Hofu ya Mabadiliko | Fear of Change | Rev. Dr. Eliona Kimaro
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
- IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING)* 08/ 07/ 2024
SEMINA YA NENO LA MUNGU
UJUMBE WA LEO:"HOFU YA MABADILIKO"
(FEAR OF CHANGE)
NENO KUU:
"UTABARIKIWA UINGIAPO, UTABARIKIWA NA UTOKAPO"
Kumbukumbu la
Torati 28 : 6
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
WHAT IS METATHESIOPHOBIA
METATHESIOPHOBIA is the Fear of Change, which may be rooted in a human desire to keep life in a comfortable and consistent place.
METATHESIOPHOBIA:
Ni HOFU YA MABADILIKO, ambayo inaweza kuwa na Mizizi ktk KIU & HITAJI kubwa la binadamu la kuweka maisha mahali pa utulivu na kupumzika kwa uthabiti wa Daima.
"MAHALI PEMA PEPONI"
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Hapa Baba Umetisha upo kwenye idara yangu niliisoma na ni Daktari mmoja Matata Sana Mungu wetu wa mbinguni akutunze mmmmmh aiseeeeeeed✍️✍️✍️🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Mimi nilikubali mabadiliko sasa hivi ninamaisha mengine kabisa
Habar, nime penda kujua ilikuwaje kwa upande wako, m nipo njia panda nataka nibadlike kbs, mbali na nyumbn
Wow this is fantastic sermon, May God bless you pastor!
Nitabarikiwa ningiapo na nitabarikiwa nitokapo Amen be blessed servant of God
Amen
Mungu akubariki sana. Roho wa Mungu akutunze kwa jinsi anavyokutumia.
Mungu anatupenda 🙏❤️
Nimebarikiwa mtumishi sanaaa Mungu akuweke
😊😊😊😊😊
Amina.ubarikiwe.sana
Very nice teaching.
Asante mtumishi, nimebarikiwa
Amina.asante.sana
Godbles you
Ubarikiwe
✍️✍️✍️✍️🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏👏👏👏oooh my God oooh my Lord thenk U Lord thenk U Lord......
Ameen
Amina
Amen Amen
Amen 🙏
Ni kweli.❤
Nitawezaje kuwa pamoja nanyi kwenye smartphone ama television
Metathesiophobia,
Amen
Amen
Amen