![Faidika na Mwanamke Muislamu](/img/default-banner.jpg)
- 301
- 60 284
Faidika na Mwanamke Muislamu
เข้าร่วมเมื่อ 15 มี.ค. 2022
Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
วีดีโอ
UMRI WA KICHINJWA MFANO WA NG'OMBE NI UPI?
มุมมอง 53หลายเดือนก่อน
UMRI WA KICHINJWA MFANO WA NG'OMBE NI UPI?
FUNGA YA ARAFA NI IBADA NA KISIMAMO CHA ARAFA NI IBADA NYENGINE.
มุมมอง 345หลายเดือนก่อน
FUNGA YA ARAFA NI IBADA NA KISIMAMO CHA ARAFA NI IBADA NYENGINE.
KAMA UNA UWEZO USIACHE SUNNA HII TUKUFU
มุมมอง 121หลายเดือนก่อน
KAMA UNA UWEZO USIACHE SUNNA HII TUKUFU
KUSITIRI UTUPU NI KATIKA SHARTI ZA KUSIHI TAWAFU.
มุมมอง 74หลายเดือนก่อน
KUSITIRI UTUPU NI KATIKA SHARTI ZA KUSIHI TAWAFU.
Siku ya Arafa ni Lini .Ust.Mbaraka Ahemed Awesi
มุมมอง 387หลายเดือนก่อน
Siku ya Arafa ni Lini .Ust.Mbaraka Ahemed Awesi
TOHARA NI KATIKA SHURUTI ZA KUSIHI TAWAFU.
มุมมอง 78หลายเดือนก่อน
TOHARA NI KATIKA SHURUTI ZA KUSIHI TAWAFU.
HAYA NI MUHIMU KUYAELEWA KWA AL-HAJJI.
มุมมอง 120หลายเดือนก่อน
HAYA NI MUHIMU KUYAELEWA KWA AL-HAJJI.
Hukumu ya Sala katika hali hii ni ipi?
มุมมอง 762 หลายเดือนก่อน
Hukumu ya Sala katika hali hii ni ipi?
Hukumu ya ndoa katika hali ya mume kuchelewa kulipa mahari.
มุมมอง 892 หลายเดือนก่อน
Hukumu ya ndoa katika hali ya mume kuchelewa kulipa mahari.
Je! Sheria Inamruhusu mume kutumia majina haya kwa mke wake?.
มุมมอง 842 หลายเดือนก่อน
Je! Sheria Inamruhusu mume kutumia majina haya kwa mke wake?.
Je sheria inamuwajibisha mume kutekeleza ahadi alo muahidi mke wake?
มุมมอง 952 หลายเดือนก่อน
Je sheria inamuwajibisha mume kutekeleza ahadi alo muahidi mke wake?
Yafahamu mambo muhimu kwa Mwanamke alie katika (EDA) ya kufiwa.
มุมมอง 692 หลายเดือนก่อน
Yafahamu mambo muhimu kwa Mwanamke alie katika (EDA) ya kufiwa.
Nini hukmu ya Uzazi wa mpango ? Sh.Shaabani Al-battashi.
มุมมอง 1452 หลายเดือนก่อน
Nini hukmu ya Uzazi wa mpango ? Sh.Shaabani Al-battashi.
ASITOLEWE KATIKA DINI WALA KUTUKANWA BALI ANASIHIWE.
มุมมอง 3482 หลายเดือนก่อน
ASITOLEWE KATIKA DINI WALA KUTUKANWA BALI ANASIHIWE.
MSAHAFU HUU HAUNA MAKOSA BALI UMEANDIKWA KWA VISOMO VYENGINE.
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
MSAHAFU HUU HAUNA MAKOSA BALI UMEANDIKWA KWA VISOMO VYENGINE.
KHUTBA YA IJUMAA [Sifa nne za walio okoka na khasara].
มุมมอง 1223 หลายเดือนก่อน
KHUTBA YA IJUMAA [Sifa nne za walio okoka na khasara].
Sasa kwa hio dawa ni halal na kama no halal naomba kujua hapa ni jinsi gani nitajua hii dawa itaruhusu maji yaingie kwa kichwa changu baada ya kueka
Naomba Dalili sheikh
Mashalaah
Walaykum msalam warahamatullah wabarakatuh shukran shrkhe kutujuza. Mungu akulipe
Na jee kama hakutoa kitu ila ulimfichia aibu ukasema alilipa ili ndoa ipite...jee hapo pana ndoa sheikh
shukran Allah atufanyie wepes
Mmh!kuna viraa hatukatai lakini hiyo hati iliyoandikiwa hiyo mas haf ni kati ya hati zipi katika hivo viraa? Muitazame vizuri hiyo mas haf, kosa ya hiyo mashaf imeandikwa kwa hati ya lahaja ya kimoroco na wala si kwa hati ya warsh. Niwaombe t na nyie mukarejee vizuri aina za viraa na khatwi zake halafu muje mutuelimishe tena.
