ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
🔴 LIVE:KUKABILI VITISHO VYA ADUI-PR.DAVID MMBAGA
ความคิดเห็น • 74
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
Don't Die Before Your Time: Apostle Joshua Selman's Guide To Believers About Spiritual WarfareOVERCOMING DAILY
มุมมอง 477K
WAKATI UMECHOKA KUENDELEA NA SAFARI || PR DAVID MMBAGAMAHUBIRI TV
มุมมอง 28K
เรอัล มาดริด 2-0 อตาลันต้า | ไฮไลต์ ยูฟ่า ซูเปอร์คัพ 2024 UEFA Super Cup 2024beIN SPORTS Thailand
มุมมอง 425K
ระทึก! ตำรวจตรวจสอบกระเป๋าปริศนาถูกทิ้งหน้าห้างป๊อปพิฆาตชายฝั่ง
มุมมอง 103K
#ด่วน จีนช็อค!ไทยฟ้าลิขิต, จตุภูมิ ชินวงศ์ เตรียมแซงคว้าทองโอลิมปิก2016,ส้มหล่นรวยเละจ่อรับ10ล้านบาทบิ๊กแชมป์ F.C.
มุมมอง 902K
สด หลังศาลรัฐธรรมนูญ วินิจฉัย 'เศรษฐา' หลุดนายกฯ | TODAY LIVETODAY - สำนักข่าวทูเดย์
มุมมอง 155K
NITAJUAJE NIMESAMEHEWA DHAMBI? - PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)MAHUBIRI TV
มุมมอง 14K
SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBENY TV
มุมมอง 68K
KAZI AU MKE ? | Pr. Peter JohnHope Channel Tanzania
มุมมอง 23K
𝘶𝘴𝘪𝘮𝘸𝘢𝘮𝘣𝘪𝘦 𝘮𝘵𝘶 𝘬𝘪𝘭𝘢𝘬𝘪𝘵𝘶 𝘯𝘢 𝘱𝘢𝘴𝘵𝘰𝘳 𝔻𝔸𝕍𝕀𝔻 𝕄𝔹𝔸𝔾𝔸JOJUCHO TV
มุมมอง 25K
🔴#LIVE! MITIHANI MITATU ILI KUFIKIA MAFANIKIO YAKO II Mch. David A. MmbagaDodoma Central SDA online TV
มุมมอง 56K
ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESAMAHUBIRI TV
มุมมอง 40K
JINSI YA KUTAMBUA SAUTI YA MUNGU NA KUIFATA.Pastor George Mukabwa (JRC Church)
มุมมอง 206K
NGUVU YA NAFSI|UKOMBOZI NA MAMLAKA YA KUZISHINDA|Mch Amiel KatekellaPROMOVER TV
มุมมอง 20K
AGANO LA DAMU (ANGALIA HADI MWISHO UTAONA MAISHA YAKO YATAKAVYO BADILIKA)MAHUBIRI TV
มุมมอง 32K
โกงการแข่งชิงแชมป์โลก #shorts #freefireZz Man
มุมมอง 317K
วาสนาผู้ใดหนอ..!? - skibidi toilet 77 (part1)GUYWALKER
มุมมอง 257K
มาแรง!! บุษบา + สาบานได้เลย + อัปสราหลงฟ้า | เจน เจ้าค่ะ & ออย ราเชน - แซด | ตลาดไท วังน้อยThiLordHae I ไทรถแห่
มุมมอง 47K
สุดดยอดการ์ตูนช่อง 9 ที่พลาดไม่ได้ของ ชาโม่คุงOnline Station
มุมมอง 141K
The Joker won't let Harley Quinn put on proper makeup!#joker #shortsUntitled Joker
มุมมอง 1.9M
Mungu wa mbinguni akulinde pr Mbaga wewe na familia yenu maana. Kuna saa kunavitu unaviongea mpaka nawaza nasema Mungu akutangulie sana. Maana wafuasi wa ibirisi ni wengi
Amen San mtumishi mungu akubariki sana
Amen mungu akubariki pastor wewe Na familia yako hakika mafundisho haya Ni yamenidishia Kua Na imani kubwa kiroho
Hellow kwa majina ni Simon naoba kukubukwa kwa maobi nafanya vipidi za hekima ya mungu ya kuimarisha jamii ira shetani anatamani kuniangusha Kira siku mnikubuke Sana na mungu abariki mahubiri TV Sana na David mbaga kwa kujitorea Sana kufikisha hekima kwa jamii pia
Mungu akubariki Pr.,hakika haya mafundisho yako yamenifanya niendelee kuwa na ujasiri katika maisha yangu ya kiroho.
Aimen 🙏🙏somo hili limenitia ujasir sana MUNGU akubariki sana mchungaji
Mungu alibariki mtumishi wa Mungu
Barikiwa saaaaaaaana, maneno yanayo tutia moyo na kutuimarisha katika safari hii kwenda Sayuni
Great message. May GOD continue using you mightly in this wonderful work you're doing. I've been blessed greatly. Be blessed too Pastor Mmbaga plus your family, 🙏🙏🙌.
