SIKU 10 ZA MAOMBI | BALI WEWE USALIPO .... | PR. DAVID MMBAGA | SIKU YA TISA (09) | 16.01.2025

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Karibu katika Siku Kumi (10) za Maombi! Tunaamini kwamba maombi ni chimbuko la uamsho wa kweli. Mungu amekuwa akitutendea miujiza mingi tunapomtafuta pamoja kwa kufunga na kuomba.
    Mada Kuu katika Siku hizi kumi (10) ni "Bali wewe usalipo..."; Na Fungu Kuu linasema; "Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao". ~ 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Mhubiri Mkuu: Mchungaji David Mmbaga

ความคิดเห็น • 9

  • @StewartMgaza
    @StewartMgaza 19 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana mtumishi Asante Kwa ujumbe mzuri

  • @susantuguta4909
    @susantuguta4909 18 วันที่ผ่านมา

    God bless you

  • @JackNtabo
    @JackNtabo 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu atukuswe kwa mambo makuu nimeona makuu kupitia mahubiri nimeona mungu nimejua nguvu ya msalaba

  • @IsmaelKinika
    @IsmaelKinika 20 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @temburlydia
    @temburlydia 20 วันที่ผ่านมา

    Omba kwa ajili ya kijana yangu ambaye anaugua ugonjwa wa ubongo pastor tafadhali

  • @LuciaMasagi
    @LuciaMasagi 20 วันที่ผ่านมา +1

    Pr ubarikiwe sana Mungu zaidi kukupa nguvu barikiwa xana

  • @jemimahmosota2038
    @jemimahmosota2038 20 วันที่ผ่านมา

    Asante sana Kwa mibaraka ya kipekee na Mwenyezi Mungu awabariki pia

  • @IsmaelKinika
    @IsmaelKinika 20 วันที่ผ่านมา

    Nyumbo nzuri mungu apewe sifa

  • @Alan-g2t
    @Alan-g2t 20 วันที่ผ่านมา +1

    Dada mwenye kinguo cheusi umeimba vizuri, na umependeza ila nguo fupi mno Bwana, Mungu aendelee kukutumia kama apendavyo yeye.