MBUNGE ADAI VIJANA WANAOGOPA KUOA/KUOLEWA WANA TATIZO LA AFYA YA AKILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2022

ความคิดเห็น • 49

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 2 ปีที่แล้ว +6

    Afya ya akili ianzie bungeni ili kujenga hoja zenye kuleta maendeleo ya nchi.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana muheshimiwa mbuge makofi kwako 🤣👏👏👏

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 2 ปีที่แล้ว +4

    Na hili si jambo la kufanyia utani!!!.jamii nyingi inahangaika sana,na ukiangalia kwa umakini zaidi unagundua tatizo ni afya ya akili.Hasa wanawake wanadanganywa sana makanisani.

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mh. Mbunge

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 2 ปีที่แล้ว +4

    Nadhani swali zuri ni nini nitaifanyia familia yangu na sio Tanzania, kwa sababu tunaona walioifanyia makubwa Tanzania wanabezwa na kudhihakiwa na watanzania haohao.

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว +3

    Afya ya akili point kubwa sana 👏👏👏👏

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 ปีที่แล้ว +2

    Fact tu..Kama ni Matatizo ya Akili Basi hata viongoz hawana afya Akilii Maana Hapo ndani kwenye Utopolo Tu kwa jinsi ulivyo zungumzia hoja yako..Big up ukweli mtupu unawahusu wenyewe hapo ndani Mama kaamua kuwachana ukweliii mtu

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 2 ปีที่แล้ว +1

    Waambieee japo najua hutarudishwa bungeni awamu ijayo kwan u emewaudhiiii

  • @Bise270
    @Bise270 2 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana Mh jesca🇹🇿❤

  • @hoseamaguta651
    @hoseamaguta651 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mama waambie ili waelewe make ishakuwa kila secta ni wazee

  • @njiwapori8749
    @njiwapori8749 2 ปีที่แล้ว +2

    Kuoa sio lazima mama

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 2 ปีที่แล้ว +2

    Umeeleweka mama

  • @clintonnyaluke1567
    @clintonnyaluke1567 2 ปีที่แล้ว +1

    Umetisha

  • @StevenMasunga-fd7xf
    @StevenMasunga-fd7xf หลายเดือนก่อน

    Kweli jesca, mizee leo hi ndo yametufikisha

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mbunge alistahili kuwa mbenge 2010 Twende kazi 2025. Tunakutegemea.

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 11 วันที่ผ่านมา

    Nikweliii pisha njiaaa waambie haoooo!!!!!!

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Mheshimiwa afya ya akili ndio mpango mzima

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 2 ปีที่แล้ว +2

    Ayo sio maendeleo ya kuzungumzia

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana😃😃😃😃😍😍😍😍😍

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana kwa kuongelea afya ya akili, maana ni tatizo kubwa sana kwa taifa letu

  • @mageisuli4031
    @mageisuli4031 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama nimekupenda bure unao ujuzi wakujenga maendereo natamani ningekuona nikupe mkono ila nipe comenti

  • @castomnyama
    @castomnyama 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana mama maneno mazuri...

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe.mh mbona umechelewa.kuitowa hiyo hoja ni hoja ya nguvu na yenye mashiko kwa mstakabali wa usitawi wa nchi yetu

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 2 ปีที่แล้ว +2

    Mawazo mazuri yenye kujenga

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 ปีที่แล้ว

    Sema Mamaaaa

  • @valerianakilumile8517
    @valerianakilumile8517 2 ปีที่แล้ว +1

    Na ww unaukosefu wa afya ya akili ya imani

  • @wardw3022
    @wardw3022 2 ปีที่แล้ว

    Mama uekewe bango Dodoma hii hoja yako ni nzito sana mama huko smart afya ya akili ni tatizo

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 2 ปีที่แล้ว +1

    Taifa hovyo hili utalifanyia nini matepeli hao ..

  • @jennykave6633
    @jennykave6633 ปีที่แล้ว

    Jameni, afia ya akili!

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 2 ปีที่แล้ว

    Suala la watu wengi sana kutoweza kujismamia au kuchanganua mambo madogo sana ni kweli Tz lipo sana siwezi kusema ni afya ya akili kwa sababu ni jukumu la serekali na familia kuhakikisha watu wanapewa elimu na ukishakosa elimu kwa kiasi kikubwa utaonekana akili yako ndogo kwenye kila jambo

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweri kabisa wakina kinana wameludishwa madalakani

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 2 ปีที่แล้ว

      Nao i afya ya akili hivi kinana ana jipya lipi🤣🤣

  • @abuuarqam255
    @abuuarqam255 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nimekuelewa sana

  • @mohamedhamad2374
    @mohamedhamad2374 2 ปีที่แล้ว +2

    Point kubwa sana Mama.

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 2 ปีที่แล้ว

    Maza unachanganya tatizo la akili na ukosefu wa ajira. Watu wengi wanatapeliwa na kutegemea miujiza kwa ukosefu wa ajira na kipato.

  • @sulleysonmishlay8253
    @sulleysonmishlay8253 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mama ktk ubunge wako una miaka mingapii? JE hakunavijana hawako ktk Jimbo lakoo?? Mbona huachii ?? Achia jimboo , vijana watawalee ,

  • @wilsonndayitwayeko1221
    @wilsonndayitwayeko1221 2 ปีที่แล้ว

    Uyu mbunge ni wa ukweri

  • @hhusseinsherally8554
    @hhusseinsherally8554 2 ปีที่แล้ว

    asante dada

  • @friminershayo5325
    @friminershayo5325 2 ปีที่แล้ว

    Very good points
    She is very good 👍 👏 👌 ❤
    She is very very smart 🤓 woman 👩 👏 ❤ 😍
    We need mp like her..
    She is tell us the truth about our life...

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 2 ปีที่แล้ว

    Umeongea point sana basi tu lakin

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 2 ปีที่แล้ว

    Hawana afya ya akili.

  • @reneeymike7252
    @reneeymike7252 2 ปีที่แล้ว

    Afya ya akili

  • @noahfilimoni4703
    @noahfilimoni4703 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ndiyo mbadara wa Peter msigwa?
    Mama asante KWa ushilikiano wako 2025 upumzike uachie vijana.

    • @abuidmussa1898
      @abuidmussa1898 2 ปีที่แล้ว

      kweli mama we ni ninoma Holi tu nakupa Mia ya miya

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 ปีที่แล้ว +2

    Unaongea vya maana sn,ila hilo shati limekufanya uonekane dume la miraba minne,vaa kutokana & umbo lako.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom9944 2 ปีที่แล้ว +2

    Usipitwe na hii
    th-cam.com/video/EoUNzHZowFY/w-d-xo.html
    Kamti pombe🔥🍸7