Angemnunulia kiwanja hiyo hela ya iphone maana mil 3 unapata kiwanja cha bei rahisi ingekuwa ni asset nzuri kwake na future uko mbeleni ila simu angempa ya samsung kawaida
Hongera nandy kwakumjali dada kwamazawad ya Bei gal,kwa ujinga wangu nawaza ingekuwa Mimi ni ndohuyo dada wako ningekuomba uairishe hiyo iPhone yamamilion uninunulie kiwanja angalau kila mwaka ajenge hata chumba kimoja chakawaida aweke mpangaji ili ata akija kuwa namaisha yake awe nachakujivunia,hayo ma iPhone yanaharibikaga,yanapotea,yanapitwana wakati Ila ardhi huongezeka thamani kila kukicha
Ubarikiwe sana nandy kwakutambua kuwa dada apo nimuhim sana kwako hadi roho wa Mungu akakuingia nakumuongeza uyo dada mshahara. Ubarikiwe sana.much love you ❤❤❤❤❤
Jamani mbona mimi sipati hizo kazi kwa watu wanaojua umuhim wa mdada wa kazi? Nakulelea wanao mpk ufurah nilikaa kwa Aziza ally na mdada nilikuwa na miaka 18 nilikaa na wanae miaka 13 nimeondoka watoto wamekuwa wapo secondary sasa alinifanya nitoke bibi mama wa boss wng alikuwa na gubu mno mno nikashindwa kuvumilia now nataka kwingine hata nje ya nchi mm sawa tu nipo taar napenda kujitafutia sana sana
Yatokea hata mm niko kwa mwarabu nnalea watoto 5 na wote wakianza kuongea waita jina langu na wanipenda hata kuliko mama hata hawajui km kuna mtu km huyo mpk wakue
Mim sijui Watu wengine Kwa Nini hawana shukran Mimi nafanya kazi na nalea mtoto ana miaka 9 nmemlea tangu ana miaka 6 mpaka Sasa mwezi wa kumi anafikisha miaka 10 lkn bosi wangu hata hathamini nachofanya Yani ata mshahara kakataa kuniongezea kwanza ana dharau ananambia unakula bure unalala wenzio wanalipwa ata elfu 60 Sasa guy kwanza mtoto hakai na mamake mzazi anakaa na mamake wa kambo lkn Hana ata abari mtoto ale asile Hana bari Mimi ndo nahakikisha kala nampeleka Shule namfata nmpeleke saloon Yani Kila kitu mpaka event za shule naenda Kama mzazi Kwa sbb babak ni mtu wa masafar hapa yenyew yuko Ivory coast Sasa uyu mtoto asijikwae juzi tumbo lilkua lamuuma nilitukanwa naambiwa ulitaka kufanyaje eh nkampeleka hospital doctor akasema Hana shida ni inatokeaga mvurugo wa tumbo we guy miaka minne saiv lkn naambiwa Ivo siku ikitokea bahat mbaya SI ntapelekwa jela namsubr mamake wa kambo namuacha mtu amekataa kuniongezea Hela na ni ye aliniahid mwanamke wake kasema basi atatoa Hela yake aniongezee bdo kakataa ni mtu uyo adi mwanamke alitaka kunisomesha ada yake mwenyew mwanaume kakataa SI mnyama tu uyo ipo siku atanikumbuka na mtoto anavonipenda nikiendag a kusalimia siku mbili tu hanaga rah nikimwambia me naondoka ni analiaga adi uruma ananambia me sitaki dada mwingne nmekuzoea Kama mamangu nisubr nikue kaa na mim ntakutengenezea maisha sa swezi roho inaniuma sana rizk popote
Dada hapana wakati mwingine huwezi kukaa ata kwa mumeo usigombane uyo bosi wako nae binadamu hamuwezi kukaa mizi miwili msipishane kauli ata ingekuwa kwa mzazi wako kulishana kauli kawaida usilaumu sn kwani naamini umekaa miaka yote iyo sizani Kama anaubaya kiasi icho pili akuongezee mshahara he unajuwa you anaponea mshahara shingapi na ww pia tunza pesa yako Weka malengo yako ya badae ili ufikie ndoto yako
Wamama wenye wafanyakazi mjifubze kwa nandi muishi na wadada km ndugu na wao watarejesha kile mnachompa kwasababu mkiwanynysa na wao watawafanyia visa mpka mkome
Kuna wakati watu hawawathamin wadada wa kaz wakat ndani kwake hakuwez kukaa sawa pamoj na kupendeza bila dada wa kaz ikiwezekan waongezwe mshahar hata laki nne kaz za ndani ni kaz kubwa san kuna wazazi mpk hajui mtot kala kaoga kanywa kasuka ni mtihani san
Siku zote ukiwa na moyo wa kutoa basi unapata zaidi, ila maboss weng hawalijui hili na weng hawapend maendeleo ya wafanyakz wao wa kazi tubadilike jamn sema ndio hvy binadamu hawafanani tabia kuna maboss wengn wanatesa wengn wanajali mpk wanawaozesha wanapopata wachumba af kuna wengn hawatak waskie unapiga hatua big up sana nandy ndio maan unazidi fanikiwa.
