Mama Haji umeongea vzr na vema kumbariki mtoto. Nimekupenda endelea kuwa mama bora. Haji masemaji wa Simba hongera sana kwa haya makubwa ulofanya barikiwa sana.
Nani kama Mama? Tuliobahatika kua na mama tusiwaangushe mama zetu, tuwatunze na kuwathamini siku zote. Wale wazazi wao waliotangulia mbele za haki, Mungu awasamehe mazambi yao na awaandalie makazi mema huko walipokwenda, ameen!
Masha'allah mama ameongea kwa hekima na busara nime jikuta machozi yana nitoka Allah awape umri mzur mama zetu na awa rehem wazee wetu walio tangu lia mbele ya khaki
Haji manara uwa anajinasibu kwamba yeye ametoka ktk familia yenye malezi ya kidini lkn Leo namuona mama yake akiwa kichwa wazi na sio ktk maadili ya kiislamu huu ni msiba
mungu awabariki wakina mama wote duniani AMEN
Ameen
nani kama mamagonga laiki yako apa
Hatar San
Yap
Baba
Hakuna kama mam
@@irenemacha7457 kabsa💗💗💗💗
MBNA nimetoa machozi ...
Nmemmiss pia mama yangu💟
wise words from this woman. kuna vingi vya kujifunza kutoka kwake kwa wazaz wenye watoto wa ukosefu au disability yoyote.
Mama Haji Unao Busara Nimejikuta Nalia 😢 😢
Kamera man hajui kuchukua video bhna kama unaamini ivo gonga like twende sawa
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
Mama Haji umeongea vzr na vema kumbariki mtoto. Nimekupenda endelea kuwa mama bora. Haji masemaji wa Simba hongera sana kwa haya makubwa ulofanya barikiwa sana.
Hongera Mama Mungu azidi kukupa miaka zaid
Maashaallah, mama anavyoongea sauti na lafudhi yake kama mama salma kikwete
Umeliona hilo eee
Ni kweli kabisa
Nani kama Mama? Tuliobahatika kua na mama tusiwaangushe mama zetu, tuwatunze na kuwathamini siku zote. Wale wazazi wao waliotangulia mbele za haki, Mungu awasamehe mazambi yao na awaandalie makazi mema huko walipokwenda, ameen!
Ameen
ameen
Ameen
Amiin
Inshallah
Mama mwenye busara utamsikia tu kwa maongeza hata kama aujamuona ongera sana mama haji
MashaAllah mama ni mama
Haswa
Nahs kameraman alipagawa na hekima za mama,,,,,
Zamzam Hamisi assalaaaamu alaykum .naomba uangalie nikiimba Arabic kaswida th-cam.com/video/7jjKt7AQgNs/w-d-xo.html
Kwa Waislam sivizuri kuonyesha sura mwanamke
mama yako mzuri anabusara sana nimependa sana
jojo _linkiss Abiny we Mzee wa TH-cam kila sehem sehem nakuona
Jacob Chikawe kama kawa
Ha haaaa umetisha sana
Jacob Chikawe p1
Kumbe mama ni mchaga
mashallah mama anaekima zake allha amueke na ss mama zetu waliyo tangulia allha awarehemu pia lnshallah
Nani kama mama? Jifunzeni hata akinamama wengine,acheni kuua watoto kwa kuwatupa porini na chooni
Masha'allah mama ameongea kwa hekima na busara nime jikuta machozi yana nitoka Allah awape umri mzur mama zetu na awa rehem wazee wetu walio tangu lia mbele ya khaki
Mashallah hongera Sanaa mamaa yetu hakuna mtt mbaya tumboni kwa mama yake ❤️❤️❤️❤️
Mashaallah tabarakallah mama mngu akuzidishie umri
Hakuna kama mama💞
Ukiwa unapata maneno mazuri km Hy kutoka kwa mama mzazi bc ni njia kubwa sn ktk maisha yk
Haji you have a beautiful mom and smart. Mungu azidi kumbariki na azidi kumpatia busara aliyekuwa nayo zaidi.
woww kumbe mama akke haji anaitwa RAHMA
MAJINA YA RAHMA TUTAPATA SHIDA SANA MWANZO ALHAMDULILAH
huyu mpiga picha hafai nn na mgongo wa mama wa watu jaman
Maa shaa allah hongera mama
nimeguswa machozi emenitoka.
mashAllah.
Hongera Sana Haji, Mungu azidi kukusimamia
Japo hajageuka ila huyu mama ni mrembo, yani mzuri.
Mashaa allah mama
Mashaallah
Ubarikiwe pia kina mama wote mbarikiwe
This is a very touching story, ubarikiwe Mama
Mungu azidi kukubariki mama Haji, lion lady, umenikumbusha mbali mno, tuzidi kuwaombea watoto wetu
Sasa nyinyi mna tuonesha mugongo ili iweje
Hata mm nashangaa mpiga picha sijui alivuta cha wapi
Wallah nmechka San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa unataka sura ili ufanyeje?
Pole sana Mama Mungu atakutangulia Daima
Bora hata umenisaidia
hongera sana haji! mungu akutangulie
E mungu mlinde mama angu
Pesa sabuni ya roho
Mama hajazeeka kabisaaa jamnii
AMEEN! Insha Allah.. ALLAH atamuongoza hili kufikia ndoto zake.
