Cook with Wema Sepetu S02E07 Zuchu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Facebook - @wsepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #Bestizzo
Zuchu aliyekudanganya kwamba umependeza na hiyo style ya nywele Mungu anamuona.
My free Advise nawaomba Muvae KOFIA au fungeni kitambaa kichwani maana nywele zinaweza ingia kwenye chakula. Hygiene first priority (healthy hazard)
Wow! Am just watching Wema Sepetu talking and I must say English suits her.
She's a great communicator
How Wema talks positive
positively about everyone is something to admire💞
Unlike Zuchu
Naombeni like hata mbili plz nampenda wema na zuchu
Manywele na jikoni
TIBA YA GOITA BILA UPASUAJI PIGA 0766189074 KUPATA USHAURI NA TIBA
KAMA WEWE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (SIKU ZAKO HAZINA MPANGILIO MZURI)
JE UNASUMBULIWA NA VIUNGO NA MIFUPA NA UNAPATA SHIDA YA KUTEMBEA NA KUINAMA TUPIGIE KWA HIZO NO 0766189074,
PATA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA KIRUTUBISHO VYA ASILI KABISA
UTI IMEKUWA TATIZO KUBWA KWA WANAWAKE KARIBU UPATE TIBA NA USHAURI 0766189074
I like
Wowow cutey glr wema
@@alexseif7466 tnx
Zuchu jamani Asa hiyo singuo ya kulalia hiyo jamani 😂😂😂😂😂😂😂 haya me kipindi cha madam wema nakipenda sn nawapenda wote❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amesema mwenyewe, it's slumber attire. Meaning nguo ya kulalia
😂😂😂
Mm mwnyewe nimeona iloo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mohamedabdull7326 yani😂😂😂😂🙌
@@fatmafetty4117 🤣🤣🤣🤣
Zuchu is one of my best musician i love because she got a great voice which takes attention of soo many people 🌹♥️ otherwise both lady looks wow and awesome 💙🌹 lovee you soo much
*TUNAOMTAKA DAIMOND LIKE HAPAAA... WEMA TULETEE DAIMOND.!!! It's me Samiry please bring here Daimond platnum.!!!* 😁😁😁😁
Next time diamond platnumz please wema from America love y'all my tanzania people 🔥❤🩸
no
Katika mapendekezo yangu naomba👏siku aje diamond umuoji😁 kama ubakubaliana na mm comment apa👇
Oyoooo
Nic
Kwel kabs yan hiy sik mmmmmmmhhhhhhh
❤❤
😂😂
I love this two ladies u r just amaizing
Sio zuchu peke yake ata wema 2020 AME shine!!!!
Sisi pia tunaelewa kingereza vizuri tuu lakini pls tumia kiswahil saana kuliko lugha ya kigeni wema pls do it ‼️
Mwenzako anafanya ivyo iliatoboe nchi zingine maana wanalipia appl yke so waelewe pia sio wote wanaongea kiswahili
@@allthingdranabeauty point 👌
Someni na nyie
Huyu ni yule zuchu wa super woman jmn waooo nice my chuchu beee
Nguo ya zuchu alovaa wazetu wanazilalia huku Mimi sizipendi balaa🙌😁😁ila amependeza 😍
She admitted herself, it's slumber attires.
Mwnyw huwa najiuliza hv hz nguo vp?
