Ni kweli hata mimi nimependa mafundisho yake yako in deep sana ,mteule yeyote akimsikiliza lazima apate kitu cha tofauti,ambacho kitamsaidia kwenda mbele zaidi katika maisha ya kiroho,na katika kujenga ufalme wa mungu aliyehai ,inthe name fo jesus amen
Asante sana Mungu kwa kulituma neno lako kupitia kwa mtumishi wako kwa hakika limeniponya Mungu wangu asante maombi yangu kwa pastor george Mungu azidi kukuongezea neema zaidi
Mimi siyo muumini wa hili kanisa lakini kama nisingestuka na kuanza kufatilia mahubiri na mafundisho ya huyu Mtumishi wa MUNGU shetani angenidhalilisha sana. kiufupi shetani na mama mukwe wake wanalia. Asante sana MUNGU kwa kunipatia baba mzuri wa Kiroho. Shetani umekaria misumari.😮 Nimeokoka Nimeokoaaa. Nimeokoka
Bwana yesu asifiwe sana tunabarikiwa sana na mafundisho yako umande wa mbingu uwe juu yako na manono ya nchi nayo yawe juu yako na uzao wako ukabarikiwe na mavuno ya ardhi viwe juu yako pia
Am passing hard time 8 years in marriage without a child, nimejaribu kufatilia mafundisho yako na kuyaeka kwa action sija fanikiwa but I still keep my faith to God the creator of heaven and earth,naami ni Mungu asiyekuwa na mpinzani
Mungu akubariki sana na kukupa umande wa mbingu na manono ya nchi viwe juu yako na mavuno ya ardhi viwe juu yako na uzao wako ukabarikiwe sana mtumishi wa Mungu umekuwa baraka mno kwa ulimwengu wote wanaokufuatilia
Nimejua neno la mungu kwa undani kupitia mtymish wa mungu 👏long live the man of God 🙏
Pastor wewe ni wa pekee sana ktk kufundisha unaeleweka sana napokea mafundisho Yako nikiwa hapa Dar Mungu azidi kukufunulia Siri za kimbingu
Ubarikiwe Baba yangu wakiroho tunakupenda sana
Happy mother's day to me and all mothers Long life full of God's grace and favor 🙏🙏🙏.
Listen from Kenya 🇰🇪 na pst amekuwa mbaraka sana kwangu nmejuwa neno la mungu zaidi
Ni kweli hata mimi nimependa mafundisho yake yako in deep sana ,mteule yeyote akimsikiliza lazima apate kitu cha tofauti,ambacho kitamsaidia kwenda mbele zaidi katika maisha ya kiroho,na katika kujenga ufalme wa mungu aliyehai ,inthe name fo jesus amen
Mungu asifiwe arie kuiita na akutuma Uwe mwalimu. nimejengwa sana na mafundisho Yako Siku zote nikikufuata Pastor
Amen 🙏🙏🙏,nimefuatilia mafundisho Yako mtandaoni,nimebarikiwa sana, Asante,nko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Happy mothers day to all beautiful mum's outside there may God grant you the wishes of your hearts
Asante sana Mungu kwa kulituma neno lako kupitia kwa mtumishi wako kwa hakika limeniponya Mungu wangu asante maombi yangu kwa pastor george Mungu azidi kukuongezea neema zaidi
Mimi siyo muumini wa hili kanisa lakini kama nisingestuka na kuanza kufatilia mahubiri na mafundisho ya huyu Mtumishi wa MUNGU shetani angenidhalilisha sana. kiufupi shetani na mama mukwe wake wanalia. Asante sana MUNGU kwa kunipatia baba mzuri wa Kiroho. Shetani umekaria misumari.😮
Nimeokoka Nimeokoaaa.
Nimeokoka
Bwana yesu asifiwe sana tunabarikiwa sana na mafundisho yako umande wa mbingu uwe juu yako na manono ya nchi nayo yawe juu yako na uzao wako ukabarikiwe na mavuno ya ardhi viwe juu yako pia
Nimeanza kufatilia haya mahubiri Kuna kitu nimekipata hakika Kuna mungu kwa huyu pastor
Am passing hard time 8 years in marriage without a child, nimejaribu kufatilia mafundisho yako na kuyaeka kwa action sija fanikiwa but I still keep my faith to God the creator of heaven and earth,naami ni Mungu asiyekuwa na mpinzani
Utapata dia usife Moyo, Luke 1: 37
Amen Mungu asikie kilio chako
Eccle 3vs 11 God made everything beautiful in its time... keep going never give up
Kutoka 23:25-26
Wafilipi 4:6,7
Happy mother's day to all I'm proud to be called a mother in Jesus Name Amen 🙏🙏🙏
Amina mchungaji napokea uponyaji kwenye family yangu
Barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri kweli 🙏🙏🙏🙏🙌❤️ ❤️
Asante Mungu kwa siri hii ya maneno yako kupitia mtumishi wako asante libarikiwe jina laYesu ninaamini hali yangu imebadirika na kufanikiwa sanasana
Powerful teachings, God bless you🙌👏👏👏🙏🙏
Asanteee sanaaa mtumishi umenifanya kuniamsha kiloho adi mwili
Amina baba ubalikiwe sana
Happy mothers day to me and all mothers. Si rahisi kuwa mama.
