Duh nyinyi wachokonozi akiri kubwa yote hiyo mnapata wapi yaani kila nikiwasikiliza napata raha na uelewa wa juu sana,😂😂😂😂 na barabara za dhahabu na kioo,Watanzania wote mbinguni duhh,nyinyi ni noma,asiyewapenda akanywe sumu ya panya!!
Since Berlin Conference 1884-1885 wakoloni walitugawa, And up today we haven't recovered yet 🤔 wajinga wengine wanabaguwana kiukabila na wengine wanabaguwana kupitia dini za wakoloni 🤔
Dah wachokonozi bhana wamejibu kitu ambacho watu wengi walikuwa wanawaza eti wanaweza kuuwawa Hawa jamaa Leo mmemaliza kabisa kuwa hata mkiuwawa ni kazi bu4e
Napenda xana uelimishaji wenu na huwa nawafatilia kwa ukaribu xan pia ningependa siku moja mmjadili huyu kiongozi wa bukinafaso kwa kile anachofanya kwa nchi yake je kama ni mfano kwa viongozi wengne wa africa ili kufanya bara letu kuwa na nguvu?
In Berlin Conference 1884-1885 wakoloni walitugawa, And up today we haven't recovered yet 🤔 wajinga wengine Wafrika wanabaguwana kiukabila na wengine wanabaguwana kidini, zakupewa wakoloni 🤔
Hamjawai ishi congo,nyie hamuwajuwi wanyarwanda wa kitusi vizuri,Huwezi kuwa na cheo cha juu amaa uwe tajiri kisha ukasalimika na watusi,watakuuwa tu,wana roho chafu asikwambie mtu,mimi nawafamu vzr.
Hi sio kwa congo tu kuwa Mental Salvel, hata sie Tz tuna tatizo Hilo. We angalia Vijana wanavyopelekeshwa kupitia vyama kwa ajili faida za familia za wanakula bata kwenye hii nchi.
Watanzania hawana vita kwa sbb waliandaliwq kwenda mbinguni😂😂😂😂 mali na madini baba yenu mtazikuta mbinguni. Tukishafanya mambo yetu😢😢😢 ZINDIKO LIMEKOLEA
😂😂 Najuwa wengi hawa kufatiliyi kwasababu hawana mda na mambo kama haya ya mashauri, wana muda nama comédie kwenye Facebook, TH-cam kwao nikitu kigumu sana kuingiya kwasababu ya méga (bando)...
Nime wasikiliza vizuri kabisa kutoka Kongo 🇨🇩 ila kitu mulicho sahau nikwamba kongo haija kataa makabila mengine ya inji jirani,ila mungi jifunza kuhusu mambo yaliyo pitika Rwanda kuhusu wa hutu na wa tusi ndo mungi tusema hivi na mungi uliziya kuhusu mauwaji yanayo pitika beni ni aina moja na yaliyo pitika Rwanda,ila utofauti wa mauwaji ya beni nikwamba yakwetu sio ukabila ila ni watu walio toka inje ya inji yetu ndio wanao kuja kutu owa.
Nilikuwa makini sana kuwasikiliza mnavyo elezea sababu namna ya kujiondoa kwenye vita hasa ndugu zetu wakule Congo Alipo uliza mbona tz tuna madini nahatupigani nimeishia kucheka au nimekosea mana nimeshindwa kujizuia.
Duh nyinyi wachokonozi akiri kubwa yote hiyo mnapata wapi yaani kila nikiwasikiliza napata raha na uelewa wa juu sana,😂😂😂😂 na barabara za dhahabu na kioo,Watanzania wote mbinguni duhh,nyinyi ni noma,asiyewapenda akanywe sumu ya panya!!
Since Berlin Conference 1884-1885 wakoloni walitugawa, And up today we haven't recovered yet 🤔 wajinga wengine wanabaguwana kiukabila na wengine wanabaguwana kupitia dini za wakoloni 🤔
Daaah Africa inawaitaji sana my brothers
Kweli mtupu ,
Kutoka DRC Beni
Wachokonozi for life❤❤❤❤❤ mmeniponya Sana
Wachokonoziiii🔥🔥🔥
Waafrica wasaliti wengi na tusalitiana wenyewe kwa wenyewe bila kujua tunaharibu vizaz vijazo!!
