akuje kuuza kahawa Kenya 🇰🇪 ama hao n ma FBI 😂😂😂😂
Anaeza
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😮😮
Saf san mwakatimbe kazi bora
Mbona unanyambanyamba🤣🤣🤣🤣🤣jikaze ww n mtoto wa kiume.
Wa 2 leo mwakatobe comment hapa
Mwakatobe champion
Naombeni namba za huyu kaka alonunua nyumba 😂😂😂😂😂😂Nina shida nayeeeeee
Nakubali sanaa
Aliebakwa ywalia kweli ila sijaliona chozii😂😂
Wewe ni mkali sana Brown 🎉🎉🎉
Wa kwanza kutoka Kenya shusha like zangu hapaa
Mganga apunguze sifa wallah ila movie nzuri sana❤❤❤🎉
MWAKATOMBEE UNA HATARII MSENGEWEWEE UNAJUA MBAKA UNA KERAAA😂😂😂
sio vizur kulilia lia sana munapunguza utamu
Kazii mbovuu hii aielewek hiii
Huyu mwakatobe huku sio kuigiza 2 huyu n mchawi kwel bana🤣🤣🤣🤣
Mwakatobe chogo kaa mwikoo😂😂😂
*Mtoto wa CHUMVI NYINGI namuona huku 😂 Kama kawaida kalithi vikoba vya CHENDU 😂*
❤❤❤❤❤
@mwanamisishaban4083 🤝❤⚘
Don kama Don ktk uborawako huchelewi😂🎉🎉🎉🎉
Sijakuona Kwa chado😂
@LettyLussi 😁 niliangalia namba 1 na 2 kwasababu nilikuwa nimemmiss sana BAGA. Kwa sisi wakongwe wa MUVI za CD tumajua BAGA ni nani... nilipomaliza kuangalia vipande 2 vya mwanzo nikapotea.
Mwakatombe punguza utani kwenye movie serious❤