@@hadijasalum6373 😁😁madam ameninulia wallah sivai ananiulizaga ananambia nzuri namjibu sizitaki zipo kabatin zimejaa akanibadilishia nguo zingine🙌😂 nawaza in shaa Allah nikirud tz ntavalia ndani tena usiku nikiwa na mume Wangu sio kuvaa nitoke nje hapana
@@hajrafarid8942 oky dia
@@kimarohuba7441 yeah ni pajamas 🙈but I still love her music👌
Nawapenda bure jmn from🇧🇮🇧🇮
Kama unatakaaaa kutrend na turudi tena kuangalia hiki kipindi muiteee diamond aiseee
Muwage mnaogea kishwahili bac mnajiona wazungu sana sasa mmeweka kipindi chanini sasa
Jaman haka ka zuchu changu nakapenda bure tu🥰🥰🥰😘
Wema kumbuka mafans wako wengi ni waswahili wanaofatilia maisha magic bong....zen ukitumia english san unakuwa unazingua
kwani hauelewi kingereza
@@hala-bh4zm acha kukalili ndg yangu. Kwo watz wote wanajua kingereza? Au kisa wew unajua cha "to eat food na good morn" acha ujinga
@@Muganyizi 😄
True talk dear Kuna wengine kimombo awakijui
Lakini pia sio watu wote wanajua kiswahili pia so ni vizuri kutumia zote kiswahili na kingereza
Wema mrudie Diamond couple yenu ilipendwa sana
U
Cook with @diamond Platnumz please
Nakusupport sana, simba akuje sasa
Wema nataman ufike mbali aisee mungu akulinde
Next time Wema Alika rose muhando upike naye plz
We need Diamond dada 😭🙃😂 yani wede LIVE tuna ma questions Sana
MashaAllah Wema unjua snaa Allah akuzidishie!
First time to hear zuchu’s voice talking . It’s different in song
Equalization of voices,when it comes to sing 🤣🤣🤣..without that hapo hakuna sauti 👌🏾👌🏾
I like it
Wema ntarudia kuangaria kipitindi cako ukiturete exi wako diamond
Wewe unafkiri Diamond kupatikana ni easy???? Wapo watu wako wasafi wana miaka hawamuoni Mondi
😂😂😂😂😂😂
@@BigZhumbe 😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@@BigZhumbe 😂😂😂😏
Zuchu ananikumbusha nyumbani, we ate nice foods to a point when Eid came my mom would ask us, "sasa tuapika nini?" our option was pilau ALWAYS and my thoughts were we are cooking for our guests what we love and we loooooooveeee pilau!!
Wemaaaaa wanipa adhabu wallahi plzzzzzzz daadaaa tuwekee full aki plz this punishmnt is too harsh😭😭😭😭😭😭😭😭
Nunua app yake
We need simbaa apo
Huyu zuchu mdogo wangu unanitia aibu kwenye kuvaa hujui kuvaa hujui kuvaa hujui usiige mavazi ya kikahaba ww
My favorite people 🙂🥰🥰🥰🥰zuu na wema 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Cook with Diamond platnumz please 🙏🏽💯
😂😂😂😂
Diamond hajui kupika chakula cha jikoni anajua kupika wanawake tu kitandani sasa akimuita hapo atapika nini? labda achemshe maji ya kunywa
@@yusternyirenda7231😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Zuchu is my best Tanzanian woman singer I love her so much
By the way wema can u invite diamond kwenye mapishi we want to see him cook
Auna akil
Tunamtaka simbaaaaaa diamond platnum our legend our hero our national representer in music
Please try kupika with Naseeb abdul aka diamond platnumz someday , we've been longing for that moment too long
Mm kama manager wa wema nimeona wengi mnamtaka diamond PLATNUMZ 🦁
Ushasema kaka, @Diamond Platinumz
Jamani dad wew izo nyere muwe muna zifunga mukiwa jikoni iyo sio fasi ya urembo ivo tu
Kumbe izo nguo za kulalia tunaweza kuvaa popote sikuizii eeh 😂
exactly 🤣
@@aminamuz9071 imebidi nitoe macho heeee kweli ni shot pajama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@souvenirweber7169 huo ni ushamba pajama ya kulalia lakini hapa 🤐🤐🤐 kutoka KENYA nawapenda
Yaan watu baadala ya kusikiliza kinachozungumzwa wanabaki kuangalia mtoko wa dada Zuchu🤗
Hahahahha
Diamond
Diamond please
Cook with mama dangotee ❤️❤️❤️
Ohhh my zuchu is like me
amennn...zuchu will reach further
Cook with Diamond platnumz please😒🙏🙏
🤣🤣🤣 umewaza kama mimi
Umenichekesha ,😆😆😆😆
😂😂😂😂
Kimwi hicho ni kizuri sana mniamini mimi at the ende of day,huo uportable ni deal
Wema mwite diamond platinumz
Atamlipa nini.diamond ni brand
@@shangwekamando2599 hahaha funny you never underestimate watu....wema and dai r running tz in different in avenue...wema pia ni brand ..do you think dai doesn't know his stars feature in wema show don't deceive urself u sound mshamba
@@shangwekamando2599 understand entertqiment mbonq dai Allendale kwa sho ya kadoti....daimond na wema kitu kimoja they hav in common is they promot tz different
Zuchu is a Beatiful
Kwa mwakani Ni mwaka wa lavalava nawambien guys huo Ni utabili wangu
Nakubaliana na wewe
HATA MIMI NAKUBALI
Cook with ibraah🤗
Wema...you will always be my star hata iwejeeee..NAKUPENDAGA MIAKA YOTEEE.asante kwa kua staa asiekua na nyodo
We want diamond plz
Wakenya tuko wapi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ,,,ZUCHUS' FUNS❤❤❤
Nipo mkenya mwambie wema anita pia
Noooo.....Diamond Platinumz aletwe kwani iko nn?