Wachokonozi Leo mmechokonoa sis ni wamito na asali na mabikriaa ❤❤❤
One Afrika kbisa🔥🔥🔥👌
safi sana big up❤❤❤
Mwenge.... mwenge...mwenge..😮😮 zindiko la moto😮😮
Watoto wa 2000 watupishe kidogo 😊
safiiii me nawambia Kongo inawatesa laana ya Patrice lumba l real like this wanatakiwa kurefer Patrice Lumumba wabadilike akili ziwe chanya
M 23 BIG UP SANA
Hela we mmbareee we ni kiboko ,gaya kaka vandu uku tukukunda Atari
Jamani napataje vitabu vyako Mr Mrindoko😊
Kweli vitabu jaman tupeni location
Sema hako kajamaa ka pembeni kanajifanya hakaelewi kumbe ndo kachokonozi haswaaa anyway bigg up wachokonozi mnatupa madini adimuuu
Changia maada sio kusifia tu nyinyi ndo mnakuwa machawa😅
About mental slavery, ni kweli bado akili zetu zimo utumwani.Big up vijana wetu
Mrindoko kumbe ni mkongwe😅😅
Nawakubali sana wanangu mnaonge kitu kimenyoka
Dah wachokonozi bhana wamejibu kitu ambacho watu wengi walikuwa wanawaza eti wanaweza kuuwawa Hawa jamaa Leo mmemaliza kabisa kuwa hata mkiuwawa ni kazi bu4e
Dah nasikitika sana watu kama nyinyi ni adimu kuwapata ila tumewapata alfu bado watu hawawaelewi
ao bikra bahati mbaya wakue ni mwanaume😂
Et sisi tuliandaliwa kwenda mbinguni😅😅😅
😂😂😂😂 wachokonozwa barabara ya kioo na dhahabu😂😂😂
😂😂😂😂 dah ila hivi vichwa!!!
Upo sahii kabisa wacongo inatakiwa wajikomboe kifikira kwanza
😂😂😂😂😂mtume Muddy
Tatizo watu wa kule ni wabishi sana,wanawaza kuvaa mavazi mazuri na starehe bila akili
Natamani sana yajengwe ma tempo mengi kama yalivo makanisa kisha ndani ya tempo uwekwe mwenge ili watu tupate kufanya ibada iliyo timamu
Leo umekula five ⭐⭐⭐⭐⭐ star
Good idea
❤ mambo mengi mno kuhusi congo.
❤❤❤❤❤ Yan nawaelewaga Sana aisee 🎉
Duuuh dhahabu tutazikuta mbinguni nin? Daaah kweli sisi watanzania ni maiti
Nawapenda sana wadau
Dah.. mkuu samahani, procedure za kupata kitabu tafadhari.
0785346032 WhatsApp
😂😂😂Sindiko limekolea
😂😂😂 wa TZ tulifafanywaje 😂😂😂
mh mwamba nimekuelewa sana
Afrika kuna watu zimebaki kuku wanaopigania pumba kama wachokonozi😂😂😂
Napenda xana uelimishaji wenu na huwa nawafatilia kwa ukaribu xan pia ningependa siku moja mmjadili huyu kiongozi wa bukinafaso kwa kile anachofanya kwa nchi yake je kama ni mfano kwa viongozi wengne wa africa ili kufanya bara letu kuwa na nguvu?
Mnaongea kweli ❤❤
Hawa jamaa natamani kuwaona wakifanya mahojiano na MiradAyo na Sky ❤❤
Millard cha mtoto hapa hatoboi hawa jamaa serikali iwachukue Wana vitu vikubwa sana
Milladiayo hawezi fanya kipindi na mtu ambaye ni mbobezi wa metaphysics kwa Tanzania labda Harris kapiga
@@Abbitaf Mkuu nahisi hukunielewa sina mana ya ulinganifu ila nilikusudia kusikia umakini na uzingatifu wa points
@@saidyande uko sahihi mkuu bac tufanye Kapiga na sky Wanafit kwenye mfumo
@@raphaelkaswahili323 milladiayo hawezi elewa chochote ni mtu mwenye upeo wa chini sana kuhusu haya mambo ya walimwengu
😂😂😂halafu inamwagwa zege
27 bikla xo mchezooooooo
Safi Sana,tupo kwenye vitabu vya hukumu changamoto Sana.😅
Habari yenu hongereni sana
Wa choko nozi 😂😂😂😂
Tuna ku fayiliya sana hapa kinshasa
UlivofikA kwa wajita apo nimecheka sana mkaluka
Et hakiri ziripumbazwa 😅😅😅😅😅😅😅 aaaazindiko rimekolea
Ila wachokonozi wanafki sana eti yesu anakuja na moamed😂😂
😂😂😂
@HusnaSharifu we Cheka tu 😂😂 husna
@JacksonKimario-ig8dl wanaongea ukweli
@HusnaSharifu sana had wanafraisha
Ila nyie mnavituko😅😅😅ila naelewa
Kumbe hata mishen ya magu haijaisha hapa kwetu
Walijua wamemaliza but usaliti haujawahi acha mtu salama
BBC hawajawaita tu😂😂
chinamuna😂😂😂
Sjui Africa tunashida gani aisee dah
😀😀😀😀 i like it
In Berlin Conference 1884-1885 wakoloni walitugawa, And up today we haven't recovered yet 🤔 wajinga wengine Wafrika wanabaguwana kiukabila na wengine wanabaguwana kidini, zakupewa wakoloni 🤔
❤❤❤❤ Brothers
Sabuni ya ubongo 👊🧠🧠🙌🙌🙌
Nakubari
Mpo sawa kabisaa
Nawaelewa saana
Jomri wewe ni mkuu
Niliwahi kusema hivo kongo inalana rumumba mana alipouliwa mke wake alitembea uchu balabalan
😂😂😂😂Dhahabu zetu tutazikuta mbinguni
😂😂😂 na peponi
Tuko pamoja walimwengu
12:20 kweli 👌🏿🙌🏿
Sawa wakuu
Kumbe Kuna kupewa bikra 72 na mito ya pombe na hamsemi sijapenda
😅😅😅😅
Sawa walimwengu wenzangu 😂
Invisible boarders.. zimewekwa na wakoloni.. it’s totally mind control system ✅✅✅
Mtume mudi 😂😂
Hamjawai ishi congo,nyie hamuwajuwi wanyarwanda wa kitusi vizuri,Huwezi kuwa na cheo cha juu amaa uwe tajiri kisha ukasalimika na watusi,watakuuwa tu,wana roho chafu asikwambie mtu,mimi nawafamu vzr.