kaka kanikumbusha mbali sana hiyo chumviii na nandy bigup maana wadada wetu wa kazi wanafanyakazi nyingi sana wantusaidia sana kulea watoto wetu ukipata dada mzuri raha sana tuwajali sanaaaa
Na ukiendelea hivyo wanaowatakua vizuri sana. Mpaka huu umri nilionao nimeelewa na Dada wawili tuu. Wakwanza alipoolewa tukiwa wakubwa na wa pili tukiwa tumeshakuwa watu wazima. Namimi hiyo Tabia imenisaidia nimeishi na Dada wawili tuu na wote wameolewa na pia hadi sasa ndiyo ndugu zangu. Mwanangu WA Kwanza anamiaka 30 na wanawaheshimu hao wadada mpaka Leo na watoto zao ni wajukuu zangu
ngozi ya aliyekulia kijijini kwenye maisha magumu ni ngumu sana ukaifanya sawa na ya mtoto wako wa mjini kwa hiyo hata ufanyeje dada wa kazi ataonyesha tu labda awe wa mjini
Zawadi za kipumbavu za maboss wa KiTanzania sasa unampa IPhone 15 ili iwaje badala la kumnunulia hata kiwanja au kumpeleka kozi ya elimu fulani ili imfae maishani . Na Serikali mngepitisha sheria bila ya laki 350,000 au 4, 5 hamna kuajiriwa mfanyakazi wa ndani wanafanywa watumwa nchini mwao na wanatumika sana .
Imekuuma? Kajinyonge kama imekuuma. Nini maana ya zawadi? Ni kitu mtu anakitoa kwa moyo wake bila kushurutishwa na mtu,kama wewe uliona kiwanja ndyo kinamfaa huyo dada bado yupo waweza kumnunulia wewe coz hiyo siyo plan ya boss wake
@@kabwelasutiviraka4765 Yaan kama mimi IQ yangu ni 2 wewe yako ni sifur kaisa,nimewelewa sana ulichokiandika sijakurupuka,anayekurupuka ni wewe hapo na ambaye haukulionja darasa ni wewe hapo,Idioty
Mngemjengea tu nyumba masimu haya hayana maana yyt maaana kila siku matoleo mpya kama mwaka jana iPhone 14 huu tena 15 mwakani tenaa je .PAKULALA anapooo pindi atakapotoka hapo?
Mshahara wenyewe ukute anamlipa elfu 60,000 ukiongezwa laki moja na 60 , Watanzania mbwa nyie mnafanyana watumwa sana na mnatumiana , Serikali ni lazima kulinda haki za wafanyakazi wa ndani
@@bernadetamodest6170 baada ya kumnyonya na kumpa mshahara mbovu ndio ana mnunulia simu kumzuga, nani asiyejua huko Tanzania mnawatumia house maids hamna tofauti kubwa na waarabu nyie wanyanyasaji na mnawafanya house maids watumwa!
Wazazi kndani ya nyumba kama unaacha watoto na dada wa kazi tujifunze kuwaheshim ni watu muhimu Sana jamani
❤❤❤❤❤❤ nakupenda sa nandy hongera sanaaaaaaa
Mungu awazidishie Nandy na mumewe make walio wengi ni vigumu kutambua madada wa Nazi. Kiukweli nimependa❤❤❤❤
Mungu habariki Sana hyo Dada na ww una mapenzi na hyo Dada hongera sana❤❤🙏
Angemnunulia kiwanja hiyo hela ya iphone maana mil 3 unapata kiwanja cha bei rahisi ingekuwa ni asset nzuri kwake na future uko mbeleni ila simu angempa ya samsung kawaida
Kabisa
Umeongea point sana
We una akili sana
We unasema kiwanja baada ya kuniambia mtaji aisee Ili uiendelezee hyo mil 3
Kabisaaa, shda wanaona iPhone ndio maisha, yaan hiyo uliyosema ni akili ya hatari
Serikali iangalie mishahara ya wasichana wa ndani na usalama wao kuna wasichana wakazi wanapitia magumu mungu awalinde
Ukimshirikisha Mungu kwenye malezi hakuna kinachoharibika!!
hata nyie mmelelewa na wasichana wa kazi!!