Mashaallah haji manara na mama akeee
Maneno mazuri sana
Kutoka kwa mama
hakika haj umefanya
jambo kubwa sana
na Mungu akuzidishie
Mama Haji mungu akubariki sana ww na wanao wote. Umekuwa mwema sana kwa mwanao bila kujali hali yake
Wamama wanaojielewa marshallah barakaĺlahu fiykum
Mama bora, hongera sana.
Mama anajitambua hakuna ka mama🤩✔
Mashaallah mama unaongea vzr hadi raha"una busara sana
Maashallah mama anazungumza vzr
Nimeipenda sahii 😍
💥💥💥🙏🙏🙏👏
Daaaaah Safi sana mama
manshallah
Hongera mama💗💗💗💗💗
Amina Ubarikiwe mama
Mashallah mungu akupe sahaa🤲
hongera kwa mama wote
Jaman tunataman kuona sura mama Haji
Mama mashaa allah lakn mgongo uko wazi umri umekwenda haji amesoma dini kidogo .sasa haji fanya usia kidogo kwa mama sio kumwita kwenye media tu
Amin😙
Kumbe manara ana vidada duh sio mchezo japo sjaviona vzr ila vinapendeza kdg
Maneno ya wazazi yamegonga yafikirie kabla ya kufanya kitu ni njia yako katika mafanikio.
Mungu akubariki sana
Mungu amzidishie
Very good Haji mother
Hongera Sana mama kumwezesha mwanao haji kusoma
Masha allah
Hongera mama manara mama ni namba moja
Dah stry nzuri sana ya kujifunza 💯🔥
Ilhaam Marshed assalaaaamu alaykum .naomba uangalie nikiimba Arabic kaswida th-cam.com/video/7jjKt7AQgNs/w-d-xo.html
Ilhaam Marshed safi
Mama anasauti nzuri Sana mashaallah
Mama anaongea katulia yan smart momy dah hadi raha
Cameraman vip duuh
Bony K hahahha ametunyima huondo kuona sura ya MAMA asee
daaaah ...
Mungu akubariki mama 🙏
Wallah hakuna km mama allah akujaalie khatma njema inshaallah mama
Mama Marshaalah
Mashallah, Mama mrembo na Mwenye hekma 🙏😘
Mashallah, Mama mashallah, speach ya Mama konk sana.
Mashaalh
Nani kma Mama😢😢
Millad jamaa wako wa camera asimama kama mti ata hayumbi kachemsha aah..ata sura ya mama hajji hatujamuona vzuri pamoja na mjombake 😂😂😂😂
Mama umetuletea bwege, hongera
Mama ana hekima sana
I'm crying 😭😭😭 I can't take it
Pole sana
Mama mzr
Hongerasanamama
mama unazungumza vizuri kiswahili
💐💐😘
masha Allah mbona mummy bado kaschana
Mamake uyo wawooo
good
MAMA
Mashallah mama
Jamaa wa kamera alikuwa kategesha haf kalala usingz"
Hahahahahaha
Ygfj c k v I'm by I'm c b hi m toboggan😮😬 💚💘💛💜💓💔💕💖💗💘💝💞💟👍👎👌✊✌✋👊☝👆👇👈👉👋👏👐
😂😂😂
Umejuaje huenda mama mwenyewe ndiyo alikuwa hataki aonyeshwe kwenye kamera
😂😂😂😂
Daaah mama mzuri Sana hakuna Kama mama
😗😗
Haji manara uwa anajinasibu kwamba yeye ametoka ktk familia yenye malezi ya kidini lkn Leo namuona mama yake akiwa kichwa wazi na sio ktk maadili ya kiislamu huu ni msiba
sijawahi kuwa na mapezi na mama toka nimezaliwa mpaka hapa nilipo
kwanini una tatizo gani mary
Mary mama yko yupo hai au
Mmh kwann tena
Kwanini jamani
mmmmh! mmeshea bwana au,maana c kawaida
Nani kama mama,hingera Hajjih Manara mama bado mdogo hivyo.!
Kwnn mmempiga picha kisogoni?
mama ndiyo huyo,baba Sunday Manara unategemea nini""Mungu bwana acha aitwe MUNGU.
Sijaelewa dislike ni nini hapo. Kuna watu wanumwa ugonjwa wa sipendi kila kitu.
Hakuna kama mama
Sura haonyeshi
Mashallah mama anaongea vizur
Muonekano tofauti na uislam Pole sana
Ndio namm najiuliza jamani watu wanamajina yakiislamu mavazi mtihani duh Allah atustiri yan ckuizi mtu mpka afe ndio utajua ni dini gani
Zainabuh Mbabazi we acha tu ummati uliombiwa ni bora umma mtukufu lkn hatimae tunaelekea siku daah Allah atustiri
Kweli yani mtihani sana hii dunia Allah atulinde tu.
Kassim El Seudally aamin
Utandawazi unatuathiri sana....kiukweli hatufuati misingi ya dini yaani tunakili kwa mdomo lakini moyoni mhh😰😰😰
Nimelia walah
Mama huyu shujaa kweli Kama ni Mimi ningekua na stress kweli
Hamumuoneshi sura sasa
Cameraman Technofobia