Wahutu wao vipi ?
Hi sio kwa congo tu kuwa Mental Salvel, hata sie Tz tuna tatizo Hilo. We angalia Vijana wanavyopelekeshwa kupitia vyama kwa ajili faida za familia za wanakula bata kwenye hii nchi.
Absolutely yes
Sisi wachokonozi washenzii Sisi watu Sisi nauzuriii Sisi basi
Watanzania hawana vita kwa sbb waliandaliwq kwenda mbinguni😂😂😂😂 mali na madini baba yenu mtazikuta mbinguni.
Tukishafanya mambo yetu😢😢😢
ZINDIKO LIMEKOLEA
😂😂
😅😅tutatengenezewa barabara za dhahabu😅
😂😂😂😂
Assimilation
Wanajichubua pia comgo
🎉🎉
😂😂 Najuwa wengi hawa kufatiliyi kwasababu hawana mda na mambo kama haya ya mashauri, wana muda nama comédie kwenye Facebook, TH-cam kwao nikitu kigumu sana kuingiya kwasababu ya méga (bando)...
Nyie ni hatari sana
Safi sana wazee
Nime wasikiliza vizuri kabisa kutoka Kongo 🇨🇩 ila kitu mulicho sahau nikwamba kongo haija kataa makabila mengine ya inji jirani,ila mungi jifunza kuhusu mambo yaliyo pitika Rwanda kuhusu wa hutu na wa tusi ndo mungi tusema hivi na mungi uliziya kuhusu mauwaji yanayo pitika beni ni aina moja na yaliyo pitika Rwanda,ila utofauti wa mauwaji ya beni nikwamba yakwetu sio ukabila ila ni watu walio toka inje ya inji yetu ndio wanao kuja kutu owa.
Vita vya Kongo vya Sasa vinasababishwa na nini?
Miye niko nakufata kila siku kutoka Kongo
Hivi vitabu mnaleta kenya?
Vinafika +255785346032 WhatsApp
Duuuh ninyi walimwengu kila nchi ingekuwa na watu wanamna yenu tusinge Afrika isingekuwa hapa ilipo
Nimeelewa kitu kuwa usipotumia hakili utatumia nguvu😅 , changamoto inakuja sasa sehemu ya akili itumike nguvu mayokeo yake ni uharibifu
Seen bye me 🇺🇸 MRINDOKO
Nauyo mchokonozi jina lake nani !!
Amen Amen ni kweli kabisa
Nilikuwa makini sana kuwasikiliza mnavyo elezea sababu namna ya kujiondoa kwenye vita hasa ndugu zetu wakule Congo
Alipo uliza mbona tz tuna madini nahatupigani nimeishia kucheka au nimekosea mana nimeshindwa kujizuia.
Hapo unaogea point Congo,wagomani wegin huwa hakuwaki naimini kama Lumumba alikufa kwajili ya Kongo.
😂😂 wanajuwa que ni yesu christo njo amekufa kwajili ya congo 🤣🤔
@YalucLileZairois1643 😅😅😅 nihatarii kaka
We mule mulevi acha uongo
Jina Zaire lililetwa na Mobutu. Alivyopinduliwa ndo jina likarudi kuwa congo kama kawaida
Location ya vitabu
Kwani nanyi.mtakufa?
Like 🙌🙌🙌
Mbona kama mnamuongea Jpm maana nae alikuja kwa mission maalumu akaondolewa
Amen
Nimichezo ya viongozi wetu na wazungu
😅😅