Mashallah, hongera sana Nandy kwa kutambua muhimu wake. ❤
Hongera nandy kwakumjali dada kwamazawad ya Bei gal,kwa ujinga wangu nawaza ingekuwa Mimi ni ndohuyo dada wako ningekuomba uairishe hiyo iPhone yamamilion uninunulie kiwanja angalau kila mwaka ajenge hata chumba kimoja chakawaida aweke mpangaji ili ata akija kuwa namaisha yake awe nachakujivunia,hayo ma iPhone yanaharibikaga,yanapotea,yanapitwana wakati Ila ardhi huongezeka thamani kila kukicha
Idea nzuri Sana 💪
Ubarikiwe sana nandy kwakutambua kuwa dada apo nimuhim sana kwako hadi roho wa Mungu akakuingia nakumuongeza uyo dada mshahara. Ubarikiwe sana.much love you ❤❤❤❤❤
Mi Nina miyaka 9 na boss wangu Mungu amubariki sana ni boss Bora sana
Hongera sana na Mungu azidi kumbariki zaid
Jamani mbona mimi sipati hizo kazi kwa watu wanaojua umuhim wa mdada wa kazi? Nakulelea wanao mpk ufurah nilikaa kwa Aziza ally na mdada nilikuwa na miaka 18 nilikaa na wanae miaka 13 nimeondoka watoto wamekuwa wapo secondary sasa alinifanya nitoke bibi mama wa boss wng alikuwa na gubu mno mno nikashindwa kuvumilia now nataka kwingine hata nje ya nchi mm sawa tu nipo taar napenda kujitafutia sana sana
Mziki mkubwa wooi, maintainini mziki na sound isikike very calm n clearvizurii kwa record
Yatokea hata mm niko kwa mwarabu nnalea watoto 5 na wote wakianza kuongea waita jina langu
na wanipenda hata kuliko mama hata hawajui km kuna mtu km huyo mpk wakue
Hongereni Sana Mungu azidi kuatunza jamani❤❤❤❤❤❤
Kuna dada alikaaga Kweti aiseeee anaitwa Dada amatilda Uwiii Yule Dada Ni Heaven sent alikua anatutreat Poa Hadii Unaona wazazi wako hawakupendi kama Yy
Na nyinyi ma boss wazuri kabisa hata tumeona kwa yammi
Nliwah kukaa na mtot akawa ananiita mama alaf mama ake mzazi anamuita jina lake
Ubarikiwe Nandy sio wote wana moyo kama ya kwako
Dada angemwambia amnunulie kiwanja tuu hiyo iphone14 aliyonayo inatosha
Mungu akuzidishie
Mim sijui Watu wengine Kwa Nini hawana shukran Mimi nafanya kazi na nalea mtoto ana miaka 9 nmemlea tangu ana miaka 6 mpaka Sasa mwezi wa kumi anafikisha miaka 10 lkn bosi wangu hata hathamini nachofanya Yani ata mshahara kakataa kuniongezea kwanza ana dharau ananambia unakula bure unalala wenzio wanalipwa ata elfu 60 Sasa guy kwanza mtoto hakai na mamake mzazi anakaa na mamake wa kambo lkn Hana ata abari mtoto ale asile Hana bari Mimi ndo nahakikisha kala nampeleka Shule namfata nmpeleke saloon Yani Kila kitu mpaka event za shule naenda Kama mzazi Kwa sbb babak ni mtu wa masafar hapa yenyew yuko Ivory coast Sasa uyu mtoto asijikwae juzi tumbo lilkua lamuuma nilitukanwa naambiwa ulitaka kufanyaje eh nkampeleka hospital doctor akasema Hana shida ni inatokeaga mvurugo wa tumbo we guy miaka minne saiv lkn naambiwa Ivo siku ikitokea bahat mbaya SI ntapelekwa jela namsubr mamake wa kambo namuacha mtu amekataa kuniongezea Hela na ni ye aliniahid mwanamke wake kasema basi atatoa Hela yake aniongezee bdo kakataa ni mtu uyo adi mwanamke alitaka kunisomesha ada yake mwenyew mwanaume kakataa SI mnyama tu uyo ipo siku atanikumbuka na mtoto anavonipenda nikiendag a kusalimia siku mbili tu hanaga rah nikimwambia me naondoka ni analiaga adi uruma ananambia me sitaki dada mwingne nmekuzoea Kama mamangu nisubr nikue kaa na mim ntakutengenezea maisha sa swezi roho inaniuma sana rizk popote
Msamehe bure bure mwaya binadamu ndo walivyo.
