Allaah amuongoze huyu kijana , haelewi anachokiongea , kuna kifaa gani kinachtumika katika halali sasa hivi acha kuchanganya haki na batili, hakuna mja mwema yoyote aliyepiga ala za mziki.
Mashallah Sidi.Tunashukuru sana kuweka Mafhumu haya kwetu kwani jamaa wa Ki-Makhawariji hutusumbua sana.Mola akuzidishie Ilm na UchaMungu na akupe himmah utupe Ilm kila siku Amiyn Amiyn Amiyn
Na msikize alhaytami asemaje..حكى الإمام البيهقي عن شيخه الإمام الحليمي -ولم يخالفه- أنَّا إذ أبحنا الدف فإنما نبيحه للنساء خاصة. أ.هـ. وعبارة منهاجه: وضرب الدف لا يحل إلا للنساء لأنه في الأصل من أعمالهن وقد لعن رسول الله صلى الله عليه وسلم المتشبهين من الرجال بالنساء) (كف الرعاع للهيتمي)
Wacha urongo sheikh mbarak..hakna aliesema haifai matwari siku ya harusi..wameambiwa wanaume ndio wasipige matwari..wacha tahriif na tadliis zako..sikiza ibn rajab asemaje..الحافظ ابن رجب في فتح الباري (6/82) : (ولهذا كان جمهور العلماء على أن الضرب بالدف للغناء لا يباح فعله للرجال؛ فإنه من التشبه بالنساء، وهو ممنوع منه، هذا قول الأوزاعي وأحمد، وكذا ذكر الحليمي وغيره من الشافعية ... فأما الغناء بغير ضرب دف، فإن كان على وجه الحداء والنصب فهو جائز. وقد رويت الرخصة فيه عن كثير من الصحابة)
Hakuna m2 amekataa kuwa zafa ya harusii yafaa..kwa hvo istidlaal na aya ya jum3aa..hakna aliekataa.waleta usuul nyingi kharij mawdhi3 khilaaf.hii ni dalili dhidhi yako wala c ya kwako..kwa sababu limekubaliwa wakati wa harusi kwa ijmaa3.kwa hvo wasema mambo hujielewi.
Vifaa vya nyimbo ni haramu na kwenye madhehebu ya shafii ambayo munadai kuifta..mtu akiharibu vifaa vinavyotumika katika kujipumbaza basi hatadhamini na hatamlipa..
ما زالت الامة الإسلامية تحتاج العلماء من أمثالكم
جزيت خيرا يا شيخنا
Sheikh unapoteza....umma bwana muogope allah
Allah akuongoze
Mashaallah
Allaah amuongoze huyu kijana , haelewi anachokiongea , kuna kifaa gani kinachtumika katika halali sasa hivi acha kuchanganya haki na batili, hakuna mja mwema yoyote aliyepiga ala za mziki.
Waeleweshe tupeleke dini mbele
Very Informative Video Indeed
yaallaah
Heee nimepata mapya leo kweli dini pana sana
Duuuuuh mziki unachukua hukumu zote tano inamaana upo uwezekano ukaskiliza mziki ukapata thawabu
shukran sheikh kwa mawaidha.twapenda sana mawaidha yako
Mashallah Sidi.Tunashukuru sana kuweka Mafhumu haya kwetu kwani jamaa wa Ki-Makhawariji hutusumbua sana.Mola akuzidishie Ilm na UchaMungu na akupe himmah utupe Ilm kila siku Amiyn Amiyn Amiyn
Mashallah!!! Barakallah!!!\
Shukran sana shekh mubaarak ttzo ni kwamba hao khawaarij hawahtaj taawiil wanataka misemo ije waz waz na huo ndio upofu walio nao
mashaAllllaaah
alfaqeer
sheikh mbarak..dalili za kuharamisha ngoma haziitwi shubha bali ni addilla..kwa sababu ni wanazuoni wa madhehebu ya wanazuoni wengi.
Na msikize alhaytami asemaje..حكى الإمام البيهقي عن شيخه الإمام الحليمي -ولم يخالفه- أنَّا إذ أبحنا الدف فإنما نبيحه للنساء خاصة. أ.هـ. وعبارة منهاجه: وضرب الدف لا يحل إلا للنساء لأنه في الأصل من أعمالهن وقد لعن رسول الله صلى الله عليه وسلم المتشبهين من الرجال بالنساء) (كف الرعاع للهيتمي)
Wacha urongo sheikh mbarak..hakna aliesema haifai matwari siku ya harusi..wameambiwa wanaume ndio wasipige matwari..wacha tahriif na tadliis zako..sikiza ibn rajab asemaje..الحافظ ابن رجب في فتح الباري (6/82) : (ولهذا كان جمهور العلماء على أن الضرب بالدف للغناء لا يباح فعله للرجال؛ فإنه من التشبه بالنساء، وهو ممنوع منه، هذا قول الأوزاعي وأحمد، وكذا ذكر الحليمي وغيره من الشافعية ... فأما الغناء بغير ضرب دف، فإن كان على وجه الحداء والنصب فهو جائز. وقد رويت الرخصة فيه عن كثير من الصحابة)
Hakuna m2 amekataa kuwa zafa ya harusii yafaa..kwa hvo istidlaal na aya ya jum3aa..hakna aliekataa.waleta usuul nyingi kharij mawdhi3 khilaaf.hii ni dalili dhidhi yako wala c ya kwako..kwa sababu limekubaliwa wakati wa harusi kwa ijmaa3.kwa hvo wasema mambo hujielewi.
Na nikuulize nyinyi,,tangu lini mwachukua qawl za ibn hazm anayekataa qiyaas???hehheee
Vifaa vya nyimbo ni haramu na kwenye madhehebu ya shafii ambayo munadai kuifta..mtu akiharibu vifaa vinavyotumika katika kujipumbaza basi hatadhamini na hatamlipa..
Hadith - Bukhari 7:494, soma hiyo
Hiyo hadith amesema watu watahalalisha..(لَيَكُونَنَّ مِنْ أُمَّتِي أَقْوَامٌ يَسْتَحِلُّونَ الحِرَ والحريرَ والخَمْرَ والمَعَازِفَ))jee kma ni halali kwann m2me s.a.w alisema watahalalisha kma si haramu???
mtume hakumwambia c vifaa vya shetani..alimwambia yakubaliwa idi
hio ni khilaf ya dhahir na taawil isio sawa..imeekwa istihlal pamoja na zinaa na hariri ikimaanisha ni hukmu moja
Waeleweshe tupeleke dini mbele