Jamani mbona huku niliko mothers day bado au huwa zinapishana
Mungu akubariki sana na kukupa umande wa mbingu na manono ya nchi viwe juu yako na mavuno ya ardhi viwe juu yako na uzao wako ukabarikiwe sana mtumishi wa Mungu umekuwa baraka mno kwa ulimwengu wote wanaokufuatilia
Ahsante Mungu kwakunipa nafasi ya kusikiliza mafundisho yko hakika Mungu amenibadilisha kupitia mafundisho yk Mungu azidi kuku tunza baba
Amen mtumishi w mungu azidi kukupaka mafuta unanibariki sana na haya mahubiri 🙏 🙏 🙏
Asante kwa mafundisho mazuri yakunijenga nikweri nilikuwa natengemeya kuomba musanda kwawanandamu na tangia nivoaza kufatiliya mafundisho nawona yananijenga kumutazama mungu asante mungu akubariki mutumishi wamungu naitaji zaidi maombi isiyubishe kwahali niliyonayo nizindi kumug' ag' niya mungu amen
U olways have a word for me . blessings
Ahsante paster
Amen 🙏 nabii wa Bwana
Mungu ni mwaminifu akubariki mchungaji na huduma yako ikue kwa kiwango cha lami.Toka nime anza kufatilia haya mahubiri yako sija baki kama nilivyo.
Asante Mungu unaeishi
nimependa Sana mahubiri na mafundisho haya,Mungu akubariki mtumishi
Samahani nilikuwa naomba sana kuongea na pastor George please 🙏
Mtumishi ninakushukuru kwa mafundisho yako.
Naomba upako.wa.kupokea eneo la familia pale mlandizi
Napokea uponyaji,ndoa upenyo utiisho kwa.ji a Yesu.
It was so powerful and interesting sermon be blessed pastor
Happy mothers day to me ❤
Asante muchungaji nabarikiwa nikiwa Nairobi kabete
Be blessed pastor from Kenya
Amen 🙏🙏🙏
Amen happy mother's day ❤❤❤
Asante
ubarikiwa to sana mafudisho yako ni ya ukweli na mungu akuonekaniya
Amina ,Amina ,amen;;;;
Amen amen 🙏 🙏🙏
Amen and Amen
Niliposikiliza mafundisho yako yahusuyo maombi ya usiku wa manane na kuyafanya, ndipo nilijua aina ya mgeni niliyekuwa naishi naye ndani
Amina
Shalom wapendwa Bwana awabariki mbona huyu binti haongozi ibada ss hivi sauti yake ni nzuri sana inaupako
Pray with me am.oses but hawa wengine ni bure tu
🙏
Nimeteseka na uchumi kwa miaka 11 sasa
Nina deni la m16 biashara zote zimekufa na imani yangu inatindika naomba mnisaidie tuombe pamoja
Mungu ninayemuamini akufanyie mlango wa kutoka ukapate ushuhuda kwa jina la YESU ameen
@@devotamwandete
Amen dear niombeeni tu Nina Hali ngumu sana
MUNGU ATUJALIE TUMAINI JEMA WANAWAKE WOTE TUNAOPITIA MAGUMU. HAKIKA SIKU MOJA TUTAFURAHI PAMOJA NA TUTA MSIFU MUNGU KWA PAMOJA.
nipo moshi ni muumini wako mkubwa na ibada zako zinanibariki na kunifungua sana
Naombeni anayeuza kiwanja DAR ES SALAAM kwambei nafuu kabisa
Natafuta Wadada wenzangu kutoka huku kanisani ambao tunatakaa kubadili majira na nyakati tuombe pamoja sina watu wa kuomba nao kabisa
Please kindly reply here tuanzishe jeshi 😊
11:14 11:16 11:17
Amen 🙏
Amen
Niliposikiliza mafundisho yako yahusuyo maombi ya usiku wa manane na kuyafanya, ndipo nilijua aina ya mgeni niliyekuwa naishi naye ndani
Amen 🙏🏾