Wow chonjo Sana, zuchu 🔥🔥🔥🔥🔥💕💕💕💕💕
Aki siku moja tu platinumz akue mgeni wako wah
Nangoja pia ila
We need diamond please wema I love you I'm live in america we support you much we just wanna say we need diamond 💕
@@ashamussa7393 I'm serious tho
Ukimuita @diamondplatnumz uta fika #01 on trending 😂
me too,i also want to see diamond cooking with wema sepetu
😂😂😂😂 Wazungu wamekutana meza moja...kazi ipo coz me ni class 7
😂😂😂
Hapa tena
Kwa ushauli tu, muwe mnavaa kofia kichwani wakt wa kuandaa chakula. Ona km zuchu hizo nywele zinaweza kuingia kwenye chakula.
Wazo zuri na ni Moja wapo ya Sheria za jiko.
Ni kwel dia👌
Kweli kabisa Kam zuchura izi nywele zinechambuka hazifai jikon izo Za stegin
Zuchu umenza nawewe Tabia zaku iga wazu kuva mangu haya erewi kutuonesha matako yako😁😀
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Ana Manisha akivaa hivyo atarudi utotoni lkini umri umeenda ndugu miaka 30 sijui ulikuwa unaficha kwa Nini hauoni munalingana na madam wema
Hahahahaaaa
Am not Tanzanian, but please u should cook with Tommy flavor.
Nampenda zuchu jaman mm mpemba mwenzie
Namm pia nimpemba mwenzio nipende
@@asaaomar4315 🤣🤣Nami pia ya Khabib
@@asaaomar4315 HAHAHAH anasema ww sio super star 🌟
Hhh khayraty ww mpemba wa wapi
Lylla ww sio mbumbwini 😁😁
Nawapenda sana ilove zuchu😢😢😢
Wow...hata mm napenda iftar ya pilau ramadan japo kila ijumaa
Wema sepetu waooooooh respect 💐💐🇨🇩🇨🇩💯
Nakuona dada unaupiga mwingi hongeraaa
Wema we ni mrembo sana
Jamani daimond ana ro ya paka akumbuki ule Wimbo wake wa mbagala domo km dekio la daladala watu walikuwa wanamwita domo sasa ivi anashidwa kumsapoti wema daah kweli Dunia niwatu na watu wenyewe ndo sisi Daimondi angetakiwa yeye ndo awe wa kwanza pale tu wema alipo muomba ampe sapoti laki ndo kwanza ana abaree kweli Maskini akipata matako ulia bwata Wema Mungu akubariki na moyo wako wakipekee
She has a baby voice😍
Nawapenda mno jmn hawa viumbe from AUE😘🇦🇪
We need diamond
I dont think he can cook 😅
@@zurisana8068 ofc he can😂😂or wema will cook I just want see them telling us a story🌚🙌🏾
TIBA YA GOITA BILA UPASUAJI PIGA 0766189074 KUPATA USHAURI NA TIBA
KAMA WEWE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (SIKU ZAKO HAZINA MPANGILIO MZURI)
JE UNASUMBULIWA NA VIUNGO NA MIFUPA NA UNAPATA SHIDA YA KUTEMBEA NA KUINAMA TUPIGIE KWA HIZO NO 0766189074,
PATA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA KIRUTUBISHO VYA ASILI KABISA
UTI IMEKUWA TATIZO KUBWA KWA WANAWAKE KARIBU UPATE TIBA NA USHAURI 0766189074
@@zurisana8068 But I think he can eat. Kila palipo na mpishi pana mlaji bora
@Diamond Platnumz tukusubir lini?