pole dada jamani wengiwao tunatafita riziki kwa watu wana roho mbaya tulia pambana hivo hivo
Natafuta mtu kma wewe lakini simpati kwanini huyo hathamini uwepo wako hapo wadada wenye roho kma yako mmebaki wachache.
Dada hapana wakati mwingine huwezi kukaa ata kwa mumeo usigombane uyo bosi wako nae binadamu hamuwezi kukaa mizi miwili msipishane kauli ata ingekuwa kwa mzazi wako kulishana kauli kawaida usilaumu sn kwani naamini umekaa miaka yote iyo sizani Kama anaubaya kiasi icho pili akuongezee mshahara he unajuwa you anaponea mshahara shingapi na ww pia tunza pesa yako Weka malengo yako ya badae ili ufikie ndoto yako
Aaah Sepa tu ndg yangu huyo Mnyama
Wamama wenye wafanyakazi mjifubze kwa nandi muishi na wadada km ndugu na wao watarejesha kile mnachompa kwasababu mkiwanynysa na wao watawafanyia visa mpka mkome
Nimependa sana kwakweli,mungu awazidishie na pia msiishie hapo kumsaidia na nyumbani alikotoka
Kuna wakati watu hawawathamin wadada wa kaz wakat ndani kwake hakuwez kukaa sawa pamoj na kupendeza bila dada wa kaz ikiwezekan waongezwe mshahar hata laki nne kaz za ndani ni kaz kubwa san kuna wazazi mpk hajui mtot kala kaoga kanywa kasuka ni mtihani san
Ishu ya msingi hapo ni kumuimbisha huyo dada wa kazi ili ule mema ya nchi kutoka kwa Nandy na Nenga 😂😂
Ndio ila sio mbaya lakini
Mashallah hongera sna nandi bilinas amna bayaaaaaa
Siku zote ukiwa na moyo wa kutoa basi unapata zaidi, ila maboss weng hawalijui hili na weng hawapend maendeleo ya wafanyakz wao wa kazi tubadilike jamn sema ndio hvy binadamu hawafanani tabia kuna maboss wengn wanatesa wengn wanajali mpk wanawaozesha wanapopata wachumba af kuna wengn hawatak waskie unapiga hatua big up sana nandy ndio maan unazidi fanikiwa.
kaka kanikumbusha mbali sana hiyo chumviii na nandy bigup maana wadada wetu wa kazi wanafanyakazi nyingi sana wantusaidia sana kulea watoto wetu ukipata dada mzuri raha sana tuwajali sanaaaa
Na ukiendelea hivyo wanaowatakua vizuri sana. Mpaka huu umri nilionao nimeelewa na Dada wawili tuu. Wakwanza alipoolewa tukiwa wakubwa na wa pili tukiwa tumeshakuwa watu wazima. Namimi hiyo Tabia imenisaidia nimeishi na Dada wawili tuu na wote wameolewa na pia hadi sasa ndiyo ndugu zangu. Mwanangu WA Kwanza anamiaka 30 na wanawaheshimu hao wadada mpaka Leo na watoto zao ni wajukuu zangu
Dida mriri , watumie kama hao wakongo wengi sanaaa , lakini MUNGU ni mwema sana MUNGU atakulipa
Kwani dada mtangazaji hujui kupika nin?