Talaka Sio TAMKO - Talaka Haiwi Kwa TAMKO Sawa Ukitamtamkia Mara Moja au Mara Mia
Someniacheniujanjakwenyedinimsioyajuayaacheni
Dadahuyoakasomeasikurupukeasivamiemamboyawatudinisiyompiraasomemamboyaviraaelimusioujanja
Wekeni msahafu uliozoeleka
Kama alkua anafahamu auamepoteza fahamu
Maswahaba walisoma Quran iliyoandikwa kwa hatyi ya wapi? na kwa nini tusifuate hiyo?, mnatuchanganya na usomi wenu, maana ukijiuliza maswali mengi hauingii akilini
Tatizo elimu..mtu akielimika basi hawi na mshangao kama huu.
Shukran
Wew soma dini mbona misahafu hiyo ipo kibao nchi tofauti ,imeandikwa kwa kiraa cha Arshi.Tatizo tz tunasoma misahafu ya aina 1 tu
Ni bora iondolewe kuliko kuwepo
Bora waweke. Ilio zoeleka
@@hawakiza6067 kabisa maneno yako
Inayo makosa Kwa sababu misahafu yote ina juzuu 30 mbona huo una juzuu 60
Soma dini acha kukurupuka.Hamna kosa 60 ni hizb na wala si juzuu.Juzuu 1 ina hizbu 2.
Ikiwa unajuzuu sitini hebu twambie ni juzuu ipi na ipi imeongezeka na sura zipi zimeongezeka ndani ya hizo juzuu 30 nyengine??
@@mwanamkemuislamutv9369 tuwa ulize wao walio sema ina juzuu 60
Maalim hio lengo kubwa ni kizazi kijacho ili kianze kujikonfuse wenyewe kwa wenyewe ili lengo Lau la kuchafua lifanikiwe. Jiulize mbona lugha Yao haina vitu kama hivo?
Kukomfyuz vipi wakati hivyo visomo vipo tangu enzi za mtume saw
Kwani kuna kizazi hawaruhusiwi kusoma ?
Shukuran
Shukran sheh ubarikiwe
Masha allah
Masha Allah Allah akuhifadhi
th-cam.com/users/shorts4ernUyYydaY?si=BupQ_9Z3WrkhYjRt
Mm nataka nikukumbushe mtume alimtuma MUADH Yemen peke yake (AHAD) kwenda kufundisha tawhid swala na zakaat, nyinyi khawariji riwaya AHAD hamzikubali ktk mas'ala ya tawhid na swala vp apo?
Muadh alikuwa kiongozi wa msafara hakuwa peke yake.
Shukrani kwa ilim
Shk nimekufam natuko pamoja
We mpumbavu? unafundisha na unatafsiri hizo khadithi unavyotaka wewe na masheikh wako
Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari. (Qaaf:18)
Muislam anatakiwa kuwa na adabu wewe unamuita mpumbavu adabu huna wewe na adabu ni chombo cha kuweka elimu kama huna adabu kila siku utasoma na elimu yako haitokaa kwasababu chombo chako kinavuja
Mashallah Allah akulipe kheri
Takbir
Allahu akbar
Shukran nmeelew
Maashaallah shekhe pokea zawadi yako🌹
MASHALLAH Shkuran MUNGU hakujalia khre n ss tujifize zaid INSHAALLAH 🤲🤲
Asante sana allaha akupe wepesi wakutufunza zaidi inshallah
Shukran sana allah akujalie kwa mafundisho haya
JAZAKALLAH KHARYAN
asnte mkuu upo nchi gani ww umepotea
Mashaallah ya shekhe
Sheikhe kunyenyua mikono kuweka kifuani kuachia mikono sio faradhi wala sunna kwa hivyo hakukuwa na haja ya mtume kumfundisha aliekosea kuswali, kosa lake swala yake haikuwa na utulivu, lakini tunakushukuru kwa kutuelimisha
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Mashaallah lakin kunakitu sijakifahamu hapo ulisoma hadithi y mwanzo kuwa aliwekwa sawa swahaba kwenye kufunga kwake mikono uje wakushoto halafu juu yke wakulia aweke juu y kifua chake kimtazamo huyo swahaba kapewa elimu hapo au sio kuwa kufunga mikono ipo kwenye swala naam au sio La pili: Ulisoma hadithi kuwa mtu aliredeshwa n mtume kwenye swala yke kuwa hakuswali unavyo stahiki au sio hasa kama ww unaweza kuswali kama ulivyo Sema ivyo hadithi maana hapo sijasikia idhkari z rukuu wala sujuud wala tashahudi na ww je unaswali hivyo basi kitahidi kuzifatilia kiundani hadithi Jazakallahu kher