Nakupenda sana zuchu .hila leo hiyo sijaisoma
Wema our lovely beautiful gol🥰
Seriously you guys, we need English subtitles😭 like Africa is so diverse and not everyone speaks Swahili? You are limiting your fan base to just Swahili when other people from other countries enjoy this content too🥺
Learn Swahili.
@@kitomondo in the meantime as I learn, do I use your ears to understand?
@@tayanaliss9713 Nope, your brain and audio-visual study materials like the video you are talking about can be used to learn swahili. Instead of asking Swahili speakers to deliver their contents in English. Do you go to Chinese people and ask them to speak English? Online?
Please Mayn! Let us be!
@@kitomondo Before you respond to something that doesn’t even concern you, next time kindly take time and read a comment before you embarrass yourself on the internet. I asked for “Subtitles” and not English content. Outline the difference abeg. Don’t come here and sound like a retired English lecturer. Chinese provide subtitles in their productions because they believe that even if they are the world’s largest population, there are still non Chinese speakers out there. It’s called LOGIC
@@tayanaliss9713There you go again. I can pull a million clips on TH-cam that do not have English subtitles. Stop glorifying that Language.
Swahili is widely spoken in East and Central Africa, so let it expand.
I can pull millions of Chinese clips without subtitles. So don't act like they all have subtitles.
Where is diamond platnumz sweetheart ❤️❤️
Jamani I love your hair na hiyo orange 🍊 jumpsuit 🤩🤩🤩🤩🤩🤩 umependeza Mamii 😘😘😘😘
*QUEEN ZUCHU* 😍💎
So cute
From Kenya😍😍😍love Please wema next time cook with Simba diamond platnumx
Baby wangu Wema, you look Marvelous. Soo beautiful with your Orange wearing and the Hair wow,.. I love it 😍😍😍you are soo sweet like always thanks for the nice and Lovely show together with your loving little girl Zuchu 💕muko Sawa kabisa, I love you Wema you are such a lovely woman ❤️❤️❤️😍I love you so much Tz Sweetheart 😘 😘 😘 Mungu akubariki Sana, sana 🙏 🙏
Simba jmn wema we miss him plz
Nice Miss Wema love you so much
Nc wema
Diamonds
Wema Sepeto Mnafki faa angalisho zuchu...n'a we zuchu vile viywele kama mwenda mazimu
Ka Zuchu nikazuli😍
Tatizo Wema umesha julikana kama ww mnafiki 😂😂😂unaweka ukamsifia mtu ao ukamwambia unampenda kumbe unavimwambia kwa sababu yakitu fulani kumbe moyoni hamna upendo 😎
zuchu anakoshaaaaa...she's soooooo adorable
Nilipeza wema since 2018 sai I'm like 😳😳😳is this Wema? anyway you made it Wema 🤣🤣🤣
My first time seeing zuchu cooking 😂😂😂
She is from Zanzibar. Zanzibar is the coastal part of Tanzania. We coastarians are blessed in cooking.
Tunamtaka diamond platinumz 🦁
Rangi ya zuchu imebadilika
Ameanza kujichubua nayeye kwavile aliambiwa si mrembo
Wooi Kama urembo ni weupe sisi weusi Kwisha🤣🤣🤣
QUEEN'S ! 🥰❤️❤️❤️❤️
Love you all
Ka zuchu jamn 😍😍na ka wema wenyewe mnavutiaaa😚😚
Abar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2:30 usiku karbuun mjifunze
In shaa Allah leo sio
Wamekutana vipenzi vyo rohooooo yangu jmn natamn na meme nikuje 2le wote 😜😂
Balaaa💥💥
Can someone be kind enough to post names of the dishes she mentioned the first time she cooked n today? English names plz.sounds like something i would love to try n find a recipe n make.Thanks 🇰🇪🇨🇦
Hata sisi Ramadhan pilau tunapika kwenye MAKUMI TUU nmeipenda hiyooooooo