Fridaa vpee😂 mbn kama unaongea uku unakatakata kucha unaona aib😂
UKIWA NA PESA TU,,YOTE HAYO YA KAWAIDA,,,UWE NAZO KWANZA.
moyo pia
I disagree.. I know so many greed twats
ngozi ya aliyekulia kijijini kwenye maisha magumu ni ngumu sana ukaifanya sawa na ya mtoto wako wa mjini kwa hiyo hata ufanyeje dada wa kazi ataonyesha tu labda awe wa mjini
Dah nimesaha mchele wa mawe kazi inaongezeka,hivi hii mchele ya majuu mbona haina mawe jaman😃
Jaman milard ukiongea harakaharaka hivyo naenjoy kusikiliza but hua haujingati kweli
Ni wachache sana wanao Fanya ivo
Connection na huyooo dada plz brother
Mulipe herayake mwijaku
Washenziiiii nyieeeee😂😂😂😂😂
Jamani nyie
Zawadi za kipumbavu za maboss wa KiTanzania sasa unampa IPhone 15 ili iwaje badala la kumnunulia hata kiwanja au kumpeleka kozi ya elimu fulani ili imfae maishani . Na Serikali mngepitisha sheria bila ya laki 350,000 au 4, 5 hamna kuajiriwa mfanyakazi wa ndani wanafanywa watumwa nchini mwao na wanatumika sana .
Akitaka kiwanja si auze simu atayopewa hiii msipangie watu maamuzi kama sim bei ya kiwanja aiuzee
Imekuuma? Kajinyonge kama imekuuma. Nini maana ya zawadi? Ni kitu mtu anakitoa kwa moyo wake bila kushurutishwa na mtu,kama wewe uliona kiwanja ndyo kinamfaa huyo dada bado yupo waweza kumnunulia wewe coz hiyo siyo plan ya boss wake
@@bernadetamodest6170 hukwenda shule na una IQ ndogo sana soma uelewe nacho discuss badala ya kukurupuka!
@@kabwelasutiviraka4765 Yaan kama mimi IQ yangu ni 2 wewe yako ni sifur kaisa,nimewelewa sana ulichokiandika sijakurupuka,anayekurupuka ni wewe hapo na ambaye haukulionja darasa ni wewe hapo,Idioty
Kuna boss kwanza wa kukupa Iphone 15 ishirini kwa mmoja
Mngemjengea tu nyumba masimu haya hayana maana yyt maaana kila siku matoleo mpya kama mwaka jana iPhone 14 huu tena 15 mwakani tenaa je .PAKULALA anapooo pindi atakapotoka hapo?
Kabisa anunuliwe kiwanja japo cha milioni mbili tu maana hzo cm za hiphone karibu milioni 3 au zaidi na kila siku matolea mapya
Hongera yake
Love her family 👪 ❤
Jmn barikiwa saana nandi❤
Niceee
Ok, j
Kumlipa vizuri hakuwezi kumfanya apende mtoto ni mpaka awe na roho nzuri
❤
Mshahara wenyewe ukute anamlipa elfu 60,000 ukiongezwa laki moja na 60 , Watanzania mbwa nyie mnafanyana watumwa sana na mnatumiana , Serikali ni lazima kulinda haki za wafanyakazi wa ndani
Fact
Haikua na haja ya kutukana,ila kama ndiyo malezi ulio pewa na wazazi wako,hongera kwa malezi walio kupa.
@@kdloon2030 mpumbavu wewe mimi naonangea slavery wanaofanyiwa house maids unaleta vitu havieleweki
Huna akili,I phone ni shilingi mia mbili mbwa wewe
@@bernadetamodest6170 baada ya kumnyonya na kumpa mshahara mbovu ndio ana mnunulia simu kumzuga, nani asiyejua huko Tanzania mnawatumia house maids hamna tofauti kubwa na waarabu nyie wanyanyasaji na mnawafanya house maids watumwa!
Jaman Nandy Mungu Akubarikiri. Nimejifunza kitu
Nandy ameamuacha MTT mapema YULE MTT wazazi wake wana muhudumia lkn amekosa joto LA. Mama.. Wanawake waliozaa. Wananielewaa... MTOTO MNYONGE YULE HAYUKO SAWA
Mmmh sio kweli bwana wale wanaozaliwa na mama zao wakafa inakuaje? sio kweli kbs tafuta sababu nyingine 😅😅iyo nimekataa
Hasbiallah waneemar waakeer acha husda mtt yuko vizuri na yuko hearth
Bangi ulovuta itakua imekaangwa mbwa ww punguza roho mbaya
Nendeni na kwa mange mkamtukane kwa alichoandika... Mxiew
@@francesmpangwa8801 dah asee nimecheka kifala,😂😂😂
❤❤❤❤❤𝓅𝓇𝑜𝓊𝒹 𝑜𝒻 𝓃𝒶𝓃𝒹𝓎😊