Kufunga Mikono katika sala

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @SalehLofy
    @SalehLofy 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nawapenda sana IBADH wanatahadhari sana katka mambo ya dini kuliko dhehebu lolote duniani kwa utafiti wangu

  • @SUZANASUZANA-ku3jk
    @SUZANASUZANA-ku3jk 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheh ubarikiwe

  • @SoudSanawari
    @SoudSanawari 5 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @أحمدبنسليمانآلعبدالسلام
    @أحمدبنسليمانآلعبدالسلام 7 หลายเดือนก่อน

    asnte mkuu
    upo nchi gani ww umepotea

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikhe kunyenyua mikono kuweka kifuani kuachia mikono sio faradhi wala sunna kwa hivyo hakukuwa na haja ya mtume kumfundisha aliekosea kuswali, kosa lake swala yake haikuwa na utulivu, lakini tunakushukuru kwa kutuelimisha

  • @seifseif24
    @seifseif24 7 หลายเดือนก่อน

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh
    Mashaallah lakin kunakitu sijakifahamu hapo ulisoma hadithi y mwanzo kuwa aliwekwa sawa swahaba kwenye kufunga kwake mikono uje wakushoto halafu juu yke wakulia aweke juu y kifua chake kimtazamo huyo swahaba kapewa elimu hapo au sio kuwa kufunga mikono ipo kwenye swala naam au sio
    La pili:
    Ulisoma hadithi kuwa mtu aliredeshwa n mtume kwenye swala yke kuwa hakuswali unavyo stahiki au sio hasa kama ww unaweza kuswali kama ulivyo Sema ivyo hadithi maana hapo sijasikia idhkari z rukuu wala sujuud wala tashahudi na ww je unaswali hivyo basi kitahidi kuzifatilia kiundani hadithi
    Jazakallahu kher

  • @aliali-gw5pq
    @aliali-gw5pq 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nataka nikukumbushe mtume alimtuma MUADH Yemen peke yake (AHAD) kwenda kufundisha tawhid swala na zakaat, nyinyi khawariji riwaya AHAD hamzikubali ktk mas'ala ya tawhid na swala vp apo?

    • @adamcity9441
      @adamcity9441 5 หลายเดือนก่อน

      Muadh alikuwa kiongozi wa msafara hakuwa peke yake.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 หลายเดือนก่อน

    We mpumbavu? unafundisha na unatafsiri hizo khadithi unavyotaka wewe na masheikh wako

    • @Ujumbewadini
      @Ujumbewadini  6 หลายเดือนก่อน

      Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari. (Qaaf:18)

    • @KhalifaSalim-s3f
      @KhalifaSalim-s3f 6 หลายเดือนก่อน

      Muislam anatakiwa kuwa na adabu wewe unamuita mpumbavu adabu huna wewe na adabu ni chombo cha kuweka elimu kama huna adabu kila siku utasoma na elimu yako haitokaa kwasababu chombo chako kinavuja