Kama huna talaka mbili bila ya sababu
aslm alykm,nami pia nimeskia wingi wake ni siku 60 uchache wake ni siku 40 na ndo nnnavyo fanya je nilifanya makosa tunaomba utufafanulie shekhe hapo
Assallam Alaykum Shekh,Samahani mbona mm nimesikia mwisho wake ni siku 60 baada ya hapo hiyo ni damu itakuwa ni damu ya ugonjwa ss hapo kama sijaelewa naomba unieleweshe
Ipo kauli ya baadhi ya madhehebu kama madhehebu ya shafi na maalik wanasema mwisho wake ni siku sitini, ila wingi wa wanachuoni wa shafi wanasema ni arbaini, na hii kauli ya 40 ni ya ibadhi na madhehebu ya hanafiya na hanaabila. Kwa hiyo kauli zote zipo utaangalia fiqhi ya madhebu yako unaweza ukafuata. Allah ndio mjuzi zaidi.
Ma Sha Allah akuzidishie Allah elimu yenye manufaa kwa uma wa kiislamu.
Talaka 3 za pamoja kuna medheikhe wengi na wanavyuoni wengi hawakubaliani nalo na katika wasiokubaliana na talaka 3 kuwa ni 3 ,mmoja wapo ni sheikhe Nurdeen kishki nae ana mchango mkubwa juu ya kadhia hii,kama masheikhe mulitakiwa mutowe ilimu kwa wana ndoa waache mchezo huu huu aliozungumza Saiydina Omar wa kuacha talaka 3 kwa pamoja na sio kwenda kinyume na sunna ya mtume maana talaka tatu zimeanza wakati wa saydina Omar Tufuate Quraan na sunna Talaka anazozitambua M,mungu ni Talaka 3 rejeea moja baada ya nyengine na ndio utazikuta ndani ya Quraan tuguate sunna
Sheikh nurdeen kishki yeye sio mwanachuoni Bali yeye ni mlinganiaji na kama ipoo hiyoo kauli ulioisema wewe basi kauli hiyoo Haina nguvu ,Kwa sababu mtume s.a.w amesema mambo matatu ukweli wake huwa ni ukweli na uwongo wake hua ni ukweli akataka talaka ,ndoa na kumrejea mwanamke ,kwahiyoo unaposema umemuacha MKE talaka tatu basi hpo hakuna uwongo ndani yake mazali umetamka mwenyewe Kwa ulimi wako ,
Yaorrou
Hakuna kukubaliana kitu ambacho mtume hakufanya,talaka tatu kwa pamoja ndani ya Quraan hakuna wala hadithi ya mtume pia hakuna,talaka tatu ni rai ya saydina Omar baada ya kuonq watu wanachezea talaka,lakini enzi ya mtume hakukua na talaka 3 wala wakati wa saydina Abuubakar sasa tuache sunna ya mtume tuchukuwe fikra za Saydina Omar masheikhe kuweni wakweli jee ndani ya Quraani ni sura gani aya gani imetaja talaka 3 au hadith ya mtume hata dhaifu ndoa ni ibada ndoa imeingia katika hukmu za dini mtume ameondoka dini imekamilika,,sass wstuambia juhudi na maarifa ya wanavyuoni,mwanachuoni mkubwa ni mtume,Kisa kifupi,kuna swahaba jina nimelisahau alimuacha mke wake talaka 3 baadae huyu swahaba akaenda kwa mtume huku akilalamika akimwambia nimemuacha mke wangu talaka 3 mtume wala hajamuuliza maswali mengi,bali alimwambia jee bado unampenda,akamwambia ikiwa bado unampenda unaweza kumrejeea na akamwamnia hata ingekuwa ni talaka 100 ingehesabika moja,
Maashallah
Nawapenda sana IBADH wanatahadhari sana katka mambo ya dini kuliko dhehebu lolote duniani kwa utafiti wangu
Mashaallah... barakallah fiykum shekh na ostadh wngu shaaban albatwashy