Napenda mafundisho yako Mungu akubariki sana
Mchungaji kama ikikupendeza naomba uniombee kwa Mungu wa majeshi yote niwe na MOYO mkunjufu usio na mawaa mbele za MUUMBA a😭😭🙏🙏
Mwalimu wangu mungu azidi kukuongoza
Jamani mtumishi tunakuombea piga kazi ulimwengu uje kwa yesu
Amen hili somo limebadilisha maisha yangu I am strong🙏❤
Bwana kubariki pia nwe pastor akupe afya njema
Chochote unachokiamini kitakujia
Hofu inàleta màbaya
Lugha ya heshima
Everything you do go with Gods Angels.
I come in the name of God king of kings.
Kwa jina ya Bwàna wà màjeshi.
Have Faith,
Usijaze negative,kila hatua unajipa moyo.
Negative inavuta negative.
You become by saying it.Chunga inàchojineneà.
I am strong.
Amen mchungaji kila mtu ako n mfalme Ashura Mungu atupiganie tuweze kuwashinda💪💪🙏🙏🙏
amen
Thanks for encouraging msg from heaven I will not be afraid for the lord is with me
Na wewe pia Mungu akubariki, Pr. Mbanga.
Amen nimebarikiwa na mahubiri, mungu akubariki
Ameen nmebarikwa n mahubir hya Mungu azidi kukubariki🎉
Asante sana kwa ibada
Dont cmplain, encourage urself in the Lord,jifinze kuwà mbabe,be strong ,Ist pray in any distress or fear,Katika hili nifanye nini,nenda nyuma yangu shetani,
Haijalishi vitisho ni ngapi,usiogope lolote sikiliza.
Mungu aliye hai, Isaiah 37.
Sometimes dnt wait on sabbath in the church,go in the church during tests,Sio wewe unayeshambuliwà ni Mungu
Mungu wamekutukanà,ñipe àda ada kwa ajili ya utukufu wako.
Masomo yako ni kwa ajili ya utukufu wàko wewe,ukianguka ambia Mungu naanguka kwa àjili yàko tetea hoja,afya yangu kwa ajili yako wewe.
Mbali na mahubiri mazuri sana pia naomba umpatie mrs D mbaga hongera kwa kutunza Mtumishi wa Mungu
👊✌️🙏
Kweli kabisa, Mungu nisaidiye. Niondowe woga.Mungu azidi kukutumiya ili tuelewe.
Amen pastor, mamba maombi yako nashindwa kusoma na nasumbuliwa na nguvu za Giza
Ubarikiwe, na Bwana akupiganie siku zote mchungaji Mmbaga
Amina sana Pr wangu. Mungu akutumze sana
God bless you pastor.
Amina
Ameeen I am Strong in Jesus name,thank You Pastor be blessed
Amen! Mungu aendelee kukutumia. Umetubariki kwa kweli.
Kiukweli umenigusa bwana akubarik
Aminaa Mungu akubariki
Ubarikiwe sana Pastor Mbaga
Kunakijana mmoja anataman sana kukutana na ww maana halisiklz mahubil yako na yakamuongoa sasa kila tukikutana kanisan anataman sana kupata namba yako ya simu pia kuonan na ww anataman sana Mchungaj
Jesus do something in my life. Be blassed pr mbaga
Amin
Ubarikiwe pasita
Amen
Mungu akubariki
Amina sana mchungaji
Nisaidie mtu WA Mungu
Hao waimbaji wafundishwe jinsi ya kutumia vipaza sauti. Kuingiza ndani ya mdomo haikubaliwi, hasa yule kaka pale nyuma.
Tukumbuke kwenye maombi tuko pamoja kutoka 🇧🇭
Pastor plz ombi langu ni hili,changamoto kwa biashara yangu na linguine magonjwa ya kimapepo
11:30 wale tulio wahi kuishi Moshi police line watoto wa pale tulikuwa tunavuka makaburi ya mashujaa jioni (japo mchana tulipita tukiwinda ndege) kurudi jioni ilikua tunakimbia sana tukidhani kuna mtu nyuma ukivuka unaangalia nyuma na hakuna mtu 😅.
Hata wewe unatisha watu
Mchungaji Mungu akubariki na azidi kukupa afya maana mafundisho yako yanazidi kutubadirisha ila pasta naomba usome comment yangu kunadada yupo hapo tz anaitwa carene anaangaika hadi sasa ashapita opération 21 lkn akunamabadiliko naomba Ukamfanyie maombi Mungu na ajonekane kwake injili iliwafikie wengine kupitia dada uyo maana inaonekana ni mwisilam lkn anaitaji kupona Mungu akafanye z mapenzi yake asante maana anavyo teseka inatia huzuni
Amen
Pastor nachukia kukuta mahubiri yako, hayana down load, nyie wengine tunapenda kuishi navyo
Pastor nachukia kukuta mahubiri yako, hayana down load, nyie wengine tunapenda kuishi navyo
Pastor nachukia kukuta mahubiri yako, hayana down load, nyie wengine tunapenda kuishi navyo
Pastor nachukia kukuta mahubiri yako, hayana down load, nyie wengine tunapenda kuishi navyo
MUNGU azid kukupatia uhai umtumikie zaid..MUNGU atusaidie tusiwaangalie ma Ashuru Bali tumwangalie yeye tu.
Emeni nafuatlia sana mafundixo
Mungu alibariki mtumishi wa Mungu
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina
Amen